My HaiR

My HaiR

Heaven on earth nishatengua kauli

sawa.....namna ya kummention mtu
bonyeza shift halafu @, halafu andika jina la huyo mtu, atapata mention

nb:
usitenganishe alama @ na jina la member, unaunganisha km sentensi moja!!!!
shukrani!!!!

mfano unataka ku-mention Heaven on earth kwenye hii sentensi!!

''........wewe Heaven on earth unampenda sana UNDENIABLE, mm nimekustukia kitambo sana,
'
 
Last edited by a moderator:
sawa.....namna ya kummention mtu
bonyeza shift halafu @, halafu andika jina la huyo mtu, atapata mention

nb:
usitenganishe alama @ na jina la member, unaunganisha km sentensi moja!!!!
shukrani!!!!

mfano unataka ku-mention Heaven on earth kwenye hii sentensi!!

''........wewe Heaven on earth unampenda sana UNDENIABLE, mm nimekustukia kitambo sana,
'
Niceeeeeeeee mafundisho! mkuu sasa hv ni goma la Eli79! sasa hv mm namuita shemeji! what a crazy life! mm nipo siasani kwa sasa! namtafuta mwanamke mwanasiasa ama m'ke mithili ya joyce kiria wa "wanawake live"

Kariiiiiiibu!
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom