GeniusBrain
JF-Expert Member
- Nov 3, 2010
- 4,315
- 306
Pwito now you talking.
Nani aliyesema kuwa waandishi wa habari ni house made hivyo hawastahili kulipwa? Ni nani huyo aliyesema nafasi ya uwaziri house wife hivyo wanastahili maslahi makubwa? Je alitumia vigezo gani kufikia uamuzi huo? Je, wakati tunapohama toka karne ya Viwanda na kuingia information age hivyo vigezo bado vina tija?
Shida iko wapi, muingizeni kwenye payroll ya cdm si mnapata ruzuku? mchango wa mwanakijiji zaidi ya kwenye cdm kwa wananchi wa kawaida haujulikana na haujaonekana bado