HAHAHA!
inakuwa kama likizo fulani hivi ya malipo:smile-big:
na huyu mtu hakika tena mi najua ANAUKIMBIA UNYUMBA!ndo maana nasema kuna some more CLARIFICATIONS behind the scene ambayo festilediwani anatakiwa ayadadavue ''IN A DETAILED MANNER'' kwa sababu ninachokiona hapa ni ''kuna matatizo kwa huyo binti mlalamikaji''
Niliwahi kusikia eti wababa hawalali nje, wanachelewa tu kurudiHapa magriit thinkaz mnajadili siku za wagoni kutokurudi nyumbani siyo? Orait...
Mi si mwanachama wa hiyo kitu bana.
Pamoja na kukamata mahela ya ISC, na pamoja na kuwa na umati wa mainfidelees, sijawahi kurudi home zaidi ya saa sita usiku. Imani yangu ni kuwa nikiingia saa sita na dakika moja, tayari nimeshalala nje. Hiyo babu hapendi, na MALARIA HAIKUBALIKI!
Yeah mimi anko huwa anapotea hata miezi 6 pindi wife wake anamletea za kuleta akilejea kama hajabadilika anapigwa talaka na mwezi huo huo anaopoa kifaa kingine cha ukweli
ha ha ha ha!Yeah mimi anko huwa anapotea hata miezi 6 pindi wife wake anamletea za kuleta akilejea kama hajabadilika anapigwa talaka na mwezi huo huo anaopoa kifaa kingine cha ukweli
Niliwahi kusikia eti wababa hawalali nje, wanachelewa tu kurudi
ha ha ha ha!
Hiyo ndo dawa hiyo mkuu!
Maanake wakati mwingine wanawake ukiwapa nafasi ya kuongea wanakupanda kichwani kabisa
mkuu hii case haiko rahisi kama ilivyopokelewa na wachangiaji!kuna ''SIRI NZITO SANA HAPO''......Hii case sijui inahitaji kufanyiwa postmortem maana naona inataka kuwa kichwa ngumu
kwa sasa naweza sema WANANYANYASANA!...until i hear from ''malalamikiwaji''......!
Unajua Retired maj Gen kama tutasikiliza na kujaji ki-upande upande naona kama tutakiuka sheria za JESHI
...mkuu pamoja na hukumu unayoelekea kuitoa, bado hii ni; 'her story!'
Tungebahatika kusikia 'His story' ndio tungejua The Truth.
inategemea mwanamke atakavyocheza karata zakehivi anaweza kuondoka bila kupewa talaka au notice ya maandishi akikaa huko akapata mwenza mpya wa kumchakachua jamaaa si atarudi fasta kama yule aliyefungua kesi mahakamani anadai mke?:tape:
Hii haikuwa ndoa ya MKEKA kweli ???.Maana kwa hali ya kawaida ndoa ya umri wa chini ya mwaka kwa watu waliooana kwa mapenzi ya dhati ni vigumu kwa mme/mke kumfanyia mkewe/mumewe mambo hayo uliyoyaeleza. Vinginevyo wewe mama Piga magoti mlilie YESU aliyehai atambadirisha mumeo.
mme huyu hajatafutiwa kakutana nae mwenyewe kwenye pilika za maisha yake na ndo maana wakapanga ndoa baada ya kuridhikaKwa nini alikubali Mume wa kutafutiwa? Manake sio rahisi mambo yawe hivyo kwa waliokubaliana kuoana kwa hiari na mapenzi yao wawili... Its too early kwa hayo mambo kutokea!! So huyo mume anamfanyia makusudi maana alikuwa hamtaki alilazimishwa na wazazi kama sikosei. Unless otherwise.
Sina hakika kama ndo walilazimisha hivi kama penzi halipo naona wanaume huwa mnakuwa wagumu sana kutangaza ndoa iweje yeye atangaze ndoa ashindwe kutenda haki za ndoaNdo madhara ya ndoa za kulazimishana hizo, unakutana na mtu anakupa lifti mara namba ya cm, mara urafiki, mara unataka ndoa, humjui wala hakujui, jamani akina dada msijirahisishe hivyo!!! BYTHEWAY, hio Couple they shd understand that, they were meant not to be!!! kama hamjazalishana bado, kimbia mapema sana, nenda kwa pastor mweleze then stand on ur own!
Vp mama umetoa U-turn?
Siku zote huwa nasema hapa watu wanaolewa au kuoa kwa kutimiza wajibu imradi na yeye aonekane katika jamii kaoa
We f1 unatoa wapi matatizo ya wenzako? Au unajificha? Mwambie hakuna tena mapenzi hapo. Mara nyingi hali hiyo ikitokea ujue kuna uwongo fulani umefichuka ama ukweli fulani haukubaliki. Huyo dada akapumzike tu kwao
Inatia machungu kwa wale waloko kwenye ndoa na wanaotaka kuingiaHii haikuwa ndoa ya MKEKA kweli ???.Maana kwa hali ya kawaida ndoa ya umri wa chini ya mwaka kwa watu waliooana kwa mapenzi ya dhati ni vigumu kwa mme/mke kumfanyia mkewe/mumewe mambo hayo uliyoyaeleza. Vinginevyo wewe mama Piga magoti mlilie YESU aliyehai atambadirisha mumeo.
kwa sasa naweza sema WANANYANYASANA!...until i hear from ''malalamikiwaji''......!
Unajua Retired maj Gen kama tutasikiliza na kujaji ki-upande upande naona kama tutakiuka sheria za JESHI
very right my dear...yaani ni shughuli kubwa sana, imefika saa 5 mtu hajatuma sms/call unajiuliza mara mbili mbili na kumcal mfululizo kujua kama kapata tatizo, ijekuwa cku 5 nje?
Kosa kubwa sana kulala nje ya nyumba yako, unachelewa tu na sio kulala nje
...mkuu pamoja na hukumu unayoelekea kuitoa, bado hii ni; 'her story!'
Tungebahatika kusikia 'His story' ndio tungejua The Truth.
The Following 2 Users Say Thank You to Mbu For This Useful Post:...mkuu pamoja na hukumu unayoelekea kuitoa, bado hii ni; 'her story!'
Tungebahatika kusikia 'His story' ndio tungejua The Truth.
Hii haikuwa ndoa ya MKEKA kweli ???.Maana kwa hali ya kawaida ndoa ya umri wa chini ya mwaka kwa watu waliooana kwa mapenzi ya dhati ni vigumu kwa mme/mke kumfanyia mkewe/mumewe mambo hayo uliyoyaeleza. Vinginevyo wewe mama Piga magoti mlilie YESU aliyehai atambadirisha mumeo.
mkuu hii case haiko rahisi kama ilivyopokelewa na wachangiaji!kuna ''siri nzito sana hapo''......
Nyamayao anajua bana!ha ha ha ha!
Amani kwako mwanajamiione!.....i miss you herein
Jamaa hataki kuongea Mbu huyu dada afanye nini?
Kama mie ningerudi kwetu mpaka hapo atakapojisikia kuongea utakaaje na mtu ndani hakusemeshi je akikuvizia akakuchinja ?
fafanua bana,...wengine 'nje ya nyumba' wanamaanisha
kitanda cha ndoa bana, eeeh!