Mzee Mangula kufunga ndoa na mwalimu kesho...

Mzee Mangula kufunga ndoa na mwalimu kesho...

Alianza kufanya ngono zembe na mwajiriwa wake, na pengine alipata nafasi hiyo ya ukuu wa shule hiyo kwa rushwa ya ngono, leo wameamua kutakatisha ufuska waliozoea kufanya kwa kufunga ndoa.

Huwezi kuamini mambo haya CCM katika umri kama huo kufunga ndoa leo wakati mtu ni wa kutunzwa na wajukuu. Hakuna kufanya maendeleo ila kuchuma na kuzitumia kwa kwenda mbele kustarehe na wanawake. Hii habari inatufumbua mengi kama ile ya Gazeti la habari leo Jumapili kuipa Habari Kuu ukurasa wa mbele kuhusu Makahaba wa Kinywarwanda kutinga Dodoma kuwafuata Wabunge kuwapa ridhio la ngono.

Ha ha ha ha!!
Lakini Candid hii ni too personal and Private; sasa hapo ni discrimination au? That is too low. Leave it to himself/herself; wamechagua maisha yao. Did they touch your ass, obvious no!!!
 
......Hongera sana Mzee Mangula... nendeni mkaijaze dunia.......
 
De-briefing_of_YLEP_participants_027a.jpg


Sorry for misunderstanding may be there is something else ambacho kilifanya nichukulie kimasikhara katika comment yangu ambayo inaonekana kuwakera wengi. Kufunga ndoa ni jambo zuri sana na ndicho kinachotakiwa kuliko kuendelea kuifunja amri ya sita kwani ni sawa na kuendeleza ufuska.

Masikhara yangu hayaja simamia kwenye itikadi, lahasha, ila ni kutokana na historia ya kwamba ni mwalimu Mkuu wa shule inayoitwa mangula, kwa tafsiri nyepesi ni kama mwajiriwa wake maana shule haijafafanuliwa inaitwa hivyo kwa jina tu au inamilikiwa naye.

Wafanya masikhara hawatasita kuongea yao ya vijiweni kudadafula kwamba labda hata ajira hapo ilienda kwa mwendo wa utatanishi ingawa haina maana hiyo kwa vile hakuna uthibitisho.

Poleni kwa wote ambao baada ya comment yangu wamekwazwa, lakini palipo na wengi hutakosa maongezi ya aina mbalimbali iwe ushauri nasaha, usuluhishi, mapatano, shauku, husuda, ukalimani, kushawishika, MAKWAZO KAMA ILIVYOTOKEA KWA COMMENT YANGU, nk.

Hata Malecela alioa Anna Kilango katika umri mkubwa baada ya kufiwa na mkwe wa kwanza na Mbele ya Mzee Ruksa aliimbiwa nyimbo za kumpongeza
"WANAMEREMETA!"
 
Candid Scope huyu mzee jamani alisha funga ndoa miaka ya nyuma sana huko na mkewe alikuwa anaitwa Ngendelimage kama sikosei alinifundisha shule ya msingi Nyanza enzi zile mzee Mangula alikuwa mkuu wa mkoa wa Mwanza.
Baadae wakahamia dodoma akawa anafundisha shule ya KILIMANI hapo alifundisha na mamangu na kufundisha wadogo zangu.
mwaka 2004 alipata cancer ya koo mkewe na kufariki ya ugonjwa huo.Mungu amlaze mahali pema peponi mama yetu.
Naona mzee kaamua sasa baada ya miaka 10 ya kifo cha mkewe kipenzi.

Kumbuka mzee na mama Mangula wa kijana ana tatizo la mtindio wa ubongo na pia mzee nae kazee sasa.nazani ni wakai mwafaka wa kupata mwenze aweze kumsaidia kwa shughuli na majukumu ya Familia yakae.
Nampongeza na kumtakia ndoa njema.
 
Mzee Mangulla ni mtu muadilifu na mcha Mungu, tunamtakia maisha yenye amani yeye na mkewe mtarajiwa. Kuliongoza hilo chama la mafisadi anahitaji mwenza mwenye hekima wa kumfariji!!!
 
Hivi desturi na Mila hamna siku hizi? Mzee wa watu amefiwa na mwenzake, amepata mwingine badala ya Kum sapot unatoa kashfa,Angelis baba yako ungehisi nini.tumia akili next time to comment
 
Mkuu maandishi yako haya yamekosa busara sielewi unataka nini zaidi ya kusifiwa kipuuzi.

Ina Maana haukumfuatilia MZEE MANGULA wakati akiwa SEMI-RETIREMENT? Jinsi alivyokuwa na hard time? UH Samahani kama haufuatilii viongozi kabla ya kushamiri...

Wapi YAMEKOSA BUSARA? alipokwenda IGUNGA ILIBIDI CCM WAMPATIE GARI MPYA sababu ile aliyestaafu nayo ilikuwa kwenye MAWE...
 
Alianza kufanya ngono zembe na mwajiriwa wake, na pengine alipata nafasi hiyo ya ukuu wa shule hiyo kwa rushwa ya ngono, leo wameamua kutakatisha ufuska waliozoea kufanya kwa kufunga ndoa.

Huwezi kuamini mambo haya CCM katika umri kama huo kufunga ndoa leo wakati mtu ni wa kutunzwa na wajukuu. Hakuna kufanya maendeleo ila kuchuma na kuzitumia kwa kwenda mbele kustarehe na wanawake. Hii habari inatufumbua mengi kama ile ya Gazeti la habari leo Jumapili kuipa Habari Kuu ukurasa wa mbele kuhusu Makahaba wa Kinywarwanda kutinga Dodoma kuwafuata Wabunge kuwapa ridhio la ngono.


Sisi kwetu utakuwa na bahati sana kama utapata mjukuu wa kukutunza. Sana sana utapata mjukuu anayetaka kutunzwa na wewe.
 
sio wivu, mbona Mangula tumeambiwa mke wake alifariki 2004 kwa kisukari...sasa kwa nini tusijue na historia ya mama mtarajiwa.?
Usiwe na haraka kuna sehemu lazima husomwa historia ya kila binadamu. Yako na yangu itasomwa pia.:A S shade:
 
Si vyema mwanaume akaishi peke yake. Ni maandiko hayo. Hongera mzee.
 
Aliyesimama kulia kwa mzungu ndiye mke mtarajiwa wa Mzee Mangula...Ms Yolanda Vermund Kaberege

De-briefing_of_YLEP_participants_027a.jpg

thax watu8 .. BTW i can see she is really BOLD .. chezea kwenda kumlea Babu wewe!
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom