Safari_ni_Safari
JF-Expert Member
- Oct 5, 2007
- 23,265
- 17,134
hii mpya, tena kali sana!... Ulitaka tumfahamu kupitia simulizi (oral tradition)? Huyu mzee hayupo kwenye vitabu, hata vinavyouzwa kwenye bookshop bwana. Unataka tukamtafute kwenye nyaraka za serikali?... Si kioja hiki?!!!...
Wewe eleza tujue tu tumepoteza mtanzania mwenzetu na mzee wetu.. Habari za historia mzee huyu hajawa recorded na history yake kuwa wazi kwa wote.
Naomba ubaki na msimamo wako nami nitabaki na wa kwangu....good day dear compatriot