Mzee Timothy Apiyo Afariki Dunia

01_11_0hte6m.jpg


IMG_9141.JPG


Apiyo.JPG

Ndugu zangu

Mzee Timoth Apiyo amefariki dunia usiku wa jana akiwa katika matibabu South Africa katika Hospitali ya Mill Park South Africa.

Serikali ikishirikiana kwa karibu na ubalozi wetu South Africa unafanya mipango ya kusafirisha mwili kuuleta Tanzania.

Msiba upo nyumbani kwake Sitaki Shari.

Poleni sana wafiwa; Clay; Slyvia pamoja na wanafamilia wote.

Bwana alitoa na Bwana ametwaa.

Rest in Peace Mzee Apiyo. You lived your life kwa uadilifu wa juu.
...mungu ampe pumziko la amani mzalendo wa taifa letu...! nakumbuka (ingawa sina uhakika kama alikuwa "akizua") namna "Chavda wa zama za lyatonga", alivyotoboaga siri ati alijificha nyumbani kwa marehemu pale alipohukumiwa kuwa P.I NA IDARA YA Uhamiaji, mpaka uamuzi ulipobadilishwa kwa kushinda rufani ktk suala hilo...RIP mzee Apiyo!
 
RIP Mzee Timothy Apiyo na poleni sana ndugu na marafiki popote mlipo. Bwana alitoa na Bwana ametwaa, jina la Bwana lihimidiwe milele Amina.
 
R.I.P Timoth Apiyo Wuod Odede kwa heshima uliotujengea wana Rorya wananchi wa Rorya Tutakuzika kwa heshima Zote kijijini kwako marasibora but we did,nt expect mzee Mwinyi na Kikwete wawepo because hawawakujali enzi za uhai wako. Mwinyi alikustafisha kabla ya muda wa kusaafu , hakakunyima hata membership wa body.Tunamshukuru mzee mkapa kwa mema aliyomfanyia mzee Apiyo
 
Updates: as at 11th June 2013 at 11.00 PM

Unless kama kutakuwa na mabadiliko, status iko hivi:


  • Death Certificate itatolewa kesho Wednesday 12th June 2013
  • Mwili utawasili Alhamis Mchana na SAA
  • Ijumaa itakuwa shughuli ya kuuaga mwili wake nyumbani kwake Sitakishari
 
RIP Mzee Apiyo, Poleni Familia, Ndugu na Jamaa na wote tulioguswa na Msiba huu,
Kazi ya Bwana Haina Makosa, Bwana ametoa, na Bwana ametwaa na Jina la Bwana na lihimidiwe.
Amina Amen Amein.



01_11_0hte6m.jpg


IMG_9141.JPG


Apiyo.JPG

Ndugu zangu

Mzee Timoth Apiyo amefariki dunia usiku wa jana akiwa katika matibabu South Africa katika Hospitali ya Mill Park South Africa.

Serikali ikishirikiana kwa karibu na ubalozi wetu South Africa unafanya mipango ya kusafirisha mwili kuuleta Tanzania.

Msiba upo nyumbani kwake Sitaki Shari.

Poleni sana wafiwa; Clay; Slyvia pamoja na wanafamilia wote.

Bwana alitoa na Bwana ametwaa.

Rest in Peace Mzee Apiyo. You lived your life kwa uadilifu wa juu.

Updates: as at 11th June 2013 at 11.00 PM

Unless kama kutakuwa na mabadiliko, status iko hivi:


  • Death Certificate itatolewa kesho Wednesday 12th June 2013
  • Mwili utawasili Alhamis Mchana na SAA
  • Ijumaa itakuwa shughuli ya kuuaga mwili wake nyumbani kwake Sitakishari
 
Kulikuwa na madai ya Mzee Apiyo kutofautiana na Mwinyi mwaka hasa kuhusu teuzi mbalimbali alizokuwa akizifanya Mwinyi ambapo marehemu Mzee alikuwa anawasiliana na Mwalimu kabla ya uteuzi kuwa rasmi. Wapo waliodai kuwa hata Mwinyi alifikia kususa Ikulu na kurudi Zanzibar mpaka marehemu Mzee Thabit Kombo na Nyerere walipoingilia kati na Mzee Apiyo kustaafu rasmi.......in came Paul Rupia

Mfumo alirithisha Mwalimu ni Kama china au Russia kuwa..Kunakuwa na transition...Rais Mpya anapoingia...Watu muhimu Kama Katibu Mkuu Kiongozi,Mkuu wa Majeshi ,Mkuu wa Usalama na Mkuu wa Polisi ,Magereza etc...mwanasheria Mkuu ..hawaondoki Ghafla ( ikiwa wamefikia Umri )
Pia kwenye Chama Rais mstaafu anaendelea kuwa Mwenyekiti kwa miaka miwili ...hii husaidia smooth transition( na kusaidia kumuondoa Rais Kama ni hostile )...pia kwa china Rais mstaafu huendelea kuwa Amiri jeshi Mkuu ( chairman of Millitary commission) kwa miaka miwili ...
mwinyi alirithi watendaji wa mwalimu ...Kama mzee Opiyo,Joshua opanga, general david musuguri( Ernest Mwita Kiaro) ....Solomon Lian, Imrani Kombe etc..
 
Jamani historia ya Tanzania lazime iandikwe upya, mfano ukisoma wasifu wa Mzee wetu inonekana aliwahi fanya kazi Ilonga, wakati huo ilikuwa ni wailaya ya Ifakara! kwa sasa ni wilaya ya Kilosa, vijana wetu wakisoma hii si wanachanganyikiwa kabisa?
 
Update 2:


  • Kutokana na kukosa nfasi katika ndege ya Alhamis, sas mwili utawasili na ndege ya Ijumaa usiku SAA
  • Mwili utapokelewa na viongozi wa Serikali na Wanandugu
  • Mwili utalala nyumbani Sitakishari
  • Jumamosi asubuhi saa 4 kutakuwa na Ibada ya kumwaga marehemu na kutoa heshima za mwisho
  • Mchana mwili utasafirishwa kwa ndege kwenda Rorya Musoma ukiambatana na wanafamilia tisa
  • Ndugu jamaa na marafiki wengine 50 wataondoka na basi la JWTZ siku ya ijumaa alfajiri
  • Mzee Apiyo atapumzishwa siku ya Jumapili.
 
Back
Top Bottom