Mzee Mwanakijiji, Tafadhali...

Mzee Mwanakijiji, Tafadhali...

Ni hoja yenye mashiko kwa kiasi fulani. Ni kweli CCM wamepata pa kujishikizia si kwa sababu nyingine ile bali ni kwa sababu waliishajitengeneza uwanja wa kuchezea - kuwafanya watanzania kuwa na welewa wa chini (nikitumia neno 'wajinga' mtasema nami ni mfuasi wa mzee wa 'ukweli na uwazi') kwa sababu wakiambiwa kuwa ufisadi wote mliokuwa mkisikia ukipigiwa kelele na CDM ni LOWASSA, wanaamini. Mbowe na waliomuunga mkono, wanastahili pongezi kwa sababu walifanya maamuzi magumu yanayopaswa kufanywa na jemadari ambaye yuko katikati ya uwanja wa vita na kikosi chake kimezingirwa na maadui. Yaani, wakati mwingine unaachana na systemic principles na badala yake unaenda na pragmatic actions ili uokoe angaa nusu ya kikosi! Dr Slaa (na wenzake aina ya MM) ni jemadari ambaye ana-surrender kwa kusikilia systemic principles za mapigano. Ni mwoga.

Sidhani kama umenielewa.

Mbowe ndiye aliyechemsha na sio Dr. Slaa, kwani kama Mbowe angekuwa ni kiongozi mzuri, basi angeweza kuwaunganisha wanachama wake wenye milongo tofauti ile awe na CHADEMA inayoingia kwenye uchaguzi ikiwa na wakali wake wote, yaani Lowassa aliyetubu, Dr. Slaa na hata Zitto.

Lakini tatizo la Mbowe ni kuwa anadhani anamiliki CHADEMA na hivyo maamuzi yake ni ya mwisho. Ndio maana, kwa kuwa upevu wake ni mdogo, kwani huona umbali mfupi, bila kuangalia madhara ya baadaye, amemkubalia Lowassa kuingia akiwa na matope yake.

Lowassa hakuwa na pa kwenda zaidi ya CHADEMA, kwa hiyo kama wangemlazimisha aombe msamaha kwa kulisababishia hasara taifa kwenye Richmond scandal badala ya kujidai kuwa hahusiki, sio ajabu Lowassa angeomba msamaha na kuonekana muungwana. Baada ya hapo CHADEMA wangeweza kupigania mageuzi wakiweza pia kutumia kauli mbiu ya kuondoa ufisadi.

Lakini Mbowe aliamua kumkumbatia Lowassa pamoja na mabaya yake na hivyo kukifanya CHADEMA kiwe = Chama Dili na Mafisadi.
 
Ni hoja yenye mashiko kwa kiasi fulani. Ni kweli CCM wamepata pa kujishikizia si kwa sababu nyingine ile bali ni kwa sababu waliishajitengeneza uwanja wa kuchezea - kuwafanya watanzania kuwa na welewa wa chini (nikitumia neno 'wajinga' mtasema nami ni mfuasi wa mzee wa 'ukweli na uwazi') kwa sababu wakiambiwa kuwa ufisadi wote mliokuwa mkisikia ukipigiwa kelele na CDM ni LOWASSA, wanaamini. Mbowe na waliomuunga mkono, wanastahili pongezi kwa sababu walifanya maamuzi magumu yanayopaswa kufanywa na jemadari ambaye yuko katikati ya uwanja wa vita na kikosi chake kimezingirwa na maadui. Yaani, wakati mwingine unaachana na systemic principles na badala yake unaenda na pragmatic actions ili uokoe angaa nusu ya kikosi! Dr Slaa (na wenzake aina ya MM) ni jemadari ambaye ana-surrender kwa kusikilia systemic principles za mapigano. Ni mwoga.

Umemaliza mkuu nmeipenda hoja yako
 
Tatizo la CHADEMA ni jinsi Mbowe alivyomkumbatia Lowassa bila kuangalia jinsi ya kuzima mabaya yake kwenye njia isiyokiumiza CHADEMA. Alitakiwa ampe masharti ya kujisafisha madhambi yake ili ashabihiane na kauli mbiu ya CHADEMA dhidi ya ufisadi.

Badala yake Mbowe akamkumbatia Lowassa pamoja na dhambi zake na yeyote aliyekwazwa na hilo, k.m. Dr. Slaa, akafanywa kuwa ndiye mchawi.

Kwa hiyo ingawa, ingawa Lowassa alikuwa ni muhimu na ameweza kuwaongezea mvuto CHADEMA, lakini pia ameweza kukipaka CHADEMA matope ya UFISADI ambayo itakuwa vigumu sana kwao kuyaondoa.

Hivi sasa chama pekee kinachoweza kupigia kelele ufisadi ni ACT ingawa CCM nao wamepata uhai wa kuliongelea hilo kwa sababu ya Lowassa, aliyejulikana kuwa FISADI #1, amejiunga na CHADEMA na kuzima moto wao dhidi ya ufisadi.

LOWASSA ni kama KINYESI; kinaweza kuwa MBOLEA nzuri shambani, lakini pia kinaweza kukuletea KIPINDUPINDU.

Salute kwako mkuu ubarikiwe
 
Sidhani kama umenielewa.

Mbowe ndiye aliyechemsha na sio Dr. Slaa, kwani kama Mbowe angekuwa ni kiongozi mzuri, basi angeweza kuwaunganisha wanachama wake wenye milongo tofauti ile awe na CHADEMA inayoingia kwenye uchaguzi ikiwa na wakali wake wote, yaani Lowassa aliyetubu, Dr. Slaa na hata Zitto.

Lakini tatizo la Mbowe ni kuwa anadhani anamiliki CHADEMA na hivyo maamuzi yake ni ya mwisho. Ndio maana, kwa kuwa upevu wake ni mdogo, kwani huona umbali mfupi, bila kuangalia madhara ya baadaye, amemkubalia Lowassa kuingia akiwa na matope yake.

Lowassa hakuwa na pa kwenda zaidi ya CHADEMA, kwa hiyo kama wangemlazimisha aombe msamaha kwa kulisababishia hasara taifa kwenye Richmond scandal badala ya kujidai kuwa hahusiki, sio ajabu Lowassa angeomba msamaha na kuonekana muungwana. Baada ya hapo CHADEMA wangeweza kupigania mageuzi wakiweza pia kutumia kauli mbiu ya kuondoa ufisadi.

Lakini Mbowe aliamua kumkumbatia Lowassa pamoja na mabaya yake na hivyo kukifanya CHADEMA kiwe = Chama Dili na Mafisadi.
apart from Richmond scandal, how many scandals tumeshakua kuwa nazo between 2005 na leo?? and what is the dollar value ya kila scandal??

Do we have selective blindness au sisi ni dumbasses tunaochagua ni kichomi kipi kisemwe kwa dokta??

Negro please
 
apart from Richmond scandal, how many scandals tumeshakua kuwa nazo between 2005 na leo?? and what is the dollar value ya kila scandal??

Do we have selective blindness au sisi ni dumbasses tunaochagua ni kichomi kipi kisemwe kwa dokta??

Negro please

Ubaya wa ccm baada ya lowasa kutoka serikalini hakumpi usafi hata kidogo
 
Yaani maelezo yote haya hutaki mawazo tofauti na ya wahafidhina kwa amri yako ungependa wote wadumishe fikra za mwenyekiti. Fungua nafsi yako na kutokubaliana ndio demokrasia. Maendeleo ya watanzania yatapatikana kwa watu kufikiri tofauti na kutenda tofauti si kwa kuitoa CCM tu.

Great day Comrades,

Leo nimedhani kuwa wakati muafaka kuandika kuhusu hili. imenichukuwa muda kwakweli, kukusanya ujasiri wakuandika haya hasa kwa heshima ya mtu ambaye nina panga kum address, na influence ninayoiona anayo kwa watu katika mitandao hii.. kum address hasa katika namna ya kujaribu kuubadili au kuukosoa mtazamo wake au kubadili approach yake kwa mambo, inahitaji confindence in ones own believe, and in the ability of the one you are addressing to sieve through your argument and pick out the insights put forward at the end of the day rather than pick up a fight.

Nimesoma posts zako nyingi, nyingi nikikubaliana na mtazamo wako kuhusu mambo husika lakini kadhaa nikitofautiana nawe kidhana (ideally or in concept), na wakati mwingine nikitafautiana nawe katika approach tu hakika.

Wakati wa rumors za usaliti wa ZZK, na kesi yake dhidi ya chama na hatimaye kufukuzwa uwanachama. wakati wa mtikisiko juu ya kesi ya kubambikwa ya kamanda Lwakatare na wengine hadi ushindi wetu kama chama katika hilo, na sasa wakati huu wa ujuio wa lowasa chadema, zote nyakati ngumu kwa movement hii, lakini kwote umetoa mawazo yako na hakika umekua mchango mzuri katika kutoa leadership kwa watu wetu... again, whether always right or sometimes wrong si swala sana, kimsingi you have always offered leadership, leadership ambayo watu wakiikosa hutoa hisia zao vinginevyo (na hatari ya husambaratika hua more real)

Nyakati zote za changamoto katika movement yetu ya mabadiliko kwa taifa letu watu wamekuwa wakitafuta uongozi kutoka kwa watu mbali mbali, wakati mwingine Uongozi rasmi wa chama kwamaana ya wenyeviti na makatibu and the like kimkakati na kisiasa wanakua si watu sahihi kutoa mawazo yao kuhusu maswala flani, umefanya vyema mara zote kuwa mstari wa mbele kutoa mawazo yako na mtazamo katika hali hizo ngumu na kwakufanya hivyo kuwapa watu the leadership they needed. Narudia whether leadership towards the positive or leadership towards the negative sihoja sana.


lakini Ilikufupisha bandiko hili, ninaomba kuzungumzia suala hili tulilonalo sasa. Baada ya kumpokea waziri mkuu wa zamani ndugu Edward Lowasa kukaribishwa UKAWA na kupokelewa na Chadema kama mwanachama na huenda kama mgombea uraisi kwa chama chetu yapo mengi yanayo zungumzwa.

kilichonifanya kukosa uvumilivu na kunibidi kutafuta ujasiri waku kuandikia waraka huu "wawazi" ni mtazamo uliyo uweka wazi ukiuita "Msimamo" wakutokukubaliana na move ya lowasa kuja ukawa/chadema na kugombea uraisi, ukizungumzia swala hili kama kuwatupa makamanda wako wa vita wa zamani kwasababu ya makamanda wa adui uliowateka.

while agreeing with this stand in principle, am afraid i differ with you in value. nina jua wewe umeelewa, ila wengi hawajaelewa, nitaelezea;

Wewe ni mtu mwenye influence kwenye jamii ya mitandao hii, maranyingi mtazamo wako una infulence mitazamo ya wengine wengi. in other words you are a leader!.. na nivizuri ulifahamu hili., i dont know you in person, hivyo sijui wewe ni nani hasa, na kama unacheo chauongozi au lah,(possibly adding my confidence:redface🙂 lakini hiyo haijalishi. Just by virtue of having the influence that you have on the public you are a leader! and you should know that!

Now there is a difference between a leader and a manger., and i know you know this. as a leader you are visionary, you look at the bigger picture, you influence and inspire unity towards the main target, yours are the policy issues, the corporate level affairs, you work to remind the people of the greater picture, the greater good. when people are overwhelmed by the emotions (positive or negative) energies that arise from events of the daily affairs of the corporate life, you remind them of what actually we are fighting against, who really is the enemy, leaders bring people together! leaders do not work to divide! leaders maintain the focus of the people! kiongozi na uvumilivu nivitu ambavyo huwezi kuvitenganisha, wakati mwingine kiongozi atayaona mambo yakifanyika tofauti na vile ambavyo anafikiri kuwa sawa, lakini kiongozi atatafuta kuangalia nini anataka watuwake wajifunze kutokana na yanayo tokea.. a leader is not a superintendent wakati mwingine you give room for error because you know that people learn from errors, and there is always a good side in every situation because you can learn. Mara nyingi nimekua nikipenda katika kuzungumzia kwangu tabia za viongozi kutumia kamsemo haka kwamba "wakati mwingine inambidi kiongozi kutafuna pilipili huku akitabasamu"

Kwahakika, inawezekana kabisa kukawa na kiongozi wa cheo (a leader by position) katika institution au jamii flani, lakini wakikaa mathalan kwenye kikao actually asiwe kiongozi pale, anaweza kuwa ndiye mwenye cheo pale, lakini si aliye kiongozi pale, kwanini??? kwasababu huenda yupo mulendani ambaye hana cheo lakini kwa influence aliyo nayo kwa wajumbe wenzake.. yeye ndiye hasaa kiongozi mule ndani.. ana influence mawazo ya wajumbe wenzake.. na wote wanamsikiliza., wanamuamini., wewe nikiongozi kwa influence uliyo nayo.

now because you are a leader! kwanza litambue hilo.

Pili, Sikatai mtazamo wako kuhusu kuto kukubaliana na kuja kwa lowasa na kupewa kugombea uraisi. sikatai wewe kuwa na msimamo wako., lakini ninadhani kwakua unaifahamu nafasi yako, nivyema ukakumbuka lengo kuu, ukakumbuka the real enemy ni nani., ukakumbuka what the vision has always been., ukajiuliza has it been to put someone in power?? or to keep the chadema idea only to the chosen ones and branding some of those that were not with us just not fit to take part in this movement for change??? or has it been kupambana na CCM na kuing'oa madarakani?

Which of the two is the bigger picture?? ukipata majibu ya hayo nimuhimu sana!! sana!! kuhakikisha kwa nafasi yako unainfluence kundi la wale wanao kusikiliza towards oneness, towards the purpose., muhimu kujiuliza je comment yangu kwakua nina influence inawapeleka wapi watu unao waongoza?

Hatakama msimamo wako ulikua wa dhati kabisa, kwamaana yakuwa ndivyo unavyo amini kabisa ndani ya moyo wako, kwamba tunakosea sana kuchukua kamanda wa maadui tuliye mteka na kumpa nafasi kuongoza hukutuki mrelief kamanda wetu wenyewe tuliye kuwa naye wakati wote wa mapambano. kwamba hii sio sawa katika mazingira yoyote!

Well, that may be what you really feel, and its not my intention to talk you out of that belief, lakini.. hapa ndipo unapotakiwa kuhakikisha the leadership that you give to the people that you have influence over is not just ANY KIND of leadership but the right leadership. A positive leadership!!! leadership towards achievement of the greater goal.,!!! making sure you influence them to see the bigger picture!! keeping the team together!

kiongozi hasemi tu hisia zake iliwatu wasikie anavyojisikia kuhusu jambo flani, no! unasema kwa lengo!

Mawazo yako yanayoweza kuvunja umoja wa jeshi lako hatakama ni mawazo ya dhati kabisa na mawazo sahihi kwa mtazamo wako ila hayawezi kutoa a positve leadership to the poeple in approaching towards the greater goal, hayafai kusema!!

ndiyo maana watu flani husema "If you think what you you have to say is not anything positive,keep it to yourself"

Muhimu sana kuzingatia hili kama kiongozi, its not about hisia zako binafsi really. na hii imfikie na Zitto Zuberi Kabwe!! maswala ya kuja na misimamo na conditions za azimio la tabora ilikujiondoa kwenye umoja halafu tunadai eti tunataka ukombozi wa dhati wa Nchi hii kutoka mikononi mwa CCM nadhani ni kuwa very self destructive!!! muhimu sana wote tukazungumza lugha moja! tukapigana vita moja!!

Mimi nadhani wakati kama huu ni wakati ambao movement yetu iko at the vulnerable stage, tumekaribia sana kufikia lengo letu kuu,.- kung'oa CCM. lakini style ambayo nguvu hii ya kumpiga adui imepatikana huenda ikashababisha maumivu kwa wenzetu wachache! na niseme tu itawaumiza tu wale ambao watashindwa kutazama the bigger picture!!

Nina mpongeza sana Mr. Freeman, anafanya kazi nzuri, uwezo wake wakuwaongoza watu towards whta the next right move is hauna mashaka.

ninawaomba sote!, akiwemo ndugu yetu daktari (wa filosofia) W. P Slaa ambaye juzi tu niliandika uzi mwingine niki acknoledge uwezo wake mkubwa na kumuomba asikubali kupandikiziwa hisia negative za retaliation na kuzira na nini ambazo zinapandwa na hao hao wasio itakia mema movement hii (ambao ni CCM hao hao)

Naniwaomba sote ambao tuna influence kwanamna flani hatakama ni kwa mtu mmoja tu mwingine, let us influence them positively!!!

lengo kuu hapa ni kuing'oa CCM.!!!! Mzee Mwanakijiji baada ya yote tuliyo yapitia katika mapambano haya! napenda kuamini hatutakuwa tena sababu ya kutukwaza kufikia lengo letu kuu- kuing'oa CCM!!

ikumbukwe; Siasa niupepo! watu tunaowapa matumaini kila mwaka wa uchaguzi kuwa ushindi unawezekana CCM inang'ooka!! halafu uchguzi unafanyika tunashindwa uchaguzi tena na CCM, si wote wana mioyo mikuu na uelwa wa vita hii na wanaweza kupambana hata kama ingechukua miongo kadhaa au hata maisha yao yote katika mapambano kabla ndoto yetu haija timia, wengine wata kata tamaa., watakapo ona havitimii, kazi yetu itazidi kuwa ngumu!

Mitaani huku tunawasikia wananchi wakisema "CCM isipo ondoka mwaka huu haitakaa iondoke"

Nimeupenda msemo wa bwana mmoja niliuona humu ndani akisema "Chadema Tuna Gawana Majukumu Hatugawani Vyeo" muhimu sana kukumbuka hii.

This time we have a chance!! a real chance!! and am sayi we have a chnace NOT beacause lowasa kahamia upinzani, lakini kwasababu CCM inajibomoa yenyewe!!! nimesema let us propagate that!! wacha wapasuane kabisa!!!! tunapokwenda kwenye uchaguzi tuwamalize kabisa!!

let us not waste our energy in self destructive efforts!! adui yetu tunamjua!! lets not let them survive this last blow!

Mzee Mwanakijiji, Comrade,

Ninakushukuru Sana.
 
Ubaya wa ccm baada ya lowasa kutoka serikalini hakumpi usafi hata kidogo

then hakuna haja ya kuzungumzia ufisadi wa lowassa na kuacha wengine

In short, agenda ya ufisadi ya lowassa is dead
 
apart from Richmond scandal, how many scandals tumeshakua kuwa nazo between 2005 na leo?? and what is the dollar value ya kila scandal??

Do we have selective blindness au sisi ni dumbasses tunaochagua ni kichomi kipi kisemwe kwa dokta??

Negro please

Hiyo utajaza wewe Mwenyewe. Hatuwezi kumsinyanga MAGUFULI kwa Dhambi aliyofanya Lowassa, Bilali n.k
 
apart from Richmond scandal, how many scandals tumeshakua kuwa nazo between 2005 na leo?? and what is the dollar value ya kila scandal??

Do we have selective blindness au sisi ni dumbasses tunaochagua ni kichomi kipi kisemwe kwa dokta??

Negro please

Compare Madhambi ya Lowassa vs Magufuli na sio ya watu wengine.
 
Compare Madhambi ya Lowassa vs Magufuli na sio ya watu wengine.

Tunaongelea suala la ufisadi na athari zake kwa nchi wala si madhambi ya watu. Therefore hatufanyi comparison kufikia uamuzi wa kumchagua Rais. so much noise on ufisadi na Lowasa hajawa proven guilty kwa ufisadi Ila muda wote wa utawala wa CCM issue ni rushwa ambalo hatuna hata Rais wa awamu ya pili mpaka wa Sasa ameshachukua chukua hatua za dhati kupiga vita rushwa! Hata enzi za Mkapa rushwa kubwa iliotokea na hatukumsikia akiizungumzia kama Mkuu wa nchi. Lowasa ana uchungu wa kupigiwa kelele za ufisadi, atatumia uchungu aliopitia kubeba mzigo wa kashfa kwa niaba ya serikali kuhakikisha ana prove yeye hapendi ufisadi once ukipata kura za kutosha.
 
LIle la nyumba 8,000 ni mega scandal, only second to ESCROW

Kama ingekuwa ni Magufuli Scandal na hasa kama ingekuwa yeye ndiye aliyefisadi, angeshafukuzwa kazi kama FISADI LOWASSA au kuwajibishwa na bunge kama wale washikaji zake LOWASSA.

Kwa kifupi ni kuwa hakuna Magufuli Scandal, je unaweza sema hivyo hivyo kwa FISADI LOWASSA?
 
then hakuna haja ya kuzungumzia ufisadi wa lowassa na kuacha wengine

In short, agenda ya ufisadi ya lowassa is dead

Kama wanagombea Uraisi, yes, lazima tuwaongelee ufisadi wao, lakini kama-hawamo kwenye hiki kinyang'anyiro cha uraisi, basi hawahusiki.

Kwenye wagombea uraisi wote, ni mmoja tu ndiye aliyehukumiwa kuwa ni FISADI Papa, hapa tunamuongelea EDWARD LOWASSA = HATUFAI.

 
Back
Top Bottom