Nani Kasema
Senior Member
- May 31, 2011
- 148
- 27
Fikiria kwa makini alichokisema
Kisha uamue kama alichokisema ni uongo au ukweli?
Kisha uamue kama alichokisema ni uongo au ukweli?
NOTE - Ninaediti post hii ili kuongeza theme ya threads zangu
zingine ambazo mods wanaziunganisha na hii bila sababu yoyote
ya msingi.
Ninachokiongeza - ambacho ninataka kukiongelea kwenye threads zingine,
na ambacho mzee mtei hakukiongelea ni hiki:
JK na wenzake wana Mpango wa kuingiza mahakama
ya kadhi na OIC kwenye katiba ya Tanzania.
Ningependa kuwahakikishia wao (na mods wa hii forum)
kuwa, huo mpango hautafanikiwa ng'o,... hata wakijaza
watu wa dini moja kwenye tume ya katiba.