POMPO
JF-Expert Member
- Mar 12, 2011
- 6,690
- 2,402
Mkuu, nmeipenda hiyo combination yako pia akiwepo na Mwigulu mchemba duh!dah, afadhali pinda kapata pacha wake aisee
maana tukiwaweka pale kati Pinda, Mangula, mgimwa na Wasira lazma mtu ukae
Mkuu, nmeipenda hiyo combination yako pia akiwepo na Mwigulu mchemba duh!dah, afadhali pinda kapata pacha wake aisee
maana tukiwaweka pale kati Pinda, Mangula, mgimwa na Wasira lazma mtu ukae
Mimi naona ni utaratibu wa kawaida kabisa.Hata Mzee Mandela alioa ili apate mtu wa kumsaidia katika shughuli zake.Lakini hii ya kuitana Wachumba na kuishi pamoja bila kuhalalishwa ni dhambi kubwa sana.Tena ukifikiria meno yameisha anza kudondoka kinywani.
Mkuu, umetukumbusha mzee Malchela na uzee ule aliamua kumuoa Anna Kilango, na harusi ilisimamiwa na fisadi nyangumi Jeetu Pateli, hii ya Mangula nani anasimamia show?Ukiona hivi ujue anataka kugombea Uraisi!!!!
Kwa umri aliofikia ni bora kuoa kuliko watu wazima kuitana boyfriend na girlfriend.
Mkuu maandishi yako haya yamekosa busara sielewi unataka nini zaidi ya kusifiwa kipuuzi.
Wow alikuwa AMECHOKA KIJIJINI viatu vimechoka; PESA ya CCM Imeshamtakatisha na kupata KIPUSA cha KUOA...
Kweli PESA za CCM hazidanganyi... Lakini MONEY is not all the HAPPINESS in the WORLD!!!
Khaa!! ya nini bana?? acha wivu kwani unataka kumuoa wewe?? wenyewe wameelewana bana
Let me guess - baada ya kujadili maisha binafsi ya watu wengine, wamejikuta wako kwenye scandal na sasa wanakazana kumaliza mambo! Mangula amekuwa mjane tangu 2004. Kwa miaka yote hii 7 aliishi peke yake?
picha ya huyo mai waifu mtarajiwa twafadhaliiii!
Let me guess - baada ya kujadili maisha binafsi ya watu wengine, wamejikuta wako kwenye scandal na sasa wanakazana kumaliza mambo! Mangula amekuwa mjane tangu 2004. Kwa miaka yote hii 7 aliishi peke yake?
Alianza kufanya ngono zembe na mwajiriwa wake, na pengine alipata nafasi hiyo ya ukuu wa shule hiyo kwa rushwa ya ngono, leo wameamua kutakatisha ufuska waliozoea kufanya kwa kufunga ndoa.
Huwezi kuamini mambo haya CCM katika umri kama huo kufunga ndoa leo wakati mtu ni wa kutunzwa na wajukuu. Hakuna kufanya maendeleo ila kuchuma na kuzitumia kwa kwenda mbele kustarehe na wanawake. Hii habari inatufumbua mengi kama ile ya Gazeti la habari leo Jumapili kuipa Habari Kuu ukurasa wa mbele kuhusu Makahaba wa Kinywarwanda kutinga Dodoma kuwafuata Wabunge kuwapa ridhio la ngono.