mnengene
JF-Expert Member
- Nov 21, 2011
- 4,133
- 6,327
mkuu upo serious au unatania?Ana PhD ya uchawi. Akikwambia kesho huamki ni kweli huamki!.
manake kuna sehemu rasmi kabisa niliona anatambulishwa kama Dr
mkuu upo serious au unatania?Ana PhD ya uchawi. Akikwambia kesho huamki ni kweli huamki!.
Mzindakaya kuwa mchawi sio siri. Hadi bunge linajua ndio maana anaitwa MAJIYATANGA!mkuu upo serious au unatania?
manake kuna sehemu rasmi kabisa niliona anatambulishwa kama Dr
Ha ha ha zee chawi sana hili.RIP. Chrisant mzindakaya Maji ya Tanga nukumbuka 2010 ulituuliza swali kwamba walio hai na walio kufa wengi wepi.tulipokujibu walio kufa ukasema basi umeshashinda ubunge kwakuwa wafu watakuchagua
Sent from my CPH1937 using JamiiForums mobile app
Sent from my CPH1937 using JamiiForums mobile app
We jamaa, njoo majengo hapa, ofisi ya Kata.Amen, ana hotel moja Kali sana hapa Sumbawanga
Enzi zake nasikia ilikuwa marufuku mtu mwingine kugombea ubunge jimboni Kwake aliwatisha na ndumba.
Labda nae alikuwa mentor wakeYale Yale ya dhalimu kuweka mkwara mzito kwa mgombea mwingine kwa kumtisha au hata kujidai atamnunua kisha kuingia mitini.
Zamani tulikuwa tunadanganywa kuwa huyu mwamba aliwahi kusimamisha koti hewani
Pohamba
huyu mzee uliwahi kuleta story yake ya bifu na waha wa kigoma?
Ikanye polepoleDunia mapito - RIP.
Aliiba fedha nyingi. Haya majizi yakipungua angalau huenda wanangu wakabadili mfumo huu wa kijambazi uliowapa nafasi ya kuhujumu taifa na kufa na mali zetu.View attachment 1811771
Wandugu.
Mwanasiasa mkongwe humu nchini bwana Christian mzindakaya amefariki dunia. Mzindakaya amefariki jioni hii katika hospital ya taifa ya Muhimbili ulipokuwa akipatiwa matibabu.
Wakati wa uhai wake bwana Mzindakaya aliwahi kushika nafasi mbalimbali ikiwemo kuwa mbunge wa Sumbawanga kwa miaka mingi.
Bwana ametoa, Bwana ametwaa.
Dk Crisant Majiyatanga Mzindakaya, aliingia bungeni kwa mara ya kwanza mwaka 1965 kama Mbunge wa Jimbo la Ufipa Kusini, lakini mbio zake ziliingia doa mwaka 1981 baada ya mahakama kumvua ubunge kutokana na ushindi wake wa mwaka 1980 kwamba alitumia faulu.
Lakini mwaka 1982 alirejea bungeni kwa 'mgongo' mwingine baada ya kuteuliwa na Rais kuwa Mkuu wa Mkoa wa Mbeya, wakati huo wakuu wa mikoa walikuwa wanaingia bungeni moja kwa moja.
Katika historia ya bunge, mbunge huyo hawezi kusahaulika, baada ya kujijengea umaarufu kama mzee wa mabomu wakati wa enzi za utawala wa serikali ya awamu ya tatu, alipokuwa akifichua ufisadi mbalimbali ndani ya serikali.
Dk Mzindakaya atakumbukwa zaidi alipomlipua aliyekuwa Waziri wa Viwanda na Biashara, Iddi Simba, kutokana na kashfa ya sukari iliyosababisha waziri huyo kujiuzulu.
'Mabomu' mengine ambayo yalimjengea umaarufu zaidi ni pale alipomlipua aliyekuwa Waziri wa Fedha, Profesa Simon Mbilinyi na hatimaye kujiuzulu na kwenye kikao cha bunge kinachoendelea amerusha 'bomu la mkono' kwa Waziri wa Maliasili na Utalii, Shamsa Mwangunga, ambalo madhara yake ni kidogo.
Hata hivyo, baada ya 'kulipua' wenzake kwa muda mrefu naye alianza kugeukiwa akidaiwa kukopeshwa fedha kwa ajili ya kujengea kiwanda cha kusindika nyama mkoani Rukwa na kudhaminiwa na Serikali ambazo ilidaiwa hakurudisha
Zaidi, soma:
1 Mzindakaya:Mbunge wa muda mrefu CV yake hii hapa
View attachment 1811793
Sabaya na bashite injili hii wao ngumu kuelewa"Mwanadamu aliyezaliwa na mwanamke Siku zake za kuishi si nyingi, naye hujaa taabu. Yeye huchanua kama vile ua, kisha hukatwa; Hukimbia kama kivuli, wala hakai kamwe." - Ayubu
Alale salama Mzee Mzindakaya
Pole Kwa familia, na wote walioguswa na msiba huu
Faulu ya UBUNGE wake Mwaka 1980 ilikuwa ni RUSHWA Usifiche ManenoView attachment 1811771
Wandugu.
Mwanasiasa mkongwe humu nchini bwana Christian mzindakaya amefariki dunia. Mzindakaya amefariki jioni hii katika hospital ya taifa ya Muhimbili ulipokuwa akipatiwa matibabu.
Wakati wa uhai wake bwana Mzindakaya aliwahi kushika nafasi mbalimbali ikiwemo kuwa mbunge wa Sumbawanga kwa miaka mingi.
Bwana ametoa, Bwana ametwaa.
Dk Crisant Majiyatanga Mzindakaya, aliingia bungeni kwa mara ya kwanza mwaka 1965 kama Mbunge wa Jimbo la Ufipa Kusini, lakini mbio zake ziliingia doa mwaka 1981 baada ya mahakama kumvua ubunge kutokana na ushindi wake wa mwaka 1980 kwamba alitumia faulu.
Lakini mwaka 1982 alirejea bungeni kwa 'mgongo' mwingine baada ya kuteuliwa na Rais kuwa Mkuu wa Mkoa wa Mbeya, wakati huo wakuu wa mikoa walikuwa wanaingia bungeni moja kwa moja.
Katika historia ya bunge, mbunge huyo hawezi kusahaulika, baada ya kujijengea umaarufu kama mzee wa mabomu wakati wa enzi za utawala wa serikali ya awamu ya tatu, alipokuwa akifichua ufisadi mbalimbali ndani ya serikali.
Dk Mzindakaya atakumbukwa zaidi alipomlipua aliyekuwa Waziri wa Viwanda na Biashara, Iddi Simba, kutokana na kashfa ya sukari iliyosababisha waziri huyo kujiuzulu.
'Mabomu' mengine ambayo yalimjengea umaarufu zaidi ni pale alipomlipua aliyekuwa Waziri wa Fedha, Profesa Simon Mbilinyi na hatimaye kujiuzulu na kwenye kikao cha bunge kinachoendelea amerusha 'bomu la mkono' kwa Waziri wa Maliasili na Utalii, Shamsa Mwangunga, ambalo madhara yake ni kidogo.
Hata hivyo, baada ya 'kulipua' wenzake kwa muda mrefu naye alianza kugeukiwa akidaiwa kukopeshwa fedha kwa ajili ya kujengea kiwanda cha kusindika nyama mkoani Rukwa na kudhaminiwa na Serikali ambazo ilidaiwa hakurudisha
Zaidi, soma:
1 Mzindakaya:Mbunge wa muda mrefu CV yake hii hapa
View attachment 1811793