My girl is better than yours

My girl is better than yours

Sishangai kuona comments kama hizi
binadamu hatuna jema na ndicho mnachowaza ama mlilokua mnstarajia kusikia kwamba amesalitiwa mara anamegwa n.k
mana mnatarajia kuona akileta thread ya kwamba ameumizwa ili mfurahi vizuri kwa comments zenye kejeli.
aise kunywa sumu if you cant stand your fellow man having his super woman on his life and he is proud of her, if you dont have one and you feel jelousy please eat or drink poison.
Well said broo, kizuri lazima kisifiwe....huyu binti nina haki ya kumsifia na nipo proud of her, naweza kusimama mbele ya watu na kusema yes i have a girl.
 
Kama umepata mpenzi mwenye sifa za kuwa mke, mshukuru Mungu. Sio uje hapa kututambia. Maisha ya mapenzi sio tambarare, wewe umetuonyesha tambarare-ndo maana nikasema huyo lazima atakuwa malaika.

Maandiko ninayoyaamini yanasema 'Enyi wanaume,ishini na wake zenu kwa AKILI/Hekima'. Mungu alikuwa na maana kubwa sana ambayo kwa sasa huwezi kuielewa maana umezama kwenye dimbwi la mahaba.
Dah naona mnazid kumpa na mistari ya biblia yani tu kuona kwamba haiwezekani kwamba yan ni impossible
 
Kwani kujambiana ndo ishu kwani
Nimeishi nae ghetto mwaka na nusu, lakini sijawahi jutia hata kidogo. Kujambiana ni kupumua tu, huwezi kosana na mke wako eti kisa anajamba utakuwa hujitambui. Huyo jamaa mwache hajielewi.
 
Dah naona mnazid kumpa na mistari ya biblia yani tu kuona kwamba haiwezekani kwamba yan ni impossible
Hawajui kuwa biblia nimeisoma sana. Unapoambiwa kuishi kwa akili na hekima ndio kama hivi, kupiga, kumdharau mke wako usitegemee penzi likadumu nao kuna mda wanachoka.
 
Miaka saba bila ndoa, kweli wazinifu mpo kwenye ubora wenu
Toa miwili ya bila sex mkuu, tulikuwa tunajenga foundation kutoka chini nw tuna haki ya kuingia katika ndoa kwani kila mtu anajua a,b,c za mwenza wake.....usithubutu kukaa na mwanamke eti mwaka mmoja then uingie kwenye ndoa utajuta, mie huyu wangu tumetoka wilaya moja, shule niliyosoma primary ndio kasomea na yeye...najua background yake vizuri sana ndio maana nipo nae mpaka sasa.
 
Nilikuaga na historia kama yako ila wakati namaliza chuo ilikua nakaribia kufanya mitihani yangu ya semester ya mwisho kabisa na nlikua nshapata kazi tayari porini serengeti uko, wakuu hapo ndipo nlipokuja kujua wasichana hawana adabu baada ya mimi kuondoka mjini kumbe ndio alipata nafasi yakufanya yake aisee simsahau kwakweli ila ndio hivyo sasa hivi anakuja kwa magoti ila ndio kashachelewa.Always nasema cheating is a choice wala sio shetani sijui alikuingia sijui nini hakunaga hiyo kiyu kwangu mimi ukichit nikijua napiga chini tu.
 
Nilikuaga na historia kama yako ila wakati namaliza chuo ilikua nakaribia kufanya mitihani yangu ya semester ya mwisho kabisa na nlikua nshapata kazi tayari porini serengeti uko, wakuu hapo ndipo nlipokuja kujua wasichana hawana adabu baada ya mimi kuondoka mjini kumbe ndio alipata nafasi yakufanya yake aisee simsahau kwakweli ila ndio hivyo sasa hivi anakuja kwa magoti ila ndio kashachelewa.Always nasema cheating is a choice wala sio shetani sijui alikuingia sijui nini hakunaga hiyo kiyu kwangu mimi ukichit nikijua napiga chini tu.
Msichana akikucheat achana nae mara moja hata kama aje na wazazi wake kuomba msamaha.
 
Toa miwili ya bila sex mkuu, tulikuwa tunajenga foundation kutoka chini nw tuna haki ya kuingia katika ndoa kwani kila mtu anajua a,b,c za mwenza wake.....usithubutu kukaa na mwanamke eti mwaka mmoja then uingie kwenye ndoa utajuta, mie huyu wangu tumetoka wilaya moja, shule niliyosoma primary ndio kasomea na yeye...najua background yake vizuri sana ndio maana nipo nae mpaka sasa.
Mzee kama mlikuwa mnajuana, ndoa bora kabisa ni ile mnayoingia bila kufanya uchafu , kama mlikuwa mnapendana kweli na kuaminiana mlitakiwa kuvumilia
 
"My girl is better than yours" Kwani kuna mashindano?

Wewe una girl wakati wengine wana women, utalinganishaje?
 
Habarini wana MMU,

Leo nimeamua kushare kitu nanyi juu ya mahusiano yangu ambayo nipo proud sana kuwa nayo.

Nipo kwenye mahusiano takribani miaka saba sasa binti niliyenae nimuelewa sana sana, anajua ni nini tafsiri ya maisha kwani kwa miaka hii yote japo sijamuoa lakini amesimama kama mke mtarajiwa kwangu. Msemo wake hataki kupoteza nafasi hii.

Nilimkuta akiwa bikra miaka kadhaa iliyopita niliweza kuwa mwanaume wa kwanza kwake. Hajawahi kuniomba hela hata mara moja ila huwa ananiambia hawezi niomba hela ila nikiona ana tatizo basi nijiongeze kumpa hela. Am proud of her kwani kuna muda chuoni nilikuwa naishi gheto naye akaamia kwangu tulisaidia kwa kila kitu.

Binti alikuwa yupo radhi akae wiki hata mbili bila kusuka ili ile hela akanunue mboga na unga tuweze kula. Kipindi hicho ndicho nilichamini kuwa nimepata mke kabisaa kwani nilifukuzwa chuo. Aliweza nishauri sana kuwa nisirudi nyumbani nikae nae ye akiwa chuo mie nianze kufanya biashara then baada ya muda ndo nirudi chuo tena.

Nilikubaliana nae na boom lake lilipotoka siku moja ghetto usiku tumemaliza kula aliweza nipatia laki tano at that time alikuwa only 22 yearz kweli boom lake alibakiwa na hela ndogo akanisihi niwe nafata mzigo wa nguo za kike then ye atakuwa anaenda nazo chuo kuuza kwa wadada wenzake.

Tuliweza kupata hela ya kula na maisha yaliweza kwenda taratibu, mwaka ukaisha ikanibidi nirudi chuo alisimama nami kwa hali yote akinambia ule mtaji ndio niongeze nkalipie ada. Finally nishamaliza chuo now nipo naangaika na ajira.

Upande wa maisha yangu na yeye tunaishi vizuri hana kiburi, hapendi kujiona yeye ndio yeye japo ni mzuri sana. Ghetoni kwetu kachangia vitu vingi nami pia nimechangia vitu vingi tu hakika ni muelewa wa hali ya juu kwani hana tamaa ya pesa kwani kwao wapo vizuri. Siku zote huwa ananiambia anafanya haya yote sababu ananipenda na hataki kunipoteza na kama siku nikitaka kumwacha bora nimpe mimba ndio nimwache.

Tumesaidiana mambo mengi nikiwa na shida she is alwayz there now nasubiri tu amalize chuo nioe kabisa kabisa.
Lakini kama kawaida ya wanaume siku ukitaka kuoa utaoa mwenye makalio makubwa kuliko yeye,,,just thinking loud though hahahaaaa
 
Lakini kama kawaida ya wanaume siku ukitaka kuoa utaoa mwenye makalio makubwa kuliko yeye,,,just thinking loud though hahahaaaa
Sipendi wanawake wenye matako makubwa sijui kwa nini, tako uwe nalo ila liwe la wastani.
 
Back
Top Bottom