Victoire
JF-Expert Member
- Jul 4, 2008
- 24,139
- 56,599
hahaha mbona hiii huwa anaitoa kwenye mikutano yake,kuna jamaa zangu huko shinyanga walijaza fomu na laki wakatoa,niliwaambia wanaibiwa tu juhudi zao ndo zinafanya wafanikiwe,by the way kwani wao wanashindwa kuomba hadi mzee upako sijui awaombee tena na hela juu,huyu mwizi kwa kweli na watu wanaingia mkenge.
Kanisa la Gospel Revival Centre linajulikana kwasababu kaamua kutumia channel 10.Juzi juzi nilikuwa natazama kipindi chake anataka tumchangie 100,000/= au zaidi umtajie mambo yako matano akuombee.Kwa maana hiyo basi usipokuwa na hizo 100,000/= hawezi kukuombea kweli siku hizi Yesu kawa biashara nzuri.