Mzee wa upako na magari

Mzee wa upako na magari

Mazingaombwe! Believe me itasugua bench na hilo gari hutaliona. Kinachofanyika ni maigizo hawa watu wamepandizwa...!
 
Sikilizen wandugu mimi ni mfuasi wa mzee wa upako nilikwenda pale kwa kuwa nilikuwa na dhiki zangu si utani nilichoka mbaya, kama ukisikiliza maubiri yake jamaa anafundisha maisha, kujiamini na kupambanua mambo, yale mahubiri ukiyapata mara nyingi unaanza kujibiidisha kwa nguvu,hivi sasa ninavyoandika thread hii nina kazi na gari ninalo mkuu

eti eehh.! Ukajibidiisha tu ukapata gari.. Ok.
 
Nenda na wewe ukapate!! Tafuteni kwanza ufalme wa Mungu na hayo mengine yote mtazadishiwa!!!
wakuu namimi nataka gari,?
Huyu mzee wa upako ana nini? Naangalia now ch.10
 
Naangalia channel muda huu naona eti kuna watu wanatoa ushuhuda baada ya kupewa sabuni kutoka kwa mzee wa upako wakaogee watapata magari.

Hii imekaaje wakuu?

Hawa jamaa ndo matapeli kama DECI same type na Gwajima hawatakiwi..
 
wakuu namimi nataka gari,?
Huyu mzee wa upako ana nini? Naangalia now ch.10

huwezi kupata gari wakati hata baiskeli huna. Nenda kwa mzee wa upako ukamwambie unataka baiskeli, alafu bajaji then ufikirie gari.
 
T.B kwani kafenyeje,kipi ambacho anafanya ambayo haipo kwenye bible,km hujapiga goti na kuoneshwa kuwa huyu tapeli,don't ever criticize T.B Joshua,he is a man of God! Mambo ya imani siyo siasa!!
 
kuna uzi humu JF ulizungumzia kuhusu anoited water na inauzwa. Kuuzwa au kutouzwa, hakuongezi au kupunguza madai ya kupona au kutopona !
Huyo tapeli asubiri Kwenda motoni tu maana anakufuru kupita kiasi na Mijitu isiyofikiri Vema inamfuata tu
 
Tena ni bora yeye anayegawa magari kuliko wanaogawa jambia na mabomu na tindikali.KUwafundisha kupata mali si kosa je wataka awafundishe kujitoa muhanga na kurusha mabomu?

Comment yako nimeipenda mpka mwisho...
 
jamani hawa manabii nawaomba wawatibu watu ukimwi hasa watoto wadogo jamani kweli wana nguvu lakini wakumbuke pia na magonjwa sugu
 
Povu linakutoka tu huna point ya msingi zaidi chuki ya udini ndio ilokutawala

Wagalatia hatuna chuki, tumejaa upendo na amani, wenye chuki ni nyie mnaosali huku mmekunja uso. Sie tumejaaliwa sana ndio maana twaitawala dunia yakhe, na tuna uwezo wa kupukutisha waarabu wote ili tukajichotee mafuta kama maji tu. Lakini kwanza tunawaacha mmalizane wenyewe kwa jina la alahu kiburi
 
Yaani wote ni matapeli watupu! wa upako, milima wa moto, umeme wa gasi haupiti hapa, mharibifu wa ndoa ya mbasha wote ni matapeli.
 
Back
Top Bottom