Mzee wa Upako aishukia serikali

Sii busara kabisa kwa mtu kutumia mgongo wa kanisa kutaka heshima kwa watawala wa kisiasa(kaisari). Labda kama ingekuwa dini kusingekuwa na mshangao sana. Kuna tufauti kubwa sana kati ya kanisa na dini. Nini ni organisation(muungano) wenye malengo mchanganyiko ya kimungu na kisiasa pamoja. Kanisa ni wale wlioitwa watoke kibinafsi yaani kuzaliwa upya ktk ufalme wa mbinguni na bila lengo lingine lolote. Sasa ukatoliki, uluteri kama anavyovitaja lusekelo ni organisation na yeye kama anataka kuheshimiwa na watawala aanzishe ya kwake. Haikuwahi kutokea bwana yesu au wanafunzi wake kulalamika kwamba hawaheshimiwi na kaisari ila walisisitiza kama kaisari au watu wa jinsi yake waliowaita mataifa wangetaka uahirika nao ni sharti kwanza wazaliwe upya(okoka). Historia ya kanisa la katoliki inajulikana vizuri. Hili kanisa ndio muungano(dhehebu) la kwanza kujitengeneza nje ya kanisa na malengo yake yalikuwa ni ya kisiasa na kidini kwa pamoja. Siasa iliwachipusha kutoka ukristo hadi kuwa mapagani wenye jina la ukristo. Jambo hili lilipelekea Martin Luther kujitenga na kutoa mapingamizi 95 ya ubaya wa watawala wa dhehebu la katoliki. Nulisema hawa walikuwa na malengo ya kisiasa zaidi na hivyo ilipelekwa bunge llililofanyika ktk mji wa speyer(spires) wakatoliki walikuwa wengi zaidi wakatoa tangazo kwamba yasiwepo mabadiliko ya dini zaidi ktk maeneo ya walutheri, yaani wakatoliki wawe huru kuabudu kikatoliki ktk maeneo ya walutheri lakini wao walutheri wasiwe huru maeneo ya wakatoliki kufanya hivyo. Waluteri waliitikia kanuni hiyo kwa kukataa(protest) matokwo yake walipewa jina la PROTESTANT mwaka 1529. Waluteri wa sasa kujinabisisha jina la luther huku wakiwa tofauti kabisa na luther kimtizamo na kimatendo ni sawa na katoliki kujinabisisha na Kristo wakiwa tofauti kabisa na Kristo mwenyewe. Huu ni unafiki wa kiwango cha juu. Waluteri sawa na Neno la Mungu wanamrudia mama yao katoliki na pia wapentekoste sharti nao warudi kwa mama yao. Na mathihirisho ni kama unavyoona wakililia utambulisho kisiasa sawa na katoliki na Lutheran. Kibaya zaidi kwa wapentekoste wao hawana baba(kiongozi) wanaeitwa kwa jina lake kama walivyo wakatoliki na walutheri. Wao wametawanyika mno kila kakikundi kidogo wanajitambulisha kivyao vyao. Upinzani walioupata walutheri kwa wakatoliki ndio wanaoupata wapentekoste kwa haya madhehebu makubwa. Hivyo kuna kazi kubwa sana kwa kina Lusekelo kuweza kukubaliwa kundini na kupewa heshima za kisiasa kama lutheran nao walivyokubaliwa

Hapa nikiongeza nitaaribu.Yaani alichoandika Kiby hapo juu ni vizuri Anthony Lusekelo na wenzake wakakisoma kwa nia njema tu na kukifanyia kazi. Hiyo ndiyo injili. Inachoma.

Inachoma lakini Inaponya.
 
Hivi tuwaulize unabii upo dsm tu? na waumini wapo dsm tu? au dsm ndo kuliko na dhambi tu? acheni utapeli fanyeni kazi, hawajamaa sijui watatufikisha wapi maana hawana huruma hata kwa waumini wao mf dec ni hao hao kina mzee wa upako, mi nawashauri kuweni na taratibu za kueleweka, kama katiba na kuwepo na chaguzi za kuchaguana zinazo julikana na kuondokana na umimi na kuwa nakanisa la waumini ambao ndo washika dau ambapo wana uwezo wa kukuondoa madarakani kwa njia ya domokrasia pindi utakapo kosea,pia acheni kuandika vitu majiana yenu tumieni jn la kanisa pia pesa ya kanisa isiwe inasainiwa na lusekelo pekeke yake kuwepo kamati,muda sina ila kama anasoma hapa anitumie e mail yake nitamsaidia kumshauri
 
Hivi tuwaulize unabii upo dsm tu? na waumini wapo dsm tu? au dsm ndo kuliko na dhambi tu? acheni utapeli fanyeni kazi, hawajamaa sijui watatufikisha wapi maana hawana huruma hata kwa waumini wao mf dec ni hao hao kina mzee wa upako, mi nawashauri kuweni na taratibu za kueleweka, kama katiba na kuwepo na chaguzi za kuchaguana zinazo julikana na kuondokana na umimi na kuwa nakanisa la waumini ambao ndo washika dau ambapo wana uwezo wa kukuondoa madarakani kwa njia ya domokrasia pindi utakapo kosea,pia acheni kuandika vitu majiana yenu tumieni jn la kanisa pia pesa ya kanisa isiwe inasainiwa na lusekelo pekeke yake kuwepo kamati,muda sina ila kama anasoma hapa anitumie e mail yake nitamsaidia kumshauri

Kaka hapa hawatakuelewa hata kidogo. Watasema unapingana na mpakwa mafuta wa Bwana. Yaani hawa walokole ni tofauti na watu waliookoka. Watu waliookoka ndiyo kanisa la Mungu Duniani, ni jambo la kiroho na wako kwenye madhehebu mbalimbali katoliki, lutheran, assemblies, sabato, na hata kwa lusekelo wapo lakini ni Mungu tu ndie anayewaona au kama mtu ni mtu wa Mungu anaweza kuwatambua au pia kwa matunda yao utawatambua.

Walokole sio watu waliookoka. Wao ni watu fulani waliopotoka kwa njia hatari. Ni mtego aliouweka ibilisi na kuutambua ni kazi ngumu mno. Labda nikupe hapa mambo machache yatukumbushe sote:

Mtu aliyeokoka anawapenda watu wote na kushirikiana nao bila kubagua sawa tu na 1 Korintho 13. Mlokole anajiona yeye peke yake ndo anamjua Mungu na wengine wote ni wachafu.

Mtu aliyeokoka anamwamini Yesu Kristo na kujua kuwa wakristo wote ni ndugu zake na ndiyo maana anaokoka na kumpokea Kristo kuwa Bwana na mwokozi wake hata kama ni mkatoliki. Na hana haja ya kuhama katoliki yaani kuokoka kwake kunamfanya awe mkatoliki mwenye udhati. Au mlutheri au mpentekoste mwenye udhati. Lakini mlokole kama yuko kwa Lusekelo anaamini kuwa wasio kwa Lusekelo wote wanaenda Jehanam. Jiulize hii ni akili au upupu.

Mtu aliyeokoka anaamini yeye ni binadamu na anaweza kutenda dhambi kwa hiyo hutubu na kusamehewa. Mlokole anaamini kuwa yeye si mtenda dhambi na ikitokea ametenda dhambi hutafuta mistari ya biblia kutetea tendo lake. Akizini husema bwana amemtuma kama vile Nabii Hosea alivyoagizwa kuoa malaya. Ndo maana kuna vijana wa kilokole wanawaona watu wa jinsia tofauti kama dhambi na huku kwa siri wanapiga puli.

Mtu aliyeokoka hujituma kufanya kazi kwa bidii, husoma kwa bidii, hulipa kodi kwa ukamilifu, huheshimu mamlaka zilizowekwa kwa kuwa hakuna mamlaka iliyopo ambayo haikuwekwa na Mungu, Hutii Bosi wake kama kumtii Kristo. Mlokole anaweza kumtukana Rais wa nchi, serikali, Baba na mama yake, wakubwa zake, mume wake au hata viongozi wengine wa kidini wasio dhehebu lake. Yeye mlokole mchungaji wake ndio yuko sahihi kuliko mtu yeyote duniani.

Kwa kifupi mlokole ni ndondocha. Anachoambiwa na mchungaji wake ndiyo Alfa na Omega. Hata Mungu akisema kitu tofauti na anachosema mchungaji ni mchungaji ndiye atasikilizwa na mlokole.

Ndiyo maana kuna kumeguka kukubwa kwa makanisa kama ya kina Lusekelo kwa sababu shetani anapomshambulia akili zake akaanza kukosea na kuanza kutoa pumba, hakuna wa kumuonya kama alivyofanya Paulo kwa Petro kiongozi wake, Yaani leo hii kanisani kwa Lusekelo yeye ni kama Mungu, Hakosei na ndivyo ilivyo kwa Kakobe, na ndio maana shetani akitaka kuyagawanya haya makanisa ni rahisi mno. Mara nyingi waliookoka huwa wanahama haya makanisa na wanabaki walokole wapotoshaji.

Ndiyo maana ni vigumu mno kwa haya makanisa kukua kufikia kwa mfano hata robo tu ya Roman Catholic Church. Wao akiambiwa jumapili hii wameudhuria watu elfu kumi anaridhika kabisa anafikiri amefanya kazi ya Mungu tayari. Na anajua yeye na familia yake mambo mazuri sasa.

Walokole wao kwao mafanikio( kama unabisha msikilize Lusekelo na Mwingira kwenye mahubiri yao), wao mafanikio ni kuwa na gari nzuri, nyumba, afya nzuri na kazi nzuri, mume au mke na watoto. Kwa mujibu wa mlokole ukishapata hayo basi.Yaani tafuteni kwanza ufalme wake na haki yake na hayo mengine yote mtazidishiwa wamesahau. Ndio maana wanang'ang'ania Mijini. Ni wachungaji wa mshahara. Mioyo yao inaangalia watu elfu kumi wahudhurie kanisani wapate sadaka. Ndio maana wanawaambia waumini wao mwezi huu hakikisha umeleta watu kumi. Hawaangalii mamilioni ya watu wanaopotea kwa kuikosa INJILI.

Hata matangazo yao ni biashara tu hayatofautiani na ya waganga wa kienyeji, ooh njoo Yesu atakupa mchumba, gari, utapona magonjwa, mtoto wako aliyepotea atarudi, utaondolewa mikosi, ndoto mbaya zitaondoka. Jamani afadhali hata ya mganga anayetumia ramli kuliko hawa maana hawa wanawaingia watu moyoni kabisa, wakiamini wanamsikiliza Mungu. Hawa ni kundi linalojulikana kama special agents of the Devil.

Soma urudie mahubiri yote ya Yesu mlimani Mathayo 5 yote 6 na saba. Yesu katika mahubiri ya mlimani anaonyesha kuwa kuna watu atawakataa siku ya mwisho ambao walihubiri kwa jina lake na kutoa pepo kwa jina lake na kwa jina lake kufanya miujiza mingi. Kwa hiyo madoido hayo yamewaondoa wakristo wengi makanisani kwao iwe RC, Lutheran, Anglican, SDA, TAG, EAGT na kwingineko na kukimbilia kwa kina Lusekelo kufuata madoido.

Sikiliza Biblia haisemi mtawatambua kwa matendo yao, inasema mtawatambua kwa matunda yao. Kuna tofauti kubwa sana kati ya matendo na matunda. Kwa taarifa yako wauaji na majambazi huwa na mwonekano wa matendo mazuri mno katika jamii unaweza kufikiri ni malaika.

Angalia Galatia 5:23 Inazungumzia nini juu ya tunda la roho. Haisemi ni miujiza, kutoa pepo la hasha ni Upendo, utu wema, upole, unyenyekevu, fadhili, kiasi, uvumilivu jamani mambo ya fujo tunayoyaona hayaonyeshi tunda la roho.

Ninachosema hapa ni kuwa kuna Tofauti kubwa kati ya Mtu aliyeokoka yaani mkristo aliyeokolewa na Yesu Kristo kama tu Mathayo 1:20-21 inavyoainisha na Mlokole ambaye natoa maana hapa chini:

Mlokole ni mtu aliyegeuzwa ndondocha na mchungaji wake kufuata uozo wowote anaoutaka mchungaji huyo bila yeye mwenyewe kuchambua hata kama uozo huo unampinga Mungu aliyemuumba kwa kisingizio cha kuokolewa na Yesu wakati siku ya mwisho Yesu atasema ondokeni kwangu ninyi mtendao maovu, sikuwajua ninyi kamwe.
 
Kijana/mzee,
Acha fiksi hizo. Ati kulikuwa na Catholic ikameguka ikaja Roman Catholic!! Hebu tuambie basi kiongozi wa catholic alikuwa nani, na wa Roman Catholic pia maana wa walutheri ni Luther (Martin) na Waanglikani ni mfalme Henry. Ulichopatia hapo ni tafsiri ya catholic. Mengine yote ni uzushi. Hiiyo ctholic unayodai iliparganyika ilianza na Petro kwa wanaoamini hiyo iliwekwa na yesu mwenyewe:
Matthew 16:18-19 are the scriptural references Catholics give to support this. "And I say unto thee, That thou art Peter, and upon this rock, I will build my church; and the gates of hell shall not prevail against it. And I will give unto thee the keys of the Kingdom of heaven: and whatsoever thou shalt bind on earth shall be bound in heaven: and whatsoever thou shalt loose on earth shalt be loosed in heaven."
Kwamba kuna kanisa Catholic hii ni nyie walokole ndio manaita hivyo kilichopo ni kanisa catholic na hii inathibitishwa na kanuni ya Imani (Apostles Creed ambayo husemwa kukiri Imani wakati wa ubatizo na kwenye kila ibada ya misa. Nayo inaasema hivi:
"I believe in God the Father Almighty; Maker of Heaven and Earth; and in Jesus Christ His only (begotten) Son our Lord; who was conceived by the Holy Ghost, born of the Virgin Mary; suffered under Pontius Pilate, was crucified, dead, and buried; He descended into hell; the third day He rose from the dead; He ascended into heaven; and sitteth at the right hand of God the Father Almighty; from thence He shall come to judge the quick and the dead. I believe in the Holy Ghost; the holy catholic Church;the communion of saints; the forgiveness of sins; the resurrection of the body; and the life everlasting. Amen."
Wapi wametamka kwamba wao ni Roman Catholic?

Mkuu chunguza kwa makini na kwa utulivu kanisa catholic ni kitu kingine tofauti na kanisa catholic la kirumi. Tulilo nalo sasa linaloongozwa na Papa ni kanisa catholic la kirumi(roman catholic) na lilitengenezwa rasmi baada ya mwaka 325. Ndio waliotoka na hiyo kanuni ya imani waliyoiita ya mitume. Ambayo ndio wewe uliyoinukuu hapo juu. Hii imani ilipelekea watu wengi sana kuuwawa kipindi cha kama miaka 1000 kinachojulikana kama kipindi cha giza. Waliuawa tu kwa sababu hawakuikiri hiyo imani. Waweza kusadiki kwamba Yesu aliyekuwa anahubiri upendo wafuasi waliojiita kwa jina lake wageuke kuwa vampire!!!?
 
Kijana/mzee,
Acha fiksi hizo. Ati kulikuwa na Catholic ikameguka ikaja Roman Catholic!! Hebu tuambie basi kiongozi wa catholic alikuwa nani, na wa Roman Catholic pia maana wa walutheri ni Luther (Martin) na Waanglikani ni mfalme Henry. Ulichopatia hapo ni tafsiri ya catholic. Mengine yote ni uzushi. Hiiyo ctholic unayodai iliparganyika ilianza na Petro kwa wanaoamini hiyo iliwekwa na yesu mwenyewe:
Matthew 16:18-19 are the scriptural references Catholics give to support this. "And I say unto thee, That thou art Peter, and upon this rock, I will build my church; and the gates of hell shall not prevail against it. And I will give unto thee the keys of the Kingdom of heaven: and whatsoever thou shalt bind on earth shall be bound in heaven: and whatsoever thou shalt loose on earth shalt be loosed in heaven."
Kwamba kuna kanisa Catholic hii ni nyie walokole ndio manaita hivyo kilichopo ni kanisa catholic na hii inathibitishwa na kanuni ya Imani (Apostles Creed ambayo husemwa kukiri Imani wakati wa ubatizo na kwenye kila ibada ya misa. Nayo inaasema hivi:
“I believe in God the Father Almighty; Maker of Heaven and Earth; and in Jesus Christ His only (begotten) Son our Lord; who was conceived by the Holy Ghost, born of the Virgin Mary; suffered under Pontius Pilate, was crucified, dead, and buried; He descended into hell; the third day He rose from the dead; He ascended into heaven; and sitteth at the right hand of God the Father Almighty; from thence He shall come to judge the quick and the dead. I believe in the Holy Ghost; the holy catholic Church;the communion of saints; the forgiveness of sins; the resurrection of the body; and the life everlasting. Amen.”
Wapi wametamka kwamba wao ni Roman Catholic?

Angalia jibu la Kibby hapo juu, huwa nasema na ninarudia kusema , tunatakiwa ku-explore tunachoamini. siamini kama haujui kuwa kuna tofauti ya kanisa Catholic na Roman Catholic! these are certain different churches!!! rudia history imeandikwa mkuu!

R.C ya leo ni tofauti na Catholic, R.C ndiyo iliyoua na kutesa mitume waliokuwa wanaeneza injili ya Yesu! ndiyo waliouzika ukristo na kuleta kila kitu kipya unachokiona leo ambavyo viko contrary na biblia!

Pilim you need to reveist and rethink the meaning of bible verses, Yesu alipomwambia Peter katika jiwe hili nitalijenga kanisa, ni baada ya Pter kujibu nini?? Petro alitoa ufunuo ambao ilikuwa vigumu kwa watu wa kawaida kuelewa

story iko hivi

When Jesus came into the region of Caesarea Philippi, He asked His disciples, saying, “Who do men say that I, the Son of Man, am?” So they said, “Some say John the Baptist, some Elijah, and others Jeremiah or one of the prophets.” He said to them, “But who do you say that I am?” Simon Peter answered and said, “You are the Christ, the Son of the living God.” Jesus answered and said to him, “Blessed are you, Simon Bar-Jonah, for flesh and blood has not revealed this to you, but My Father who is in heaven. And I also say to you that you are Peter, and on this rock I will build My church, and the gates of Hades shall not prevail against it.”

Yesu alikuwa anasema ufunuoa wa Peter,ufunuoa wa Peter haukuwa wa physical bali spiritual! ile siri “You are the Christ, the Son of the living God'' Hii ndiyo siri kuu maana hata katika kipindi hicho hawakuamini Yesu yupo, kumbuka kuna wayahudi hata leo hii wanamsubiri Yesu! , ule ufunuo wa Peter ndio msingi wa kanisa, na hapa hakumaanisha catholic, au nani! ndio msingi wa Imani!

Sasa kama unasema ilikuwa physical Yesu anasema And I say unto thee, That thou art Peter, and upon this rock, I will build my church; and the gates of hell shall not prevail against it. And I will give unto thee the keys of the Kingdom of heaven: and whatsoever thou shalt bind on earth shall be bound in heaven

Kama unasema Yesu alisema Peter ndio awe kiongozi wa kanisa kimwili(physical) je Yesu alimpa hizo funguo za kuzimu na mauti?? ziko wapi? wanazo hao viongozi wa kanisa? maana nazo zinatakiwa ziwe physical!

You need to take time to read and think these badlaa ya kupewa mistari tu na mtu fulani unameza, matokeoa yako ndiyo kama haya!

Kweli kabisa baade Peter alikuwa kiongozi wa kanisa lakini si kwa sababu ya lile neno la Yesu! Futhermore, Peter alikuwa kanisa la christian church, warumi waliita catholic, na hii ilikuwa kabla ya church persecution , ambapo Warumi waliiteka Israle wakachukua hata kanisa lililopo na baadae kuanza kuua wahubiri injili wote. Ndipo ikaja kipindi kinaitwa dark ages.

ambapo hakukuwa na injili yoyote inahubiriwa, kwani ukipatikana unafanya hivyo unauawa na RC. baadaE RC wakaanzisha taratibu zao za Ibada mnazo leo, akina Luther, na wengineo walikuwa ana fight irudie ile hali ya kabla ya hapo.Kumbuka RC was meant kuwatawala watu sio issue za injili. wakati nakua, hapa Tz, hatukuruhusiwa kusoma biblia, bali liturgia na misale ya waumini.

Leo hii ndio unaona RC kuna moto unawaka, kuna watu wanasoma biblia balaa! however the history is there! and it is hard for them to change RC while they are in!!

Nimeeleza in nutshell kama unataka details, nitakueleza froma A to Z some history are disgusting, ndio nataka utafute ukweli mwenyewe! kwa kifupi hamna uhusino wa RC na ukristo kama wewe msomaji wa biblia utaona wazi.

just try to google, and find some historical books, ukitaka tuweke hapa we may do so.

Angalizo, kuujua ukweli ni bora sana na kupata majibu ni bora zaidi, hii utaepuka hasira za kudanganywa na kusalitiwa na kutokujua kitu unachoamini kwa sababu dini ya wazazi!

Ukienda nchi kama ya Canada ni wakatoliki wachache sana wanaoamini wao ni wakristo! I asked so many people wanasema sisi ni wakatoliki na sio wakristo, why? the read bible and find what they do in church ni tofauti na kilichoandikwa! why because the read!!!!
 
Kaka hapa hawatakuelewa hata kidogo. Watasema unapingana na mpakwa mafuta wa Bwana. Yaani hawa walokole ni tofauti na watu waliookoka. Watu waliookoka ndiyo kanisa la Mungu Duniani, ni jambo la kiroho na wako kwenye madhehebu mbalimbali katoliki, lutheran, assemblies, sabato, na hata kwa lusekelo wapo lakini ni Mungu tu ndie anayewaona au kama mtu ni mtu wa Mungu anaweza kuwatambua au pia kwa matunda yao utawatambua.

Walokole sio watu waliookoka. Wao ni watu fulani waliopotoka kwa njia hatari. Ni mtego aliouweka ibilisi na kuutambua ni kazi ngumu mno. Labda nikupe hapa mambo machache yatukumbushe sote:

Mtu aliyeokoka anawapenda watu wote na kushirikiana nao bila kubagua sawa tu na 1 Korintho 13. Mlokole anajiona yeye peke yake ndo anamjua Mungu na wengine wote ni wachafu.

Mtu aliyeokoka anamwamini Yesu Kristo na kujua kuwa wakristo wote ni ndugu zake na ndiyo maana anaokoka na kumpokea Kristo kuwa Bwana na mwokozi wake hata kama ni mkatoliki. Na hana haja ya kuhama katoliki yaani kuokoka kwake kunamfanya awe mkatoliki mwenye udhati. Au mlutheri au mpentekoste mwenye udhati. Lakini mlokole kama yuko kwa Lusekelo anaamini kuwa wasio kwa Lusekelo wote wanaenda Jehanam. Jiulize hii ni akili au upupu.

Mtu aliyeokoka anaamini yeye ni binadamu na anaweza kutenda dhambi kwa hiyo hutubu na kusamehewa. Mlokole anaamini kuwa yeye si mtenda dhambi na ikitokea ametenda dhambi hutafuta mistari ya biblia kutetea tendo lake. Akizini husema bwana amemtuma kama vile Nabii Hosea alivyoagizwa kuoa malaya. Ndo maana kuna vijana wa kilokole wanawaona watu wa jinsia tofauti kama dhambi na huku kwa siri wanapiga puli.

Mtu aliyeokoka hujituma kufanya kazi kwa bidii, husoma kwa bidii, hulipa kodi kwa ukamilifu, huheshimu mamlaka zilizowekwa kwa kuwa hakuna mamlaka iliyopo ambayo haikuwekwa na Mungu, Hutii Bosi wake kama kumtii Kristo. Mlokole anaweza kumtukana Rais wa nchi, serikali, Baba na mama yake, wakubwa zake, mume wake au hata viongozi wengine wa kidini wasio dhehebu lake. Yeye mlokole mchungaji wake ndio yuko sahihi kuliko mtu yeyote duniani.

Kwa kifupi mlokole ni ndondocha. Anachoambiwa na mchungaji wake ndiyo Alfa na Omega. Hata Mungu akisema kitu tofauti na anachosema mchungaji ni mchungaji ndiye atasikilizwa na mlokole.

Ndiyo maana kuna kumeguka kukubwa kwa makanisa kama ya kina Lusekelo kwa sababu shetani anapomshambulia akili zake akaanza kukosea na kuanza kutoa pumba, hakuna wa kumuonya kama alivyofanya Paulo kwa Petro kiongozi wake, Yaani leo hii kanisani kwa Lusekelo yeye ni kama Mungu, Hakosei na ndivyo ilivyo kwa Kakobe, na ndio maana shetani akitaka kuyagawanya haya makanisa ni rahisi mno. Mara nyingi waliookoka huwa wanahama haya makanisa na wanabaki walokole wapotoshaji.

Ndiyo maana ni vigumu mno kwa haya makanisa kukua kufikia kwa mfano hata robo tu ya Roman Catholic Church. Wao akiambiwa jumapili hii wameudhuria watu elfu kumi anaridhika kabisa anafikiri amefanya kazi ya Mungu tayari. Na anajua yeye na familia yake mambo mazuri sasa.

Walokole wao kwao mafanikio( kama unabisha msikilize Lusekelo na Mwingira kwenye mahubiri yao), wao mafanikio ni kuwa na gari nzuri, nyumba, afya nzuri na kazi nzuri, mume au mke na watoto. Kwa mujibu wa mlokole ukishapata hayo basi.Yaani tafuteni kwanza ufalme wake na haki yake na hayo mengine yote mtazidishiwa wamesahau. Ndio maana wanang'ang'ania Mijini. Ni wachungaji wa mshahara. Mioyo yao inaangalia watu elfu kumi wahudhurie kanisani wapate sadaka. Ndio maana wanawaambia waumini wao mwezi huu hakikisha umeleta watu kumi. Hawaangalii mamilioni ya watu wanaopotea kwa kuikosa INJILI.

Hata matangazo yao ni biashara tu hayatofautiani na ya waganga wa kienyeji, ooh njoo Yesu atakupa mchumba, gari, utapona magonjwa, mtoto wako aliyepotea atarudi, utaondolewa mikosi, ndoto mbaya zitaondoka. Jamani afadhali hata ya mganga anayetumia ramli kuliko hawa maana hawa wanawaingia watu moyoni kabisa, wakiamini wanamsikiliza Mungu. Hawa ni kundi linalojulikana kama special agents of the Devil.

Soma urudie mahubiri yote ya Yesu mlimani Mathayo 5 yote 6 na saba. Yesu katika mahubiri ya mlimani anaonyesha kuwa kuna watu atawakataa siku ya mwisho ambao walihubiri kwa jina lake na kutoa pepo kwa jina lake na kwa jina lake kufanya miujiza mingi. Kwa hiyo madoido hayo yamewaondoa wakristo wengi makanisani kwao iwe RC, Lutheran, Anglican, SDA, TAG, EAGT na kwingineko na kukimbilia kwa kina Lusekelo kufuata madoido.

Sikiliza Biblia haisemi mtawatambua kwa matendo yao, inasema mtawatambua kwa matunda yao. Kuna tofauti kubwa sana kati ya matendo na matunda. Kwa taarifa yako wauaji na majambazi huwa na mwonekano wa matendo mazuri mno katika jamii unaweza kufikiri ni malaika.

Angalia Galatia 5:23 Inazungumzia nini juu ya tunda la roho. Haisemi ni miujiza, kutoa pepo la hasha ni Upendo, utu wema, upole, unyenyekevu, fadhili, kiasi, uvumilivu jamani mambo ya fujo tunayoyaona hayaonyeshi tunda la roho.

Ninachosema hapa ni kuwa kuna Tofauti kubwa kati ya Mtu aliyeokoka yaani mkristo aliyeokolewa na Yesu Kristo kama tu Mathayo 1:20-21 inavyoainisha na Mlokole ambaye natoa maana hapa chini:

Mlokole ni mtu aliyegeuzwa ndondocha na mchungaji wake kufuata uozo wowote anaoutaka mchungaji huyo bila yeye mwenyewe kuchambua hata kama uozo huo unampinga Mungu aliyemuumba kwa kisingizio cha kuokolewa na Yesu wakati siku ya mwisho Yesu atasema ondokeni kwangu ninyi mtendao maovu, sikuwajua ninyi kamwe.

Hapo umenena
 
Mkuu chunguza kwa makini na kwa utulivu kanisa catholic ni kitu kingine tofauti na kanisa catholic la kirumi. Tulilo nalo sasa linaloongozwa na Papa ni kanisa catholic la kirumi(roman catholic) na lilitengenezwa rasmi baada ya mwaka 325. Ndio waliotoka na hiyo kanuni ya imani waliyoiita ya mitume. Ambayo ndio wewe uliyoinukuu hapo juu. Hii imani ilipelekea watu wengi sana kuuwawa kipindi cha kama miaka 1000 kinachojulikana kama kipindi cha giza. Waliuawa tu kwa sababu hawakuikiri hiyo imani. Waweza kusadiki kwamba Yesu aliyekuwa anahubiri upendo wafuasi waliojiita kwa jina lake wageuke kuwa vampire!!!?
'

ndugu acha kupotosha uma, tupe reference, kwa taarifa yako roman inamaanisha makao makuu tu na si kingine hata kama makao makuu yangekuwa kigali au london basi ingekuwa kigali catholic, nimefanya utafiti saana kuhusu hilo unalifikiria na hakuna kitu kama hicho hata kidogo, nimegundua unasukumwa na muono na chuki binafsi ulizo nazo thidi ya catholic charch, ukijaribu kupitia historia tangu Yesu apae mbinguni kama sio wakatolic naamini usingekuwa unamjua hata kidogo, siku zote usifuate upepo tafuta ukweli na acha blablaa
 
Kuhusu Serikali kuheshimu zaidi Waluteri na Wakatoliki nakumbuka miaka kadhaa iliyopita nilimuona mtumishi wa Mungu Fernandes wa ATN akisema kwamba hizi kanisa lazima serikali iziheshimu kwa kuwa zina mchango mkubwa katika jamii mfano kuwa na hospitali kubwa, mashule, mahoteli, vyuo vikuu nk. Alisema ndio maana wakiitwa viongozi wa Serikali wanapata response nzuri. Alichallenge kwamba ili kanisa kama la kwake lipate heshima hiyo lazima ifanye vitu kwa extent ya hizo kanisa ili ipate heshima ya kiasi hicho wanachopata Waluteri na Wakatoliki. To me, niliona alitoa ufafanuzi mzuri ambao ulikuwa realistic. Hata katika familia, heshima kwa ndugu hutofautiana kutegemeana na nani anasaidia zaidi nk. Hayo makanisa mengine nimesikia viongozi wakubwa Serikalini husali kule. Hizi kanisa za Katoliki na Lutheran zimetoka mbali na wamejenga heshima kwa muda mrefu. Makanisa yaliyokuja nyuma nashauri yafanye kazi ya Bwana na heshima wanayotarajia itajileta yenyewe. Wanaofanya kazi kadri ya mapenzi ya Mungu mambo yao yatajionyesha. Hivyo hivyo wasiofanya kazi kadri ya mapenzi ya Mungu ubabaishaji wao utajitokeza tu kwa kuwa naamini Mungu atahakikisha hilo. Hivyo nashauri popote mtu ulipo unasali, endelea kusali na kumtolea Bwana na mengine tumwachie Mwenyezi Mungu atayashughulikia.
 
'

ndugu acha kupotosha uma, tupe reference, kwa taarifa yako roman inamaanisha makao makuu tu na si kingine hata kama makao makuu yangekuwa kigali au london basi ingekuwa kigali catholic, nimefanya utafiti saana kuhusu hilo unalifikiria na hakuna kitu kama hicho hata kidogo, nimegundua unasukumwa na muono na chuki binafsi ulizo nazo thidi ya catholic charch, ukijaribu kupitia historia tangu Yesu apae mbinguni kama sio wakatolic naamini usingekuwa unamjua hata kidogo, siku zote usifuate upepo tafuta ukweli na acha blablaa

nadhani history inaanzia hapa mkuu, hii ni source ya kanisa katoliki.
mengine yuko sahihi, wewe ndie utafute, unajua kutoa maneno ya usbidhi na kukatisha tamaa hakuufuti ukweli!

1054 AD - The Great Schism, was when the Holy Catholic church divided into the Eastern Orthodox Church and the Roman Catholic Church in 1054.

malizia kusoma timeline zote mpaka 2005 ndani ya kanisa katoliki la sasa; link hiyo

http://www.google.ca/search?q=roman...n_bar&ct=timeline-navbar&cd=3&ved=0CDYQywEoBA


tafuta details za dark ages, ukiona una swali na unataka kuuliza hapa , uliza then utaambiwa, lakini baada ya wewe kufanya assigment!
 
Angalia jibu la Kibby hapo juu, huwa nasema na ninarudia kusema , tunatakiwa ku-explore tunachoamini. siamini kama haujui kuwa kuna tofauti ya kanisa Catholic na Roman Catholic! these are certain different churches!!! rudia history imeandikwa mkuu!

R.C ya leo ni tofauti na Catholic, R.C ndiyo iliyoua na kutesa mitume waliokuwa wanaeneza injili ya Yesu! ndiyo waliouzika ukristo na kuleta kila kitu kipya unachokiona leo ambavyo viko contrary na biblia!

Pilim you need to reveist and rethink the meaning of bible verses, Yesu alipomwambia Peter katika jiwe hili nitalijenga kanisa, ni baada ya Pter kujibu nini?? Petro alitoa ufunuo ambao ilikuwa vigumu kwa watu wa kawaida kuelewa

story iko hivi

When Jesus came into the region of Caesarea Philippi, He asked His disciples, saying, “Who do men say that I, the Son of Man, am?” So they said, “Some say John the Baptist, some Elijah, and others Jeremiah or one of the prophets.” He said to them, “But who do you say that I am?” Simon Peter answered and said, “You are the Christ, the Son of the living God.” Jesus answered and said to him, “Blessed are you, Simon Bar-Jonah, for flesh and blood has not revealed this to you, but My Father who is in heaven. And I also say to you that you are Peter, and on this rock I will build My church, and the gates of Hades shall not prevail against it.”

Yesu alikuwa anasema ufunuoa wa Peter,ufunuoa wa Peter haukuwa wa physical bali spiritual! ile siri “You are the Christ, the Son of the living God'' Hii ndiyo siri kuu maana hata katika kipindi hicho hawakuamini Yesu yupo, kumbuka kuna wayahudi hata leo hii wanamsubiri Yesu! , ule ufunuo wa Peter ndio msingi wa kanisa, na hapa hakumaanisha catholic, au nani! ndio msingi wa Imani!

Sasa kama unasema ilikuwa physical Yesu anasema And I say unto thee, That thou art Peter, and upon this rock, I will build my church; and the gates of hell shall not prevail against it. And I will give unto thee the keys of the Kingdom of heaven: and whatsoever thou shalt bind on earth shall be bound in heaven

Kama unasema Yesu alisema Peter ndio awe kiongozi wa kanisa kimwili(physical) je Yesu alimpa hizo funguo za kuzimu na mauti?? ziko wapi? wanazo hao viongozi wa kanisa? maana nazo zinatakiwa ziwe physical!

You need to take time to read and think these badlaa ya kupewa mistari tu na mtu fulani unameza, matokeoa yako ndiyo kama haya!

Kweli kabisa baade Peter alikuwa kiongozi wa kanisa lakini si kwa sababu ya lile neno la Yesu! Futhermore, Peter alikuwa kanisa la christian church, warumi waliita catholic, na hii ilikuwa kabla ya church persecution , ambapo Warumi waliiteka Israle wakachukua hata kanisa lililopo na baadae kuanza kuua wahubiri injili wote. Ndipo ikaja kipindi kinaitwa dark ages.

ambapo hakukuwa na injili yoyote inahubiriwa, kwani ukipatikana unafanya hivyo unauawa na RC. baadaE RC wakaanzisha taratibu zao za Ibada mnazo leo, akina Luther, na wengineo walikuwa ana fight irudie ile hali ya kabla ya hapo.Kumbuka RC was meant kuwatawala watu sio issue za injili. wakati nakua, hapa Tz, hatukuruhusiwa kusoma biblia, bali liturgia na misale ya waumini.

Leo hii ndio unaona RC kuna moto unawaka, kuna watu wanasoma biblia balaa! however the history is there! and it is hard for them to change RC while they are in!!

Nimeeleza in nutshell kama unataka details, nitakueleza froma A to Z some history are disgusting, ndio nataka utafute ukweli mwenyewe! kwa kifupi hamna uhusino wa RC na ukristo kama wewe msomaji wa biblia utaona wazi.

just try to google, and find some historical books, ukitaka tuweke hapa we may do so.

Angalizo, kuujua ukweli ni bora sana na kupata majibu ni bora zaidi, hii utaepuka hasira za kudanganywa na kusalitiwa na kutokujua kitu unachoamini kwa sababu dini ya wazazi!

Ukienda nchi kama ya Canada ni wakatoliki wachache sana wanaoamini wao ni wakristo! I asked so many people wanasema sisi ni wakatoliki na sio wakristo, why? the read bible and find what they do in church ni tofauti na kilichoandikwa! why because the read!!!!
Wewe Waberoya, unapotosha watu. Kanisa Katoliki ndiyo lilelile Kanisa Katoliki la Roma. Ndiyo Kanisa la Kristo alilolianzisha, na mama wa makanisa yote yaliyokuja kuchipuka na kujitenga na Kanisa hilo. Soma vizuri historia. Yaonekana historia unaijua nusunusu au unaipotosha kiujanjaujanja.
 
Prodigal son umetumbukiziwa web site na Waberoya ifanyie kazi. Halafu wacha kujidanganya kwa mapokeo jaribu kujithibitisha katika facts. Hebu kwa mfano jiulize Papa wa kirumi anatuma mabalozi wanaozifanya kazi za mabalozi waliotumwa na nchi zao. Hili yeye analifanya kama dola ya Vatican na yeye ndio mkuu wa hilo dola na pia ndie mkuu wa kanisa la Rc linaloongozwa duniani kote kutokea hapo Roma. Hii hailingani na Daniel 9:27? Inayozungumza juu ya mfalme atakaeikomesha sakaka ya dhabihu(yaani kuuwawa kwa Yesu) na mahala pake litasimama chukizo la uharibifu na hivyo hata ukomo, yaani hata mwisho wa wakati ufalme huo utakuwepo. Wakati wa bwana Yesu dola lililokuwa linatawala ni Rumi chini ya kaisari na makao makuu yake yalikuwa uturuki kabla ya kuhamia rumi ya Itali yaliko sasa. Ndilo dola lilitoa hukumu ya kuuwawa Yesu kupitia gavana wao pilato. Na pia liliendelaza mauaji kwa karibu ya mitume wote wa Yesu. Pia Yesu alizungumzia habari za hili chukizo la uharibifu ktk matay 24:15. Prodigal son ulikiri kwamba RC ndilo dhehebu mama ni kweli na hata biblia inakiri hivyo katika ufun 17:5 kwamba ni mama wa makahaba wote yaani yale makanisa yote yaliyorudi kwenye kile kilichowakimbiza kijitenga na Rc wanaishiriki dhambi yake na hukumu yake pia ufun18:4 Sasa huyu mfalme ukitaka kujua yoko wapi kwa hakika soma ufun 17:18 inazungumzia mji wenye ufalme juu ya wafalme wote wa dunia. Jiulize ni mji gani wenye mfalme aliye juu ya wafalme wa dunia ila Vatican na papa kama mkuu wa hiyo dola? Hakuna rais yeyote duniani anaezuru nchi nyingine hiyo nchi yote inataharuki na atmosphere kubadilika kabisa ila papa wa Rumi. Huyu ndie kiongozi ambae anatoa wakati mgumu kwa intelligence kuhakikisha usalama kiliko mwingine yeyote. Hiyo hapo ufun 17:18!! Kuhusu petro kupewa funguo za ufalme na wala sii za mauti na kuzimu kama inavyofikiriwa na wengi maana hizo anazo yesu peke yake. Ni neno la Mungu na alizitumia hizi funguo kwa mara ya kwanza hapo matendo 2:38-39*Maana yake ni kwamba ukitubu na kubatizwa utapata ondoleo la dhambi na kukuwezesha kupokea kipawa cha Roho mtakatifu huku ndiko kufunguliwa mlango wa mbinguni na kukataa ni ufunguo huo huo wa hilo neno la Mungu unakufungia nje. Hakuna tofauti na isaya 7:9b kwamba hamtaki kusadiki bila shaka hamtathibitika. MUNGU NA ALIBARIKI NENO LAKE!!
 
Prodigal son umetumbukiziwa web site na Waberoya ifanyie kazi. Halafu wacha kujidanganya kwa mapokeo jaribu kujithibitisha katika facts. Hebu kwa mfano jiulize Papa wa kirumi anatuma mabalozi wanaozifanya kazi zile zile za mabalozi waliotumwa na nchi zao. Hili yeye analifanya kama dola ya Vatican na yeye ndio mkuu wa hilo dola na pia ndie mkuu wa kanisa la Rc linaloongozwa duniani kote kutokea hapo Roma. Hii hailingani na Daniel 9:27? Inayozungumza juu ya mfalme atakaeikomesha sakaka ya dhabihu(yaani kuuwawa kwa Yesu) na mahala pake litasimama chukizo la uharibifu na hivyo hata ukomo, yaani hata mwisho wa wakati ufalme huo utakuwepo. Wakati wa bwana Yesu dola lililokuwa linatawala ni Rumi chini ya kaisari na makao makuu yake yalikuwa uturuki kabla ya kuhamia rumi ya Itali yaliko sasa. Ndilo dola lilitoa hukumu ya kuuwawa Yesu kupitia gavana wao pilato. Na pia liliendelaza mauaji kwa karibu ya mitume wote wa Yesu. Pia Yesu alizungumzia habari za hili chukizo la uharibifu ktk matay 24:15. Prodigal son ulikiri kwamba RC ndilo dhehebu mama ni kweli na hata biblia inakiri hivyo katika ufun 17:5 kwamba ni mama wa makahaba wote yaani yale makanisa yote yaliyorudi kwenye kile kilichowakimbiza kijitenga na Rc wanaishiriki dhambi yake na hukumu yake pia ufun18:4 Sasa huyu mfalme ukitaka kujua yoko wapi kwa hakika soma ufun 17:18 inazungumzia mji wenye ufalme juu ya wafalme wote wa dunia. Jiulize ni mji gani wenye mfalme aliye juu ya wafalme wa dunia ila Vatican na papa kama mkuu wa hiyo dola? Hakuna rais yeyote duniani anaezuru nchi nyingine hiyo nchi yote inataharuki na atmosphere kubadilika kabisa ila papa wa Rumi. Huyu ndie kiongozi ambae anatoa wakati mgumu kwa intelligence kuhakikisha usalama kiliko mwingine yeyote. Hiyo hapo ufun 17:18!! Kuhusu petro kupewa funguo za ufalme na wala sii za mauti na kuzimu kama inavyofikiriwa na wengi maana hizo anazo yesu peke yake. Ni neno la Mungu na alizitumia hizi funguo kwa mara ya kwanza hapo matendo 2:38-39*Maana yake ni kwamba ukitubu na kubatizwa utapata ondoleo la dhambi na kukuwezesha kupokea kipawa cha Roho mtakatifu huku ndiko kufunguliwa mlango wa mbinguni na kukataa ni ufunguo huo huo wa hilo neno la Mungu unakufungia nje. Hakuna tofauti na isaya 7:9b kwamba hamtaki kusadiki bila shaka hamtathibitika. MUNGU NA ALIBARIKI NENO LAKE!!
 
Mkuu chunguza kwa makini na kwa utulivu kanisa catholic ni kitu kingine tofauti na kanisa catholic la kirumi. Tulilo nalo sasa linaloongozwa na Papa ni kanisa catholic la kirumi(roman catholic) na lilitengenezwa rasmi baada ya mwaka 325. Ndio waliotoka na hiyo kanuni ya imani waliyoiita ya mitume. Ambayo ndio wewe uliyoinukuu hapo juu. Hii imani ilipelekea watu wengi sana kuuwawa kipindi cha kama miaka 1000 kinachojulikana kama kipindi cha giza. Waliuawa tu kwa sababu hawakuikiri hiyo imani. Waweza kusadiki kwamba Yesu aliyekuwa anahubiri upendo wafuasi waliojiita kwa jina lake wageuke kuwa vampire!!!?
Uongo wa mchana kweupe. ati ksnisa kaatoliki lilianza 325 umeitoa wapi wewe. Mtume Petro alikuwepo wakati huo. Kama hoja yako ni kuwa hili la sas siyo aliloongoza Petro tupe uthibitisho kuwa walijitenga. Watu waliouwawa hawakuwa Wakristo ni wale ambao hawakutaka kuwa (Vita ya Msalaba ama Crusade) sawa na Jihad. Kwamba ilikuwa hivyo (stupidity of course kwani Mungu hahitaji kupiganiwa) bado hamjaeleza kwamba kanisa katoliki na Roman Katoliki yanatofauti gani. Msome tena ProdigalSon kakuleza vizuri kuwa ni jina tu la sehemu lilikoanzia. Mfano wewe tukisema Kiby wa Lupaso hiyo Lupaso ni kuonyesha tu unako toka na siyo kuwa bila hiyo wewe si Kiby.
Angalia jibu la Kibby hapo juu, huwa nasema na ninarudia kusema , tunatakiwa ku-explore tunachoamini. siamini kama haujui kuwa kuna tofauti ya kanisa Catholic na Roman Catholic! these are certain different churches!!! rudia history imeandikwa mkuu!


R.C ya leo ni tofauti na Catholic, R.C ndiyo iliyoua na kutesa mitume waliokuwa wanaeneza injili ya Yesu! ndiyo waliouzika ukristo na kuleta kila kitu kipya unachokiona leo ambavyo viko contrary na biblia!

Hapa unatengeneza historia yako mwenyewe. Yaani petro aliposulubiwa ilikuwa na Wakristo? Hicho kilicho contrary na biblia ni nini?

Pilim you need to reveist and rethink the meaning of bible verses, Yesu alipomwambia Peter katika jiwe hili nitalijenga kanisa, ni baada ya Pter kujibu nini?? Petro alitoa ufunuo ambao ilikuwa vigumu kwa watu wa kawaida kuelewa

story iko hivi

When Jesus came into the region of Caesarea Philippi, He asked His disciples, saying, “Who do men say that I, the Son of Man, am?” So they said, “Some say John the Baptist, some Elijah, and others Jeremiah or one of the prophets.” He said to them, “But who do you say that I am?” Simon Peter answered and said, “You are the Christ, the Son of the living God.” Jesus answered and said to him, “Blessed are you, Simon Bar-Jonah, for flesh and blood has not revealed this to you, but My Father who is in heaven. And I also say to you that you are Peter, and on this rock I will build My church, and the gates of Hades shall not prevail against it.”

Yesu alikuwa anasema ufunuoa wa Peter,ufunuoa wa Peter haukuwa wa physical bali spiritual! ile siri “You are the Christ, the Son of the living God'' Hii ndiyo siri kuu maana hata katika kipindi hicho hawakuamini Yesu yupo, kumbuka kuna wayahudi hata leo hii wanamsubiri Yesu! , ule ufunuo wa Peter ndio msingi wa kanisa, na hapa hakumaanisha catholic, au nani! ndio msingi wa Imani!

Sasa kama unasema ilikuwa physical Yesu anasema And I say unto thee, That thou art Peter, and upon this rock, I will build my church; and the gates of hell shall not prevail against it. And I will give unto thee the keys of the Kingdom of heaven: and whatsoever thou shalt bind on earth shall be bound in heaven

Kama unasema Yesu alisema Peter ndio awe kiongozi wa kanisa kimwili(physical) je Yesu alimpa hizo funguo za kuzimu na mauti?? ziko wapi? wanazo hao viongozi wa kanisa? maana nazo zinatakiwa ziwe physical!

You need to take time to read and think these badlaa ya kupewa mistari tu na mtu fulani unameza, matokeoa yako ndiyo kama haya!

Kweli kabisa baade Peter alikuwa kiongozi wa kanisa lakini si kwa sababu ya lile neno la Yesu! Futhermore, Peter alikuwa kanisa la christian church, warumi waliita catholic, na hii ilikuwa kabla ya church persecution , ambapo Warumi waliiteka Israle wakachukua hata kanisa lililopo na baadae kuanza kuua wahubiri injili wote. Ndipo ikaja kipindi kinaitwa dark ages.

ambapo hakukuwa na injili yoyote inahubiriwa, kwani ukipatikana unafanya hivyo unauawa na RC. baadaE RC wakaanzisha taratibu zao za Ibada mnazo leo, akina Luther, na wengineo walikuwa ana fight irudie ile hali ya kabla ya hapo.Kumbuka RC was meant kuwatawala watu sio issue za injili. wakati nakua, hapa Tz, hatukuruhusiwa kusoma biblia, bali liturgia na misale ya waumini.

Leo hii ndio unaona RC kuna moto unawaka, kuna watu wanasoma biblia balaa! however the history is there! and it is hard for them to change RC while they are in!!

Nimeeleza in nutshell kama unataka details, nitakueleza froma A to Z some history are disgusting, ndio nataka utafute ukweli mwenyewe! kwa kifupi hamna uhusino wa RC na ukristo kama wewe msomaji wa biblia utaona wazi.

just try to google, and find some historical books, ukitaka tuweke hapa we may do so.

Angalizo, kuujua ukweli ni bora sana na kupata majibu ni bora zaidi, hii utaepuka hasira za kudanganywa na kusalitiwa na kutokujua kitu unachoamini kwa sababu dini ya wazazi!

Ukienda nchi kama ya Canada ni wakatoliki wachache sana wanaoamini wao ni wakristo! I asked so many people wanasema sisi ni wakatoliki na sio wakristo, why? the read bible and find what they do in church ni tofauti na kilichoandikwa! why because the read!!!!

Hao watu wa kawaida ndio wapi? Wewe usiye wa kawaida mbona unashindwa kuelewa kitu kidogo kuwa ukiristo unaanzia na mitume ambao ndio walisambaza huo Ukristo.
Ni kweli katika kusambaza huko kutokana na ubinadamu kuna watu walifanya yaliyo maovu mbele za Mungu lakini ukweli unabaki kuwa kanisa Katoliki ni moja na ndio mama wa vijikanisa vyote.

'

ndugu acha kupotosha uma, tupe reference, kwa taarifa yako roman inamaanisha makao makuu tu na si kingine hata kama makao makuu yangekuwa kigali au london basi ingekuwa kigali catholic, nimefanya utafiti saana kuhusu hilo unalifikiria na hakuna kitu kama hicho hata kidogo, nimegundua unasukumwa na muono na chuki binafsi ulizo nazo thidi ya catholic charch, ukijaribu kupitia historia tangu Yesu apae mbinguni kama sio wakatolic naamini usingekuwa unamjua hata kidogo, siku zote usifuate upepo tafuta ukweli na acha blablaa

Huu sasa ndio ukweli wenyewe. Anayebisha kuhusu hili ana personal grudge na kanisa Katoliki kwa sababu tu aliyejitoa huko alimlisha maneno ya kuhalalisha kuondoka kwake.
nadhani history inaanzia hapa mkuu, hii ni source ya kanisa katoliki.
mengine yuko sahihi, wewe ndie utafute, unajua kutoa maneno ya usbidhi na kukatisha tamaa hakuufuti ukweli!

1054 AD - The Great Schism, was when the Holy Catholic church divided into the Eastern Orthodox Church and the Roman Catholic Church in 1054.
Unajua sababu ya kugawanyika? Ni mambo ya kidunia tu. Costantine aliamua kujitoa kwa sababu aliona Ufalme wake unatishiwa ni sawa na Waanglikani walivyoondoka kwa sababu mtu Mfalme alikatazwa kuoa mwananke mwingine. Vinginevyo hata ibada zao ni kama za kanisa mama, Katoliki.

malizia kusoma timeline zote mpaka 2005 ndani ya kanisa katoliki la sasa; link hiyo

http://www.google.ca/search?q=roman...n_bar&ct=timeline-navbar&cd=3&ved=0CDYQywEoBA


tafuta details za dark ages, ukiona una swali na unataka kuuliza hapa , uliza then utaambiwa, lakini baada ya wewe kufanya assigment!
Hoja yako hapa kwenye timeline ni nini hasa? Tunachojadili ni Kanisa katoliki vs Roman katoliki. Mambo ya dark age yalitokea wakati kanisa Katoliki lipo.

Wewe Waberoya, unapotosha watu. Kanisa Katoliki ndiyo lilelile Kanisa Katoliki la Roma. Ndiyo Kanisa la Kristo alilolianzisha, na mama wa makanisa yote yaliyokuja kuchipuka na kujitenga na Kanisa hilo. Soma vizuri historia. Yaonekana historia unaijua nusunusu au unaipotosha kiujanjaujanja.

Huu ni ufunuo. Mwenye masikio ya kusikia na asikie.
 
Uongo wa mchana kweupe. ati ksnisa kaatoliki lilianza 325 umeitoa wapi wewe. Mtume Petro alikuwepo wakati huo. Kama hoja yako ni kuwa hili la sas siyo aliloongoza Petro tupe uthibitisho kuwa walijitenga. Watu waliouwawa hawakuwa Wakristo ni wale ambao hawakutaka kuwa (Vita ya Msalaba ama Crusade) sawa na Jihad. Kwamba ilikuwa hivyo (stupidity of course kwani Mungu hahitaji kupiganiwa) bado hamjaeleza kwamba kanisa katoliki na Roman Katoliki yanatofauti gani. Msome tena ProdigalSon kakuleza vizuri kuwa ni jina tu la sehemu lilikoanzia. Mfano wewe tukisema Kiby wa Lupaso hiyo Lupaso ni kuonyesha tu unako toka na siyo kuwa bila hiyo wewe si Kiby.
[/COLOR]

[/COLOR]
Hapa unatengeneza historia yako mwenyewe. Yaani petro aliposulubiwa ilikuwa na Wakristo? Hicho kilicho contrary na biblia ni nini?



Hao watu wa kawaida ndio wapi? Wewe usiye wa kawaida mbona unashindwa kuelewa kitu kidogo kuwa ukiristo unaanzia na mitume ambao ndio walisambaza huo Ukristo.
Ni kweli katika kusambaza huko kutokana na ubinadamu kuna watu walifanya yaliyo maovu mbele za Mungu lakini ukweli unabaki kuwa kanisa Katoliki ni moja na ndio mama wa vijikanisa vyote.



Huu sasa ndio ukweli wenyewe. Anayebisha kuhusu hili ana personal grudge na kanisa Katoliki kwa sababu tu aliyejitoa huko alimlisha maneno ya kuhalalisha kuondoka kwake.
Unajua sababu ya kugawanyika? Ni mambo ya kidunia tu. Costantine aliamua kujitoa kwa sababu aliona Ufalme wake unatishiwa ni sawa na Waanglikani walivyoondoka kwa sababu mtu Mfalme alikatazwa kuoa mwananke mwingine. Vinginevyo hata ibada zao ni kama za kanisa mama, Katoliki.


Hoja yako hapa kwenye timeline ni nini hasa? Tunachojadili ni Kanisa katoliki vs Roman katoliki. Mambo ya dark age yalitokea wakati kanisa Katoliki lipo.



Huu ni ufunuo. Mwenye masikio ya kusikia na asikie.

Mzee umeamua kweli, sasa kama hili ndio kanisa mama , kwa nini mafundisho yake yako contrary na biblia?? doctrine ambazo hakuziacha Yesu zilitokea wapi?
 
Kwa huyu mzee wa Upako huwa napata shida sana kuangalia kipindi chake pamoja na mama yangu (over 60 years) Kuna wakati anaonyesha wazi upotoshaji wa hali ya juu. Mimi huwa nasonya na mama ananikanya kila mara. Mama anasema hata akikosea yeye ni kiongozi wa dini tumweshimu tu. Kuna baadhi ya mambo anayosema ambayo yanamwanika wazi hata kwa mtu mwenye akili ya kawaida tu. Wakati mwingine busara ya kawaida inapotea katika mahubiri / maneno yake. Wakati wa mjadala wa kadhi kwa wale walioangalia watakuwa waliona ukweli huu. Hata hivyo katika BIBLIA TAKATIFU kuna sehemu yasema "MTAWATAMBUA KWA MATUNDA YAO". Nashukuru kwa mjadala huu ingekuwa vizuri kama mama angesoma mawazo mengi mazuri yaliwekwa hapa.
Nafikiri hii ni weakness yako mwenyewe, you should be strong enough kumwambia mama yako jinsi unavyofikiri kuhusu huyu jamaa, na sio kutegemea JF. Kwa jinsi unavyoweka hapa ni kama vile huwezi kumpinga mama yako kwa chochote kile anachosema....which is wrong! Kuwa mzazi haimaanishi kwamba una mamlaka, maamuzi, na fikra za watoto wako....kila mtu ana haki ya kufikiri na kuamua atakavyo kama havunji sheria. You need to be hard to your mum on the matters you believe in, and this's before it's too late! I truly believe you don't share the same understanding and belief as your mum, even if you attend the same church!
 
Nafikiri hii ni weakness yako mwenyewe, you should be strong enough kumwambia mama yako jinsi unavyofikiri kuhusu huyu jamaa, na sio kutegemea JF. Kwa jinsi unavyoweka hapa ni kama vile kumpinga mama yako kwa chochote kile anachosema....which is wrong! Kuwa mzazi haimaanishi kwamba una mamlaka, maamuzi, na fikra za watoto wako....kila mtu ana haki ya kufikiri na kuamua atakavyo kama havunji sheria. You need to be hard to your mum on the matters you believe in, and this's before it's too late! I truly believe you don't share the same understand and belief as your mum, even if you attend the same church!

Hard talk!, the lesson learned
 
Mkuu ulichosema ni sahihi kabisa, rejea post yangu ,naona na wewe umesimamia hapo, kwa ufahamu wako ni kuwa huduma za jamii zinafanyika na Lutheran na Katoliki tu, nimekueleza si kweli, kuna makanisa hata ya design ya akina Lusekelo nao wanatoa miasaada katika jamii , nao wana shule, vituo vya kulelea yatima n.k

My take hapa ni kuwa kama uhusiano wa serikali na hayo madhehebu huko katika misingi ya huduma za jamii sawa ni vizuri.

Ila picha inayoonekana ni kuwa kuna zaidi ya hapo, na reference ni Malasusa, hatujasema kuhusu Pengo na wengine. hao wengine is even worse

JK na askofu Gamanywa ni marafiki sana, na sidhani kama uhusiano wao unatokana na Gamanywa kuwa na huduma za jamii!!

Serikali ina uhusiano sana na Moses Kulola askofu mkuu wa EAGT, na huyu askofu kila leo ,mpaka leo, achilia mbali kuwaambia waumini wake JK chaguo la Mungu! EAGT haina huduma za jamii kama Lutheran na wengineo! na huyu nadhani Anthony Lusekelo alisahau kumtaja najua anamwogopa! na huyu askofu ana heshimiwa na serikali! huu uhusiano ua walakini! wakati Ngongo unaamini kuwa uhusiono wao uko decent wengine wanaona mbali sana, pengine Anthony alitaka aseme hivi, ila kaogopa, maana na yeye ana yake million!

Note that I am not supporting Lusekelo,nataka tujadili katika dimension tofauti, tusitetee tu na vitu ambavyo kesho tunaweza kujuta.


Kweli kabisa haya makanisa wanatoa huduma nzuri katika jamii, na sio lutheran tu mengi, kanisa la moraviana wana chuo kikuu huko mbeya na sijasikia,(pengine haumjui kiongozi wa moravian Tanzania)!!

Uhusiano huu umepitiliza basi, na swali ni kwa nini? Malasusa kuwa msemaji wa Lowassa kunatokana na huduma za jamii? kama Malasusa amekosea, watu ataaminije hao wengine?

Au unaweza kutuwekea dalili na namna gani ya kutambua huu uhusiano ni mzuri na huu uhusiano una walakini?
Ndugu Waberoya,
Tafadhali, unaweza kufafanua hapo kwanini Lusekelo aliogopa? (ref red font)
 
Mimi sio mdini japo nina dini, lakini ningependa kujua kwa nini "walokole" wana tabia ya kutenga watu wasio walokole kama wao kwa kuwaita "watu wa mataifa"?! (Nilishuhudia hili nikiwa high school na chuo). Kuna tofauti yoyote kati ili na lile la waislamu kuita watu wengine "kafir"?!
 
kanisa katoliki si kanisa tu.......

ni KANISA TAKATIFU KATOLIKI LA MITUME.......

Kwa walioenda rome wataiona historia ya ukristo inayoanzia ISRAEL...Baada ya kristo kupalizwa mbinguni ...wale mitume wake chini ya petro ndio waliobaki kuendeleza ...na katika kanisa la St peter basillica ndipo baadhi ya mitume wa kale wamezikwa ....pamoja na kumbu kumbu zingine zikiwemo mavazi aliyovaa kristo...

moja ya makanisa ya mwanzo kujitenga ni LUTHERAN..lakini kwa ujumla ndani ya katoliki makanisa yaliyoanzia hapo yanajulikana kama PROTESTANTS....Mazungumzo yamekuwa yakiendelea kurudisha kanisa moja aliloacha kristo...lakini ndani ya lutheran ..ndimo yalimozaliwa makanisa kama ASSEMBLY OF GOD,METHODIST...etc etc..Assembly of God ..LINGeweza kuwa kanisa kubwa sana lakini ndani yake ndipo makanisa UYOGA yameanzia na kulimaliza nguvu...hasa kwa hapa Tanzania....tatizo ni kuwa utii kwa askofu wao mkuu ni mdogo....inasababisha mtu akishaweza kuwa na wafuasi Kumi tu naye anajitenga...na ndani ya makanisa uyoga ...ndipo inaendelea kugawanyika ...na kuendelea kuota na kuota...na mengine yanakufa....


Kanisa la ANGLICAN lilijitenga baadaye kabisa baada ya mfalme wa uingereza kutofautiana na PAPA...Ndio maana anglikan na katoliki misingi ya ibada inafanana tofauti ni celibacy...mapdre wao wanaowa...tofauti na lutheran anglikan halijazaa makanisa ...

kuna makanisa mengine kama SDA ...hili ni la zamani kabisa siijui historia yake visuri laKINI hili ni tofauti na makanisa kama catholic,lutheran..etc...pia kuna ORTHODOX amabalo nalo linatokana na catholic ..na wanafanana kila kitu ..ila hawa wana msimamo mkali usioyumba kufuata taratibu zao za kiibada...tofauti na katoliki ambao wanaonekana kwenda na wakati na kuheshimu utamaduni wa eneo hadi eneo katika uinjilishaji....

lakini kikubwa ni IMANI na hii inabakia hiztoria tu!!!...
 
Back
Top Bottom