Mzee Mtei hajafilisika mawazo - kasema ukweli

Wanataka mahakama ya kadhi na OIC huku wameshindwa kuwapeleka watoto wao shule! Wao ndio wanaongoza kwa ignorance na umaskini uliokubuhu kupita kiasi. Wanaitia najisi nchi yetu. 2015 watalia na kusaga meno hawa mafukara.
 
Mie maoni yangu hata Rais angewateua wawakilishi wa kila kabila linalo exist hapa TZ, madhehebu yote na wale wanaoabudu mapangon na miti ili wachangie kwenye hiyo tume bado ungewasikia wadigo wangelalamika kuwa posho zitakazolipwa ni nyingi serikali inatumia pesa vibaya.

hapa labda wewe tu ndio ungesema hivyo

Halafu hivi wale wajumbe ndio watakao andika katiba mpya kwa maoni yao au kwa maoni yetu? kama kwa m aoni yetu kwanini mzee mtei aseme yote hayo? kama kwa maoni ya wajumbe then itakuwa tatizo ila kama maoni yatatolewa na wananchi sioni tatizo hata kama waliochaguliwa wangekuwa hawana dini! kwani sisi wenye dini zetu tungetoa maoni ya tuyatakayo!

Mzee Mtei kasema kile ambacho kilitakiwa kusema na wapenda nchi
 
Fikiria kwa makini alichokisema

Kisha uamue kama alichokisema ni uongo au ukweli?
Kunatofauti kubwa kati ya kusema ukweli na kuutolea maoni huo ukweli kwa mustakabali wa nchi

Mfano, mtu anasema Dr Slaa ni padri, ni mkristo, maisha yake yote amekulia kanisani na amesomea sheria za kanisa hadi level ya PHD, na anaishi na kuzaa na mke wa mtu,......................Huu ni ukweli

Lakini akianza sasa kutoa maoni kuhusu ukweli huo labda nchi haina dini kwanini tuongozwe na padri aliyesomea sheria za kanisa?anaweza kupendelea dini yake. kwanini tuongozwe na mtu asiye na maadili anayeishi na wake za watu........... haya ni maoni na ndio yanayogomba

Lakini katika mfano huu, kama utamuangalia Dr slaa kwa jicho la kitaifa utaona ni haki yake na katiba inamruhusu na anauzalendo, lakini kama utamuangalia Dr slaa kwa jicho na mtazamo wa kidini utamuona yupo kwa maslahi ya wakristo na si taifa.......kama alivyofanya Mtei

Kwasababu kung'ang'ania tu alisema ukweli hakusaidii, angeweza kusema hata kwanini hakuna mjaluo au muhindi au msambaa, or whatever, huo nao si ni ukweli............
Tunachokiona kwenye bandiko la Mtei ni kwamba ameingalia tume kwa jicho na mtazamo wa kidini na kikanda, kitu ambacho hata yeye anajua jinsi Nyerere alivyotumia muda mwingi kukipiga vita na anajua CDM inaathirika vipi kwakuwa tu kuna watu wamezusha na kuifanya ionekane katika jicho la kidini.

Tuungane kwa pamoja kumuonyesha mzee hapa ulighafirika kidogo then maisha yaendelee, lakini kubaki kufungua masredi kumtetea mtu ambaye hata chama cheke mwenye alicho kiasisi kimemnawa kwa tamko rasmi ni kupoteza muda bure na kufanya azidi kuchambuliwa udhaufi wake
 
Kunatofauti kubwa kati ya kusema ukweli na kuutolea maoni huo ukweli kwa mustakabali wa nchi

Mfano, mtu anasema Dr Slaa ni padri, ni mkristo, maisha yake yote amekulia kanisani na amesomea sheria za kanisa hadi level ya PHD, na anaishi na kuzaa na mke wa mtu,......................Huu ni ukweli

Lakini akianza sasa kutoa maoni kuhusu ukweli huo labda nchi haina dini kwanini tuongozwe na padri aliyesomea sheria za kanisa?anaweza kupendelea dini yake. kwanini tuongozwe na mtu asiye na maadili anayeishi na wake za watu........... haya ni maoni na ndio yanayogomba

Lakini katika mfano huu, kama utamuangalia Dr slaa kwa jicho la kitaifa utaona ni haki yake na katiba inamruhusu na anauzalendo, lakini kama utamuangalia Dr slaa kwa jicho na mtazamo wa kidini utamuona yupo kwa maslahi ya wakristo na si taifa.......kama alivyofanya Mtei

Kwasababu kung'ang'ania tu alisema ukweli hakusaidii, angeweza kusema hata kwanini hakuna mjaluo au muhindi au msambaa, or whatever, huo nao si ni ukweli............
Tunachokiona kwenye bandiko la Mtei ni kwamba ameingalia tume kwa jicho na mtazamo wa kidini na kikanda, kitu ambacho hata yeye anajua jinsi Nyerere alivyotumia muda mwingi kukipiga vita na anajua CDM inaathirika vipi kwakuwa tu kuna watu wamezusha na kuifanya ionekane katika jicho la kidini.

Tuungane kwa pamoja kumuonyesha mzee hapa ulighafirika kidogo then maisha yaendelee, lakini kubaki kufungua masredi kumtetea mtu ambaye hata chama cheke mwenye alicho kiasisi kimemnawa kwa tamko rasmi ni kupoteza muda bure na kufanya azidi kuchambuliwa udhaufi wake

Tatizo kalianzisha Kikwete na sio Mtei (au Slaa kama unavyojaribu kuingiza jina lake hapa).

Kikwete angeacha udini, Mtei angekosa la kusema
 
Napenda niwahakikishie Waislam kwamba kamwe mahakama ya kadhi na OIC havitakuwepo Tanzania milele na milele. Sana sana mtaishia kula tende na halua tu.
 
Paulss, ina maana hujui kwamba rais mstaafu Mwinyi alikuwa sheikh kabla ya kuwa rais! Una hoja muflisi sana. Inawezekana wewe ni graduate wa madrassa ndio maana umejaza kamasi kichwani badala ya ubongo.
 
Aliyeleta udini ni yule aliyejaza tume nzima watu wa dini yake mwenyewe

THANKS GOD tuna watu kama mzee Mtei wenye kuweza kukemea udini wa ccm

Tutafutie wewe Wazanzibari unaoona wanaweza kuwa kwenye tume.

Ukishutumu kitu unatakiwa uje na mbadala, sio unalalama tu, na Serikali ya sasa ina Waislaam wangapi na Wakristo wangapi? chadema ina waislaam wangapi na wakristo wangapi?

Fikiri!
 
Napenda niwahakikishie Waislam kwamba kamwe mahakama ya kadhi na OIC havitakuwepo Tanzania milele na milele. Sana sana mtaishia kula tende na halua tu.

Huyu ni miongoni mwa wanafunzi watiifu wa Marehemu Sheikh Yahya.........
 
Zitto anatumiwa kila mara kuigalagaza chadema, huu hautakuwa mwanzo au mwisho wake kufanya hivyo

Kulalamika waislamu wanapendelewa dhidi ya wakristo ndio msimamo wa chadema mpaka Zito aonekane anahujumu chama kwa kukemea udini wa Mtei?

Mtei mtetezi wa religion balance Ktk Mambo yepi? Kila idara ya serikali au tume ya katiba tu? Hizo idara nyengine wakristo pia wachache au kuna balance kati yao na Waislamu? Baraza la mawaziri linachaguliwa na JK pia, je waislamu na wakristo wapo sawa kwa idadi? Hata kipindi Mtei alipokuwa member wakati wa Kambarage je idadi ili balance au wakati huo alikuwa mkomunisti? Ba mkwe una ajenda gani?

Anyway, kwangu mimi hapa ba nkwe anadhihirisha tu ukweli juu ya ajenda ya siri ya Chadema. Nakumbuka wakati Lema anaenguliwa ubunge Arusha, nilimsikia mama mmoja ktk clouds FM akilalami "huu ni wakati wa Yesu, huu ni wakati wa Yesu, huu ni wakati wa Yesu, huu ni wakati wa Yesu, ............yehova unaacha wanao tunahukumiwa mchana peupee!!!!!.." hee nikajiuliza, Lema kawa Mchungaji, Padiri au Askofu!!!!

Wenye akili tulishaelewa!!!!
 
Wakristo, wapagan, wabudha, wahindu na waislam, wote kwa midhani moja ninawaheshimu na kuwaamin katika hili la katiba mpya as long as tunaunganishwa na utanzania wetu.
Ndugu zangu hatuendi kuandika katiba ya taasisi ya kidini au kikundi fulan bali katiba ya nchi yetu. Na tulishakubaliana kuwa nchi yetu haina dini, sasa hizi porojo ni za nini? Hata hivyo ninaheshimu maoni ya mtu yeyote katika hili
 
Mie napinga mno kuifanya nchi ya zanzibar kama eti ni ya kiislam. Pana makanisa mengi tu na mengine makongwe kuzidi ya tanganyika, sasa haiingi akilini kuona siasa inawabagua wale wazanzibari wasio waislam. Huu ni ubaguzi.
hivi tujiulize kama wajumbe wote wanaotoka tanganyika wangekuwa woote ni wakristo ama waislamu kuna mtu angeelewa kweli? Nakuhakikishia pangechimbika. Kwa upande wa zanzibar wajumbe kutokuwepo mkristo hata mmoja japo sii sheria bali busara kunamaanisha zanzibar ni waislamu kwa asilimia mia moja. Na inamaanisha maslahi ya wakristo wachache waliopo hakuna wa kuyapigia chupuo katika maoni yanayotarajiwa kukusanywe. Busara haionyeshi kwamba kuna nia njema kwa hawa watu wasio waislamu katika visiwa hivi.
.
 
Napenda niwahakikishie Waislam kwamba kamwe mahakama ya kadhi na OIC havitakuwepo Tanzania milele na milele. Sana sana mtaishia kula tende na halua tu.

Hao wana hakika kuwa watapata vyote hivyo

Ukichukulia kuwa "walimchagua" rais wao kwa kishindo
 
Kulalamika waislamu wanapendelewa dhidi ya wakristo ndio msimamo wa chadema mpaka Zito aonekane anahujumu chama kwa kukemea udini wa Mtei?

Mtei mtetezi wa religion balance Ktk Mambo yepi? Kila idara ya serikali au tume ya katiba tu? Hizo idara nyengine wakristo pia wachache au kuna balance kati yao na Waislamu? Baraza la mawaziri linachaguliwa na JK pia, je waislamu na wakristo wapo sawa kwa idadi? Hata kipindi Mtei alipokuwa member wakati wa Kambarage je idadi ili balance au wakati huo alikuwa mkomunisti? Ba mkwe una ajenda gani?

Anyway, kwangu mimi hapa ba nkwe anadhihirisha tu ukweli juu ya ajenda ya siri ya Chadema. Nakumbuka wakati Lema anaenguliwa ubunge Arusha, nilimsikia mama mmoja ktk clouds FM akilalami "huu ni wakati wa Yesu, huu ni wakati wa Yesu, huu ni wakati wa Yesu, huu ni wakati wa Yesu, ............yehova unaacha wanao tunahukumiwa mchana peupee!!!!!.." hee nikajiuliza, Lema kawa Mchungaji, Padiri au Askofu!!!!

Wenye akili tulishaelewa!!!!

wewe ulikuwa wapi uchaguzi wa igunga?

au ni yale yale ya selective outrage?!?!?!
 
Kwa mtindo huu CDM inaichukua miaka 100 ili kuitawala Tanzania udini ni sumu ambayo haina nafasi hata kdogo katika siasa zeti Tz yaelekea umetumwa na post yako hii ili uweze kuchafua hali ya hewa hapa JF
 
Kwa mtindo huu CDM inaichukua miaka 100 ili kuitawala Tanzania udini ni sumu ambayo haina nafasi hata kdogo katika siasa zeti Tz yaelekea umetumwa na post yako hii ili uweze kuchafua hali ya hewa hapa JF

udini kauanzisha kikwete na chama chake cha mafisadi

wewe umetumwa hapa kuja kuchafua hali ya hewa na kuutetea
 
Back
Top Bottom