Hizo ni siasa tu, Bw mkubwa kapewa mshiko ili atamke utumbo. Nakumbuka mwaka 1995, siasa za baba na mwana zilipamba moto. Mw Nyerere VS Makongoro Nyerere. Mwalimu akimpigia kampeni Mkapa wakati Makongoro akimpigia kampeni Mrema, mtoto akiwaomba wa tz wampuuze baba yake na kwamba yeye anamfahamu saaana, na baba akidai mwanae kachanganyikiwa hivyo wa tz wampuuze. HIZO NI SIASA TU, BAADA YA UCHAGUZI UNDUGU UNARUDI, HAKUNA CHA RADHI WALA NINI.