Carlos Valderrama
JF-Expert Member
- Dec 27, 2014
- 664
- 240
Vyovyote itakavyokuwa Lowassa hafai kuwa rais.
you are right, ni walewale tu!! Lowassa, Magufuli, JK, SUmaye, etc
They all grew in the same family, CCM
Vyovyote itakavyokuwa Lowassa hafai kuwa rais.
Maoni yako.... Mungu anaangalia moyo si nje Km binadamu atazamavyo.. Kumbukeni hilo
Hakuna kitu kama hicho Dunia hii eti Mwananchi ndiyo anaamua nani awe raisi ni nani alikudanganya?
Hakuna nchi Dunia hii ambayo Mwananchi anaamua nani awe raisi wa nchi bali Raisi wa nchi huamuliwa na Mfumo wa nchi (System) halafu ninyi mnaoitwa wananchi mnaambiwa kupiga kura kama kutimiza wajibu tu lkn Raisi anakuwa ameshateuliwa, na mfumo ndiyo unaweka Raisi na kumtoa na hii ni Dunia nzima tofauti iko tu kwenye aina ya usanii kuna wengine ni wasanii zaidi ya wengine kwenye hili swala, hivyo hapa TanZania mfumo umeshaamua Raisi ajaye awe Pombe Magufuli na Itakuwa hivyo labda afariki kabla! Hakuna raisi atakayetoka nje ya CCM mwaka huu labda yaje mapinduzi ya Kivita sasa sijui kama Lowasa kajiandaa kwa hilo... hapo siwezi kujua lkn kwa KURA, HAITOTOKEA KAMWE!
Wametoka Familia Moja Ya Nyerere. Kiongozi Mwema Mpaka Vatican. Lakini Kwenye Hao Watoto Wake, Mmoja Wao, LOWASSA, Kawa Jangili - FISADI. Ndio Maana Nyerere Akasema Huyo Hafai.
Lowassa hafiki hata nusu ya JK kwa ufisadi
Tupe Ushahidi Kama Unao. Lakini JK Hagombei Tena Kuendeleza Ufisadi Nchini, Ila LOWASSA Ndio Anachofanya.
MAGUFULI Pekee Ndiye Msafi Ndio Maana Inabidi Tumchague Ili Asafishe Serikali Yetu.
TUSIKUBALI KUBARIKi UFISADI PAPA WA LOWASSA KWA KUMPA KURA ZETU.
Mfumo huo unaouongelea ulikuwa zamani! Leo hii mfumo ungeamua km unavyotaka kutuamisha hapa, mgombea Angekuwa ni BM.... Bado hamjifunzi kuwa mambo yamebadirika?
Ananikera huyo babu mwanakijiji