AshaDii ndo maana mimi nasema ni kazi ya kila mmoja kuifanya ndoa iwe mpya kila siku. Yaani ukiwa mbali na nyumbani utamani kila siku kurudi na kukutana familia yako. Yaani utamani kila siku kumuona mkeo au mumeo
Sio mnakaa ndani mnanuniana na kila mmoja asitamani kukaa au kurudi nyumbani kwa kuwa hakuna jipya
Yaani nyumba inakuwa sio hai na ndoa imekufa japo wanandoa wanaishi
Sio mnakaa ndani mnanuniana na kila mmoja asitamani kukaa au kurudi nyumbani kwa kuwa hakuna jipya
Yaani nyumba inakuwa sio hai na ndoa imekufa japo wanandoa wanaishi