Highlander
JF-Expert Member
- Feb 12, 2012
- 3,093
- 1,077
Ni MKWE bila shaka.
OK. Tuwaombee maisha mema. Amekuwa mvumilivu sana kuishi muda wote huu bila mke.
Ni MKWE bila shaka.
hehehehe,HIVI MC ATAKUA NANI?
OK. Tuwaombee maisha mema. Amekuwa mvumilivu sana kuishi muda wote huu bila mke.
Alianza kufanya ngono zembe na mwajiriwa wake, na pengine alipata nafasi hiyo ya ukuu wa shule hiyo kwa rushwa ya ngono, leo wameamua kutakatisha ufuska waliozoea kufanya kwa kufunga ndoa.
Huwezi kuamini mambo haya CCM katika umri kama huo kufunga ndoa leo wakati mtu ni wa kutunzwa na wajukuu. Hakuna kufanya maendeleo ila kuchuma na kuzitumia kwa kwenda mbele kustarehe na wanawake. Hii habari inatufumbua mengi kama ile ya Gazeti la habari leo Jumapili kuipa Habari Kuu ukurasa wa mbele kuhusu Makahaba wa Kinywarwanda kutinga Dodoma kuwafuata Wabunge kuwapa ridhio la ngono.
Mkuu, nmeipenda hiyo combination yako pia akiwepo na Mwigulu mchemba duh!
Wamekutana baada ya kupata Umakamu wa CCM Taifa? Mwalimu mkuu shule ya sekondari Phillip Mangula na mme mtarajiwa Phillip Mangula is it coincidence? Mangula mke wake ni marehemu, je Bi harusi mtarajiwa nae mme wake ni marehemu?