Mzee Mangula kufunga ndoa na mwalimu kesho...

Mzee Mangula kufunga ndoa na mwalimu kesho...

muda si mrefu mkuu wa shule ataukwaa ubunge wa viti maalum kama sio ukuu wa wilaya au hata mkoa. Hapana chezeiya ccm inawenyewe ile.
 
JK ashukuriwe maana asingoa kama hajawa makamu CCM
 
Alianza kufanya ngono zembe na mwajiriwa wake, na pengine alipata nafasi hiyo ya ukuu wa shule hiyo kwa rushwa ya ngono, leo wameamua kutakatisha ufuska waliozoea kufanya kwa kufunga ndoa.

Huwezi kuamini mambo haya CCM katika umri kama huo kufunga ndoa leo wakati mtu ni wa kutunzwa na wajukuu. Hakuna kufanya maendeleo ila kuchuma na kuzitumia kwa kwenda mbele kustarehe na wanawake. Hii habari inatufumbua mengi kama ile ya Gazeti la habari leo Jumapili kuipa Habari Kuu ukurasa wa mbele kuhusu Makahaba wa Kinywarwanda kutinga Dodoma kuwafuata Wabunge kuwapa ridhio la ngono.

Hata kama uyasemayo ni kweli, basi hakuna ubaya kwa watu kujitakasa katika kufanya lililo jema.

Labda ndio wamegutuka sasa kuwa walikuwa wanafanya baya, ulitaka waendelee hivyo hivyo kwa sababu ni watu wazima wa kutunzwa na wajukuu?

Hii haki ya mtu ku-redeem himself kuwa ni kwa wasio wazee tu, imeandikwa katika andiko gani?

Na kwa nini unadhani kuoa ikiwa ni katika kujitakasa roho si jambo la maendeleo?

Au maendeleo kwako ni ya mali tu?
 
shemejiiiiiiiiiii!
hongera sana kwa MKUU WA SHULE YA PHILLIP MANGULA!
hiv hii shule ni ya serikali au binafsi?
NAULIZA TU!

anaolewa na mwenye shule hamna conflict of interest hapo?.......ni matarajio yangu kuwa mzee mangula bado anakumbuka ile ahadi ya miezi sita
 
Hongera sana Mzee Mangula. Mungu awajalie maishe yenye neema na baraka zake tele

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
Ahahah ahadi ile ilikuwa ya kisiasa tu!Hawezi mfukuza hata Mwenyekiti wa kata wa CCM hii ya Nape
 
Hongera mheshimiwa..Hata mzee Malecela nae alichukuaga jiko jipya la kumlea!
 
muda si mrefu mkuu wa shule ataukwaa ubunge wa viti maalum kama sio ukuu wa wilaya au hata mkoa. Hapana chezeiya ccm inawenyewe ile.
huyo mkuu wa shule within a year atakuwa mkuu wa wilaya. Time will tell
 
Huyo Head Mistress ana umri gani?
Nae alikua Mjane?

Hicho cheo anazo sifa zake?
Au ndo yale yale ya Philip Hamim Augustino Mulungu Dickson Mulugo??
 
Duu!!! Mguu mmoja kaburini na mwingine nchi kavu.. bado anaoa tu!!!!!!
 
Nilikuwa namjua mke wa Mangula alikuwa mwalimu, alikuwa anaitwa mwalimu Gendelimage Mangula.
 
ASHIKI haina umri. HONGERA kwa kuukwepa uzinzi.

Kaza buti mzee hamu ya mwili haina vidato wala umri.

wanaokuonea wivu wajinyonge.
 
hivyo siku zote hizo alikuwa akivunja namri ya 6??????
ama kweli siku hizi kila mtu ni BABY
 
Sasa hapa mkuu, naona unamuonea wivu mzee Mangula.Kuoa ni jambo la kawaida na ni haki yake.halihusiani kabisa na hizi siasa za chama cha maapinduzi.Tutamchukia bure wakati anatimiza haki yake ya kibinadamu.Sio kwamba anaoa kwa niaba ya chama cha mapinduzi.
Alianza kufanya ngono zembe na mwajiriwa wake, na pengine alipata nafasi hiyo ya ukuu wa shule hiyo kwa rushwa ya ngono, leo wameamua kutakatisha ufuska waliozoea kufanya kwa kufunga ndoa.

Huwezi kuamini mambo haya CCM katika umri kama huo kufunga ndoa leo wakati mtu ni wa kutunzwa na wajukuu. Hakuna kufanya maendeleo ila kuchuma na kuzitumia kwa kwenda mbele kustarehe na wanawake. Hii habari inatufumbua mengi kama ile ya Gazeti la habari leo Jumapili kuipa Habari Kuu ukurasa wa mbele kuhusu Makahaba wa Kinywarwanda kutinga Dodoma kuwafuata Wabunge kuwapa ridhio la ngono.
 
Back
Top Bottom