My HaiR

My HaiR

UNDENIABLE huyo figganigga ni babe wangu......

kipindi umenipa talaka ndio alikuwa msaada mkubwa sana kwangu

Hapa sasa sawa! kila la kheri nawatakieni uhusiano mwema! sasa lakini umeshawaaga wale ndugu zake Eli79 namaanisha akina gfsonwin, Madame B, Kaizer na wengine! maana nakumbuka walikupokea kwa shangwe, and then Kaizer akakuuliza kama tayari ulishamalizana na UNDENIABLE na TheDealer, na ukamjibu ndio ulishamalizana nao! TUMIA BUSARA KUWAAGA VIZURI WALIKUTENDEA VIZURI SANA! copy kwa mume wako mpya: figganigga!
 
Last edited by a moderator:
Nendeni tu siasani.......

Ila shem akiingia ikulu 2015 umwambie asimsahau kwenye ufalme wake

Ila sasa taratibu na mimba jamani, olz nakuomba! ukishajifungua niambie nije niwajibike! mwambie kabisa mume wako ajaribu kuwa na hekima katika hili, tusije fikishana mbali bila sababu! na kama umeshatoa mimba sema hapa hadharani ili dhambi hii ikuhusu wewe mwenyewe! figganigga!
 
Last edited by a moderator:
hahahaaa.... UNDENIABLE ulie tu, wenzio wanaenda peana joto, hebu twende siasani nikakufute machozi mwaya

usijali mwaya, twende zetu siasani mwaya kule kunatuhusu! soon utakuwa first lady ujue, halafu eti siasa hujui, plz njoo ongozana na mimi mara mojamoja! halafu mumeo akishinda kiti cha urais usimsahau Heaven o earth kwenye ile wizara, ni mwanamke mzuri sana! sawa mke wa rais?
 
Last edited by a moderator:
usijali mwaya, twende zetu siasani mwaya kule kunatuhusu! soon utakuwa first lady ujue, halafu eti siasa hujui, plz njoo ongozana na mimi mara mojamoja! halafu mumeo akishinda kiti cha urais usimsahau Heaven o earth kwenye ile wizara, ni mwanamke mzuri sana! sawa mke wa rais?

nikweli siasa siijui kabisa ndio maana nakufuatafuata mwenzio nisije aibika kwenye campaign ya kumnadi mume wangu... Itabidi uwe unakuja na home basi kunipa somo mwenzio
 
Last edited by a moderator:
nikweli siasa siijui kabisa ndio maana nakufuatafuata mwenzio nisije aibika kwenye campaign ya kumnadi mume wangu... Itabidi uwe unakuja na home basi kunipa somo mwenzio

haswaaaaaaa, ila prezidaaa hana wivu kweli!
 
Ila sasa taratibu na mimba jamani, olz nakuomba! ukishajifungua niambie nije niwajibike! mwambie kabisa mume wako ajaribu kuwa na hekima katika hili, tusije fikishana mbali bila sababu! na kama umeshatoa mimba sema hapa hadharani ili dhambi hii ikuhusu wewe mwenyewe! figganigga!
mke wangu Heaven on earth hajui unayo yasema. usitake kutuharibia uhusiano. mia
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom