Mzee baba, pakacha limeanza kuvuja ujue...

Mzee baba, pakacha limeanza kuvuja ujue...

Ujumbe umefika mkuu, cheupe dawa amefanya makubwa. Kule Gemstones mzee baba ameshikilia mwenyewe, cheupe akitekeleza majukumu ya kulea kichanga.
Mzee baba hataki kuelewa, cheupe akitaka mzee anaweza honga mjengo ule. Hatari sana
 
Andika kiswahili wala sijakuelewa umepoteza muda mpare
Tuko wengi tunaosoma magazeti kwa kugeuza, hata mimi sijamwelewa kama wewe ila kwa mbaliii kwa kingereza changu cha we don't wanti these bogus wawekezaji nimemwelewa hivi; Hilo jina (username) nzuri unalotumia kama utambulisho wako linaendana na akili zako nzuri. Kiufupi kakusifia sana.
 
mshana umeyaskia ya wale wanaitwa TBA (expansion joint), tuliaminishwa private sector in wezi, sasa wameshindwa kudeliver, tuliyajua haya, miradi mingi ya ujenzi imesimama,

Si kusimama tu mkuu na pesa ya kumwaga imepotea pia mfano ni zile 600m za Mara hakuna kilichofanyika. Serikali hawezi kufanya biashara na serikali hata China hawafanyi huu upuuzi.
 
mshana umeyaskia ya wale wanaitwa TBA (expansion joint), tuliaminishwa private sector in wezi, sasa wameshindwa kudeliver, tuliyajua haya, miradi mingi ya ujenzi imesimama,
Pakacha limeanza kuvuja
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom