Mzee Mbarouk Mshimba wa Chadema amkana Hadharani Mwanawe Uzini

Hii ni dalili moja kubwa ya kushindwa vibaya kwa Mbarouk. kama anataka ushindi ni lazima akamwangukie babaye ili amridhie.

Pole sana Mbarouk

Nani kakwambia anayechaguliwa ni baba yake, inawezekana huyo mzee amerukwa na akili, au ni baba ya kufikia, tuhitaji kumuuliza mama yake iwapo yeye ni baba halisi au kaletewa, kama utafiti wa hivi karibuni juu ya ugumba, nafikiri DNA ni suluhisho, hivi akishinda?, zile posho zilizopanda kule bungeni hatazipokea, au wadau mnasemaje?, inawezekana ni mbinu ya mzee kumtafutia umaarufu mtoto wake.
 
Napata wasiwasi na uwezo wa Baba na sio mtoto. Inakuwaje akasemee jukwaani?

Sasa hivi Mshimba ni mtu mzima, uelewa wa kuongoza anaujua yeye na wapiga kura wake. Nadhani nyie CCM, mhariri wa gazeti la Habari Leo/Uhuru na Baba yake huyo mgombea akili zenu zina walakini, mlitakiwa muwe Dodoma pale Milembe. Mtu mwenye akili timamu, tena graduate kama mhariri wa gazeti la Serikali hauwezi kukubali kuandika upupu kama huo.

kama baba anakubali kuwa mtoto wake hana uwezo wa uongozi inamaana yeye kama baba ndiyo mwenye tatizo kwa kuwa msingi bora wa malezi ya kifamilia yanajengwa na baba na mama kwa maana hiyo huyo mzee na mke wake walikua na mapungufu ya malezi na hata makuzi yao sio mazuri na kwa maana hiyo hata yale anayoongea huyu baba hayana tija kwa mwanae
 
moja ya gazeti hapa nchini limedai Baba Mzazi wa mgombea wa Chadema jimbo la uzini amemkana mwanawe hadharani.
amedai mwanawe huyo hana uwezo wa kuongoza kwa hivyo asipewe kura kwani hana imani naye.

Nadhani Habari leo ndio limeandika.
my take nadhani Mtoto achane na siasa, maana hata radhi zinaweza kumtoka

Radhi isiyo na sababu haimpati mtu
 
huyo mzee inaelekea ni wa magamba sasa akaona ili magamba wasimchukie ameamua kumwaga mboga ya mwanae
 
babake amewahi kumpa uongozi mbarouk akashindwa? propaganda za namna hii zinafanywa na chama kile kile chenye magazeti yale yale yasiyosomwa hata na jamiii eti kwa kas i nguvu na ari isiyokuwa na breki na iliyoozeeka KUMBE SASA MBAROUK ANATISHA KAMA MMEANZA KUMLIPA NA MTU ANAYEJIITA BABAKE ILI AMCHAFUE SUBIRINI TU AWANYOE
 
moja ya gazeti hapa nchini limedai Baba Mzazi wa mgombea wa Chadema jimbo la uzini amemkana mwanawe hadharani.
amedai mwanawe huyo hana uwezo wa kuongoza kwa hivyo asipewe kura kwani hana imani naye.

Nadhani Habari leo ndio limeandika.
my take nadhani Mtoto achane na siasa, maana hata radhi zinaweza kumtoka

Sishangai haya kutokea kwa wana CHADEMA Zanzibar na nilisema awali kwamba CDM hawakwenda kuchukua jimbo bali kutambulisha chama chao ambacho kwa Zanzibar ni kipya.
 
moja ya gazeti hapa nchini limedai Baba Mzazi wa mgombea wa Chadema jimbo la uzini amemkana mwanawe hadharani.
amedai mwanawe huyo hana uwezo wa kuongoza kwa hivyo asipewe kura kwani hana imani naye.

Nadhani Habari leo ndio limeandika.
my take nadhani Mtoto achane na siasa, maana hata radhi zinaweza kumtoka

Ndugu,

Kama kweli: 1. Mgombea huyo kupitia CDM nasikia ni mwalimu, baba alikuwa wapi kusema hadharani
2. Akitangazwa siku ya Jumapili kuwa ni mshindi baba yake atatoa radhi
 
Sishangai haya kutokea kwa wana CHADEMA Zanzibar na nilisema awali kwamba CDM hawakwenda kuchukua jimbo bali kutambulisha CHAMA CHAO AMBACHO KWA ZANZIBAR NI KIPYA.

Kwa hiyo hichi chama kinatoka Libya!!!
 
Kaka kama huna hata uhakika na source inayojenga inferences zako, conclusion yako itaaminikaje mkubwa. Acha porojo. Weka hapa hoja zinazojitosheleza kamanda. Source ya Habari Leo ni ipi, lini, kwa wakati gani, mahali gani. Jenga hoja kisha wenye sources za uhakika tukupatie uhalisia wa suala hilo. La sivyo utakuwa ni uongo na uzushi mkubwa, uso mfanowe.
Mkuu Tumaini Makene,najua wewe ni mtu wa jikoni, na kama sikosei uko frontline kwenye kampeni za chadema huko uzini.
Sasa unaonaje ukifunguka kwa kutumwagia ukweli kuhusiana na jambo hili? Je, ni kweli baba katamka kauli hii kwa mgombea
wetu au ni uongo? na ilikuwaje hadi akafikia kutamka kauli kama hiyo? Au ni kweli kuna kauli aliongea ila imetiwa chumvi na magamba? Funguka mkuu!
 
moja ya gazeti hapa nchini limedai Baba Mzazi wa mgombea wa Chadema jimbo la uzini amemkana mwanawe hadharani.
amedai mwanawe huyo hana uwezo wa kuongoza kwa hivyo asipewe kura kwani hana imani naye.

Nadhani Habari leo ndio limeandika.
my take nadhani Mtoto achane na siasa, maana hata radhi zinaweza kumtoka


MS wewe ndiye Mwanaasha J. Kilaza. Pole kwa kupata Div. 4
 
moja ya gazeti hapa nchini limedai Baba Mzazi wa mgombea wa Chadema jimbo la uzini amemkana mwanawe hadharani.
amedai mwanawe huyo hana uwezo wa kuongoza kwa hivyo asipewe kura kwani hana imani naye.

Nadhani Habari leo ndio limeandika.
my take nadhani Mtoto achane na siasa, maana hata radhi zinaweza kumtoka

Ndugu zangu watanzania, mnajua utamaduni wetu wa kuheshimiana unatupa sifa kubwa sana kiasi kwamba hata ueropei wanatamani kuiga wanachokiona humu ndani. Kweli tusicheze na hii siasa, tusikubali kuingiza siasa mpaka majumbani, ni hatari. Kila mtu awehuru kwenye nafsi yake bila kumkwaza mwenzie.

Tukumbuke wajermani wanasheria ambayo inampa mtoto uhuru wa kuachana na wazazi wake na kuwakana kabisa mahakamani na sheria inawalinda. Mimi nilichokiona na watu waliopo ujermani watakuwa mashahidi wangu, wazazi walikuwa wanalia kwenye TV kwa sababu mtoto hataki kuwaona wazazi wake nyumbani kwake. Na sheria inamlinda kabisa.

Kwa hiyo tusishabikie mambo ya kipumbavu huyu baba atambue hata huyu mtoto anatafuta ugali wake na familia yake na yeye pia anamtegea. Sasa huyu mzee ameshaanza wakipatikana wazee watano wanaosema mambo kama haya tayari vijana wanaanza kudai uhuru wao wanapokutana na mambo magumu katika familia zao.
 
Back
Top Bottom