Mzee wa Upako aishukia serikali

Mbona povu linakutoka au ni wale wale nini.Kwa taarifa yako majengo ya makanisa mengi (lutherani/katoliki) ni mazuri hata huko vijijini.Makanisa ya kina mzee wa upako yako Dar tu ukienda vijijini hawajulikani na ukichunguza kwa makini waumini wa mzee wa upako / kakobe wengi wamechanganyikiwa,wamepoteza dira ya mwelekeo wa maisha,wamekata tamaa.Nina wasiwasi hata wewe ni mmoja wao.
Ni vigumu kubishana na watu wenye hoja za nguvu badala ya nguvu za hoja.

Nakuacha jinsi ulivyo. Ila ngoja nikusaidie kidogo.

Kwa taarifa mimi nasema kitu nafahamu maana huko kote nimekuweko na sasa siko. Majengo yenu yote mazuri na mabaya hayatakwenda mbinguni lakini wewe waweza kwenda au kutokwenda mbinguni kutegemea na umejitayarisha vipi.Kama unataka kujua mimi niko wapi ni hivi; mimi nilikuwa mlutheri kwanza na sasa sina dhehebu natafuta tu kwenda mbinguni bila dhehebu kwani haiwezekani?
 
Heshima kwako Mchukia Ufisadi,

Mkuu wangu labda umeshindwa kunielewa hoja yangu.

Ukiangalia historia ya kanisa kama Lutheran mwanzilishi wake Martin Luther alitofautina na uongozi wa kanisa katoliki,alkuwa na sababu za msingi ambazo hata leo bado zinasimama.Miaka hiyo waumini wa kawaida kanisa katoliki hawa kuwa na access ya kusoma biblia,ni Martin Luther alianza kutafsiri agano jipya kwa kijeruman hiyo ilikuwa mwaka 1522 na baadae alitafsri biblia yote kazi ambayo ilichukua miaka kumi.Kazi aliyofanya Martin Luther ilikuja kusababisha biblia ikapata tafsiri kwa lugha mbali mbali,kama si yeye pengine tungekuwa tunalazimishwa kusoma biblia kwa lugha ya kirumi tu kitu ambacho si kizuri.

Mzee wa upako kamwe hawezi kusimama jukwaa moja na mtu kama Martin Luther ambae wakati wake aliweza kupambana na sheria kali za kanisa ambazo zilikuwa kinyume na mafundisho ya Mungu.Ukifuatilia mafundisho yake channel 10 yamejikita zaidi kuwaokoa watu wenye uwezo,kitu ambacho kwenye biblia hakuna.Sijaona andiko kwenye biblia takatifu mtu alitakiwa kuokolewa au kuombewa baada ya kutoa fedha.Mafundisho ya mzee wa upako pia ni kwaajili ya kuwachukua watu kutoka madhehebu mengine ambao tayari wameshamjua kristo kuwa ni mwokozi wa maisha yao,Mzee wa upako alitakiwa na bado anayo nafasi ya kwenda vijijini ambako wako watu wengi wanaohitaji kumjua kristo.Mzee wa upoko alinishangaza sana alipokuwa anatetea uanzishwaji wa mahakama ya kadhi kupitia kipindi cha Makwaia wa Kuenga [Je tutafika] ndipo nilipomstukia yuko kwaajili ya maslahi binafsi.
Ngongo asante sana kwa majibu yako.
Mimi ni mmoja wa watu wanaopingana sana na baadhi ya mambo ya huyu Lusekelo maana anakosea kama watumishi wengine wa Mungu wanavyokosea. Kilaini anakosea, Pengo naye hukosea hata malasusa ukosea mara nyingine.
Msimamo wangu katika post ile ulisimamia jinsi upinzani wa watu ambao ni walutheri au wakatoliki unavyoonekana mbele ya macho ya wengine wasiokuwa katika makundi yao.
Lakini Lusekelo na mapungufu mengi kweli kwa wanaomfuatilia.
Unajua mkewe kwamba ni mfanyakazi tena mtangazaji wa tbc?
 
Walokole wengi wamechanganyikiwa ina maana hujui mkuu mbona tumeona mifano kibao au wewe bado ujagudua.nasema wengi wao wamechanganyikiwa ingawa si wote.Nawaomba radhi wale wote ambao hawajachanganyikiwa,waliochanganyikiwa mtanisamehe bado msimamo wangu uko pale pale.

The feeling is mutual; I mean walokole wanakuona wewe umechanganyikiwa, tofauti yao na wewe ni kuwa walokole wanakuombea uokoke, ila wewe haufanyi lolote la kuwafanya watu waende mbinguni

Ok, when was your last time to tell someone , Jesus loves you; au Yesu aliposema enendeni duniani kote mkawafanye mataifa yote kuwa wanafunzi wangu, je alikuwa anawaambia walokole tu, wachungaji tu au na wewe haumo? kama umo umefanya nini?

You see unaponyosha vidole, kuna vingine 4 vinakurudia

statement yako ulikosea mkuu, yaani umekurupuka, haina sababu wala vithibitisho vya unayoyasema

dunia bwana, mtu akisema naacha dhambi kaokoka, -kachanganyikiwa!!

that makes sense uhu!
 
Hivi vikanisa vinavyochomuza uchochoroni vimeanzishwa si kwa ajili ya kueneza neno la Mungu bali ni vitegauchumi vya waanzilishi wake.

Mahubiri yao yanalenga kutafuta pesa na kujinufaisha basi
 
Hivi vikanisa vinavyochomuza uchochoroni vimeanzishwa si kwa ajili ya kueneza neno la Mungu bali ni vitegauchumi vya waanzilishi wake.

Mahubiri yao yanalenga kutafuta pesa na kujinufaisha basi

Na haya yaliyo peupe hayaenezi neno la Mungu kwa sababu hayapati fedha?
 
Hivi vikanisa vinavyochomuza uchochoroni vimeanzishwa si kwa ajili ya kueneza neno la Mungu bali ni vitegauchumi vya waanzilishi wake.

Mahubiri yao yanalenga kutafuta pesa na kujinufaisha basi
Inategemea. Nimeona vipo vikanisa vinavyotafuta pesa. Nimeona na vinavyoshughulika na jamii kuiweka sawa na kurudi kwa Mungu.
Nimeona hayo unayodhani hayatafuti pesa, yakitafuta pesa kweli kweli na kukinga mabakuli ulaya kila siku. Nimeona kati ya hayo hayo ambayo yako serious na jamii kuwa sawa na kumrudia Mungu. 50/50.
Hapa inategemea comments zako umezilaza wapi kwa muono wako.
 
Mzee wa upako hana dira yuko kwenye biahsara na kutafuta umaarufu tuu,anatuletea pumba tuu hapa aishie mbali
 
Anthony Lusekelo.... Any relationship with the great Humorist Adam Lusekelo?? Not that it matters!
 
Sii busara kabisa kwa mtu kutumia mgongo wa kanisa kutaka heshima kwa watawala wa kisiasa(kaisari). Labda kama ingekuwa dini kusingekuwa na mshangao sana. Kuna tufauti kubwa sana kati ya kanisa na dini. Nini ni organisation(muungano) wenye malengo mchanganyiko ya kimungu na kisiasa pamoja. Kanisa ni wale wlioitwa watoke kibinafsi yaani kuzaliwa upya ktk ufalme wa mbinguni na bila lengo lingine lolote. Sasa ukatoliki, uluteri kama anavyovitaja lusekelo ni organisation na yeye kama anataka kuheshimiwa na watawala aanzishe ya kwake. Haikuwahi kutokea bwana yesu au wanafunzi wake kulalamika kwamba hawaheshimiwi na kaisari ila walisisitiza kama kaisari au watu wa jinsi yake waliowaita mataifa wangetaka uahirika nao ni sharti kwanza wazaliwe upya(okoka). Historia ya kanisa la katoliki inajulikana vizuri. Hili kanisa ndio muungano(dhehebu) la kwanza kujitengeneza nje ya kanisa na malengo yake yalikuwa ni ya kisiasa na kidini kwa pamoja. Siasa iliwachipusha kutoka ukristo hadi kuwa mapagani wenye jina la ukristo. Jambo hili lilipelekea Martin Luther kujitenga na kutoa mapingamizi 95 ya ubaya wa watawala wa dhehebu la katoliki. Nulisema hawa walikuwa na malengo ya kisiasa zaidi na hivyo ilipelekwa bunge llililofanyika ktk mji wa speyer(spires) wakatoliki walikuwa wengi zaidi wakatoa tangazo kwamba yasiwepo mabadiliko ya dini zaidi ktk maeneo ya walutheri, yaani wakatoliki wawe huru kuabudu kikatoliki ktk maeneo ya walutheri lakini wao walutheri wasiwe huru maeneo ya wakatoliki kufanya hivyo. Waluteri waliitikia kanuni hiyo kwa kukataa(protest) matokwo yake walipewa jina la PROTESTANT mwaka 1529. Waluteri wa sasa kujinabisisha jina la luther huku wakiwa tofauti kabisa na luther kimtizamo na kimatendo ni sawa na katoliki kujinabisisha na Kristo wakiwa tofauti kabisa na Kristo mwenyewe. Huu ni unafiki wa kiwango cha juu. Waluteri sawa na Neno la Mungu wanamrudia mama yao katoliki na pia wapentekoste sharti nao warudi kwa mama yao. Na mathihirisho ni kama unavyoona wakililia utambulisho kisiasa sawa na katoliki na Lutheran. Kibaya zaidi kwa wapentekoste wao hawana baba(kiongozi) wanaeitwa kwa jina lake kama walivyo wakatoliki na walutheri. Wao wametawanyika mno kila kakikundi kidogo wanajitambulisha kivyao vyao. Upinzani walioupata walutheri kwa wakatoliki ndio wanaoupata wapentekoste kwa haya madhehebu makubwa. Hivyo kuna kazi kubwa sana kwa kina Lusekelo kuweza kukubaliwa kundini na kupewa heshima za kisiasa kama lutheran nao walivyokubaliwa
 
Kiby ubarikiwe ndugu, kuna tofauti ya kanisa na madhehebu! mtu akishajua hili fumbo basi ameujua ukristo. Nilisema huko kwanza kama Lusekelo anataka apate heshima kama ya akina Malasusa na Pengo basi awe kama wao!

Tatizo ni kuwa we have never explored what we believe.
 
Sii busara kabisa kwa mtu kutumia mgongo wa kanisa kutaka heshima kwa watawala wa kisiasa(kaisari). Labda kama ingekuwa dini kusingekuwa na mshangao sana. Kuna tufauti kubwa sana kati ya kanisa na dini. Nini ni organisation(muungano) wenye malengo mchanganyiko ya kimungu na kisiasa pamoja. Kanisa ni wale wlioitwa watoke kibinafsi yaani kuzaliwa upya ktk ufalme wa mbinguni na bila lengo lingine lolote. Sasa ukatoliki, uluteri kama anavyovitaja lusekelo ni organisation na yeye kama anataka kuheshimiwa na watawala aanzishe ya kwake. Haikuwahi kutokea bwana yesu au wanafunzi wake kulalamika kwamba hawaheshimiwi na kaisari ila walisisitiza kama kaisari au watu wa jinsi yake waliowaita mataifa wangetaka uahirika nao ni sharti kwanza wazaliwe upya(okoka). Historia ya kanisa la katoliki inajulikana vizuri. Hili kanisa ndio muungano(dhehebu) la kwanza kujitengeneza nje ya kanisa na malengo yake yalikuwa ni ya kisiasa na kidini kwa pamoja. Siasa iliwachipusha kutoka ukristo hadi kuwa mapagani wenye jina la ukristo. Jambo hili lilipelekea Martin Luther kujitenga na kutoa mapingamizi 95 ya ubaya wa watawala wa dhehebu la katoliki. Nulisema hawa walikuwa na malengo ya kisiasa zaidi na hivyo ilipelekwa bunge llililofanyika ktk mji wa speyer(spires) wakatoliki walikuwa wengi zaidi wakatoa tangazo kwamba yasiwepo mabadiliko ya dini zaidi ktk maeneo ya walutheri, yaani wakatoliki wawe huru kuabudu kikatoliki ktk maeneo ya walutheri lakini wao walutheri wasiwe huru maeneo ya wakatoliki kufanya hivyo. Waluteri waliitikia kanuni hiyo kwa kukataa(protest) matokwo yake walipewa jina la PROTESTANT mwaka 1529. Waluteri wa sasa kujinabisisha jina la luther huku wakiwa tofauti kabisa na luther kimtizamo na kimatendo ni sawa na katoliki kujinabisisha na Kristo wakiwa tofauti kabisa na Kristo mwenyewe. Huu ni unafiki wa kiwango cha juu. Waluteri sawa na Neno la Mungu wanamrudia mama yao katoliki na pia wapentekoste sharti nao warudi kwa mama yao. Na mathihirisho ni kama unavyoona wakililia utambulisho kisiasa sawa na katoliki na Lutheran. Kibaya zaidi kwa wapentekoste wao hawana baba(kiongozi) wanaeitwa kwa jina lake kama walivyo wakatoliki na walutheri. Wao wametawanyika mno kila kakikundi kidogo wanajitambulisha kivyao vyao. Upinzani walioupata walutheri kwa wakatoliki ndio wanaoupata wapentekoste kwa haya madhehebu makubwa. Hivyo kuna kazi kubwa sana kwa kina Lusekelo kuweza kukubaliwa kundini na kupewa heshima za kisiasa kama lutheran nao walivyokubaliwa

Heshima kwako Kiby,

Maneno yako mazito sana na kwa kweli nakubaliana nayo kwa 100 %.Ni kweli kabisa baadhi ya viongozi wa makanisa haya makubwa wamejiambatanisha na wanasiasa tena wengine wamekubali kutumika kama daraja la wanasiasa wachafu kujisafisha mbele ya jamii.Tumeshuhudia wenyewe jinsi Askofu Thomas Laiser alivyotumiwa katika mapokezi ya E Lowassa mara baada ya kujiuzulu uwaziri mkuu kwa kashfa ya RICHMOND,tumeona tena mkuu wa kanisa la KKKT na Kadinali Pengo walivyokubali kupoteza muda wao kuzindua kakitabu kadogo kilichoandikwa na mke wa E Lowassa.Viongozi hawa wakubwa kwa kweli hawawakilishi matakwa ya waumini wao pia kwa kiasi kikubwa wamekwenda kinyume na maandiko matakatifu.Naomba pia nitoe angalizo kuwa wapo viongozi makini na wanaojua wajibu wao kwa kanisa,waumini na kwa mwenyezi mungu.

Nimesisitiza sana wakati nilipokuwa namjibu ndugu yangu Waberoya kwamba makanisa ya Pentecoste hayako organised,kila kila mmoja yuko kivyake vyake.Mbaya zaidi wanataka kutambuliwa na serekali wakati wao wenyewe hawaheshimiani na hawana umoja miongoni mwao.Viongozi wengi wa makanisa ya Pentecoste hawana mafunzo ya elimu ya dini ya kikristo,wengi wanategemea vipaji sikatai kwamba Mungu anagawa karama zake kwa kardi atakavyo lakini si vibaya mtu ukiwa na kipaji halafu ukaongezea na elimu.Ukienda kwa mzee wa upako ukiuliza elimu yake unaweza kushangaa sana na pengine ndio sababu mafundisho yake yamejaa shaka shaka.Ni kweli mzee wa upako ana kipaji kikubwa laiti angeongeza na elimu kwa hakika angekuwa muhubiri mzuri.Najua wapo wahubiri wazuri ambao hawajawahi kusoma mafundisho ya dini kama kina Mwakasege yeye ni mchumi tu lakini naamini kiwango chake cha elimu pia kimemsaidia sana kuweza kufikia alipo sasa.
 
Mbona povu linakutoka au ni wale wale nini.Kwa taarifa yako majengo ya makanisa mengi (lutherani/katoliki) ni mazuri hata huko vijijini.Makanisa ya kina mzee wa upako yako Dar tu ukienda vijijini hawajulikani na ukichunguza kwa makini waumini wa mzee wa upako / kakobe wengi wamechanganyikiwa,wamepoteza dira ya mwelekeo wa maisha,wamekata tamaa.Nina wasiwasi hata wewe ni mmoja wao.
Mzee umegonga ikulu ni kweli kabisa wote wamechanganyikiwa na ni watu wavivu na wengine ni mahousegirl wanaoenda kutafuta wachumba kutokana na kauli mbiu yao ya kusema kama unataka mchumba njoo mi...B huyu jamaa atulie aendelee kuwatapeli watu asipende kugusa mambo ya watu
 
Kanisa la Gospel Revival Centre linajulikana kwasababu kaamua kutumia channel 10.Juzi juzi nilikuwa natazama kipindi chake anataka tumchangie 100,000/= au zaidi umtajie mambo yako matano akuombee.Kwa maana hiyo basi usipokuwa na hizo 100,000/= hawezi kukuombea kweli siku hizi Yesu kawa biashara nzuri.

Mkuu Ngongo Hata mimi niliona C 10 hiyo ya laki moja
 
Please try to find the history.

Lutheran walijitoa kutoka Roman Catholic

Roman Catholic walijitoa(waliliua) kutoka Catholic

Catholic means universal, miaka 1000 baada Tangu Yesu alipoondoka Ulimwenguni kulikuwa na just Christian church, ambalo warumi waliita Catholic.

Fuatilia ili kanisa la umoja(universal) lilipotelea wapi, na nani aliyelipoteza. Usiseme kana kwamba haya makanisa yametokea sayari ya mars au mwezini kunadocumented historical facts

So usiwaite wenzako waasai ndio raha ya kuwa na uhuru wa kuamua, offcourse huo uhuru kwenye biblia haupo! maana tuna Mungu mmoja, ubatizo mmoja, njia moja,injili moja .....

kwa hiyo kama uasi uusemao wewe woote hao ni waasi!!!

Kijana/mzee,
Acha fiksi hizo. Ati kulikuwa na Catholic ikameguka ikaja Roman Catholic!! Hebu tuambie basi kiongozi wa catholic alikuwa nani, na wa Roman Catholic pia maana wa walutheri ni Luther (Martin) na Waanglikani ni mfalme Henry. Ulichopatia hapo ni tafsiri ya catholic. Mengine yote ni uzushi. Hiiyo ctholic unayodai iliparganyika ilianza na Petro kwa wanaoamini hiyo iliwekwa na yesu mwenyewe:
Matthew 16:18-19 are the scriptural references Catholics give to support this. "And I say unto thee, That thou art Peter, and upon this rock, I will build my church; and the gates of hell shall not prevail against it. And I will give unto thee the keys of the Kingdom of heaven: and whatsoever thou shalt bind on earth shall be bound in heaven: and whatsoever thou shalt loose on earth shalt be loosed in heaven."
Kwamba kuna kanisa Catholic hii ni nyie walokole ndio manaita hivyo kilichopo ni kanisa catholic na hii inathibitishwa na kanuni ya Imani (Apostles Creed ambayo husemwa kukiri Imani wakati wa ubatizo na kwenye kila ibada ya misa. Nayo inaasema hivi:
“I believe in God the Father Almighty; Maker of Heaven and Earth; and in Jesus Christ His only (begotten) Son our Lord; who was conceived by the Holy Ghost, born of the Virgin Mary; suffered under Pontius Pilate, was crucified, dead, and buried; He descended into hell; the third day He rose from the dead; He ascended into heaven; and sitteth at the right hand of God the Father Almighty; from thence He shall come to judge the quick and the dead. I believe in the Holy Ghost; the holy catholic Church;the communion of saints; the forgiveness of sins; the resurrection of the body; and the life everlasting. Amen.”
Wapi wametamka kwamba wao ni Roman Catholic?
 
Hii ni kibiblia kabisa. Mathew 22:37-40. 'You shall love the LORD your God with all your heart, with all your soul, and with all your mind.'

Kina 'mzee wa upako' ikifika kwenye 'mind' wanatoka hola kabisa. Wao ni shandaraba karabako shondororiba.

Jamani eeh siyo roho tu ebo. Mwishoni ndo mnageukaga vibwetere. roho haina akili jamani! Mwanadamu ni roho, anayo nafsi na anaishi katika mwili.

Ndo mana narudia tena nendeni shule. Wengi wenu unakuta darasa la pili unusu lakini eti askofu. DUH!Na kibiblia Askofu maana yake ni mwangalizi sasa utaweza kuwa mwangalizi wa karne hii kweli na darasa lako la pili unusu kasorobo???????????
teh!teh!teh! mnanifurahisha na hivyo vibomu vyenu na akome kabisa mi niko nao jirani kwa mama hapa hata jina lake hawezi kuliandika!mbayaa
 
Back
Top Bottom