Mzalendo asiyependa kukaguliwa....

Mzalendo asiyependa kukaguliwa....

Kitendo cha Spika kumdhalilisha Mkaguzi na Mdhibiti Mkuu wa Hesabu za serikali CAG, ni dalili za wazi kabisa kuwa serikali kupitia kwa Spika ina jambo inalificha haitaki lijulikane.

Mbona watangulizi wake walikuwa wanakaguliwa wakati mwingine walikuwa wanakutwa na madudu makubwa lkn serikali zilikuwa zinakuja na majibu, ingawa mengine yalikuwa si ya kuridhisha lkn walijibu.

Kuna wanaojiuliza, inawezekana ni 1.5T alizohoji CAG, au kuna ufisadi mkubwa unafanyika kupitia miradi mikubwa ya Stieglars Gorge, ujenzi wa SGR, ununuzi wa ndege nk.

Ina maana serikali hii haina watu wenye akili ya kupangua hoja 'professionally' hadi wafunike wizi kishamba namna hii, mbona kwenye EPA walikuja na majibu, Tegeta Escrow walijibu kisomi ingawa hatukuridhika lkn walijibu.

Kwanini isiwe sasa kuna nini wanaficha? Ni uzalendo gani huo sasa wa kutataa kukaguliwa. Kama hamtaki taasisi za serikali zikaguliwe hiyo vita ya UFISADI ni kiini macho tu.

Washamba wanawaangalia nyie waerevu na kujiuliza pamoja na uerevu wenu wote mbona washamba wanawatoa jasho? Acha kuota awamu ya 4 hapa na kukumbusha haya majeraha yake kwa Taifa hili. Vidonda bado havija pona na mkiendelea kuvikunakuna na hizo kucha zenu chafu vitatoa damu na kupata infections. Damu itakayo toka katika vidonda hivi vya Taifa/Nchi hii haita mwaacha salama Kibaka Mwenye Heshima/KIMWEHE yeyote.

CAG katangaza mwenyewe hadharani tena huko UNO kuwa hana imani na Bunge la JMT. Yeye kwanza si kati ya hao washamba, si ndio? Ajiuzulu basi tuuone uendelevu wa huo ujasiri wake. Haiwezekani akafanya kazi na asiokua na imani nao, haiwezekani! Uzuri kaliongelea USA na anajua wa aina yake huko huchukua hatua gani baada ya kutoa dukuduku zao. Asilete ujanja ujanja ajiuzulu. Kumbe mvi sio siku zote maana yake ni uzee wenye hekima.
 
Rais wetu mpendwa JJPM anahitaji kutiwa moyo sio upuuzi huu wa banyamlenge ambao kucha kuchwa wanatafuta mbinu za kumhujumu! Inanikera mie…basi tu! Eh Mwenyezi Mungu tunaomba uzidi kumtia nguvu na kumuongoza rais wetu mpendwa Dr. JJPM na serikali yake! Mungu tunaomba uzidi ibariki nchi yetu tanzania!
Rubbish
 
self proclaiming mzalendo, bila shaka alikaa na mtoto wa shangazi wakapanga matumizi ya kodi za wananchi kanakwamba ni hela walizozipata baada ya kuuza ng'ombe wao. Umefika wakati wa kukaguliwa anafura kwa hasira na kuanza kumtumia yule matonya kumtisha mkaguzi. 2020 wapinzani watamchafua sana na asivyojua kujibu hoja anaweza kufa kwa presha.
Hao jamaa sijui wana matatizo yakufikiri ...haiwezekani wawe wanafanya mambo ya kijinga kiasi hiki aise

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Magufuli ni fisadi babu kubwa kuliko maraisi wote mpaka government pay master ni mtoto wa dada yake Yule aliyepiga naye picha akina ICU wanazichota tu fedha za umma
 
Washamba wanawaangalia nyie waerevu na kujiuliza pamoja na uerevu wenu wote mbona washamba wanawatoa jasho? Acha kuota awamu ya 4 hapa na kukumbusha haya majeraha yake kwa Taifa hili. Vidonda bado havija pona na mkiendelea kuvikunakuna na hizo kucha zenu chafu vitatoa damu na kupata infections. Damu itakayo toka katika vidonda hivi vya Taifa/Nchi hii haita mwaacha salama Kibaka Mwenye Heshima/KIMWEHE yeyote.

CAG katangaza mwenyewe hadharani tena huko UNO kuwa hana imani na Bunge la JMT. Yeye kwanza si kati ya hao washamba, si ndio? Ajiuzulu basi tuuone uendelevu wa huo ujasiri wake. Haiwezekani akafanya kazi na asiokua na imani nao, haiwezekani! Uzuri kaliongelea USA na anajua wa aina yake huko huchukua hatua gani baada ya kutoa dukuduku zao. Asilete ujanja ujanja ajiuzulu. Kumbe mvi sio siku zote maana yake ni uzee wenye hekima.
Crap!
 
Paymaster yatakiwa atunze kumbukumbu yatamkuta ya kama makontena ya masamaki awamu ijayo pale makaburi ya awamu hii yatakapofuliwa
Magufuli ni fisadi babu kubwa kuliko maraisi wote mpaka government pay master ni mtoto wa dada yake Yule aliyepiga naye picha akina ICU wanazichota tu fedha za umma

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Washamba wanawaangalia nyie waerevu na kujiuliza pamoja na uerevu wenu wote mbona washamba wanawatoa jasho? Acha kuota awamu ya 4 hapa na kukumbusha haya majeraha yake kwa Taifa hili. Vidonda bado havija pona na mkiendelea kuvikunakuna na hizo kucha zenu chafu vitatoa damu na kupata infections. Damu itakayo toka katika vidonda hivi vya Taifa/Nchi hii haita mwaacha salama Kibaka Mwenye Heshima/KIMWEHE yeyote.

CAG katangaza mwenyewe hadharani tena huko UNO kuwa hana imani na Bunge la JMT. Yeye kwanza si kati ya hao washamba, si ndio? Ajiuzulu basi tuuone uendelevu wa huo ujasiri wake. Haiwezekani akafanya kazi na asiokua na imani nao, haiwezekani! Uzuri kaliongelea USA na anajua wa aina yake huko huchukua hatua gani baada ya kutoa dukuduku zao. Asilete ujanja ujanja ajiuzulu. Kumbe mvi sio siku zote maana yake ni uzee wenye hekima.
Ukiambiwa dhaifu dawa yake ni kujitathimini.
 
Huu ni mtazamo finyu na hatari sana! na ni wa hovyo…ni kama unajitekenya mwenyewe afu unacheka…ukiambiwa jizi sijui utakataa!? Hivi Magu amewakosea nini huyu baba wa wa watu ambaye wakati wote yuko busy akiibuwa mambo yanaoikwamua nchi yetu pendwa tz? Kila muda mnajaribu kumchokonoa na kumtupia kila upuuzi wa kashfa zisizo na maana yoyote. yaani kwangu mie hata kama ingekuwa kweli amechukua hayo ma 1.5T ningeenda kulala kitandani kwangu kwa amani nikijua ataibuka na jambo lenye maslahi mapana ya nchi yangu ya Tz lenye matumizi sawia ya 1.5T! Nyie wenye mawazo ya kumhisihisi vibaya ndio wenye nia ovu, na mshindwe na kulegea!
Punguza mahaba kama aliwah kuwepo mzalendo nchi hii bac Sokoine nambar moja weng waliobaki n wazugaj tu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mwanafunzi asiyetaka kusahihishwa..anapenda kujipa tiki tu hata kwenye makosa
Ndio hawa utawakuta na peni nyekundu kwenye mabegi yao, hao ni wanafunzi na hao hao ndio walimu. Ina walazimu wacheze faulo vinginevyo Asad akichafua hali ya hewa mwaka huu, mwakani kampeni hazitonoga kabisa. Ujanja ujanja tu.
 
Kitendo cha Spika kumdhalilisha Mkaguzi na Mdhibiti Mkuu wa Hesabu za serikali CAG, ni dalili za wazi kabisa kuwa serikali kupitia kwa Spika ina jambo inalificha haitaki lijulikane.

Mbona watangulizi wake walikuwa wanakaguliwa wakati mwingine walikuwa wanakutwa na madudu makubwa lkn serikali zilikuwa zinakuja na majibu, ingawa mengine yalikuwa si ya kuridhisha lkn walijibu.

Kuna wanaojiuliza, inawezekana ni 1.5T alizohoji CAG, au kuna ufisadi mkubwa unafanyika kupitia miradi mikubwa ya Stieglars Gorge, ujenzi wa SGR, ununuzi wa ndege nk.

Ina maana serikali hii haina watu wenye akili ya kupangua hoja 'professionally' hadi wafunike wizi kishamba namna hii, mbona kwenye EPA walikuja na majibu, Tegeta Escrow walijibu kisomi ingawa hatukuridhika lkn walijibu.

Kwanini isiwe sasa kuna nini wanaficha? Ni uzalendo gani huo sasa wa kutataa kukaguliwa. Kama hamtaki taasisi za serikali zikaguliwe hiyo vita ya UFISADI mtaishinda vipi au ni kiini macho tu?
yaani hapo ndio umepigilia msumari. Kwamba hii vita ya ufisadi ina maana gani kama Taasisi za serikali hazitaki kukaguliwa na CAG?
 
Washamba wanawaangalia nyie waerevu na kujiuliza pamoja na uerevu wenu wote mbona washamba wanawatoa jasho? Acha kuota awamu ya 4 hapa na kukumbusha haya majeraha yake kwa Taifa hili. Vidonda bado havija pona na mkiendelea kuvikunakuna na hizo kucha zenu chafu vitatoa damu na kupata infections. Damu itakayo toka katika vidonda hivi vya Taifa/Nchi hii haita mwaacha salama Kibaka Mwenye Heshima/KIMWEHE yeyote.

CAG katangaza mwenyewe hadharani tena huko UNO kuwa hana imani na Bunge la JMT. Yeye kwanza si kati ya hao washamba, si ndio? Ajiuzulu basi tuuone uendelevu wa huo ujasiri wake. Haiwezekani akafanya kazi na asiokua na imani nao, haiwezekani! Uzuri kaliongelea USA na anajua wa aina yake huko huchukua hatua gani baada ya kutoa dukuduku zao. Asilete ujanja ujanja ajiuzulu. Kumbe mvi sio siku zote maana yake ni uzee wenye hekima.
Hii Nduli kajifedheesha sana. Sasa drama za kupambana na ufisadi atazifanyaje? Werevu tumembaini.
 
Back
Top Bottom