Mzee Mwanakijiji, Tafadhali...

Mzee Mwanakijiji, Tafadhali...

So now you support the most corrupt leader ever, in Tanzania, E. Lowassa, just because he is with CHADEMA? Who will stop Lowassa from being a corrupt leader if he becomes the prez, i.e. the most powerful Tanzanian? How is Lowassa better than, a so far non corrupt Magufuli?

Huyo Kibaraka wenu Zitto Kabwe kwanini msimchukue kuhamia CCM!?
 
Hao ndo watanzania, Kama Dr.Slaa hafai kuwa kiongozi ni vigezo gani wanatumia kuonyesha kuwa Lowasa anafaa kuwa Rais wetu, ndo maana huwa napenda kulieleza hili kwamba watanzania sijui tumerogwa na nani, basi hakuna haja ya kuwepo upinzani kwa sababu hawana viongozi ambao wana uwezo, kama hadi tuvizie kutoka ccm, nadhani tuendelee kuwa na imani na ccm, kwanza ni taasisi kubwa sana.
 
Wapinzani wanao pay lip services only kwa upinzani lakini moyoni ni CCM, utawajua tuu siku mkikaribia kando ya mto ili kuvuka lile daraja kwenda kuchukua ushindi!, hao watakataa kuvuka kwa kutoa visingizio vyovyote vya kuogopa maji, hawajawahi kupanda mtumbwi, au hata kuogofya nahodha wa mtumbwi wa kuwavushia etc, ndio maana kuna huu msemo wa kwenye msafara wa mamba, na kenge wamo!. Wakati wa msafara, huwezi kutenganisha watoto wa mamba na kenge, they all look the same!, ila mkifika mtoni ndipo watalazimika kutengana, mamba wataingia majini, kenge wataishia ukingoni!.

Pasco

Wandugu sasa safari imeiva, ndio tunaelekea mtoni tukilikaribia kabisa lile daraja, siku zimekwisha!, jee tutavuka salama? au tutaishia kuzama?, sometimes inawezekana kenge ndio wako very right kuwepo kuwepo tuu kwenye msafara wa mamba, lakini kabla ya kufika mwisho wa safari huingia mitini kwa sababu wameiona hataei ya mbele?!.

Kwa sababu hata viumbe wanatofautiana uwezo wa uelewa wa dalili za hatari zijazo, ndio maana, hata maeneo ya volcano, kabla haijalipuka, wanyama wa mwituni, hukimbia mbali na eneo la hatari, lakini masikini binadamu, ng'ombe, mbuzi, kondoo na wanyama wafungwao, hubakia na kuishia kuteketea!.

Hivyo inawezekana kabisa hata uwepo wa hawa kenge kwenye msafara wa mamba, lengo lake ni kuwaalert mamba kuwa mbele kuna hatari?!, na ndio maana hawa kenge husepa zao kabla ya hatari?!.

Jumapili njema.

Pasco
 
Well said brother! mimi binafsi nimesha acha kusoma uzi wowote wa mzee mwanakijiji kwa sababu najua nilazima atamponda Lowassa.
No turning back ccm ni lazima iondoke..
 
Wandugu sasa safari imeiva, ndio tunaelekea mtoni tukilikaribia kabisa lile daraja, siku zimekwisha!, jee tutavuka salama? au tutaishia kuzama?, sometimes inawezekana kenge ndio wako very right kuwepo kuwepo tuu kwenye msafara wa mamba, lakini kabla ya kufika mwisho wa safari huingia mitini kwa sababu wameiona hataei ya mbele?!.

Kwa sababu hata viumbe wanatofautiana uwezo wa uelewa wa dalili za hatari zijazo, ndio maana, hata maeneo ya volcano, kabla haijalipuka, wanyama wa mwituni, hukimbia mbali na eneo la hatari, lakini masikini binadamu, ng'ombe, mbuzi, kondoo na wanyama wafungwao, hubakia na kuishia kuteketea!.

Hivyo inawezekana kabisa hata uwepo wa hawa kenge kwenye msafara wa mamba, lengo lake ni kuwaalert mamba kuwa mbele kuna hatari?!, na ndio maana hawa kenge husepa zao kabla ya hatari?!.

Jumapili njema.

Pasco

Mmeuzana wenyewe, unachezea mangi. Anakula huku na huku.
 
Great day Comrades,

Leo nimedhani kuwa wakati muafaka kuandika kuhusu hili. imenichukuwa muda kwakweli, kukusanya ujasiri wakuandika haya hasa kwa heshima ya mtu ambaye nina panga kum address, na influence ninayoiona anayo kwa watu katika mitandao hii.. kum address hasa katika namna ya kujaribu kuubadili au kuukosoa mtazamo wake au kubadili approach yake kwa mambo, inahitaji confindence in ones own believe, and in the ability of the one you are addressing to sieve through your argument and pick out the insights put forward at the end of the day rather than pick up a fight.

Nimesoma posts zako nyingi, nyingi nikikubaliana na mtazamo wako kuhusu mambo husika lakini kadhaa nikitofautiana nawe kidhana (ideally or in concept), na wakati mwingine nikitafautiana nawe katika approach tu hakika.

Wakati wa rumors za usaliti wa ZZK, na kesi yake dhidi ya chama na hatimaye kufukuzwa uwanachama. wakati wa mtikisiko juu ya kesi ya kubambikwa ya kamanda Lwakatare na wengine hadi ushindi wetu kama chama katika hilo, na sasa wakati huu wa ujuio wa lowasa chadema, zote nyakati ngumu kwa movement hii, lakini kwote umetoa mawazo yako na hakika umekua mchango mzuri katika kutoa leadership kwa watu wetu... again, whether always right or sometimes wrong si swala sana, kimsingi you have always offered leadership, leadership ambayo watu wakiikosa hutoa hisia zao vinginevyo (na hatari ya husambaratika hua more real)

Nyakati zote za changamoto katika movement yetu ya mabadiliko kwa taifa letu watu wamekuwa wakitafuta uongozi kutoka kwa watu mbali mbali, wakati mwingine Uongozi rasmi wa chama kwamaana ya wenyeviti na makatibu and the like kimkakati na kisiasa wanakua si watu sahihi kutoa mawazo yao kuhusu maswala flani, umefanya vyema mara zote kuwa mstari wa mbele kutoa mawazo yako na mtazamo katika hali hizo ngumu na kwakufanya hivyo kuwapa watu the leadership they needed. Narudia whether leadership towards the positive or leadership towards the negative sihoja sana.


lakini Ilikufupisha bandiko hili, ninaomba kuzungumzia suala hili tulilonalo sasa. Baada ya kumpokea waziri mkuu wa zamani ndugu Edward Lowasa kukaribishwa UKAWA na kupokelewa na Chadema kama mwanachama na huenda kama mgombea uraisi kwa chama chetu yapo mengi yanayo zungumzwa.

kilichonifanya kukosa uvumilivu na kunibidi kutafuta ujasiri waku kuandikia waraka huu "wawazi" ni mtazamo uliyo uweka wazi ukiuita "Msimamo" wakutokukubaliana na move ya lowasa kuja ukawa/chadema na kugombea uraisi, ukizungumzia swala hili kama kuwatupa makamanda wako wa vita wa zamani kwasababu ya makamanda wa adui uliowateka.

while agreeing with this stand in principle, am afraid i differ with you in value. nina jua wewe umeelewa, ila wengi hawajaelewa, nitaelezea;

Wewe ni mtu mwenye influence kwenye jamii ya mitandao hii, maranyingi mtazamo wako una infulence mitazamo ya wengine wengi. in other words you are a leader!.. na nivizuri ulifahamu hili., i dont know you in person, hivyo sijui wewe ni nani hasa, na kama unacheo chauongozi au lah,(possibly adding my confidence:redface🙂 lakini hiyo haijalishi. Just by virtue of having the influence that you have on the public you are a leader! and you should know that!

Now there is a difference between a leader and a manger., and i know you know this. as a leader you are visionary, you look at the bigger picture, you influence and inspire unity towards the main target, yours are the policy issues, the corporate level affairs, you work to remind the people of the greater picture, the greater good. when people are overwhelmed by the emotions (positive or negative) energies that arise from events of the daily affairs of the corporate life, you remind them of what actually we are fighting against, who really is the enemy, leaders bring people together! leaders do not work to divide! leaders maintain the focus of the people! kiongozi na uvumilivu nivitu ambavyo huwezi kuvitenganisha, wakati mwingine kiongozi atayaona mambo yakifanyika tofauti na vile ambavyo anafikiri kuwa sawa, lakini kiongozi atatafuta kuangalia nini anataka watuwake wajifunze kutokana na yanayo tokea.. a leader is not a superintendent wakati mwingine you give room for error because you know that people learn from errors, and there is always a good side in every situation because you can learn. Mara nyingi nimekua nikipenda katika kuzungumzia kwangu tabia za viongozi kutumia kamsemo haka kwamba "wakati mwingine inambidi kiongozi kutafuna pilipili huku akitabasamu"

Kwahakika, inawezekana kabisa kukawa na kiongozi wa cheo (a leader by position) katika institution au jamii flani, lakini wakikaa mathalan kwenye kikao actually asiwe kiongozi pale, anaweza kuwa ndiye mwenye cheo pale, lakini si aliye kiongozi pale, kwanini??? kwasababu huenda yupo mulendani ambaye hana cheo lakini kwa influence aliyo nayo kwa wajumbe wenzake.. yeye ndiye hasaa kiongozi mule ndani.. ana influence mawazo ya wajumbe wenzake.. na wote wanamsikiliza., wanamuamini., wewe nikiongozi kwa influence uliyo nayo.

now because you are a leader! kwanza litambue hilo.

Pili, Sikatai mtazamo wako kuhusu kuto kukubaliana na kuja kwa lowasa na kupewa kugombea uraisi. sikatai wewe kuwa na msimamo wako., lakini ninadhani kwakua unaifahamu nafasi yako, nivyema ukakumbuka lengo kuu, ukakumbuka the real enemy ni nani., ukakumbuka what the vision has always been., ukajiuliza has it been to put someone in power?? or to keep the chadema idea only to the chosen ones and branding some of those that were not with us just not fit to take part in this movement for change??? or has it been kupambana na CCM na kuing'oa madarakani?

Which of the two is the bigger picture?? ukipata majibu ya hayo nimuhimu sana!! sana!! kuhakikisha kwa nafasi yako unainfluence kundi la wale wanao kusikiliza towards oneness, towards the purpose., muhimu kujiuliza je comment yangu kwakua nina influence inawapeleka wapi watu unao waongoza?

Hatakama msimamo wako ulikua wa dhati kabisa, kwamaana yakuwa ndivyo unavyo amini kabisa ndani ya moyo wako, kwamba tunakosea sana kuchukua kamanda wa maadui tuliye mteka na kumpa nafasi kuongoza hukutuki mrelief kamanda wetu wenyewe tuliye kuwa naye wakati wote wa mapambano. kwamba hii sio sawa katika mazingira yoyote!

Well, that may be what you really feel, and its not my intention to talk you out of that belief, lakini.. hapa ndipo unapotakiwa kuhakikisha the leadership that you give to the people that you have influence over is not just ANY KIND of leadership but the right leadership. A positive leadership!!! leadership towards achievement of the greater goal.,!!! making sure you influence them to see the bigger picture!! keeping the team together!

kiongozi hasemi tu hisia zake iliwatu wasikie anavyojisikia kuhusu jambo flani, no! unasema kwa lengo!

Mawazo yako yanayoweza kuvunja umoja wa jeshi lako hatakama ni mawazo ya dhati kabisa na mawazo sahihi kwa mtazamo wako ila hayawezi kutoa a positve leadership to the poeple in approaching towards the greater goal, hayafai kusema!!

ndiyo maana watu flani husema "If you think what you you have to say is not anything positive,keep it to yourself"

Muhimu sana kuzingatia hili kama kiongozi, its not about hisia zako binafsi really. na hii imfikie na Zitto Zuberi Kabwe!! maswala ya kuja na misimamo na conditions za azimio la tabora ilikujiondoa kwenye umoja halafu tunadai eti tunataka ukombozi wa dhati wa Nchi hii kutoka mikononi mwa CCM nadhani ni kuwa very self destructive!!! muhimu sana wote tukazungumza lugha moja! tukapigana vita moja!!

Mimi nadhani wakati kama huu ni wakati ambao movement yetu iko at the vulnerable stage, tumekaribia sana kufikia lengo letu kuu,.- kung'oa CCM. lakini style ambayo nguvu hii ya kumpiga adui imepatikana huenda ikashababisha maumivu kwa wenzetu wachache! na niseme tu itawaumiza tu wale ambao watashindwa kutazama the bigger picture!!

Nina mpongeza sana Mr. Freeman, anafanya kazi nzuri, uwezo wake wakuwaongoza watu towards whta the next right move is hauna mashaka.

ninawaomba sote!, akiwemo ndugu yetu daktari (wa filosofia) W. P Slaa ambaye juzi tu niliandika uzi mwingine niki acknoledge uwezo wake mkubwa na kumuomba asikubali kupandikiziwa hisia negative za retaliation na kuzira na nini ambazo zinapandwa na hao hao wasio itakia mema movement hii (ambao ni CCM hao hao)

Naniwaomba sote ambao tuna influence kwanamna flani hatakama ni kwa mtu mmoja tu mwingine, let us influence them positively!!!

lengo kuu hapa ni kuing'oa CCM.!!!! Mzee Mwanakijiji baada ya yote tuliyo yapitia katika mapambano haya! napenda kuamini hatutakuwa tena sababu ya kutukwaza kufikia lengo letu kuu- kuing'oa CCM!!

ikumbukwe; Siasa niupepo! watu tunaowapa matumaini kila mwaka wa uchaguzi kuwa ushindi unawezekana CCM inang'ooka!! halafu uchguzi unafanyika tunashindwa uchaguzi tena na CCM, si wote wana mioyo mikuu na uelwa wa vita hii na wanaweza kupambana hata kama ingechukua miongo kadhaa au hata maisha yao yote katika mapambano kabla ndoto yetu haija timia, wengine wata kata tamaa., watakapo ona havitimii, kazi yetu itazidi kuwa ngumu!

Mitaani huku tunawasikia wananchi wakisema "CCM isipo ondoka mwaka huu haitakaa iondoke"

Nimeupenda msemo wa bwana mmoja niliuona humu ndani akisema "Chadema Tuna Gawana Majukumu Hatugawani Vyeo" muhimu sana kukumbuka hii.

This time we have a chance!! a real chance!! and am sayi we have a chnace NOT beacause lowasa kahamia upinzani, lakini kwasababu CCM inajibomoa yenyewe!!! nimesema let us propagate that!! wacha wapasuane kabisa!!!! tunapokwenda kwenye uchaguzi tuwamalize kabisa!!

let us not waste our energy in self destructive efforts!! adui yetu tunamjua!! lets not let them survive this last blow!

Mzee Mwanakijiji, Comrade,

Ninakushukuru Sana.

unfortunately ulidhani kuwa MMM ni leader, we he has never been a leader, leaders dont run/step, they stay!!

He is a critic, and he is doing his job well... trying to perfect the imperfect, and try to straighten the impossibles

Zitto, Kitila, Mzee Mwanakijiji na wengi walio camp ya upinzani are not leaders, most of them ni protesters, they fall very far behind mtu kama Bakari Mwapachu.... because kuwa leader kunahitaji busara which is above principles, ukweli na norms....

Anyways, it is too late now, we are in a circus and the more you look at it, the more you believe that we may have lost a golden opportunity

Listening to magufuli is something very entertaining, ni kama tumekubali clueless arudi ili akina January wawe the thinktanks

Sijui kama huyu "commando kipensi" analijua hilo
 
Hao ndo watanzania, Kama Dr.Slaa hafai kuwa kiongozi ni vigezo gani wanatumia kuonyesha kuwa Lowasa anafaa kuwa Rais wetu, ndo maana huwa napenda kulieleza hili kwamba watanzania sijui tumerogwa na nani, basi hakuna haja ya kuwepo upinzani kwa sababu hawana viongozi ambao wana uwezo, kama hadi tuvizie kutoka ccm, nadhani tuendelee kuwa na imani na ccm, kwanza ni taasisi kubwa sana.

Mkuu utaasisi wa ccm sioni, nje ya dola ccm ina tofautiana na vyama vingine kwa jina tu.
 
we kubwajinga , hivi unasema lowasa ndo papa wa mafisadi ktk nchi hii, toa takwimu za ufisadi wake nje na sakata la Richmond lenye mlolongo mlefu ndani ya ccm.
 
Mmeuzana wenyewe, unachezea mangi. Anakula huku na huku.
Usemayo ni kweli
, baadhi yetu wenye jicho la tatu, hili waliliona siku nyingi na waliisha wahi kulizungumza humu ili hakuna aliyewasikiliza!. Soma tarehe ya uzi huu, [h=3]Kilichomkuta Zitto: Kuna mkono wa Mtu! [/h]nenda kasome nilisema nini

.... tofauti na principles nyingine zote za relativity, truth huwa ni moja tuu na imenyooka!, haina kupinda pinda!. Ila katika truthfulness yenyewe, nayo in a viwango, sio lazima kila ukweli usemwe, ukweli ule wenye lengo la kujenga tuu ndio unaopaswa kusemwa!, ukweli wenye kuweza kubomoa hauwezi kusemwa!.

Mfano, mimi siko Chadema, ila kuna ukweli fulani ninao kuhusu viongozi wa UKAWA walio kwenye payroll ya TISS, japo nawajua lakini siwezi kuwataja!. Holding such info pia ni truthfulness.

Reference yangu ya ukiwa mkweli ni An Enemy of the People ya Ibsen.

Pasco
maukweli mengine sio ya kuwekwa wazi kabisa!, ila huo ndio ukweli wenyewe, ni ukweli mchungu kumeza ila ndio ukweli wenyewe!, 'veting not voting!'.

Vipi umeona kuna dalili ya maandalizi yoyote ya majeshi yetu ya ulinzi na usalama kumtumikia amiri jeshi mwingine yeyote nje ya CCM?!, hayo maigizo ya uchaguzi wa rais wewe unayaaminia?!, acha watu waendelee kujifurahisha kisiasa, maukweli mengine yanapaswa kubakia kuwa ni mambo ya moyoni tuu na sio kwenye public wa watu!,
Pasco
 
unfortunately ulidhani kuwa MMM ni leader, we he has never been a leader, leaders do run/step, they stay!!

He is a critic, and he is doing his job well... trying to perfect the imperfect, and try to straighten the impossibles

Zitto, Kitila, Mzee Mwanakijiji na wengi walio camp ya upinzani are not leaders, most of them ni protesters, they fall very far behind mtu kama Bakari Mwapachu.... because kuwa leader kunahitaji busara which is above principles, ukweli na norms....

Anyways, it is too late now, we are in a circus and the more you look at it, the more you believe that we may have lost a golden opportunity

Listening to magufuli is something very entertaining, ni kama tumekubali clueless arudi ili akina January wawe the thinktanks

Sijui kama huyu "commando kipensi" analijua hilo
...exactly brah...me do concur with you....wengi wanashindwa kuona huu uchaguzi ni opportunity kubwa kwa upinzani kuchukua dola...napata simanzi sana kuwaona na kuwasikia wanaojiita wapinzani (the likes of zitto, kitila, MMJ, slaa et al) wakiwazodoa na kuwadhihaki wenzao wa ukawa usiku na mchana....wameshindwa hata ku initiate kuungana na wenzao ukawa ili kuongeza nguvu ya upinzani....eti kisa lowassa kajiunga ukawa....sasa nashindwa kuelewa hivi wanafikiri ccm itaondoka hivi hivi madarakani???....wanashindwa kuona nguvu ya ujio wa lowassa na sumaye ukawa...na wanaonekana ni watu wasioelewa maana ya reconciliation kwenye siasa....kwa kweli kwa mtindo huu kama mwaka huu upinzani watashindwa basi sioni upinzani wa nguvu huko tuendako....watanzania ni wabinafsi sana hakika...hawa wanajifanya wazalendo lakini hakuna kitu...ni ubinafsi tu...
 
Wapinzani wanao pay lip services only kwa upinzani lakini moyoni ni CCM, utawajua tuu siku mkikaribia kando ya mto ili kuvuka lile daraja kwenda kuchukua ushindi!, hao watakataa kuvuka kwa kutoa visingizio vyovyote vya kuogopa maji, hawajawahi kupanda mtumbwi, au hata kuogofya nahodha wa mtumbwi wa kuwavushia etc, ndio maana kuna huu msemo wa kwenye msafara wa mamba, na kenge wamo!. Wakati wa msafara, huwezi kutenganisha watoto wa mamba na kenge, they all look the same!, ila mkifika mtoni ndipo watalazimika kutengana, mamba wataingia majini, kenge wataishia ukingoni!.

Wewe kama hili ulilijua leo, sisi wengine tulilijua tangu enzi zile za kuundwa kwa CCJ!.

Pasco

wewe mnazi wa lowassa usingeweza andika tofauti na ulivyoandika sasa....kama unaamini dr slaa hakuwa mpinzani basi tuache na sisi tuamini lowassa alichofuata cdm sio kuitoa ccm madarakani ila ni yeye kuwa rais full stop....

lowassa sio mpinzani na kamwe hawezi kuja kuwa mpinzani hata siku moja, hata ungeandika kwa wino wa asali kumpamba lowassa...kubali kutokubaliana
 
I hear you Rev.

Twende kazini sasa mavuno ni Mengi. tutashinda, tutarekebisha..

Lakini kwanza tutashinda!!

Comrade,

Umejiona ulivyo kilaza, just imagine wring all those words!!! halafu hamna content yoyote ya maana

nilifikiri utaweza kumjibu Rev, hujaweza

kwa kifupi futa thread yako Rev ameifuta kimantiki

haikuwa na sababu katika dunia ya wanaosema wanataka mabadiliko ....ila lazima wawe na muono au mawazo sawa! it cant be
 
wewe mnazi wa lowassa usingeweza andika tofauti na ulivyoandika sasa....kama unaamini dr slaa hakuwa mpinzani basi tuache na sisi tuamini lowassa alichofuata cdm sio kuitoa ccm madarakani ila ni yeye kuwa rais full stop....

lowassa sio mpinzani na kamwe hawezi kuja kuwa mpinzani hata siku moja, hata ungeandika kwa wino wa asali kumpamba lowassa...kubali kutokubaliana

Mpinzani ni nani? Tuanzie hapo.
 
Hoja zako nzuri lakini ukweli ni kuwa CHADEMA baada ya mgogoro wa Zitto walikuwa wamedhoofika sana na sio ajabu wangepata kipigo kikubwa sana 2015.

Hata hivyo, kumkaribisha Lowassa ni sawa na mgonjwa mahututi mwenye maumivu makali kunywa dawa kusaidia kupunguza maumivu akijua wazi kuwa hiyo dawa pia ina madhara ya pembeni (side effects).

Cha kupima hapa ni kuangalia, je madhara ya pembeni ya hiyo dawa
(yaani rushwa) ni mapungufu kuliko maumivu ya kutokutumia hiyo dawa (kudhoofika kwa CDM).

Kwa maoni yangu ni kuwa, CHADEMA itabidi wamvumilie Lowassa na madhambi yake ili angalau awapitishe kwenye uchaguzi huu wakiwa katika afya njema (umaarufu), halafu baada ya hapo waangalie maisha baada ya uchaguzi 2015, aidha wakiwa wameshinda au wameshindwa uraisi.

Kwa Mara ya kwanza naungana nawe gamba ubarikiwe
 
...exactly brah...me do concur with you....wengi wanashindwa kuona huu uchaguzi ni opportunity kubwa kwa upinzani kuchukua dola...napata simanzi sana kuwaona na kuwasikia wanaojiita wapinzani (the likes of zitto, kitila, MMJ, slaa et al) wakiwazodoa na kuwadhihaki wenzao wa ukawa usiku na mchana....wameshindwa hata ku initiate kuungana na wenzao ukawa ili kuongeza nguvu ya upinzani....eti kisa lowassa kajiunga ukawa....sasa nashindwa kuelewa hivi wanafikiri ccm itaondoka hivi hivi madarakani???....wanashindwa kuona nguvu ya ujio wa lowassa na sumaye ukawa...na wanaonekana ni watu wasioelewa maana ya reconciliation kwenye siasa....kwa kweli kwa mtindo huu kama mwaka huu upinzani watashindwa basi sioni upinzani wa nguvu huko tuendako....watanzania ni wabinafsi sana hakika...hawa wanajifanya wazalendo lakini hakuna kitu...ni ubinafsi tu...

Jambo pekee la kujifariji ni kuwa hawa wabinafsi (Slaa, Zitto etc) uhai wao wa kisiasa pia unakwisha baada ya uchaguzi, come what may!
 
Waliokutuma kawaambie umekuta tumetoka kidogo ila umekuta ujumbe mlangoni umeandikwa 'wenye mji wametoka ila ujio wako tunaujua jiondokee tu'.
 
Kuna watu walijiandaa kuwa wapinzani mpaka kufa ndio maana wakikaribia kushika nchi wanateleza maksudi ili wasishike msitari wa ushindi!! Huwezi kumweleza mtu aliyekuwa vitani muda mrefu aache kutumia silaha nzuri ili amuangamize adui kisa ile silaha imetengezwa kwenye taifa la adui!
Ukiona ugomvi umekolea na adui anakaribia kuingia mtaroni kisha mpambe wako anamudokeza adui arudi pembeni kwan anaingia mtaroni! Ujue uyo sio mpambe ni MPA.mbwa!!

Ukimuita fundi akuzibie paa ila akawa anatoboa bati badala ya kuziba eti ili upate hewa, hata kama fundi katoka Russia! Mshushe juu ya paa pandishe mwenyewe!!

Kwa sasa hata mbowe na lowasa wakijitoa, UKAWA haifii apo!! Tutawashusha tusonge mbele! Hii ni vita kati ya maskini na tajiri! Na kwa ivi tunaona tajiri kavimbiwa , hatutasubiri ushauri, lazma tumsukume mtaroni ndio turudi kusikiliza ushauri wa MPA.mbwa! Haturudi nyuma kamwe!!
 
Kwa Mara ya kwanza naungana nawe gamba ubarikiwe

Tatizo la CHADEMA ni jinsi Mbowe alivyomkumbatia Lowassa bila kuangalia jinsi ya kuzima mabaya yake kwenye njia isiyokiumiza CHADEMA. Alitakiwa ampe masharti ya kujisafisha madhambi yake ili ashabihiane na kauli mbiu ya CHADEMA dhidi ya ufisadi.

Badala yake Mbowe akamkumbatia Lowassa pamoja na dhambi zake na yeyote aliyekwazwa na hilo, k.m. Dr. Slaa, akafanywa kuwa ndiye mchawi.

Kwa hiyo ingawa, ingawa Lowassa alikuwa ni muhimu na ameweza kuwaongezea mvuto CHADEMA, lakini pia ameweza kukipaka CHADEMA matope ya UFISADI ambayo itakuwa vigumu sana kwao kuyaondoa.

Hivi sasa chama pekee kinachoweza kupigia kelele ufisadi ni ACT ingawa CCM nao wamepata uhai wa kuliongelea hilo kwa sababu ya Lowassa, aliyejulikana kuwa FISADI #1, amejiunga na CHADEMA na kuzima moto wao dhidi ya ufisadi.

LOWASSA ni kama KINYESI; kinaweza kuwa MBOLEA nzuri shambani, lakini pia kinaweza kukuletea KIPINDUPINDU.
 
Tatizo la CHADEMA ni jinsi Mbowe alivyomkumbatia Lowassa bila kuangalia jinsi ya kuzima mabaya yake kwenye njia isiyokiumiza CHADEMA. Alitakiwa ampe masharti ya kujisafisha madhambi yake ili ashabihiane na kauli mbiu ya CHADEMA dhidi ya ufisadi.

Badala yake Mbowe akamkumbatia Lowassa pamoja na dhambi zake na yeyote aliyekwazwa na hilo, k.m. Dr. Slaa, akafanywa kuwa ndiye mchawi.

Kwa hiyo ingawa, ingawa Lowassa alikuwa ni muhimu na ameweza kuwaongezea mvuto CHADEMA, lakini pia ameweza kukipaka CHADEMA matope ya UFISADI ambayo itakuwa vigumu sana kwao kuyaondoa.

Hivi sasa chama pekee kinachoweza kupigia kelele ufisadi ni ACT ingawa CCM nao wamepata uhai wa kuliongelea hilo kwa sababu ya Lowassa, aliyejulikana kuwa FISADI #1, amejiunga na CHADEMA na kuzima moto wao dhidi ya ufisadi.

LOWASSA ni kama KINYESI; kinaweza kuwa MBOLEA nzuri shambani, lakini pia kinaweza kukuletea KIPINDUPINDU.

Ni hoja yenye mashiko kwa kiasi fulani. Ni kweli CCM wamepata pa kujishikizia si kwa sababu nyingine ile bali ni kwa sababu waliishajitengeneza uwanja wa kuchezea - kuwafanya watanzania kuwa na welewa wa chini (nikitumia neno 'wajinga' mtasema nami ni mfuasi wa mzee wa 'ukweli na uwazi') kwa sababu wakiambiwa kuwa ufisadi wote mliokuwa mkisikia ukipigiwa kelele na CDM ni LOWASSA, wanaamini. Mbowe na waliomuunga mkono, wanastahili pongezi kwa sababu walifanya maamuzi magumu yanayopaswa kufanywa na jemadari ambaye yuko katikati ya uwanja wa vita na kikosi chake kimezingirwa na maadui. Yaani, wakati mwingine unaachana na systemic principles na badala yake unaenda na pragmatic actions ili uokoe angaa nusu ya kikosi! Dr Slaa (na wenzake aina ya MM) ni jemadari ambaye ana-surrender kwa kusikilia systemic principles za mapigano. Ni mwoga.
 
Back
Top Bottom