TANZIA Mzee Chrisant Majiyatanga Mzindakaya Afariki dunia

duuuh, kumbe Nyerere nae alikuwa haheshimu kura za wananchi wala mahakama...

Mzindakaya kacheza faulo akanyang’anywa ubunge na mahakama, Nyerere akamwingiza bungeni kwa teuzi... so much for Baba wa Taifa

Spika Ndugai nae kadanganya bunge kwamba Mzee kapiga 45 years non- stop, wakati kumbe alikaa benchi 1981 mpaka 1982...
Mbowe alifuata katiba kwa chacha wangwe?
 
daaaah.... jamaa muongo sana

Spika anakuaje hana records za wabunge waliofutwa ubunge na mahakama kwa kucheza rafu ?

tena alikuwa anasoma makaratasi anasema itakuwa vigumu kuvunja rekodi ya miaka 45 ya mbunge Mzindakaya.....

ni aibu kwa bunge na Taifa Jamiiforums wana records za bunge ambazo Spika hana!
Nilisikia jamaa wanasema ati hatuna "spika" tuna "microphone!!" Ndipo nikawaza... hivi kumbe tunaweza kuwa na kasuku mpaka kwenye mhimili mkubwa vile...!!???
 
Mbowe alifuata katiba kwa chacha wangwe?
Ushahidi tafadhali... halafu ina maana hii serikali yenu inahifadhi watenda maovu au unataka kutuambia Mbowe yuko juu ya sheria kiasi cha kuogopwa kuliko "mungu wenu wa daslamu?"
 
Wandugu,

Mwanasiasa mkongwe humu nchini bwana Christian mzindakaya amefariki dunia. Mzindakaya amefariki jioni hii katika hospital ya taifa ya Muhimbili ulipokuwa akipatiwa matibabu.

Wakati wa uhai wake bwana Mzindakaya aliwahi kushika nafasi mbalimbali ikiwemo kuwa mbunge wa Sumbawanga kwa miaka mingi.
Bwana ametoa, Bwana ametwaa.

Dk Crisant Majiyatanga Mzindakaya, aliingia bungeni kwa mara ya kwanza mwaka 1965 kama Mbunge wa Jimbo la Ufipa Kusini, lakini mbio zake ziliingia doa mwaka 1981 baada ya mahakama kumvua ubunge kutokana na ushindi wake wa mwaka 1980 kwamba alitumia faulu.

Lakini mwaka 1982 alirejea bungeni kwa 'mgongo' mwingine baada ya kuteuliwa na Rais kuwa Mkuu wa Mkoa wa Mbeya, wakati huo wakuu wa mikoa walikuwa wanaingia bungeni moja kwa moja.

Katika historia ya bunge, mbunge huyo hawezi kusahaulika, baada ya kujijengea umaarufu kama mzee wa mabomu wakati wa enzi za utawala wa serikali ya awamu ya tatu, alipokuwa akifichua ufisadi mbalimbali ndani ya serikali.

Dk Mzindakaya atakumbukwa zaidi alipomlipua aliyekuwa Waziri wa Viwanda na Biashara, Iddi Simba, kutokana na kashfa ya sukari iliyosababisha waziri huyo kujiuzulu.

'Mabomu' mengine ambayo yalimjengea umaarufu zaidi ni pale alipomlipua aliyekuwa Waziri wa Fedha, Profesa Simon Mbilinyi na hatimaye kujiuzulu na kwenye kikao cha bunge kinachoendelea amerusha 'bomu la mkono' kwa Waziri wa Maliasili na Utalii, Shamsa Mwangunga, ambalo madhara yake ni kidogo.

Hata hivyo, baada ya 'kulipua' wenzake kwa muda mrefu naye alianza kugeukiwa akidaiwa kukopeshwa fedha kwa ajili ya kujengea kiwanda cha kusindika nyama mkoani Rukwa na kudhaminiwa na Serikali ambazo ilidaiwa hakurudisha

Zaidi, soma:

1 Mzindakaya:Mbunge wa muda mrefu CV yake hii hapa

View attachment 1811793

Dunia tunapita ama kwa hakika. Maisha haya bana, Mzee alishakuwa rafiki yangu kwa kipindi flani tukihangaika kusakanya tonge liende kinywani. Apumzike kwa amani ya Bwana Yesu. Pole familia, ndg jamaa na marafiki mliogiluzwa kwa namna na msiba huu.
 
Wandugu,

Mwanasiasa mkongwe humu nchini bwana Christian mzindakaya amefariki dunia. Mzindakaya amefariki jioni hii katika hospital ya taifa ya Muhimbili ulipokuwa akipatiwa matibabu.

Wakati wa uhai wake bwana Mzindakaya aliwahi kushika nafasi mbalimbali ikiwemo kuwa mbunge wa Sumbawanga kwa miaka mingi.
Bwana ametoa, Bwana ametwaa.

Dk Crisant Majiyatanga Mzindakaya, aliingia bungeni kwa mara ya kwanza mwaka 1965 kama Mbunge wa Jimbo la Ufipa Kusini, lakini mbio zake ziliingia doa mwaka 1981 baada ya mahakama kumvua ubunge kutokana na ushindi wake wa mwaka 1980 kwamba alitumia faulu.

Lakini mwaka 1982 alirejea bungeni kwa 'mgongo' mwingine baada ya kuteuliwa na Rais kuwa Mkuu wa Mkoa wa Mbeya, wakati huo wakuu wa mikoa walikuwa wanaingia bungeni moja kwa moja.

Katika historia ya bunge, mbunge huyo hawezi kusahaulika, baada ya kujijengea umaarufu kama mzee wa mabomu wakati wa enzi za utawala wa serikali ya awamu ya tatu, alipokuwa akifichua ufisadi mbalimbali ndani ya serikali.

Dk Mzindakaya atakumbukwa zaidi alipomlipua aliyekuwa Waziri wa Viwanda na Biashara, Iddi Simba, kutokana na kashfa ya sukari iliyosababisha waziri huyo kujiuzulu.

'Mabomu' mengine ambayo yalimjengea umaarufu zaidi ni pale alipomlipua aliyekuwa Waziri wa Fedha, Profesa Simon Mbilinyi na hatimaye kujiuzulu na kwenye kikao cha bunge kinachoendelea amerusha 'bomu la mkono' kwa Waziri wa Maliasili na Utalii, Shamsa Mwangunga, ambalo madhara yake ni kidogo.

Hata hivyo, baada ya 'kulipua' wenzake kwa muda mrefu naye alianza kugeukiwa akidaiwa kukopeshwa fedha kwa ajili ya kujengea kiwanda cha kusindika nyama mkoani Rukwa na kudhaminiwa na Serikali ambazo ilidaiwa hakurudisha

Zaidi, soma:

1 Mzindakaya:Mbunge wa muda mrefu CV yake hii hapa

View attachment 1811793
Huyo alikuwa mwizi.
 
Wandugu,

Mwanasiasa mkongwe humu nchini bwana Christian mzindakaya amefariki dunia. Mzindakaya amefariki jioni hii katika hospital ya taifa ya Muhimbili ulipokuwa akipatiwa matibabu.

Wakati wa uhai wake bwana Mzindakaya aliwahi kushika nafasi mbalimbali ikiwemo kuwa mbunge wa Sumbawanga kwa miaka mingi.
Bwana ametoa, Bwana ametwaa.

Dk Crisant Majiyatanga Mzindakaya, aliingia bungeni kwa mara ya kwanza mwaka 1965 kama Mbunge wa Jimbo la Ufipa Kusini, lakini mbio zake ziliingia doa mwaka 1981 baada ya mahakama kumvua ubunge kutokana na ushindi wake wa mwaka 1980 kwamba alitumia faulu.

Lakini mwaka 1982 alirejea bungeni kwa 'mgongo' mwingine baada ya kuteuliwa na Rais kuwa Mkuu wa Mkoa wa Mbeya, wakati huo wakuu wa mikoa walikuwa wanaingia bungeni moja kwa moja.

Katika historia ya bunge, mbunge huyo hawezi kusahaulika, baada ya kujijengea umaarufu kama mzee wa mabomu wakati wa enzi za utawala wa serikali ya awamu ya tatu, alipokuwa akifichua ufisadi mbalimbali ndani ya serikali.

Dk Mzindakaya atakumbukwa zaidi alipomlipua aliyekuwa Waziri wa Viwanda na Biashara, Iddi Simba, kutokana na kashfa ya sukari iliyosababisha waziri huyo kujiuzulu.

'Mabomu' mengine ambayo yalimjengea umaarufu zaidi ni pale alipomlipua aliyekuwa Waziri wa Fedha, Profesa Simon Mbilinyi na hatimaye kujiuzulu na kwenye kikao cha bunge kinachoendelea amerusha 'bomu la mkono' kwa Waziri wa Maliasili na Utalii, Shamsa Mwangunga, ambalo madhara yake ni kidogo.

Hata hivyo, baada ya 'kulipua' wenzake kwa muda mrefu naye alianza kugeukiwa akidaiwa kukopeshwa fedha kwa ajili ya kujengea kiwanda cha kusindika nyama mkoani Rukwa na kudhaminiwa na Serikali ambazo ilidaiwa hakurudisha

Zaidi, soma:

1 Mzindakaya:Mbunge wa muda mrefu CV yake hii hapa

View attachment 1811793
alisha acha mambo ya SUMBAWANGA?
 
Huyu Mzee alisoma Mpaka darasa la nne enzi hizo na akawa ameajiriwa kama bus conductor kwa muda mrefu baada ya hapo ndio akaingia kwenye siasa. Kwenye siasa alikuwa mjanja mjanja sana na kujipendekeza kwa viongozi wakuu na pia kutumika Bungeni kuibua shutuma nyingi za mawaziri waliokuwa si msaada kwa mambo yake.

Katika uhai wake aliwahi kuwa naibu Waziri wa Viwanda wakati huo Mzee Msuya akiwa Waziri mkuu na pia aliwahi kuwa RC wa Mkoa wa Kigoma. Kuhusu huo udaktari wake, ni wa heshima aliopata kiujanja ujanja kutoka chuo kimoja cha kimagumashi huko Marekani lakini hakuwahi hata siku moja kukaa kwenye lecture room!!
Akiwa mkuu wa mkoa ali enrol IDM Mzumbe-Baada ya miezi mitatu wakamuondoa chuoni eti hana qualification-nadhani kwenye board ya mzumbe alikuwa na wabaya wake
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom