Mafikizolo
JF-Expert Member
- May 8, 2014
- 3,487
- 1,626
IndeedNi mwendo wa kufyatua tuu...![]()
![]()
... Neno linasema.. Basi zaaneni mkaongezeke muijaze dunia.... Ilikuwa ni pale bustani ya Eden
Ushamba ni mzigo mkuu...mtoto wa town awezi kuuza mechi kwa zilipendwa tena maji ya jioni kama vile

hizi codes alotumia huyu jamaa nami nimetoka mweupe kabisa.... ila kama kilimani = Wazo Hill??Nimetoka mzima kabisa.
Hii coded language nimeipenda mkuu,kula like nyingi sana.Mkee 100 anasemaje na vina7
Ndo maana ni kilema kama hukumuelewaAndika kiswahili wala sijakuelewa umepoteza muda mpare
Kuna mtu katajwa kwenye huu uzushi na unamfahamu?hahahaha Bavicha mnajua kujifurahisha leo hii hata huyu mchawi eti naye ana aminika kwa story za vijiweni hahahaha
Bado nashangaa kwa na kujiuliza kwa JF wameanza kuruhusu taka taka kama hizi za kudhalilisha watu kwa uzushi.....
Mimi nimeungana na Bashite kuwa failure.hizi codes alotumia huyu jamaa nami nimetoka mweupe kabisa.... ila kama kilimani = Wazo Hill??
Tatizo ni wananchi bado ni wajinga sana, CCM inafanya inavyotaka.Mzee baba yuko busy kuangalia shilawadu muda wa kazi,jioni anapumzika kaamua kufa na tai shingoni makusanyo hewa yameshindwa kununua hata panadol hosp za serikali.
Mzee baba tuko busy kununua binadamu kma watumwa
hahahaha Bavicha mnajua kujifurahisha leo hii hata huyu mchawi eti naye ana aminika kwa story za vijiweni hahahaha
Bado nashangaa kwa na kujiuliza kwa JF wameanza kuruhusu taka taka kama hizi za kudhalilisha watu kwa uzushi.....



