My HaiR

My HaiR

Niceeeeeeeee mafundisho! mkuu sasa hv ni goma la Eli79! sasa hv mm namuita shemeji! what a crazy life! mm nipo siasani kwa sasa! namtafuta mwanamke mwanasiasa ama m'ke mithili ya joyce kiria wa "wanawake live"

Kariiiiiiibu!

naomba niwe mgeni wako siasani, nataka nianze kufanya maandalizi
 
Last edited by a moderator:
naomba niwe mgeni wako siasani, nataka nianze kufanya maandalizi

hahahahhahahah hupendi kucha, meno yako!?
kule unatakiwa kuwa na kifua coz matusi ni nje nje! hv tunavyoandika sasa hv mheshimiwa Mwigulu Nchemba yupo kifungoni, kala ban ya mwezi shauri ya matusi!(huyo ni kiongozi wa kitaifa)

mheshimiwa Nape Nnauye yupo kwenye kitimoto shauri ya hoja ya muungano, na bila shaka atawasababishia watu kadhaa ban! anyway siasani kupo salama!

vp wewe waweza kweli???

kariiiiiibu!
 
Last edited by a moderator:
hahahahhahahah hupendi kucha, meno yako!?
kule unatakiwa kuwa na kifua coz matusi ni nje nje! hv tunavyoandika sasa hv mheshimiwa Mwigulu Nchemba yupo kifungoni, kala ban ya mwezi shauri ya matusi!(huyo ni kiongozi wa kitaifa)

mheshimiwa Nape Nnauye yupo kwenye kitimoto shauri ya hoja ya muungano, na bila shaka atawasababishia watu kadhaa ban! anyway siasani kupo salama!

vp wewe waweza kweli???

kariiiiiibu!

mmmh ningumu.... Ila kwasababu nataka niwe mke wa rais nitaweza tu
 
Last edited by a moderator:
Niceeeeeeeee mafundisho! mkuu sasa hv ni goma la Eli79! sasa hv mm namuita shemeji! what a crazy life! mm nipo siasani kwa sasa! namtafuta mwanamke mwanasiasa ama m'ke mithili ya joyce kiria wa "wanawake live"

Kariiiiiiibu!
UNDENIABLE nakumiss lakini......
we ndio ulinifundishaga unajua
nataka na mie nianzisha saccos yangu!!!!
 
Last edited by a moderator:
hahaaa pozi la shemeji tena sijui kama ntalizoea mie

Ila si bado unakumbukumbu ya yale mapenzi yangu ya moto moto eeehhhh! au umeshayasahau na kutupa kule!?
Nilikupenda wewe mwanamke wewe, hadi ukanitia uchizi! nakumbuka kuna siku nilikaribia kuvaa chupi kichwani shauri ya penzi lako!
 
Ila si bado unakumbukumbu ya yale mapenzi yangu ya moto moto eeehhhh! au umeshayasahau na kutupa kule!?
Nilikupenda wewe mwanamke wewe, hadi ukanitia uchizi! nakumbuka kuna siku nilikaribia kuvaa chupi kichwani shauri ya penzi lako!

mwanaume wa kwanza hamuachani,mnapeana muda
wa kulijenga penzi tu,ile siku naikumbuka sana.......

na ndio maana nikasema nimekumiss mie
 
mwanaume wa kwanza hamuachani,mnapeana muda
wa kulijenga penzi tu,ile siku naikumbuka sana.......

na ndio maana nikasema nimekumiss mie

natamani sana turudiane ila sasa nitaanzia wapi! maana naona tayari umeanzisha mahusiano mengine, bado mapenzi ya dhati yananikaba koo! nimekwama mbele siendi nyuma sirudi, nimekwama haswaaa!
 
natamani sana turudiane ila sasa nitaanzia wapi! maana naona tayari umeanzisha mahusiano mengine, bado mapenzi ya dhati yananikaba koo! nimekwama mbele siendi nyuma sirudi, nimekwama haswaaa!

na wewe huna mpango na mie tena,umehamia jukwaa la siasa uko

sijui kuna nini huko siku hizi
 
na wewe huna mpango na mie tena,umehamia jukwaa la siasa uko

sijui kuna nini huko siku hizi

sasa nitakuaje na mpango na mke wa mtu!? wewe piga chini huyo mgeni wa juzi, sie tuanzishe upyaaaaaaaaaaaaaaaaaaa! hadi washangae wenyewe, si unajua mapenzi yetu yalivyo ya kimahubahuba! bado nakulilia ati!
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom