morenja
JF-Expert Member
- Feb 3, 2012
- 4,518
- 1,855
Tafsiri ni wewe mzaliwa wa kilema hapo china ya mlima kilimanjaro.kijiji cha hamtakiwa ila bado unajipendekezaAndika kiswahili wala sijakuelewa umepoteza muda mpare

Tafsiri ni wewe mzaliwa wa kilema hapo china ya mlima kilimanjaro.kijiji cha hamtakiwa ila bado unajipendekezaAndika kiswahili wala sijakuelewa umepoteza muda mpare

![]()
![]()
![]()
ntakuja na jichawa hybrid jeupee... Malazi vepee?
Mzee baba hataki kuelewa, cheupe akitaka mzee anaweza honga mjengo ule. Hatari sanaUjumbe umefika mkuu, cheupe dawa amefanya makubwa. Kule Gemstones mzee baba ameshikilia mwenyewe, cheupe akitekeleza majukumu ya kulea kichanga.
Tuko wengi tunaosoma magazeti kwa kugeuza, hata mimi sijamwelewa kama wewe ila kwa mbaliii kwa kingereza changu cha we don't wanti these bogus wawekezaji nimemwelewa hivi; Hilo jina (username) nzuri unalotumia kama utambulisho wako linaendana na akili zako nzuri. Kiufupi kakusifia sana.Andika kiswahili wala sijakuelewa umepoteza muda mpare
mshana umeyaskia ya wale wanaitwa TBA (expansion joint), tuliaminishwa private sector in wezi, sasa wameshindwa kudeliver, tuliyajua haya, miradi mingi ya ujenzi imesimama,
Ulivokua unamshambulia makonda ulithibitisha wapi tuhuma zile wee mganga acha kutupotosha
Hili bandiko limesimama imara mfano hai wala hauhitaji msaada.Si kusimama tu mkuu na pesa ya kumwaga imepotea pia mfano ni zile 600m za Mara hakuna kilichofanyika. Serikali hawezi kufanya biashara na serikali hata China hawafanyi huu upuuzi.
Ambassador akiwasikia mtajiju. Hivi yupo nchi gani sasa hivi?DNA itakuwa safi tu. Maana Ngoswe ndiye mke 100 wa kumpima mazoea a. K. a Cheupe kwahiyo ataamua majibu gani yotoke.
We haya Balozi wetu anasoma haya au hayupo tena nchini?![]()
![]()
Dada...!!!
hahahaha Bavicha mnajua kujifurahisha leo hii hata huyu mchawi eti naye ana aminika kwa story za vijiweni hahahaha
Bado nashangaa kwa na kujiuliza kwa JF wameanza kuruhusu taka taka kama hizi za kudhalilisha watu kwa uzushi.....
Watanzania ni wapole lakini ni wabaya sana. Unafikiria ni nini kilimpa upofu komandoo kule Zenj?