My HaiR

My HaiR

umeona ee..
atakua kapewa takrima asaidie kudondoshea moyo wa TheDealer kwa mtu[
sidanganyikiQUOTE=Heaven on earth;6901867]huyu UNDENIABLE ana yake huyu
TheDealer nahisi atakuwa keshampata wa
kumdondoshea huo moyo wake simuoni tena hum ndani[/QUOTE]
 
Last edited by a moderator:
natamani sana turudiane ila sasa nitaanzia wapi! maana naona tayari umeanzisha mahusiano mengine, bado mapenzi ya dhati yananikaba koo! nimekwama mbele siendi nyuma sirudi, nimekwama haswaaa!

the same applies here..........
UNDENIABLE utakuja kuniona lini huku kwetu
 
Last edited by a moderator:
umeonaee....... Twende basi,,,,,, nakusubiri ujue

ok, nikikuta uzi mzuri nitakuwa nakuita!

uwe na kifua lakini, maana unaweza ukaanzisha uzi mods wakafuta! unaweza ukaongea bonge la pwenti ukatukanwa! ndio mambo yetu ya huko siasani!
 
halafu mbona tangu uondoke najihisi dalili za :mimba::mimba:.....

naogopaje UNDENIABLE

Ni kweli, na huo ndio mtego wangu, unakumbuka siku ileeeeeeee.....au umesahau pale sebuleni! ndio maana nilitulia tuli, maana najua huwezi kuondoka na mzigo wangu! na sio rahisi kumpata kidume cha kukubali kulea mzigo wa kidume chenzake!
 
ok, nikikuta uzi mzuri nitakuwa nakuita!

uwe na kifua lakini, maana unaweza ukaanzisha uzi mods wakafuta! unaweza ukaongea bonge la pwenti ukatukanwa! ndio mambo yetu ya huko siasani!

kifua changu kisipo tosha nitabeba hata cha mume wangu Arushaone, halafu mwambie na best yangu Himidini atoke kule mapenzini tukajumuike nae siasani.
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom