yeah..ni baada ya kuisoma kiundani consumer behaviour ya wanadarisalama. Wanapenda magari na nyumba. Watajie hayo utawatumbukiza hata baharini!naona kaja na marketing strategy mpya....
yeah..ni baada ya kuisoma kiundani consumer behaviour ya wanadarisalama. Wanapenda magari na nyumba. Watajie hayo utawatumbukiza hata baharini!naona kaja na marketing strategy mpya....
Utanunua mwenyewe yeye anakupa gari tu.
Wagalatia wamebarikiwa sana na Mungu,hilo hata nyie magaidi mnalijua sana,misikiti yenu imejaa chuki na mipango ya kujitoa mhanga kwa kwenda mbele,mnahubiri mauaji tu,na ujinga wa kusema eti nyie ni dini ya kweli,wapumbavu nyie,MUNGU si mwanadamu hata awe na dini,huwa najiuliza hivi mataifa makubwa haya ya kigalatia kama Marekani,Urusi,Uingereza,Ufaranja,Germany na nk,yangekuwa ya kiislam nadhani dunia ingelia sana,MUNGU huwa anajua jamani,nani ampe,mngepewa nyie hizo nguvu,wagalatia tungekoma.
Siku akienda kuwatibu wagonjwa waliolala kwa zaidi ya miaka 5 mahospitalini live bila ya chenga ndipo nitakapomuamini kuwa si gari hata ndege atakuwezesha
Hyo Lusekelo mwiz tu... Km mzee wa upako atembelee shule za watoto viziwi, vipofu na wenye ulemavu atoe upako ndo ntamuamin.
Tatizo watu wanamuamini sana shetani kuliko Mungu. Hawaamini kwamba Mungu anaweza kufanya hivyo ndio maana wanamsingizia shetani.hata kama ikitokea kafanya hivyo watu watasema anamtumia shetani.
Acha uongo wewe usidhani unaangalia peke yako hicho kipindi. hao watu magari wamenunua wenyewe kwa pesa zao kutokana na shughuli wanazofanya
bora habari haijakamilika..
data ulikua unawahi wapi
wakuu namimi nataka gari,?
Huyu mzee wa upako ana nini? Naangalia now ch.10
yani ni hivi watu wanantoa shuhuda, extraordinary,.
Wanachukua magari kwa mzee wa upako.
Boda unafikiri nini?
the unhappenings are happening.,
guyz im plannin to attend his service.
Watu wenyewe wanashangaa tu wamejikuta wana magari..
Stunned....!!!