Mzee Mtei hajafilisika mawazo - kasema ukweli

Kiby,

Hili ni swali ambalo wengi hawataki lijadiliwe hapa.
Wengi wamekimbilia tu kumlaani mzee Mtei bila
ya kujadili kile alichosema kama kina ukweli au la

Ukweli ni kuwa JK ni mdini - sasa ameanza kujionesha
wazi wazi.

Ukweli pia ni kuwa, kama angekuwa Mkapa ndiye kateua
tume ya katiba na akaweka wakristo wengi kuliko waislam,
maandamano yangekuwa ndio chakula cha mchana na jioni
kwa wakazi wa Dar.

Well said. Tuuangalie ukweli kama ulivyo. Binafsi nilitegemea busara itumike kuunda hiyo tume hasa ukizingatia uislamu na ukristo ulioko nchini. Kusema hivi si ukabila, ni ukweli wa mambo. Hili lingetokea kwa wenzetu waislamu ungesikia kishindo chake, lakini wakristo sio watu wa malumbano na ndiyo maana wako kimya.

Tungoje tuone. Mtikila ameamua kulipeleka mahakamani.
 
Well said. Tuuangalie ukweli kama ulivyo. Binafsi nilitegemea busara itumike kuunda hiyo tume hasa ukizingatia uislamu na ukristo ulioko nchini. Kusema hivi si ukabila, ni ukweli wa mambo. Hili lingetokea kwa wenzetu waislamu ungesikia kishindo chake, lakini wakristo sio watu wa malumbano na ndiyo maana wako kimya.

Tungoje tuone. Mtikila ameamua kulipeleka mahakamani.
najaribu kuangalia kama kabila langu limewakilishwa, uhaya na uchaga umo ila langu sijaconfirm !
 
Sina sababu ya kufuatilia na kuhesabu majina. Kwa mapana na marefu wajumbe walioteuliwa ni watu makini. Tusiwe na wasiwasi katika hili. Lakini ndugu zangu Watanzania, lilomuhimu kwetu ni sifa za kila mtu. Watu waliowengi katika tume hii ni Watanzania kweli kweli. Achana na dini kwa kupitia majina, Jaji Mstaafu A. Ramadhani, sina uhakika kama ni muislam au la!
 
Tatizo kubwa sana hapa sio udini pekee bali pia ni muundo wa Muungano. Kwa vile Z'bar inahesabika kama nchi ndani ya muungano basi 50% ni lazima mara nyingi italeta uwiano usio sawa linapokuja suala nyeti kama katiba ya muungano. Z'bar ni waislam kwa 99%.

Tukiweka serikali 3, mathalan, ina maana uwiano utakuwa 33.3% kwa Z'bar na Tanganyika na Muungano hapo tutapunguza hisia za udini kwa vile bara (Tanganyika) na mungano hawatakuwa na majority kidini.

So both Mtei and Zitto are right in their own premises
 
Sina sababu ya kufuatilia na kuhesabu majina. Kwa mapana na marefu wajumbe walioteuliwa ni watu makini. Tusiwe na wasiwasi katika hili. Lakini ndugu zangu Watanzania, lilomuhimu kwetu ni sifa za kila mtu. Watu waliowengi katika tume hii ni Watanzania kweli kweli. Achana na dini kwa kupitia majina, Jaji Mstaafu A. Ramadhani, sina uhakika kama ni muislam au la!

Wewe umeliona jina moja tu?
 
Sina sababu ya kufuatilia na kuhesabu majina. Kwa mapana na marefu wajumbe walioteuliwa ni watu makini. Tusiwe na wasiwasi katika hili. Lakini ndugu zangu Watanzania, lilomuhimu kwetu ni sifa za kila mtu. Watu waliowengi katika tume hii ni Watanzania kweli kweli. Achana na dini kwa kupitia majina, Jaji Mstaafu A. Ramadhani, sina uhakika kama ni muislam au la!

wewe si mfuatiliaji wa mambo!!
 
Mtei kahitimisha ukweli unaosemwa kila siku kuwa CHADEMA ni chama cha mrengo wa kidini, amebainisha wazi na bila kificho. Hata mkatae vipi, I agree, Mtei hakufanya mistake, imebidi adhihirishe ukweli unaofichwa siku zote.

Hiki si chama cha kukiunga mkono, udini mtupu na watatuletea balaa kubwa kwenye nchi, wana nia mbaya kabisa.

Mtanzania yeyote asiye mdini hawezi kabisa kukiunga mkono chama hiki. Huo ni ukweli usiopingika.
 
hivi tujiulize kama wajumbe wote wanaotoka tanganyika wangekuwa woote ni wakristo ama waislamu kuna mtu angeelewa kweli? Nakuhakikishia pangechimbika. Kwa upande wa zanzibar wajumbe kutokuwepo mkristo hata mmoja japo sii sheria bali busara kunamaanisha Zanzibar ni waislamu kwa asilimia mia moja. Na inamaanisha maslahi ya wakristo wachache waliopo hakuna wa kuyapigia chupuo katika maoni yanayotarajiwa kukusanywe. Busara haionyeshi kwamba kuna nia njema kwa hawa watu wasio waislamu katika visiwa hivi.
.


UZI HUU ni hatari kwa sura mbili: Itapatikana sababu kuthibitisha kuwa muda wa Zitto Kabwe kuharibu chadema uliokuwa unasubiriwa umefika. Pili, uzi huu unaweza kuishia katika makubaliano ya kusubiri hii Kamati tata imalize kazi yake na CCM ipasuke bungeni, mpasuko ambao hatma yake itakuwa ni kuvunja muungano.

Atokee mtu mwenye busara amuonye Rais Jakaya Kikwete kuwa yeye ndiye anaenda kuwa Mikhail Gorbachev wetu. Karata hii aliyoipiga Kikwete si karata ya busara sana, kwa sababu badala ya kuivuruga chadema kama inavyoonekana anatumaini, inaweza ikairuguga CCM zaidi kuliko hali ilivyo. CCM itapasuka na kuimarisha Chadema. Udini utaimairika zaidi nchini na Muungano utavunjika.

Mheshimiwa Kikwete, unataka kuingia katika historia ya Tanganyika na Zanzibar kama yule rais aliyevunja muungano? Becuase this Union is Over, na tatizo ni wewe!
 
Mtei kahitimisha ukweli unaosemwa kila siku kuwa CHADEMA ni chama cha mrengo wa kidini, amebainisha wazi na bla kificho. Hata mkatae vipi, I agree, Mtei hakufanya mistake, imebidi ahihirishe ukweli unaofichwa siku zote.

Hiki si chama cha kuikiunga mkono, udini mtupu na watatuletea balaa kubwa kwenye nchi, wana nia mbaya kabisa.

Mtanzania yeyote asiye mdini hawezi kabisa kukiunga mkono chama hiki. Huo ni ukweli usiopingika.

Aliyeleta udini ni yule aliyejaza tume nzima watu wa dini yake mwenyewe

THANKS GOD tuna watu kama mzee Mtei wenye kuweza kukemea udini wa ccm
 
Mie maoni yangu hata Rais angewateua wawakilishi wa kila kabila linalo exist hapa TZ, madhehebu yote na wale wanaoabudu mapangon na miti ili wachangie kwenye hiyo tume bado ungewasikia wadigo wangelalamika kuwa posho zitakazolipwa ni nyingi serikali inatumia pesa vibaya.

Halafu hivi wale wajumbe ndio watakao andika katiba mpya kwa maoni yao au kwa maoni yetu? kama kwa m aoni yetu kwanini mzee mtei aseme yote hayo? kama kwa maoni ya wajumbe then itakuwa tatizo ila kama maoni yatatolewa na wananchi sioni tatizo hata kama waliochaguliwa wangekuwa hawana dini! kwani sisi wenye dini zetu tungetoa maoni ya tuyatakayo!
 
unataka kesi za ndani ya nyumba za waislam uletewe wewe ambaye hata kuchinja kuku hujui?
 
Back
Top Bottom