Mzee Timothy Apiyo Afariki Dunia

Mzee Timothy Apiyo Afariki Dunia

RIP Mzee Apiyo. Hawa ndio watu waliofanya kazi kwa uaminifu wa hali ya juu katika nchi hii. Mwalimu Nyerere alikuwa anamuamini sana Mzee huyu. Kwa sasa kuwapata watu kama Mzee Apiyo, ni ndoto.

Tiba

maajabu ya Tanzania ukifanya kazi kwa uaminifu unakufa maskini..RIP Mzee Apiyo
 
Wewe kijana...soma historia ...

Huyu ni Katibu mkuu kiongozi mstaafu...toka enzi za mwalimu...na mara ya mwisho alimsaidia mzee mwinyi ...miaka miwili ya kwanza ya utawala wake.....kuweka muendelezoo...

Sijawahi kumsoma kwenye kitabu chochote cha historia, si primary wala sekondari.
 
Poleni sana familia, ndugu, jamaa na watanzania wote kwa msiba huu. Tutamkumbuka mzee wetu kwa utumishi uliotuka, uzalendo na weledi wa hali ya juu katika utumishi wake. Mungu aifariji familia yake katika kipindi hiki kigumu cha kuondokewa na mpendwa wao
 
Historia haiandikwi katika vitabu peke yake.....na wala si kwa ajili ya mitihani ya primary wala secondary peke yake

Hii mpya, tena kali sana!... Ulitaka tumfahamu kupitia simulizi (oral tradition)? Huyu mzee hayupo kwenye vitabu, hata vinavyouzwa kwenye bookshop BWANA. Unataka tukamtafute kwenye nyaraka za serikali?... Si kioja hiki?!!!...

Wewe eleza tujue tu tumepoteza mtanzania mwenzetu na mzee wetu.. Habari za historia mzee huyu hajawa recorded na history yake kuwa wazi kwa wote.
 
huna haja ya kupiti vipimo unapaswa kuanza Matibabu ya Afya ya Akili ikiwa ni pamoja na sindano za kuzuia kichaa cha Nguruwe mara moja!

nafikiri ushauri wako utamsaidia sana kama akiuzingatia kwasababu huwezi kutegemea kauli kama yake kutoka kwa mtu mwenye akili timamu.
 
Pole sana wafiwa r.i.p mzee , sasa nyie mnalalamika kwenye hostoria ah andikwa kwenye vitabu Ima maana hata magazeti huwa hamsomi kipindi kile analalamika vijana wa dot com mna matatizo nashukuru serikali ilimtunza mwishoni Aibu sana mtu anakuwa muadilifu ndo anaishi kuchekwa na jamii mafisadi tunawapongeza !
 
Back
Top Bottom