Kwani tatizo liko wapi? si bunge na CAG,naona unaruka ukuta unaenda kwenye serikali
wazee wa sera mbadala bhana
Unazuiaje spika lisipige kelele bila kuzuia microphone?
Kwani tatizo liko wapi? si bunge na CAG,naona unaruka ukuta unaenda kwenye serikali
wazee wa sera mbadala bhana
Kwa hiyo kiini cha hasira ya CAG,ni ripoti yake kufungiwa maandazi na Spika badala ya kuiwasirisha PAC ili ijadiliwe?"Prof. Assad alifanya Ukaguzi Maalumu Kuhusu matumizi ya shs 1.5T zilizokuwa hazina maelezo kwenye ukaguzi wa mwaka 2016/17. Taarifa hiyo ya Ukaguzi Maalumu ipo mezani kwa Spika na Spika ameikalia hajaipeleka PAC ili iwasilishwe Bungeni. Mvutano huu wa Spika na CAG ni ujanja tu". Zitto Kabwe.
Connect the connections between Rais - CAG - Spika.
Kati ya CAG na Spika wewe unaona ni yupi mwenye hasira.Kwa hiyo kiini cha hasira ya CAG,ni ripoti yake kufungiwa maandazi na Spika badala ya kuiwasirisha PAC ili ijadiliwe?
Kwani tatizo liko wapi? si bunge na CAG,naona unaruka ukuta unaenda kwenye serikali
wazee wa sera mbadala bhana
BothKati ya CAG na Spika wewe unaona ni yupi mwenye hasira.
Kwani CAG kasema bunge halisimamii vizuri mashamba ya miwa au serikali? Unaonekana huwezi kufanya news analysis kabisa mkuu. Pole sanajibu hoja ?,CAG kaitwa ikulu au bungeni?
Ikiguswa magogoni, inaonekana hasira zinakupanda sana na kupoteza uelekeo?Kwani tatizo liko wapi? si bunge na CAG,naona unaruka ukuta unaenda kwenye serikali
wazee wa sera mbadala bhana
Yote mawili.jibu hoja ?,CAG kaitwa ikulu au bungeni?
Hivi kwa akili yako unafikiri angesemaje pale...acheni kujitoa ufahamu nduguCAG aliwahi kukataa hiyo 1.5 tena mbele ya rais
Ni kwa nini Spika anachukizwa na report ya ukaguzi aliofanyiwa serikali??Kwani tatizo liko wapi? si bunge na CAG,naona unaruka ukuta unaenda kwenye serikali
wazee wa sera mbadala bhana
kama ni ukweli kwanini hasiongee popote mkuuHivi kwa akili yako unafikiri angesemaje pale...acheni kujitoa ufahamu ndugu
Sent using Jamii Forums mobile app
Yaan na kupinga kote kumbe unakuja na reasons za Polepolembona Polepole aliwaeleza kila kitu







Usikute huyu ni Jiwe mwenyewe ndie tunabishana naeIkiguswa magogoni, inaonekana hasira zinakupanda sana na kupoteza uelekeo?




Polepole ni mwenezi wa chama,sio mtu tu wa mtaani