Nishaelezea mkuu, mahusiano yameanza akiwa o levelMiaka 7 mlipoanza uhusiano alikuwa na elimu gani? Umesema mlikuwa chuo mkahamia ghetto moja mkaishi ukasimamishwa masomo yeye akaendelea, ukafanya biashara badae ukarud kusoma na na sasa umemaliza ila yeye hajamaliza.
Elezea kidogo hapo.
Hao mashost ntawakata vichwa aiseeHongera sana. Sie zetu zilitokaga mapema ila ndoa zipo vzr tuu sasa huyo akianza kujua kuna dushe za size tofauti tofauti utalijua jiji. Muombe Mungu asikutane na mashost wa mjini wamfundishe mafiga matatu. Hahahhahahahhah Natania
Wa hivi huwa wanapatikana wapi kwaniman trust me hizo sifa zote ulizozitaja hapo hazifiki hata robo ya zile za samantine wangu, binti wa kitutsi ni mzuri sana i wish niweke picha yake hapa umuone, familia zetu zinafahamiana so tumekua tukionana toka anakua, nilimkuta ni bikra akiwa na umri wa 21yrs, tupo kwenye mahusiano kwa miaka minne sasa na ananipenda sana licha ya maisha yangu ya ghetto anasema yuko tayari tuishi kwa hali yeyote, watu wamejaribu sana kutumia nguvu ya pesa ili kumrubuni hajawahi kunificha, kuna boya amekua akituma hadi dollar 5000 akiamini atampata ila yeye anasema ananipenda mimi tu, alitapa ujauzito bahati mbaya tarehe 4/4 ikaharibika ikiwa namiezi 6, sasa amesharecover na anasema yuko tayari tutafute mtoto mwingine, huwa akiniangalia i see love in her eyes, ndamkunda cyane samantine wanje!
Sasa mbona umeshaoa mkuu.Nimeishi nae ghetto mwaka mmoja na nusu sijawahi jutia mkuu.
That might solve the current problem ila jitahidi usiwe na vishawishiUkipata mwanamke bikra aisee mtreat vizuri sana na akuone ur da perfect man to her, hakika hawezi kukuacha, mie wangu mwanaume yoyote akimtongoza kwenye simu lazima anipe namba ananiambia nimwambie kuwa mie ni mke wake so amwache. Simu yake tunaweza badirishana for a day atachukua yangu ataenda nayo chuo then ntabaki na yake...simu zetu hazina lock kabisaa.
Nshajitahid sana, nikiwa na simu yake txt ikiingia huwa ananiambia nimsomee tupo free sana kuhusu swala zima la simu ndio maana nahisi hata ugomvi kwetu huwa ni mdogo sana kwa mambo mengine.That might solve the current problem ila jitahidi usiwe na vishawishi
Ukiona mwanaume au mwanamke (ndoa au urafiki) anaweka password katika simu jua ana yake huyu na muogope kama ukomaNshajitahid sana, nikiwa na simu yake txt ikiingia huwa ananiambia nimsomee tupo free sana kuhusu swala zima la simu ndio maana nahisi hata ugomvi kwetu huwa ni mdogo sana kwa mambo mengine.
Haa haa haaa haa utajiuaMshamba huyu jamaa" inaonekana kaanza mapenz ukubwani! Yaan dume zima usimame mbele za watu unamsifia dem wako mwaminifu, siku ukijagundua wanammega masela utaficha wap sura yako? Wasukuma bwana sijui ushamba wataacha lini! Karne hii ya kumuwekea nadhili demu?
Wengi wa wanaume tunatamani tupate wanawake wa aina kama ya huyo aliyetajwa. Je tunaendana nao?Kama kuna aliesalia kama huyo na akuje pm
