Etwege
JF-Expert Member
- Jul 4, 2018
- 5,738
- 15,211
Mbowe alifuata katiba kwa chacha wangwe?duuuh, kumbe Nyerere nae alikuwa haheshimu kura za wananchi wala mahakama...
Mzindakaya kacheza faulo akanyang’anywa ubunge na mahakama, Nyerere akamwingiza bungeni kwa teuzi... so much for Baba wa Taifa
Spika Ndugai nae kadanganya bunge kwamba Mzee kapiga 45 years non- stop, wakati kumbe alikaa benchi 1981 mpaka 1982...