Mzee Mwanakijiji, Tafadhali...

Mzee Mwanakijiji, Tafadhali...

Nashangaa watu wanasema ati Adui yao ni CCM, what the hell is that? Adui wa Watanzania ni tabia ya viongozi wezi kama EL et al. Adui hawezi kuwa jina, adui ni matendo. EL amepata fedha zake kwa kuiliibia taifa kwa mwendo wa kupokea rushwa na kufilisi mashirika ya umma leo hii kuna wanaodiriki kusema huyu ndiye mwadilifu kwa watanzania. Are you serious?

Whether EL is a thief or not we need to see CCM out first.other issues shall be dealt with later.naomba tuvumiliane hivyo.miaka yake ya utawala mbovu yatosha.CCM haina hati miliki ya siasa na madaraka Tanzania.let them go.Tanzanians unite you have nothing to lose except your chains-poverty,ignorance and the like.
 
Lord denning you have nailed it! Ni ujinga eti adui yetu ni CCM! Yaani kuna watu wajinga. Badala ya kuelezea sera wangelea chama!

Ujinga au werevu ni mtazamo tu...

Lakini Kumdhania mwenzako kuwa mjinga, eti kwakuwa anamtazamo tofauti naule ulionao wewe nadhani ndiyo "Ujinga" wenyewe hasa.

nikiwa na maana ya "ignorance". Wala sio kusudi langu kukukosea heshima. Tafadhali


Nasema ignorance, Kwa sababu mtu mwerevu au mwenye elimu kidogo atakuwa amegundua tayari (angalau kwa elimu yake na "exposure") kuwa dunia ni kubwa kwakweli, na katika historia yake, maendeleo hasaa huzaliwa na kushamiri panapo mawazo tofauti. .

Niombe tena, na tena kwakusihi sana. Tuelekeze nguvu katika kuwaweka watu wetu pamoja, tulivuke hili.. Ushindi ni halisi zaidi tunapo nia mamoja. Haitusaiidii kupigana wenyewe kwawenyewe eti juu ya nani anaruhusiwa kutuunga mkono na nani haruhusiwi kutuunga mkono!

Halafu tunasahau yote juu ya kwanini tuliungana mikono in the first place.. Tusahau nini kilituleta pamoja, tuko kufanya nini?

Comrade Vita ni Vita na mapambano ni lazima yaendelee.. Tukisamama kuzodoana , Adui yetu anayachochea haya zaidi..

Ninafahamu pia kwamba wengi wanajifanya kuchukua Mrengo kama huo wa mawazo, kuonekana kana kwamba wanaipenda sana chadema nakujitokeza kutetea maslahi ya wana chadema lakini actually ni makada wa CCM wenye nia ya kulipa audience jambo hili kwania ile ile ovu yakufifisha nguvu ya upinzani wa kweli katika nchi yetu . .

So unfortunately, wengi wachanga wanaangukia katika mtego wao. Lakini most unfortunately hata wale waerevu na wenye uwezo mkubwa wakufikiri na kuongoza pia wanajikwaa hapa.

Ndugu zangu Mwanakijiji na wengine, Let us not wash our dirty linen in a foreign land.. Ni aibu kwetu sote wala sio sifa kayeyote kua eti atasifiwa "anajua kujenga hojaaa" au eti "flani alishasemagaaa" No Never..

Sifa hizo ni nishani ya usaliti wa harakati yetu wenyewe.. Itegemee tu kutoka kwa maadui wetu kwa kazi nzuri tunayo ifanya kwaniaba yao(kuivuruga chadema).. Kwakujua ama pasinakufahamu..

Sifa Za Kijinga!

Mungu atusaidie.,

Comrades,
 
Last edited by a moderator:
Let me start with that which is something am sure you believe in (Principle), expanding on it gives;

The moment you begin thinking of ways to get "easy wins" is the moment you become corrupt!

Now that is a fact and that is exactly what is happening with CDM and this Lowasa thing. Look for an easier way to win whatever the cost. That guy on your profile picture, do you know who was his opposite during his time? Malcom X. They all wanted the same thing but they had fundamental differences in the principals on how they are going to get there. Malcom X believed on the whatever it takes approach while that guy on the picture believed on taking the morally correct path to victory however hard that path.

In these few days, CDM has successful managed to transform their mission from delivery of a better, democratic and fair Tanzania to take CCM out whatever the cost and worry about tomorrow when tomorrow gets there. While that may turn good (and MM finished his post saying, "i remain a skeptic"), but with invitation of Lowasa you are guaranteed for a CCM like tomorrow or most likely worst.

What makes Lowasa powerfull is what comes with Lowasa. And that is TeamLowasa and every other shady character that CDM has ever pointed finger at. You don't just get Lowasa, you get all of that. That becomes part and parcel of a democratic CDM. A new CDM member and an old CMD member all have the same rights. And these people are not your regular CMD members, these are guys that can exert a significant influence and they are coming in CMD in a position of power. They are not being helped by CDM, they are helping CDM take on CCM.

Once Lowasa is president, he is president. Do you even know the kind of power a president of this country has? To think that CDM will be able to control him through party meetings is simply being naive! There is a right and wrong way of doing things, that is a fact. Getting bad people to fight other bad people for you is a good strategy except that keeping the bad people as your leader as they defeated the other bad people is simply suicidal.

I have read some other arguments that, this is just to change the political dynamics and prove that a ruling party can be replaced in TZ. But that is simply explaining hard issues with simple whatever fits answers (the ones that CCM ministers always gives in the parliament). You cant just turn the future of the entire nation into a big SOCIAL EXPERIMENT and see how it goes!!! And to expand on that, this kind of experiment has been done before in many countries in Africa with complete total failure. And it is a scientific fact that, an experiment which takes same inputs under the same conditions will ALL THE TIME GIVES THE SAME RESULTS.

What is wrong with People!!!

Raisi (EL) atafanya nini pakiwa na idadi kubwa ya wabunge wa UKAWA?
Assumptions ni kitu kibaya sana. Msi-assume kwamba UKAWA hawajayafikiri haya mnayowatahadharisha nayo.
 
Hivi msimamo wa Lowasa kuhusu katiba mpya ukoje?
Manake kwangu issues anazosimamia mgombea ndio zinaweza kunishawishi kumkubali au kumkataa.
Usafi ni kigezo ila kwa kuwa kwa sasa hatuna msafi then naweka pembeni
Kwangu katiba mpya ni muhimu sana na natamani mazuri yote yabaki na mabaya yatolewe kabla haijapitishwa.
 
..Ukiondoa fukuto la Zitto akiwa PAC kucharurana na mashirika na hata kuhakiki Serikali, sijaisikia Chadema ikileta hoja au muswaada bungeni wa kurudisha maadili au kuhakikisha matumizi mabaya ya fedha za Serikali kama ripoti ya CAG inavyosema miaka nenda rudi.

.....
Chadema haina uwezo kuiangusha CCM pekee yake bila kuungana na wenziwe. Kitendo cha kufarakana na Zitto na hata kutoa mwanya kwa Zitto kuanzisha chama na kukinadi kwa itikadi kwanza, kinaashiria mpasuko wa kifikra ndani ya Chadema kutokana na kukosa Itikadi na Sera inayoeleweka na kuaminika.

Zaidi ya Zitto, sidhani kama kina Mbowe na Dr. Slaa walikuwa na nia ya kupigania waTanzania hohehahe. Mbowe na Slaa lao kubwa ni madaraka na hawajali watakavyoyapata. Kumfukuza Zitto ilikuwa ni kwa sababu ya tofauti hiyo ambapo Zitto alitaka kuongoza chama ili kiwe na msingi ya kupigania waTZ na sio kwa lengo tu la kuingia ikulu. Kwa CHADEMA kumkumbatia Lowassa, yule yule wa 'List of Shame', ni kuthibitisha tu zile tofauti zao na Zitto.
 


Raisi (EL) atafanya nini pakiwa na idadi kubwa ya wabunge wa UKAWA?
Assumptions ni kitu kibaya sana. Msi-assume kwamba UKAWA hawajayafikiri haya mnayowatahadharisha nayo.

Ndoto za mwendawazimu??
 
I believe that he does not want to dismantle everything. There is too much at stake. I don't want him to give room to CCM to win. He must be considering the lesser of the two evils. Would it be better to have Lowasa rule through CDM or to have Magufuli rule us through CCM? Let us give him time to come out and speak to us, his loyal supporters.

So now you support the most corrupt leader ever, in Tanzania, E. Lowassa, just because he is with CHADEMA? Who will stop Lowassa from being a corrupt leader if he becomes the prez, i.e. the most powerful Tanzanian? How is Lowassa better than, a so far non corrupt Magufuli?
 
Chadema imefikia lango kuu haina haja ya kubishana atangulie nani. angalieni maadui watawakuta hapo nanyi mtashia hapo. hapo itakuwa kilio na kusga meno. wafuasi wenu mtawaambiaje. Ingieni ndani kwanza na yule alieshafika mbele asivutwe shati! Maana nyuma yake watu wengi wanamhimiza INgiaaa! Ingia! Ingia! umati mkubwa!
 
Miaka kadhaa iliyopita, niliwahi kuhoji wazi kuwa Siasa zetu zina mirengo gani au itikadi gani? Nakumbuka Mkandara alinijibu kuwa Tanzania hakuna itikadi au mirengo.

Tunachokiona ni mufilisi wa Kisiasa. Chama kukosa Itikadi inayoeleweka na kushabihiana na wananchi.

Leo hii, chama kinavutaka kati ya Neo Ultra Conservatives, Centrists na Liberals lakini hawana itikadi hata kidogo ya kusema Chadema ni chama cha siasa za namna gani.

Ukweli ni kuwa Chadema hakikuwa na hoja yeyote ile kujiuza zaidi ya Ufisadi.

Najiuliza kaam leo kwa mazingaombwe CCM wamediriki kumng'oa kwa makusudi kabisa hata kukiukwa demokrasia mtu ambaye angekuwa kibwagizo cha Chadema kwenye uchaguzi kutokana na hisia na taswira ya Ufisadi, leo hii Chadema wanakwenda Uchaguzi mkuu na agenda gani? Je ni agenda ya kiuchumi, kisiasa, kijamii au kimaadili?

Nzkumbuka nilipoandika Chadema must Reform, na matusi ya kuitwa msaliti kisa nilihoji People's Power!

Sasa Chadema wameamua kumfuata Malcolm X "by any means necessary" kama jinsi Kikwete siku ya Mkutano Mkuu aliposema Magufuli atawapeleka CCM Ikulu, Chadema imewekeza macho yote Ikulu!

Si Siri Lowassa anakuja na wasifu mkubwa sana wa kimfumo, kiuongozi na influence. Lakini, je Manifesto ya Lowassa alipotangaza nia akiwa CCM inaendana na Ilani ya Chadema au hata ya Ukawa?

Je katika ushirika huu wa Ukawa, leo hii Chadema wakiamua kunyoa badala ya kusuka na kufarakana kutokana na hamu na tamaa ya kwenda Ikulu iliyowafanya kuingia mkataba na wengine je haitaipa CCM ushindi mkubwa na hivyo kuua kabisa upinzani ukizingatia tayari CCM ina kundi la vijana walio tayari kuwa viongozi wa chama na Serikali 2020 na hata 2025?

Nitasema hivi kuhusu ninavyompima Lowassa pamoja na kuandika mengi kuhusu yeye miaka kadhaa na mpaka kukajengeka dhana kuwa mimi ni mfuasi wa Lowassa.

Lowassa ni Gladiator, anaingia ulingoni akijua ama atatoka hai au atatoka maiti na he has nothing to loose. Lowassa anatafuta uwanja wa kwenda kupigana hata kama itakuwa ndio mapigano yake ya mwisho. He has nothing to loose anymore.

Hivyo, ni lazima Chadema watafakari watakachokifanya na mapokeo hasi ikiwa watawageuka Ukawa na hata credibility yao kushuka zaidi.

Kitendo cha wao kuwa mstari wa mbele kumpokea Lowassa kimewaweka katika predicament mbaya, credibility imeshaingia maoda na walakini kwa kuwa miaka yote 10 iliyopita, walikuwa na hoja moja tuu kama kipaumbele cha kujinadi kwa Taifa na kilianzia MwembeYanga na orodha ya Mafisadi na hadithi za mafisadi.

Lakini hoja yao imejikita zaidi katika watu, mtu mmoja moja na si mfumo mzima ulioleta na kulelea ufisadi.

Ukiondoa fukuto la Zitto akiwa PAC kucharurana na mashirika na hata kuhakiki Serikali, sijaisikia Chadema ikileta hoja au muswaada bungeni wa kurudisha maadili au kuhakikisha matumizi mabaya ya fedha za Serikali kama ripoti ya CAG inavyosema miaka nenda rudi.

Hata kama kura za Chadema zingekuwa ni 10 tuu, na CCM wakipiga kura ya wingi ya hapana, lakini at least ingeonekana wazi kuwa suala la vita vya ufisadi si mikutano ya kutaja majina na tuhuma bali ni kuwepo na msukumo wa kujenga mfumo fanisi wa kisheria ndani ya Serikali hata kumpa DPP na AG uwezo wa kuwa huru kupeleka mafaili Ikulu kupata kibali cha kufungua mashitaka!

Option walionayo sasa Chadema na ni likely inabidi waimeze at this last minute ni ama kumtema Lowassa na kukiri kwa Watanzania kuwa alibugi stepu au kumkubali Lowassa na kuungana naye "kuiangusha" CCM si Ikulu pekee bali hata Bungeni (kumbuka chama chenye viti vingi inatoa Spika na Waziri Mkuu).

Hili liwe fundisho la mwisho kwa vyama vinavyojiendea tuu bila kuwa na itikadi inayoeleweka.

Leo Ilani ya Ukawa ni kubwa kuliko ya Chadema kutokana na makubaliano ya Ukawa. Je Chadema na hasa lile kundi la Neo/Ultra Conservative wa Chadema (rafiki na kaka yangu Mwanakijiji akiwa kundi hili) liko tayari kuheshimu uamuzi wa umoja wa Ukawa?

Chadema haina uwezo kuiangusha CCM pekee yake bila kuungana na wenziwe. Kitendo cha kufarakana na Zitto na hata kutoa mwanya kwa Zitto kuanzisha chama na kukinadi kwa itikadi kwanza, kinaashiria mpasuko wa kifikra ndani ya Chadema kutokana na kukosa Itikadi na Sera inayoeleweka na kuaminika.

Nasikitika kuwa inabidi niungane na Mwalimu Augustine na Susuziri kusema jitihada zote za kujenga Chadema kifikra na kiitikadi zimeishia hapa.

Sasa ni lazima wasuke twende kilioni, waungane na Lowassa kama wamoja, wameze nyembe na ego binafsi na kufanya kazi pamoja kuwadhihirishia Watanzani akuwa lengo la kuing'oa CCM ni la dhati na ikiwa watashinda uchaguzi (Ukawa), lazima watuonyeshe kuwa wao si sawa na CCM kwa vitendo na si hotuba za majukwaani.

Ni aibu kubwa sana kusikia tetesi kuwa kuna mfarakano na kukosekana kwa msemaji mkuu kujibu hoja au kutoa ufafanuzi wa kinachojiri.

Lowassa anarudisha fomu wikiendi hii. Je wale conservatives wakisusa, wakazira na kujitoa, atakayeumia ni nani?

Uchaguzi huu ulikuwa na slogan mbili: Its economy stupid and we want Change and not more of Same... lakini uhalisia Chadema na Ukawa wamebidi kumchukua Lowassa na hivyo wanagota kati ya Change na More of the Same... CCM wanaponea hasira za mkizi na hata yale maswali magumu kwao kuhusu uchumi wa Taifa yatasahaulika kutokana na Chadema kukwama mchangani kutokana na tofauti hizi za kimtazamo na itikadi isiyokuwepo.

Ni wazo la Mchungaji jioni hii!

I hear you Rev.

Twende kazini sasa mavuno ni Mengi. tutashinda, tutarekebisha..

Lakini kwanza tutashinda!!

Comrade,
 
Great day Comrades,

Leo nimedhani kuwa wakati muafaka kuandika kuhusu hili. imenichukuwa muda kwakweli, kukusanya ujasiri wakuandika haya hasa kwa heshima ya mtu ambaye nina panga kum address, na influence ninayoiona anayo kwa watu katika mitandao hii.. kum address hasa katika namna ya kujaribu kuubadili au kuukosoa mtazamo wake au kubadili approach yake kwa mambo, inahitaji confindence in ones own believe, and in the ability of the one you are addressing to sieve through your argument and pick out the insights put forward at the end of the day rather than pick up a fight.

Nimesoma posts zako nyingi, nyingi nikikubaliana na mtazamo wako kuhusu mambo husika lakini kadhaa nikitofautiana nawe kidhana (ideally or in concept), na wakati mwingine nikitafautiana nawe katika approach tu hakika.

Wakati wa rumors za usaliti wa ZZK, na kesi yake dhidi ya chama na hatimaye kufukuzwa uwanachama. wakati wa mtikisiko juu ya kesi ya kubambikwa ya kamanda Lwakatare na wengine hadi ushindi wetu kama chama katika hilo, na sasa wakati huu wa ujuio wa lowasa chadema, zote nyakati ngumu kwa movement hii, lakini kwote umetoa mawazo yako na hakika umekua mchango mzuri katika kutoa leadership kwa watu wetu... again, whether always right or sometimes wrong si swala sana, kimsingi you have always offered leadership, leadership ambayo watu wakiikosa hutoa hisia zao vinginevyo (na hatari ya husambaratika hua more real)

Nyakati zote za changamoto katika movement yetu ya mabadiliko kwa taifa letu watu wamekuwa wakitafuta uongozi kutoka kwa watu mbali mbali, wakati mwingine Uongozi rasmi wa chama kwamaana ya wenyeviti na makatibu and the like kimkakati na kisiasa wanakua si watu sahihi kutoa mawazo yao kuhusu maswala flani, umefanya vyema mara zote kuwa mstari wa mbele kutoa mawazo yako na mtazamo katika hali hizo ngumu na kwakufanya hivyo kuwapa watu the leadership they needed. Narudia whether leadership towards the positive or leadership towards the negative sihoja sana.


lakini Ilikufupisha bandiko hili, ninaomba kuzungumzia suala hili tulilonalo sasa. Baada ya kumpokea waziri mkuu wa zamani ndugu Edward Lowasa kukaribishwa UKAWA na kupokelewa na Chadema kama mwanachama na huenda kama mgombea uraisi kwa chama chetu yapo mengi yanayo zungumzwa.

kilichonifanya kukosa uvumilivu na kunibidi kutafuta ujasiri waku kuandikia waraka huu "wawazi" ni mtazamo uliyo uweka wazi ukiuita "Msimamo" wakutokukubaliana na move ya lowasa kuja ukawa/chadema na kugombea uraisi, ukizungumzia swala hili kama kuwatupa makamanda wako wa vita wa zamani kwasababu ya makamanda wa adui uliowateka.

while agreeing with this stand in principle, am afraid i differ with you in value. nina jua wewe umeelewa, ila wengi hawajaelewa, nitaelezea;

Wewe ni mtu mwenye influence kwenye jamii ya mitandao hii, maranyingi mtazamo wako una infulence mitazamo ya wengine wengi. in other words you are a leader!.. na nivizuri ulifahamu hili., i dont know you in person, hivyo sijui wewe ni nani hasa, na kama unacheo chauongozi au lah,(possibly adding my confidence:redface🙂 lakini hiyo haijalishi. Just by virtue of having the influence that you have on the public you are a leader! and you should know that!

Now there is a difference between a leader and a manger., and i know you know this. as a leader you are visionary, you look at the bigger picture, you influence and inspire unity towards the main target, yours are the policy issues, the corporate level affairs, you work to remind the people of the greater picture, the greater good. when people are overwhelmed by the emotions (positive or negative) energies that arise from events of the daily affairs of the corporate life, you remind them of what actually we are fighting against, who really is the enemy, leaders bring people together! leaders do not work to divide! leaders maintain the focus of the people! kiongozi na uvumilivu nivitu ambavyo huwezi kuvitenganisha, wakati mwingine kiongozi atayaona mambo yakifanyika tofauti na vile ambavyo anafikiri kuwa sawa, lakini kiongozi atatafuta kuangalia nini anataka watuwake wajifunze kutokana na yanayo tokea.. a leader is not a superintendent wakati mwingine you give room for error because you know that people learn from errors, and there is always a good side in every situation because you can learn. Mara nyingi nimekua nikipenda katika kuzungumzia kwangu tabia za viongozi kutumia kamsemo haka kwamba "wakati mwingine inambidi kiongozi kutafuna pilipili huku akitabasamu"

Kwahakika, inawezekana kabisa kukawa na kiongozi wa cheo (a leader by position) katika institution au jamii flani, lakini wakikaa mathalan kwenye kikao actually asiwe kiongozi pale, anaweza kuwa ndiye mwenye cheo pale, lakini si aliye kiongozi pale, kwanini??? kwasababu huenda yupo mulendani ambaye hana cheo lakini kwa influence aliyo nayo kwa wajumbe wenzake.. yeye ndiye hasaa kiongozi mule ndani.. ana influence mawazo ya wajumbe wenzake.. na wote wanamsikiliza., wanamuamini., wewe nikiongozi kwa influence uliyo nayo.

now because you are a leader! kwanza litambue hilo.

Pili, Sikatai mtazamo wako kuhusu kuto kukubaliana na kuja kwa lowasa na kupewa kugombea uraisi. sikatai wewe kuwa na msimamo wako., lakini ninadhani kwakua unaifahamu nafasi yako, nivyema ukakumbuka lengo kuu, ukakumbuka the real enemy ni nani., ukakumbuka what the vision has always been., ukajiuliza has it been to put someone in power?? or to keep the chadema idea only to the chosen ones and branding some of those that were not with us just not fit to take part in this movement for change??? or has it been kupambana na CCM na kuing'oa madarakani?

Which of the two is the bigger picture?? ukipata majibu ya hayo nimuhimu sana!! sana!! kuhakikisha kwa nafasi yako unainfluence kundi la wale wanao kusikiliza towards oneness, towards the purpose., muhimu kujiuliza je comment yangu kwakua nina influence inawapeleka wapi watu unao waongoza?

Hatakama msimamo wako ulikua wa dhati kabisa, kwamaana yakuwa ndivyo unavyo amini kabisa ndani ya moyo wako, kwamba tunakosea sana kuchukua kamanda wa maadui tuliye mteka na kumpa nafasi kuongoza hukutuki mrelief kamanda wetu wenyewe tuliye kuwa naye wakati wote wa mapambano. kwamba hii sio sawa katika mazingira yoyote!

Well, that may be what you really feel, and its not my intention to talk you out of that belief, lakini.. hapa ndipo unapotakiwa kuhakikisha the leadership that you give to the people that you have influence over is not just ANY KIND of leadership but the right leadership. A positive leadership!!! leadership towards achievement of the greater goal.,!!! making sure you influence them to see the bigger picture!! keeping the team together!

kiongozi hasemi tu hisia zake iliwatu wasikie anavyojisikia kuhusu jambo flani, no! unasema kwa lengo!

Mawazo yako yanayoweza kuvunja umoja wa jeshi lako hatakama ni mawazo ya dhati kabisa na mawazo sahihi kwa mtazamo wako ila hayawezi kutoa a positve leadership to the poeple in approaching towards the greater goal, hayafai kusema!!

ndiyo maana watu flani husema "If you think what you you have to say is not anything positive,keep it to yourself"

Muhimu sana kuzingatia hili kama kiongozi, its not about hisia zako binafsi really. na hii imfikie na Zitto Zuberi Kabwe!! maswala ya kuja na misimamo na conditions za azimio la tabora ilikujiondoa kwenye umoja halafu tunadai eti tunataka ukombozi wa dhati wa Nchi hii kutoka mikononi mwa CCM nadhani ni kuwa very self destructive!!! muhimu sana wote tukazungumza lugha moja! tukapigana vita moja!!

Mimi nadhani wakati kama huu ni wakati ambao movement yetu iko at the vulnerable stage, tumekaribia sana kufikia lengo letu kuu,.- kung'oa CCM. lakini style ambayo nguvu hii ya kumpiga adui imepatikana huenda ikashababisha maumivu kwa wenzetu wachache! na niseme tu itawaumiza tu wale ambao watashindwa kutazama the bigger picture!!

Nina mpongeza sana Mr. Freeman, anafanya kazi nzuri, uwezo wake wakuwaongoza watu towards whta the next right move is hauna mashaka.

ninawaomba sote!, akiwemo ndugu yetu daktari (wa filosofia) W. P Slaa ambaye juzi tu niliandika uzi mwingine niki acknoledge uwezo wake mkubwa na kumuomba asikubali kupandikiziwa hisia negative za retaliation na kuzira na nini ambazo zinapandwa na hao hao wasio itakia mema movement hii (ambao ni CCM hao hao)

Naniwaomba sote ambao tuna influence kwanamna flani hatakama ni kwa mtu mmoja tu mwingine, let us influence them positively!!!

lengo kuu hapa ni kuing'oa CCM.!!!! Mzee Mwanakijiji baada ya yote tuliyo yapitia katika mapambano haya! napenda kuamini hatutakuwa tena sababu ya kutukwaza kufikia lengo letu kuu- kuing'oa CCM!!

ikumbukwe; Siasa niupepo! watu tunaowapa matumaini kila mwaka wa uchaguzi kuwa ushindi unawezekana CCM inang'ooka!! halafu uchguzi unafanyika tunashindwa uchaguzi tena na CCM, si wote wana mioyo mikuu na uelwa wa vita hii na wanaweza kupambana hata kama ingechukua miongo kadhaa au hata maisha yao yote katika mapambano kabla ndoto yetu haija timia, wengine wata kata tamaa., watakapo ona havitimii, kazi yetu itazidi kuwa ngumu!

Mitaani huku tunawasikia wananchi wakisema "CCM isipo ondoka mwaka huu haitakaa iondoke"

Nimeupenda msemo wa bwana mmoja niliuona humu ndani akisema "Chadema Tuna Gawana Majukumu Hatugawani Vyeo" muhimu sana kukumbuka hii.

This time we have a chance!! a real chance!! and am sayi we have a chnace NOT beacause lowasa kahamia upinzani, lakini kwasababu CCM inajibomoa yenyewe!!! nimesema let us propagate that!! wacha wapasuane kabisa!!!! tunapokwenda kwenye uchaguzi tuwamalize kabisa!!

let us not waste our energy in self destructive efforts!! adui yetu tunamjua!! lets not let them survive this last blow!

Mzee Mwanakijiji, Comrade,

Ninakushukuru Sana.

Bwana Character X wewe sikujui ni nani in personal ila labda nikuulize. Unasema adui yetu ni ccm.
1)Naomba utusaidie kueleza ni adui yetu kwa mambo yapi hasa kwa sasa ili iwe rahisi kuyaeleza mambo hayo kwa wananchi.
2) na kama ccm ni adui yetu je sisi tuna matazamio gani kama endapo tutashinda uchaguzi mwaka huu.
3)
 
Great day Comrades,

Leo nimedhani kuwa wakati muafaka kuandika kuhusu hili. imenichukuwa muda kwakweli, kukusanya ujasiri wakuandika haya hasa kwa heshima ya mtu ambaye nina panga kum address, na influence ninayoiona anayo kwa watu katika mitandao hii.. kum address hasa katika namna ya kujaribu kuubadili au kuukosoa mtazamo wake au kubadili approach yake kwa mambo, inahitaji confindence in ones own believe, and in the ability of the one you are addressing to sieve through your argument and pick out the insights put forward at the end of the day rather than pick up a fight.

Nimesoma posts zako nyingi, nyingi nikikubaliana na mtazamo wako kuhusu mambo husika lakini kadhaa nikitofautiana nawe kidhana (ideally or in concept), na wakati mwingine nikitafautiana nawe katika approach tu hakika.

Wakati wa rumors za usaliti wa ZZK, na kesi yake dhidi ya chama na hatimaye kufukuzwa uwanachama. wakati wa mtikisiko juu ya kesi ya kubambikwa ya kamanda Lwakatare na wengine hadi ushindi wetu kama chama katika hilo, na sasa wakati huu wa ujuio wa lowasa chadema, zote nyakati ngumu kwa movement hii, lakini kwote umetoa mawazo yako na hakika umekua mchango mzuri katika kutoa leadership kwa watu wetu... again, whether always right or sometimes wrong si swala sana, kimsingi you have always offered leadership, leadership ambayo watu wakiikosa hutoa hisia zao vinginevyo (na hatari ya husambaratika hua more real)

Nyakati zote za changamoto katika movement yetu ya mabadiliko kwa taifa letu watu wamekuwa wakitafuta uongozi kutoka kwa watu mbali mbali, wakati mwingine Uongozi rasmi wa chama kwamaana ya wenyeviti na makatibu and the like kimkakati na kisiasa wanakua si watu sahihi kutoa mawazo yao kuhusu maswala flani, umefanya vyema mara zote kuwa mstari wa mbele kutoa mawazo yako na mtazamo katika hali hizo ngumu na kwakufanya hivyo kuwapa watu the leadership they needed. Narudia whether leadership towards the positive or leadership towards the negative sihoja sana.


lakini Ilikufupisha bandiko hili, ninaomba kuzungumzia suala hili tulilonalo sasa. Baada ya kumpokea waziri mkuu wa zamani ndugu Edward Lowasa kukaribishwa UKAWA na kupokelewa na Chadema kama mwanachama na huenda kama mgombea uraisi kwa chama chetu yapo mengi yanayo zungumzwa.

kilichonifanya kukosa uvumilivu na kunibidi kutafuta ujasiri waku kuandikia waraka huu "wawazi" ni mtazamo uliyo uweka wazi ukiuita "Msimamo" wakutokukubaliana na move ya lowasa kuja ukawa/chadema na kugombea uraisi, ukizungumzia swala hili kama kuwatupa makamanda wako wa vita wa zamani kwasababu ya makamanda wa adui uliowateka.

while agreeing with this stand in principle, am afraid i differ with you in value. nina jua wewe umeelewa, ila wengi hawajaelewa, nitaelezea;

Wewe ni mtu mwenye influence kwenye jamii ya mitandao hii, maranyingi mtazamo wako una infulence mitazamo ya wengine wengi. in other words you are a leader!.. na nivizuri ulifahamu hili., i dont know you in person, hivyo sijui wewe ni nani hasa, na kama unacheo chauongozi au lah,(possibly adding my confidence:redface🙂 lakini hiyo haijalishi. Just by virtue of having the influence that you have on the public you are a leader! and you should know that!

Now there is a difference between a leader and a manger., and i know you know this. as a leader you are visionary, you look at the bigger picture, you influence and inspire unity towards the main target, yours are the policy issues, the corporate level affairs, you work to remind the people of the greater picture, the greater good. when people are overwhelmed by the emotions (positive or negative) energies that arise from events of the daily affairs of the corporate life, you remind them of what actually we are fighting against, who really is the enemy, leaders bring people together! leaders do not work to divide! leaders maintain the focus of the people! kiongozi na uvumilivu nivitu ambavyo huwezi kuvitenganisha, wakati mwingine kiongozi atayaona mambo yakifanyika tofauti na vile ambavyo anafikiri kuwa sawa, lakini kiongozi atatafuta kuangalia nini anataka watuwake wajifunze kutokana na yanayo tokea.. a leader is not a superintendent wakati mwingine you give room for error because you know that people learn from errors, and there is always a good side in every situation because you can learn. Mara nyingi nimekua nikipenda katika kuzungumzia kwangu tabia za viongozi kutumia kamsemo haka kwamba "wakati mwingine inambidi kiongozi kutafuna pilipili huku akitabasamu"

Kwahakika, inawezekana kabisa kukawa na kiongozi wa cheo (a leader by position) katika institution au jamii flani, lakini wakikaa mathalan kwenye kikao actually asiwe kiongozi pale, anaweza kuwa ndiye mwenye cheo pale, lakini si aliye kiongozi pale, kwanini??? kwasababu huenda yupo mulendani ambaye hana cheo lakini kwa influence aliyo nayo kwa wajumbe wenzake.. yeye ndiye hasaa kiongozi mule ndani.. ana influence mawazo ya wajumbe wenzake.. na wote wanamsikiliza., wanamuamini., wewe nikiongozi kwa influence uliyo nayo.

now because you are a leader! kwanza litambue hilo.

Pili, Sikatai mtazamo wako kuhusu kuto kukubaliana na kuja kwa lowasa na kupewa kugombea uraisi. sikatai wewe kuwa na msimamo wako., lakini ninadhani kwakua unaifahamu nafasi yako, nivyema ukakumbuka lengo kuu, ukakumbuka the real enemy ni nani., ukakumbuka what the vision has always been., ukajiuliza has it been to put someone in power?? or to keep the chadema idea only to the chosen ones and branding some of those that were not with us just not fit to take part in this movement for change??? or has it been kupambana na CCM na kuing'oa madarakani?

Which of the two is the bigger picture?? ukipata majibu ya hayo nimuhimu sana!! sana!! kuhakikisha kwa nafasi yako unainfluence kundi la wale wanao kusikiliza towards oneness, towards the purpose., muhimu kujiuliza je comment yangu kwakua nina influence inawapeleka wapi watu unao waongoza?

Hatakama msimamo wako ulikua wa dhati kabisa, kwamaana yakuwa ndivyo unavyo amini kabisa ndani ya moyo wako, kwamba tunakosea sana kuchukua kamanda wa maadui tuliye mteka na kumpa nafasi kuongoza hukutuki mrelief kamanda wetu wenyewe tuliye kuwa naye wakati wote wa mapambano. kwamba hii sio sawa katika mazingira yoyote!

Well, that may be what you really feel, and its not my intention to talk you out of that belief, lakini.. hapa ndipo unapotakiwa kuhakikisha the leadership that you give to the people that you have influence over is not just ANY KIND of leadership but the right leadership. A positive leadership!!! leadership towards achievement of the greater goal.,!!! making sure you influence them to see the bigger picture!! keeping the team together!

kiongozi hasemi tu hisia zake iliwatu wasikie anavyojisikia kuhusu jambo flani, no! unasema kwa lengo!

Mawazo yako yanayoweza kuvunja umoja wa jeshi lako hatakama ni mawazo ya dhati kabisa na mawazo sahihi kwa mtazamo wako ila hayawezi kutoa a positve leadership to the poeple in approaching towards the greater goal, hayafai kusema!!

ndiyo maana watu flani husema "If you think what you you have to say is not anything positive,keep it to yourself"

Muhimu sana kuzingatia hili kama kiongozi, its not about hisia zako binafsi really. na hii imfikie na Zitto Zuberi Kabwe!! maswala ya kuja na misimamo na conditions za azimio la tabora ilikujiondoa kwenye umoja halafu tunadai eti tunataka ukombozi wa dhati wa Nchi hii kutoka mikononi mwa CCM nadhani ni kuwa very self destructive!!! muhimu sana wote tukazungumza lugha moja! tukapigana vita moja!!

Mimi nadhani wakati kama huu ni wakati ambao movement yetu iko at the vulnerable stage, tumekaribia sana kufikia lengo letu kuu,.- kung'oa CCM. lakini style ambayo nguvu hii ya kumpiga adui imepatikana huenda ikashababisha maumivu kwa wenzetu wachache! na niseme tu itawaumiza tu wale ambao watashindwa kutazama the bigger picture!!

Nina mpongeza sana Mr. Freeman, anafanya kazi nzuri, uwezo wake wakuwaongoza watu towards whta the next right move is hauna mashaka.

ninawaomba sote!, akiwemo ndugu yetu daktari (wa filosofia) W. P Slaa ambaye juzi tu niliandika uzi mwingine niki acknoledge uwezo wake mkubwa na kumuomba asikubali kupandikiziwa hisia negative za retaliation na kuzira na nini ambazo zinapandwa na hao hao wasio itakia mema movement hii (ambao ni CCM hao hao)

Naniwaomba sote ambao tuna influence kwanamna flani hatakama ni kwa mtu mmoja tu mwingine, let us influence them positively!!!

lengo kuu hapa ni kuing'oa CCM.!!!! Mzee Mwanakijiji baada ya yote tuliyo yapitia katika mapambano haya! napenda kuamini hatutakuwa tena sababu ya kutukwaza kufikia lengo letu kuu- kuing'oa CCM!!

ikumbukwe; Siasa niupepo! watu tunaowapa matumaini kila mwaka wa uchaguzi kuwa ushindi unawezekana CCM inang'ooka!! halafu uchguzi unafanyika tunashindwa uchaguzi tena na CCM, si wote wana mioyo mikuu na uelwa wa vita hii na wanaweza kupambana hata kama ingechukua miongo kadhaa au hata maisha yao yote katika mapambano kabla ndoto yetu haija timia, wengine wata kata tamaa., watakapo ona havitimii, kazi yetu itazidi kuwa ngumu!

Mitaani huku tunawasikia wananchi wakisema "CCM isipo ondoka mwaka huu haitakaa iondoke"

Nimeupenda msemo wa bwana mmoja niliuona humu ndani akisema "Chadema Tuna Gawana Majukumu Hatugawani Vyeo" muhimu sana kukumbuka hii.

This time we have a chance!! a real chance!! and am sayi we have a chnace NOT beacause lowasa kahamia upinzani, lakini kwasababu CCM inajibomoa yenyewe!!! nimesema let us propagate that!! wacha wapasuane kabisa!!!! tunapokwenda kwenye uchaguzi tuwamalize kabisa!!

let us not waste our energy in self destructive efforts!! adui yetu tunamjua!! lets not let them survive this last blow!

Mzee Mwanakijiji, Comrade,

Ninakushukuru Sana.

Bwana Character X wewe sikujui ni nani in personal ila labda nikuulize. Unasema adui yetu ni ccm.
1)Naomba utusaidie kueleza ni adui yetu kwa mambo yapi hasa kwa sasa ili iwe rahisi kuyaeleza mambo hayo kwa wananchi.
2) na kama ccm ni adui yetu je sisi tuna matazamio gani kama endapo tutashinda uchaguzi mwaka huu.
3)je tumejipangaje kuundoa mfumo uliotoka ccm na kuhamia ukawa kwa sasa kwa sababu najua ni limfumo lipana sana na lina mizizi mireeefu sana.
Usituambie tu adui yetu ni ccm basi unaishia hapo. Weka mambo wazi, vinginevyo tutajua sababu hasa ni kutaka tu madaraka na iwe zamu ya kutawala na si vinginevyo.
Unashawishi wananchi wapambane kuitoa ccm ili nasisi tuweze kula keki ya Taifa zamu yetu hahahah! Hizo zitakuwa fikra potovu na mbaya sana tutakuwa tunazipandikiza. Kama hakuna hoja kwa sasa, ili kulinda amani ya nchi yetu ni bora tujitahidi tuongeze wabunge tuu na ccm iendelee kujisafisha na kutawala, fullstop. Hakuna raslimali ya kuanza kugawa eti kwa zamu wakati majority wanahangamia.
Kuna watu wanajifanya eti wazalendo wanataka vitalu vya gesi wapewe wazalendo. Sijawahi kuwaelewa hata kidogo. Yaani badala ya kuipa kampuni ya ummamiliki hiyo apewe mtu binafsi kwa sababu ya uzalendo. Tunakuwa tunanufaisha mtu binafsi au watanzania kwa ujumla.wao? ??
 


Raisi (EL) atafanya nini pakiwa na idadi kubwa ya wabunge wa UKAWA?
Assumptions ni kitu kibaya sana. Msi-assume kwamba UKAWA hawajayafikiri haya mnayowatahadharisha nayo.

How can you say assumptions ni kitu kibaya sana, while you have just made one assumption yourself? Idadi kubwa ya wabunge wa UKAWA, you are assuming that they will be loyal to UKAWA and not the guy who was ceremoniously brought in to help UKAWA!! And i didn't make any assumptions, i made a number of observations and gave my opinion based on those observations.
 
Mwalimu Augustino, na wengine; niwahakikishie kuwa sauti za wapenda mabadiliko ya kweli zinasikika kwa ukubwa wake wote (loud and clear). Ni matumaini yangu kabla ya siku chache zijazo maamuzi sahihi na ya lazima yatachukuliwa yote yakilenga siyo kuing'oa CCM madarakani tu kama baadhi ya watu wanataka bali kuleta uongozi na utawala bora kuliko ambao umetolewa na CCM au unaopendekezwa na CCM katika uchaguzi huu. Nawaomba tuwe na subira kidogo; yote hayajapotea bado.

MMM

Tutasubiri, katika kusubiri huko ndipo pia tutafahamiana vizuri hulka na tabia.

Na pia tukubaliane kuwa bado tutaelewana ikiwa wewe ulikataa langu nami nikikataa lako na bado safari itaendelea kwa msigano!!!

Uzuri boti usiyokuwemo ikizama utahadithia.
 
Adui wa Tanzania ni CCM kwa attribute ya ufisadi tu. Ufisadi ndo uliotufikisha hapa tulipo kwa mashua ikiwa ni CCM kwa sababu ya ufisadi. Lakini manahodha walioifikisha hapa CCM kwa sababu ya ufisadi wamekitekeleza chombo cha mashua CCM, na kutimukia ktk mashua CHADEMA, ili kuwafikisha CHADEMA walipowaacha CCM. Very interesting.

Na ukiiondoa attribute ya ufisadi ndani ya CCM, hivi adui wa Tanzania anakuwa ni nani? Kwi kwi kwi kwi
 
Nliwah kusema na nitasema tena Mnisamehe tu kama nitawakwaza. DR SLAA SI PRESIDENTIAL MATERIAL. mimi si CCM wala CDM ila napenda niseme kwa uwazi Dr Slaa si Mtu wa kuwa Rais. huyu anafaa kuwa Mbunge. Niliwatajia matatizo kadhaa ya Dr Slaa. Ila niwaambie kama Dr Slaa atajitoa aua mejitoa CDM si kwa sababu eti tatizo ni shutuma za Lowassa. Dr slaa anaamini anaweza kuwa rais wa tanzania. mke wake anaamini anaweza kuwa first lady na hivyo kulipiza kisasi kwa yote aliyotendewa kipindi kile cha kufanyiwa vurugu mpaka ujauzito kuharibika. tukubali tusikubali uzito wa Dr Slaa na ED Lowassa ni tofauti sana. Lowassa ana uzito jaman. hata akisimama yeye mwenyewe peke yake ana uzito ukiacha chama. dr slaa anabebwa na chama pia. hivi unadhani kwa siasa za kawaida J.Mbilinyi sugu angeshinda MBY kama si kubebwa na chama na wananchi kuwa na chuki na CCM? ndiivyo ilivyo kwa dr slaa. sina tatizo naye hata kidogo ila kwa Urais hatoshi. Kama kuna nia dhabiti ya kushinda vita kila silaha hutumika. wazungu wanase,a " ALL IS FAIR IN LOVE AND WAR" watanzania wamechoka na CCM NA DR SLAA hawezi pambana na Magufuli, hawezi pambana na CCM. kuiangusha CCM INABIDI KUIMEGA,KUIPASUA. kwa sasa lowassa ni mtaji mkubwa. huyu atakuja na siri zinazotumika kuiba kura CCM. atakuja na watu weng ambao wamemkubali, huyu anaijua CCM vibaya sana. ni sawa sawa na unapigana vita kuingia Nchi ya adui kumwondoa halafu kamanda wake mmoja akaamua kujiunga nanyi... huyu hudhan kama anapaswa akae mstari wa mbele kuwasaidia kuingia ndani ya nchi husika kwa kuwa anajua kila kona na vichochoro? anafahamu udhaifu wa adui yenu? kama mnataka ushindi vitani mtatumia kla silaha inayopatikana kupigana na adui yenu. hakutakuwa na muda wa kuchagua uhalali wa silaha husika. KAMA LOWASSA ANA UFISADI HIVYO ASINGETHUBUTU KUTOKA CCM maana anajua CCM WATAMWANIKA HADHARANI. FISADI HAWEZI HAMA CCM hata siku moja. KWA FISADI CCM NI BABA NA MAMA YAKE. nani anathubutu kukihama na kukipinga chama kilichomsaidia kufanya ufisadi? nadhan NYERERE ALIPOTISHIA KUHAMA CCM nini kilimpa ujairi huo? coz alijijua alikuwa safi. leo HII MKAPA, MWINYI KIKWETE hata watukanwe na wadhalilishwe vipi hawawezi hama CCM. hawana ujasiri huo kwa kuwa wanajua siku wakihama ni mengi yatafunuliwa kuwafuata nyuma yao. CDM mtumie LOWASSA. DR SLAA aache ubinafsi. aangalie maslahi makubwa ya umma, ya watanzania, by the way kama watanzania wataamua safari hii kumchagua fisadi waachiwe. jiulize wamewaza nini kuamua kumchagua fisadi na kuacha watakatifu wengi waliopo? by the way MAGUFULI SI MSAFI. system ina mbeba tu angalia report za CAG.
 
So now you support the most corrupt leader ever, in Tanzania, E. Lowassa, just because he is with CHADEMA? Who will stop Lowassa from being a corrupt leader if he becomes the prez, i.e. the most powerful Tanzanian? How is Lowassa better than, a so far non corrupt Magufuli?

You Sir, misread me. I do not support Team Lowasa ruling us, not even through the machination of taking over CHADEMA first. Changing from Team Kikwete to Team Lowasa is not a real change. No, Sir, I am for real and substantial change, a change that would usher in the rule of law and zero tolerance for corruption.

I am baffled. What would it benefit CHADEMA to win Lowasa and lose Tanzania?
 

You Sir, misread me. I do not support Team Lowasa ruling us, not even through the machination of taking over CHADEMA first. Changing from Team Kikwete to Team Lowasa is not a real change. No, Sir, I am for real and substantial change, a change that would usher in the rule of law and zero tolerance for corruption.

I am baffled. What would it benefit CHADEMA to win Lowasa and lose Tanzania?

Mwalimu, kuna maswali ambayo ukiyafikiria majibu yake unaogopa kweli kweli. Wengi tunataka mabadiliko na siyo madogo hivyo; tunataka CCM ing'oke kweli kweli. Lakini huku kung'oka ambako tunaahidiwa sasa hivi kunaacha mengi sana ya kutamania. Regime change just for the sake of regime change has proved in a number of countries now to be exercises in futility. Hatutaki kubadilisha uongozi tu ilimradi tuseme tumebadilisha. Wananchi wa Zambia walipomuondoa Kaunda wakiongozwa na Chiluba waliamini kabisa kuwa lengo leo limetimie; wameking'oa chama kilichotawala tangu Uhuru madarakani. Well, boy were they wrong.
 

You Sir, misread me. I do not support Team Lowasa ruling us, not even through the machination of taking over CHADEMA first. Changing from Team Kikwete to Team Lowasa is not a real change. No, Sir, I am for real and substantial change, a change that would usher in the rule of law and zero tolerance for corruption.

I am baffled. What would it benefit CHADEMA to win Lowasa and lose Tanzania?

But CHADEMA seems to have already declared that Lowassa is their prez nominee, why keep on crying over CHADEMA rather than picking a better alternative? What's wrong with ACT-Wazalendo or Magufuli?
 
Nliwah kusema na nitasema tena Mnisamehe tu kama nitawakwaza. DR SLAA SI PRESIDENTIAL MATERIAL. mimi si CCM wala CDM ila napenda niseme kwa uwazi Dr Slaa si Mtu wa kuwa Rais. huyu anafaa kuwa Mbunge. Niliwatajia matatizo kadhaa ya Dr Slaa. Ila niwaambie kama Dr Slaa atajitoa aua mejitoa CDM si kwa sababu eti tatizo ni shutuma za Lowassa. Dr slaa anaamini anaweza kuwa rais wa tanzania. mke wake anaamini anaweza kuwa first lady na hivyo kulipiza kisasi kwa yote aliyotendewa kipindi kile cha kufanyiwa vurugu mpaka ujauzito kuharibika. tukubali tusikubali uzito wa Dr Slaa na ED Lowassa ni tofauti sana. Lowassa ana uzito jaman. hata akisimama yeye mwenyewe peke yake ana uzito ukiacha chama. dr slaa anabebwa na chama pia. hivi unadhani kwa siasa za kawaida J.Mbilinyi sugu angeshinda MBY kama si kubebwa na chama na wananchi kuwa na chuki na CCM? ndiivyo ilivyo kwa dr slaa. sina tatizo naye hata kidogo ila kwa Urais hatoshi. Kama kuna nia dhabiti ya kushinda vita kila silaha hutumika. wazungu wanase,a " ALL IS FAIN IN LOVE AND WAR" watanzania wamechoka na CCM NA DR SLAA hawezi pambana na Magufuli, hawezi pambana na CCM. kuiangusha CCM INABIDI KUIMEGA,KUIPASUA. kwa sasa lowassa ni mtaji mkubwa. huyu atakuja na siri zinazotumika kuiba kura CCM. atakuja na watu weng ambao wamemkubali, huyu anaijua CCM vibaya sana. ni sawa sawa na unapigana vita kuingia chi ya adui kumwondoa halafu kamanda wake mmoja akaamua kujiunga nanyi... huyu hudhan kama anapaswa akae mstari wa mbele kuwasiadia kuingia ndani ya nchi husika kwa kuwa anajua kila kona na vichochoro? anafahamu udhaifu wa adui yenu? kama mnataka ushindi vitani mtatumia kla silaha inayopatikana kupigana na adui yenu. hakutakuwa na muda wa kuchagua uhalali wa silaha husika. KAMA LOWASSA ANA UFISADI HIVYO ASINGETHUBUTU KUTOKA CCM maana anajua CCM WATAMWANIKA HADHARANI. FISADI HAWEZI HAMA CCM hata siku moja. KWA FISADI CCM NI BABA NA MAA YAKE. nani anathubutu kukihama na kukipinga chama kilichomsaidia kufanya ufisadi? nadhan NYERERE ALIPOTISHIA KUHAMA CCM nini kilimpa ujairi huo? coz alijijua alikuwa safi. leo HII MKAPA, MWINYI KIKWETE hata watukanwe na wadhalilishwe vipi hawawezi hama CCM. hawana ujasiri huo kwa kuwa wanajua siku wakihama ni mengi yatafunuliwa kuwafuata nyuma yao. CDM mtumie LOWASSA. DR SLAA aache ubinafsi. aangalie maslahi makubwa ya umma, ya watanzania, by the way kama watanzania wataamua safari hii kumchagua fisadi waachine. jiulezi wamewaza nini kuamua kumchagua fisadi na kuacha watakatifu wengi waliopo? by the way MAGUFULI SI MSAFI. system ina mbeba tu angalia report za CAG.

Kumbe na Zitto naye mlimsingizia tu kama mlivyomsingizia Lowasa. Watu wabaya sana ninyi. Zitto amehama na Lowasa amehama na wote wametuhumiwa na CHADEMA.
Kumbe hata ufisadi mwingine mnaosema kuhusu CCM ni uongo tu. Na System mnayosema ni uzushi tu. Hamna lolote la kweli.
 
Back
Top Bottom