My thoughts, what are yours?

My thoughts, what are yours?

Nashangaa mkuu umejieleza na unazidi kujieleza as if uko kwenye ndoa
Ila just note that marriage is how u make it in your own way na sio kuiga BHT au Rocky au AshaDii
Rocky this is the quote of the day for me
 
Nashangaa mkuu umejieleza na unazidi kujieleza as if uko kwenye ndoa
Ila just note that marriage is how u make it in your own way na sio kuiga BHT au Rocky au AshaDii

sipendi kuishi maisha ya mwingine, not because somebody's marriage did break, mine will break too, not because that couple have a successful marriage I should copy their A, B, C, B...nope!

mahusiano /ndoa yangu na mwenzangu ni yetu na tutachagua kile kitufaacho.

btw: bwan' Rocky kwa ni hii mada ni kwa ajili ya wenye vifungo vya maisha tu?
 
And so if we can build strong marriages, we will build strong families.

Strong marriage
Who is responsible to make it strong
Nafikiri ni jukumu la kila mmoja kuhakikisha kuwa ndoa inakuwa imara
Ndoa imara mwisho wake ni familia bora na familia bora itatokea kama kuna strong bond kati ya baba na mama waanaojenga familia hiyo
 
sipendi kuishi maisha ya mwingine, not because somebody's marriage did break, mine will break too, not because that couple have a successful marriage I should copy their A, B, C, B...nope!

mahusiano /ndoa yangu na mwenzangu ni yetu na tutachagua kile kitufaacho.

btw: bwan' Rocky kwa ni hii mada ni kwa ajili ya wenye vifungo vya maisha tu?
Word BHT
 
sipendi kuishi maisha ya mwingine, not because somebody's marriage did break, mine will break too, not because that couple have a successful marriage I should copy their A, B, C, B...nope!

mahusiano /ndoa yangu na mwenzangu ni yetu na tutachagua kile kitufaacho.

btw: bwan' Rocky kwa ni hii mada ni kwa ajili ya wenye vifungo vya maisha tu?

nafurahi kusikia haya maana watu wanajua nitaangalia namna TF anavyoishi na mke wake na mimi niige au nitaishi kama yeye
Ndoa ni yako na ukitaka iende shimoni utaipeleka wewe mwenyewe na ukitaka iwe nzuri utaiifanya wewe
Hakuna atakayekusaidia kuifanya iwe hivyo wala hao unaowaeleza mambo yako ya ndani hawatakusaidia lolote zaidi watakuharibia



Mhhh nimeuliza maana naona TF anatoa comments kama za mtu mwenye ndoa ndo maana nikauliza
Ila wote wanaruhusiwa maana kuna watu wenye hekima japo hawako kwenye ndoa kama TF
 
  • Thanks
Reactions: bht
nafurahi kusikia haya maana watu wanajua nitaangalia namna TF anavyoishi na mke wake na mimi niige au nitaishi kama yeye
Ndoa ni yako na ukitaka iende shimoni utaipeleka wewe mwenyewe na ukitaka iwe nzuri utaiifanya wewe
Hakuna atakayekusaidia kuifanya iwe hivyo wala hao unaowaeleza mambo yako ya ndani hawatakusaidia lolote zaidi watakuharibia



Mhhh nimeuliza maana naona TF anatoa comments kama za mtu mwenye ndoa ndo maana nikauliza
Ila wote wanaruhusiwa maana kuna watu wenye hekima japo hawako kwenye ndoa kama TF

hizo ndo zikoje?...lol
 
we TFF hebu subiri kwanza uingie bana ndo uanze kumwaga utirio hapa...lol
 
Si unamuona TF alivyo nafikiri anaongea kama mtu mwenye experience na ndoa yake kwa miaka kadhaa
<br />
<br />
Mkuu nashukuru nimekupata kule vilivyo naona nikirespond mambo yanagoma
 
<br />
<br />
Mkuu nashukuru nimekupata kule vilivyo naona nikirespond mambo yanagoma

Mkuu pamoja sana usiwe na wasi wasi
Ila hebu tuambie kimya kimya hapa haya mambo ni lini yatakuwa tayari uje uchukue mchango hapa
 
Mkuu pamoja sana usiwe na wasi wasi <br />
Ila hebu tuambie kimya kimya hapa haya mambo ni lini yatakuwa tayari uje uchukue mchango hapa
<br />
<br />Hahaha mkuu usijali lol! Kuna binti wa bht ndio nasubiria kupeleka posa lol!
 
<br />
<br />Hahaha mkuu usijali lol! Kuna binti wa bht ndio nasubiria kupeleka posa lol!

hahaaaa binti wangu maridadi sana aisee, afu babaake ni mnoko ile mbaya, hataki bintiye aje apate tabu mbeleni...lol!
hebu endelea basi na juhudi wakwe watarajiwa tukuone maringo yako!!
 
<br />
<br />Hahaha mkuu usijali lol! Kuna binti wa bht ndio nasubiria kupeleka posa lol!

Nina wasi wasi mpaka ninti wa BHT akue wewe utakuwa kibabu na ufataki hautakiwi hata kidogo kwa binti huyo
 
  • Thanks
Reactions: bht
hahaaaa binti wangu maridadi sana aisee, afu babaake ni mnoko ile mbaya, hataki bintiye aje apate tabu mbeleni...lol!<br />
hebu endelea basi na juhudi wakwe watarajiwa tukuone maringo yako!!
<br />
<br />
Hahaha! Ngoja niongeze juhudi wakwe waone jitihada zangu lol!
 
  • Thanks
Reactions: bht
Back
Top Bottom