Mzee Mtei hajafilisika mawazo - kasema ukweli

Mzee Mtei hajafilisika mawazo - kasema ukweli

kuna hoja yoyote ile?

Niliuliza "Kulalamika waislamu wanapendelewa dhidi ya wakristo ndio msimamo wa chadema mpaka Zito aonekane anahujumu chama kwa kukemea udini wa Mtei?"

Na je utetezi wa religion balance wa muasisi Mtei ni Ktk Mambo yepi? Kila idara ya serikali au tume ya katiba tu? Hizo idara nyengine wakristo pia wachache au kuna balance kati yao na Waislamu? Baraza la mawaziri linachaguliwa na JK pia, je waislamu na wakristo wapo sawa kwa idadi? Hata kipindi yeye Mtei alipokuwa member wakati wa Kambarage je idadi ili balance au wakati huo alikuwa mkomunisti hakuona? Ba mkwe una ajenda gani?

Nikahitimisha kuwa, kwangu mimi hapa ba nkwe anadhihirisha tu ukweli juu ya ajenda ya siri ya Chadema. We dogo hukusikia siku Lema alipoenguliwa ubunge Arusha, kupitia clouds FM mdada akilalami "huu ni wakati wa Yesu, huu ni wakati wa Yesu, huu ni wakati wa Yesu, huu ni wakati wa Yesu, ............yehova unaacha wanao tunahukumiwa mchana peupee!!!!!.." Kwako wewe Lema ni Mchungaji, Padiri au Askofu???!!!!

Kama hujaelewa nenda kwa babu loliondo ukapate kikombe!!! Kwi kwi kwiiii-wajinga ndio waliwao!
 
Niliuliza "Kulalamika waislamu wanapendelewa dhidi ya wakristo ndio msimamo wa chadema mpaka Zito aonekane anahujumu chama kwa kukemea udini wa Mtei?"

Na je utetezi wa religion balance wa muasisi Mtei ni Ktk Mambo yepi? Kila idara ya serikali au tume ya katiba tu? Hizo idara nyengine wakristo pia wachache au kuna balance kati yao na Waislamu? Baraza la mawaziri linachaguliwa na JK pia, je waislamu na wakristo wapo sawa kwa idadi? Hata kipindi yeye Mtei alipokuwa member wakati wa Kambarage je idadi ili balance au wakati huo alikuwa mkomunisti hakuona? Ba mkwe una ajenda gani?

Nikahitimisha kuwa, kwangu mimi hapa ba nkwe anadhihirisha tu ukweli juu ya ajenda ya siri ya Chadema. We dogo hukusikia siku Lema alipoenguliwa ubunge Arusha, kupitia clouds FM mdada akilalami "huu ni wakati wa Yesu, huu ni wakati wa Yesu, huu ni wakati wa Yesu, huu ni wakati wa Yesu, ............yehova unaacha wanao tunahukumiwa mchana peupee!!!!!.." Kwako wewe Lema ni Mchungaji, Padiri au Askofu???!!!!

Kama hujaelewa nenda kwa babu loliondo ukapate kikombe!!! Kwi kwi kwiiii-wajinga ndio waliwao!

kama hizi ndizo hoja, basi inabidi urudi madrassa au uende kwenye shule za kueleweka ili ukasoma namna ya kutoa hoja.

Hakuna hoja hapo, ni pumba tu mbele kwa mbela kama utabiri wa shehe yahya
 
Fikiria kwa makini alichokisema

Kisha uamue kama alichokisema ni uongo au ukweli?

Kama ulikuwa unataka kutoa tu hako ka dukuduku kako si ungeandika kule kwenye mijadala inayoendelea?

Kulikuwa na sababu gani za kuanzisha hii thread mpya? au na wewe ilimradi tukuone upo?
 
nakuambia ukweli, hakuna mtz atakayependa waislam wawe wengi kiasi kile, kama yeye sio muislam. sisi wakristo tuna feel kuwa hakuna balance iliyofanyika, tupo insecure ktk maslahi yetu. why this lakini.
 
Kunatofauti kubwa kati ya kusema ukweli na kuutolea maoni huo ukweli kwa mustakabali wa nchi

Mfano, mtu anasema Dr Slaa ni padri, ni mkristo, maisha yake yote amekulia kanisani na amesomea sheria za kanisa hadi level ya PHD, na anaishi na kuzaa na mke wa mtu,......................Huu ni ukweli

Lakini akianza sasa kutoa maoni kuhusu ukweli huo labda nchi haina dini kwanini tuongozwe na padri aliyesomea sheria za kanisa?anaweza kupendelea dini yake. kwanini tuongozwe na mtu asiye na maadili anayeishi na wake za watu........... haya ni maoni na ndio yanayogomba

Lakini katika mfano huu, kama utamuangalia Dr slaa kwa jicho la kitaifa utaona ni haki yake na katiba inamruhusu na anauzalendo, lakini kama utamuangalia Dr slaa kwa jicho na mtazamo wa kidini utamuona yupo kwa maslahi ya wakristo na si taifa.......kama alivyofanya Mtei

Kwasababu kung'ang'ania tu alisema ukweli hakusaidii, angeweza kusema hata kwanini hakuna mjaluo au muhindi au msambaa, or whatever, huo nao si ni ukweli............
Tunachokiona kwenye bandiko la Mtei ni kwamba ameingalia tume kwa jicho na mtazamo wa kidini na kikanda, kitu ambacho hata yeye anajua jinsi Nyerere alivyotumia muda mwingi kukipiga vita na anajua CDM inaathirika vipi kwakuwa tu kuna watu wamezusha na kuifanya ionekane katika jicho la kidini.

Tuungane kwa pamoja kumuonyesha mzee hapa ulighafirika kidogo then maisha yaendelee, lakini kubaki kufungua masredi kumtetea mtu ambaye hata chama cheke mwenye alicho kiasisi kimemnawa kwa tamko rasmi ni kupoteza muda bure na kufanya azidi kuchambuliwa udhaufi wake
paulss kabla hujatoa maoni yako tuambie kama unaukubali ukweli wa Mtei. Kama unaona Mtei kadanganya tuambie.

Mtei kasema ukweli unaouma, ndio maana wengi wenu mnaoangalia udini badala ya facts zilizopo mnashambulia Mtei badala ya aliyesababisha huo ubaguzi (JK).
 
Haya ndiyo matokeo ya kupinga hoja ya watu makini kama Mhe. Tundu Lissu. Yeye akiwa Bungeni alisema Zanzibar kuwa na equal representation kwenye tume si sahihi kwa kuwa watanzania wengi wapo huku bara. Ona sasa kinachotokea hapa. Ni kweli kwa tume hii litakapotokea suala la dini hizi mbili ni wazi wakristo wanapoteza. Kila mmoja alishuhudia jinsi bunge letu lilivyogawanyika wakati wa hoja ya mahakama ya kadhi. Sembuse Katiba?? Nawapenda waislamu kama niwapendavyo wakristo wenzangu lakini ili kuondoa choko choko busara ingetumika kuweka uwiano.
 
Kama ulikuwa unataka kutoa tu hako ka dukuduku kako si ungeandika kule kwenye mijadala inayoendelea?

Kulikuwa na sababu gani za kuanzisha hii thread mpya? au na wewe ilimradi tukuone upo?

kimekuuma sana mimi kuanzisha hii topic enheee?

nivumilie tu ndugu yangu au waambie watawala wa hii forum waifute na hii (maana wamefuta topics zangu nyingi tu)
 
nakuambia ukweli, hakuna mtz atakayependa waislam wawe wengi kiasi kile, kama yeye sio muislam. sisi wakristo tuna feel kuwa hakuna balance iliyofanyika, tupo insecure ktk maslahi yetu. why this lakini.

kwa sababu nyie ni "wakristo" feki

yaani wakristo wa kichina vile
 
Siku zote nimekua nalalamika kwamba kama taifa tunapoteza pesa nyingi kuhudumia idadi kubwa ya wabunge kutoka Zanzibar ktk Bunge la JMT ambao hawana tija yoyote na uwakilishi wao ni kama wabunge wa vijiji! Katika hii Tume wajumbe 5 toka Zanzibar walikua wanatosha! Umuhimu ingekua ni nguvu ya kura ya wajumbe wa Zanzibar siyo wingi wa wajumbe. Ni matumizi mabaya ya pesa ya walipakodi wa Tanzania.
 
paulss kabla hujatoa maoni yako tuambie kama unaukubali ukweli wa Mtei. Kama unaona Mtei kadanganya tuambie.

Mtei kasema ukweli unaouma, ndio maana wengi wenu mnaoangalia udini badala ya facts zilizopo mnashambulia Mtei badala ya aliyesababisha huo ubaguzi (JK).

Na hiki ndicho watu wanakwepa hapa

Ukiangalia kwa makini, magamba wamebadilisha hoja na kuwa Mtei bada ya aliyezua yote haya - JK
 
Wabongo mnanishangaza sana kuhusu suala la udini.
Yaani nyinyi mtu kuitwa Abdallah au John tayari mmesham-categorize kwenye dini fulani.

Mnasahau kua dini sio Jina, bali vitendo. Hivi mnawajua vizuri kimatendo hao mnaowaita waislam/wakristo???

Ok, tume ina wajumbe wengi wenye majina ya kiislam so wakristo wanalalamika, but waislam nao walalamike kwa kua Mwenyekiti wake Warioba ana jina la Kikristo????

Unataka ku-balance members between Zanzibar na Bara kwa kuweka idadi sawa. Zanzibar 99.99% ni waislamu so nusu ya wajumbe wote, yaani wale wa Zanzibar wote inakua waislam.
Unakuja bara atleast ni nusu kwa nusu so Bara unapata nusu waislam, nusu wakristo,
Mwisho wa Siku unategemea nini hapo?? Kosa liko wapi hapo??

Mbona unjipinga mwenyewe? Umesema Ukristo na Uislamu si jina bali ni matendo. Kama hivyo ndivyo sasa unasemaje Wazanzibar 99.9% ni waislamu? Hiyo ni kwa majina au kwa matendo? Na unaposema nusu kwa nusu Tanganyika ni wakristo na Waislamu, je unamaanisha ni kwa majina au matendo?

Mimi naona ajenda yako ni ile ile ya udini. Unajaribu kutetea kuwa tume ilivyo iachwe hivyo maana unajua ina faida upande wa dini yako. Ajenda ya kadhi imekuwa kubwa katika nchi hii. Kwa nini serkali inataka kujiingiza katika taratibu za kuendesha dini za watu. Hapa Tz kuabudu iwe hairi ya mtu kuingia au kutoka. Kama mtu akishaingia kwa nini asifuate misingi ya dini yake bila shinikizo la katiba? Hili si jambo la imani ya mtu aliyoingia kwa hiari yake? Mbona kila dini inataratibu zake? Na kila dini inaona yale inayoyasimamia ni ya muhimu sana. Iulize kila dini ingependa taratibu zake ziingizwe ndani ya katiba na ifuatwe na watu wote. Lakini tuacheni watanzania tuwe huru katika mambo ya imani zetu. full stop!!!!!!
 
Kuna dini kubwa mbili Tanzania, ebu tuache ushabiki, tuangalie waliomo watatusaidiaje kupata katiba bora. Mbona viongozi wa juu wengi waislam lakini bakora za ugumu wa maisha wanazosababisha zinachapa wananchi wote?
 
Mbona unjipinga mwenyewe? Umesema Ukristo na Uislamu si jina bali ni matendo. Kama hivyo ndivyo sasa unasemaje Wazanzibar 99.9% ni waislamu? Hiyo ni kwa majina au kwa matendo? Na unaposema nusu kwa nusu Tanganyika ni wakristo na Waislamu, je unamaanisha ni kwa majina au matendo?

Mimi naona ajenda yako ni ile ile ya udini. Unajaribu kutetea kuwa tume ilivyo iachwe hivyo maana unajua ina faida upande wa dini yako. Ajenda ya kadhi imekuwa kubwa katika nchi hii. Kwa nini serkali inataka kujiingiza katika taratibu za kuendesha dini za watu. Hapa Tz kuabudu iwe hairi ya mtu kuingia au kutoka. Kama mtu akishaingia kwa nini asifuate misingi ya dini yake bila shinikizo la katiba? Hili si jambo la imani ya mtu aliyoingia kwa hiari yake? Mbona kila dini inataratibu zake? Na kila dini inaona yale inayoyasimamia ni ya muhimu sana. Iulize kila dini ingependa taratibu zake ziingizwe ndani ya katiba na ifuatwe na watu wote. Lakini tuacheni watanzania tuwe huru katika mambo ya imani zetu. full stop!!!!!!

safi sana

hoja dhaifu inajibiwa kwa hoja yenye nguvu
 
Fikiria kwa makini alichokisema

Kisha uamue kama alichokisema ni uongo au ukweli?


mwanzoni nilikuwa najua ni CHAGA DEVELOPMENT MANIFESTO kumbe CRISTIAN DEMOCRATIC MOVEMENT? na hii ndo sababu ya kuanzisha jina la CDM badala ya chadema?
 
Back
Top Bottom