stineriga
JF-Expert Member
- Jun 20, 2012
- 2,172
- 892
Kama unapaka (kuogea) na hupati gari, kuna uzuri gani ?!
chapa lapa, hujalazimishwa kama huamini!
wewe si unaamini kupitia muhammad?:yell:
Kama unapaka (kuogea) na hupati gari, kuna uzuri gani ?!
Tena sanA
wewe unachuki na kakobe!!!wajinga ndo waliwao,hamjajifunza kwa kakobe tu?
Ujue kuna vitu vingine havihitaji hata shule ni akili tu ya kawaida, mfano unaenda kuungama dh@mbi kwa m/damu mwenzako au huyo nabii anaoteshwa na mungu na anapiga mnada kitu flani kwa bei ya juu na atakaenunua anasamehewa dhambi zake...
Mtabaki hivyohivyo wajanja wa miujiza ya nigeria wanaendesha hummer.
Mzee wa upako anayaelewa sana mawazo ya watanzania wengi. Anatumia mawazo hayo kuwachezea na wanachezekaNaangalia channel mda uu eti kuna watu wanatoa ushuhuda baada ya kupewa sabuni kutoka kwa mzee wa upako wakaogee watapata magari..ii imekaaje wakuu
Naangalia channel mda uu eti kuna watu wanatoa ushuhuda baada ya kupewa sabuni kutoka kwa mzee wa upako wakaogee watapata magari..ii imekaaje wakuu
Hakuna tofauti wote ni matapeli tuu !!
huyo tapeli tu.
Aliowapa magarii wanatoa ushuhuda hapa chanel ten sahivi.
kama umeshndwa kung'oa mademu kisa huna gari,mcheki Mch.Lusekelo fasta.
Aliowapa magarii wanatoa ushuhuda hapa chanel ten sahivi.
kama umeshndwa kung'oa mademu kisa huna gari,mcheki Mch.Lusekelo fasta.