Mzee wa upako na magari

Mzee wa upako na magari

dah mm ntaenda kwake natamani sana kununua ndege
 
Kukemea dhambi kutakimbiza wakristu na kukosa fedha ya aibu.

Injili ya utajiri inapendwa na wasiomjua vema EL-SHADDAI.
 
Kukemea dhambi kutakimbiza wakristu na kukosa fedha ya aibu.

Injili ya utajiri inapendwa na wasiomjua vema EL-SHADDAI.

AMEEEEEN nimelipenda hilo jina lipitalo majina yote EL-SHADDAI
 
Hivi kuwa na gari ndo unafika mbinguni? Yeye bafdala ya kumponya mtu sasa unamwongezea mauti
 
Wagalatia bana!

Wagalatia wamebarikiwa sana na Mungu,hilo hata nyie magaidi mnalijua sana,misikiti yenu imejaa chuki na mipango ya kujitoa mhanga kwa kwenda mbele,mnahubiri mauaji tu,na ujinga wa kusema eti nyie ni dini ya kweli,wapumbavu nyie,MUNGU si mwanadamu hata awe na dini,huwa najiuliza hivi mataifa makubwa haya ya kigalatia kama Marekani,Urusi,Uingereza,Ufaranja,Germany na nk,yangekuwa ya kiislam nadhani dunia ingelia sana,MUNGU huwa anajua jamani,nani ampe,mngepewa nyie hizo nguvu,wagalatia tungekoma.
 
Mmoja nlimskia akishuhudia alikua mwendesha mkokoten alvoanza kwenda kwa mzee wa upakoo akagunaa a kenta tatuu
 
Mmmmmh Watu wangu wanaangamia kwa kukosa Maarifa...

Halafu utakuta hao watu kwenye Vyumba vyao Picha za Yesu hamna Ila Za Mchungaji. Wanamuinua zaidi mchungaji kuliko Mungu..

Yesu alisema Tutawatambua kwa Matendo yao. Kwa huyu Mzee wa upako nampa 0%.. Mtu gani kila sa wapokea Pesa madhabahuni.. mahali Ambapo ni Patakatifu kila mtu anakuja anakanyaga
 
Wagalatia wamebarikiwa sana na Mungu,hilo hata nyie magaidi mnalijua sana,misikiti yenu imejaa chuki na mipango ya kujitoa mhanga kwa kwenda mbele,mnahubiri mauaji tu,na ujinga wa kusema eti nyie ni dini ya kweli,wapumbavu nyie,MUNGU si mwanadamu hata awe na dini,huwa najiuliza hivi mataifa makubwa haya ya kigalatia kama Marekani,Urusi,Uingereza,Ufaranja,Germany na nk,yangekuwa ya kiislam nadhani dunia ingelia sana,MUNGU huwa anajua jamani,nani ampe,mngepewa nyie hizo nguvu,wagalatia tungekoma.

wajinga Ndio waliwao.
Wahi gari kwa mzee wa upako, tuache waislam na DINI yetu.
 
Ukitaka ufalme wa duniani nenda.......but ufalme wa mbinguni ndo cha kwanza mengine mtazidishiwa...mi simkubali kabisa mzee wa upako anahubiri utajiri tu...sijaona akihubiri jinsi ya kushinda dhambi na kwenda mbinguni...hata shetani nae ni tajiri so kuweni makini na hayo magari

Kisha ibilisi akamwonyesha Yesu milki zote za ulimwengu na fahari yake, akamwambia " haya yote nitakupa ukianguka kunisujudia" Yesu akamjibu imeandikwa msujudie bwana Mungu wako, umuabudu yeye pekee. John 4:8 -10.
 
Et bila hata aib na namba za tgo pesa na mpesa na nambar za benk mhhh....kweli manabii wa uongo
 
Tena ni bora yeye anayegawa magari kuliko wanaogawa jambia na mabomu na tindikali.KUwafundisha kupata mali si kosa je wataka awafundishe kujitoa muhanga na kurusha mabomu?
 
Mmmmmh Watu wangu wanaangamia kwa kukosa Maarifa...

Halafu utakuta hao watu kwenye Vyumba vyao Picha za Yesu hamna Ila Za Mchungaji. Wanamuinua zaidi mchungaji kuliko Mungu..

Yesu alisema Tutawatambua kwa Matendo yao. Kwa huyu Mzee wa upako nampa 0%.. Mtu gani kila sa wapokea Pesa madhabahuni.. mahali Ambapo ni Patakatifu kila mtu anakuja anakanyaga
WATU WANGU WANAANGAMIZWA KWAKUKOSA MAARIFA
Soma Vizuri shetani ameligeuza hilo neno kukwepa lawama
RGforever
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom