My girl is better than yours

My girl is better than yours

Wengi wa wanaume tunatamani tupate wanawake wa aina kama ya huyo aliyetajwa. Je tunaendana nao?
By the way Mungu humpa mtu anachostahili
Yani mkuu nina uhakika nastahili asilimia mia.
 
Wengi wa wanaume tunatamani tupate wanawake wa aina kama ya huyo aliyetajwa. Je tunaendana nao?
By the way Mungu humpa mtu anachostahili
Yani mkuu nina uhakika nastahili asilimia mia.
 
Habarini wana MMU,

Leo nimeamua kushare kitu nanyi juu ya mahusiano yangu ambayo nipo proud sana kuwa nayo.

Nipo kwenye mahusiano takribani miaka saba sasa binti niliyenae nimuelewa sana sana, anajua ni nini tafsiri ya maisha kwani kwa miaka hii yote japo sijamuoa lakini amesimama kama mke mtarajiwa kwangu. Msemo wake hataki kupoteza nafasi hii.

Nilimkuta akiwa bikra miaka kadhaa iliyopita niliweza kuwa mwanaume wa kwanza kwake. Hajawahi kuniomba hela hata mara moja ila huwa ananiambia hawezi niomba hela ila nikiona ana tatizo basi nijiongeze kumpa hela. Am proud of her kwani kuna muda chuoni nilikuwa naishi gheto naye akaamia kwangu tulisaidia kwa kila kitu.

Binti alikuwa yupo radhi akae wiki hata mbili bila kusuka ili ile hela akanunue mboga na unga tuweze kula. Kipindi hicho ndicho nilichamini kuwa nimepata mke kabisaa kwani nilifukuzwa chuo. Aliweza nishauri sana kuwa nisirudi nyumbani nikae nae ye akiwa chuo mie nianze kufanya biashara then baada ya muda ndo nirudi chuo tena.

Nilikubaliana nae na boom lake lilipotoka siku moja ghetto usiku tumemaliza kula aliweza nipatia laki tano at that time alikuwa only 22 yearz kweli boom lake alibakiwa na hela ndogo akanisihi niwe nafata mzigo wa nguo za kike then ye atakuwa anaenda nazo chuo kuuza kwa wadada wenzake.

Tuliweza kupata hela ya kula na maisha yaliweza kwenda taratibu, mwaka ukaisha ikanibidi nirudi chuo alisimama nami kwa hali yote akinambia ule mtaji ndio niongeze nkalipie ada. Finally nishamaliza chuo now nipo naangaika na ajira.

Upande wa maisha yangu na yeye tunaishi vizuri hana kiburi, hapendi kujiona yeye ndio yeye japo ni mzuri sana. Ghetoni kwetu kachangia vitu vingi nami pia nimechangia vitu vingi tu hakika ni muelewa wa hali ya juu kwani hana tamaa ya pesa kwani kwao wapo vizuri. Siku zote huwa ananiambia anafanya haya yote sababu ananipenda na hataki kunipoteza na kama siku nikitaka kumwacha bora nimpe mimba ndio nimwache.

Tumesaidiana mambo mengi nikiwa na shida she is alwayz there now nasubiri tu amalize chuo nioe kabisa kabisa.
Cha ajabu kiumbe aliezaliwa na mwanamke anaweza akamuacha huyo manzi na kumkimbilia Sanchi 😂😂😂
 
Duuh nilishawahi kuwa na mahusiano ya namna hii na bado tukaachana.

Dogo alikua hakauki kwenye land line miaka hiyo tunaongea mpaka maneno yanakwisha.

Tukikutana tunakumbatiana tuu for hours hatuachiani. Haha.
 
Nilikua nae kama huyo same history background real hustling r🤩,real love kindakindanki,real support but tulikuja kuachana but was my fault nilicheat na nikaifanya kuwa siri yangu ila shetani alimtumia rafiki yangu wa karibu kumfikishia ule umbea ulio tunzwa kwa miaka 4 moyoni mwangu na hakika alifanikiwa kunitenga isha nae, but hadi kesho we still support each other,love and appreciation na but mahusiano yalishazikwa

Kikubwa usijitambe sana ukajisahau bruuh i was like you yeh i supposed to be proud for her uniqueness, but fortunately devil heard of it 😭 kick ma as*☹️ kupitia nilipoanguka
 
Habarini wana MMU,

Leo nimeamua kushare kitu nanyi juu ya mahusiano yangu ambayo nipo proud sana kuwa nayo.

Nipo kwenye mahusiano takribani miaka saba sasa binti niliyenae nimuelewa sana sana, anajua ni nini tafsiri ya maisha kwani kwa miaka hii yote japo sijamuoa lakini amesimama kama mke mtarajiwa kwangu. Msemo wake hataki kupoteza nafasi hii.

Nilimkuta akiwa bikra miaka kadhaa iliyopita niliweza kuwa mwanaume wa kwanza kwake. Hajawahi kuniomba hela hata mara moja ila huwa ananiambia hawezi niomba hela ila nikiona ana tatizo basi nijiongeze kumpa hela. Am proud of her kwani kuna muda chuoni nilikuwa naishi gheto naye akaamia kwangu tulisaidia kwa kila kitu.

Binti alikuwa yupo radhi akae wiki hata mbili bila kusuka ili ile hela akanunue mboga na unga tuweze kula. Kipindi hicho ndicho nilichamini kuwa nimepata mke kabisaa kwani nilifukuzwa chuo. Aliweza nishauri sana kuwa nisirudi nyumbani nikae nae ye akiwa chuo mie nianze kufanya biashara then baada ya muda ndo nirudi chuo tena.

Nilikubaliana nae na boom lake lilipotoka siku moja ghetto usiku tumemaliza kula aliweza nipatia laki tano at that time alikuwa only 22 yearz kweli boom lake alibakiwa na hela ndogo akanisihi niwe nafata mzigo wa nguo za kike then ye atakuwa anaenda nazo chuo kuuza kwa wadada wenzake.

Tuliweza kupata hela ya kula na maisha yaliweza kwenda taratibu, mwaka ukaisha ikanibidi nirudi chuo alisimama nami kwa hali yote akinambia ule mtaji ndio niongeze nkalipie ada. Finally nishamaliza chuo now nipo naangaika na ajira.

Upande wa maisha yangu na yeye tunaishi vizuri hana kiburi, hapendi kujiona yeye ndio yeye japo ni mzuri sana. Ghetoni kwetu kachangia vitu vingi nami pia nimechangia vitu vingi tu hakika ni muelewa wa hali ya juu kwani hana tamaa ya pesa kwani kwao wapo vizuri. Siku zote huwa ananiambia anafanya haya yote sababu ananipenda na hataki kunipoteza na kama siku nikitaka kumwacha bora nimpe mimba ndio nimwache.

Tumesaidiana mambo mengi nikiwa na shida she is alwayz there now nasubiri tu amalize chuo nioe kabisa kabisa.
Are you with her 24hrs/7days?
haombi hela kwako but kuna mtu anagharimia. Mwanamke ana akili ya ajabu sana. Take care.
 
Habarini wana MMU,

Leo nimeamua kushare kitu nanyi juu ya mahusiano yangu ambayo nipo proud sana kuwa nayo.

Nipo kwenye mahusiano takribani miaka saba sasa binti niliyenae nimuelewa sana sana, anajua ni nini tafsiri ya maisha kwani kwa miaka hii yote japo sijamuoa lakini amesimama kama mke mtarajiwa kwangu. Msemo wake hataki kupoteza nafasi hii.

Nilimkuta akiwa bikra miaka kadhaa iliyopita niliweza kuwa mwanaume wa kwanza kwake. Hajawahi kuniomba hela hata mara moja ila huwa ananiambia hawezi niomba hela ila nikiona ana tatizo basi nijiongeze kumpa hela. Am proud of her kwani kuna muda chuoni nilikuwa naishi gheto naye akaamia kwangu tulisaidia kwa kila kitu.

Binti alikuwa yupo radhi akae wiki hata mbili bila kusuka ili ile hela akanunue mboga na unga tuweze kula. Kipindi hicho ndicho nilichamini kuwa nimepata mke kabisaa kwani nilifukuzwa chuo. Aliweza nishauri sana kuwa nisirudi nyumbani nikae nae ye akiwa chuo mie nianze kufanya biashara then baada ya muda ndo nirudi chuo tena.

Nilikubaliana nae na boom lake lilipotoka siku moja ghetto usiku tumemaliza kula aliweza nipatia laki tano at that time alikuwa only 22 yearz kweli boom lake alibakiwa na hela ndogo akanisihi niwe nafata mzigo wa nguo za kike then ye atakuwa anaenda nazo chuo kuuza kwa wadada wenzake.

Tuliweza kupata hela ya kula na maisha yaliweza kwenda taratibu, mwaka ukaisha ikanibidi nirudi chuo alisimama nami kwa hali yote akinambia ule mtaji ndio niongeze nkalipie ada. Finally nishamaliza chuo now nipo naangaika na ajira.

Upande wa maisha yangu na yeye tunaishi vizuri hana kiburi, hapendi kujiona yeye ndio yeye japo ni mzuri sana. Ghetoni kwetu kachangia vitu vingi nami pia nimechangia vitu vingi tu hakika ni muelewa wa hali ya juu kwani hana tamaa ya pesa kwani kwao wapo vizuri. Siku zote huwa ananiambia anafanya haya yote sababu ananipenda na hataki kunipoteza na kama siku nikitaka kumwacha bora nimpe mimba ndio nimwache.

Tumesaidiana mambo mengi nikiwa na shida she is alwayz there now nasubiri tu amalize chuo nioe kabisa kabisa.
hongera mkuu
 
Habarini wana MMU,

Leo nimeamua kushare kitu nanyi juu ya mahusiano yangu ambayo nipo proud sana kuwa nayo.

Nipo kwenye mahusiano takribani miaka saba sasa binti niliyenae nimuelewa sana sana, anajua ni nini tafsiri ya maisha kwani kwa miaka hii yote japo sijamuoa lakini amesimama kama mke mtarajiwa kwangu. Msemo wake hataki kupoteza nafasi hii.

Nilimkuta akiwa bikra miaka kadhaa iliyopita niliweza kuwa mwanaume wa kwanza kwake. Hajawahi kuniomba hela hata mara moja ila huwa ananiambia hawezi niomba hela ila nikiona ana tatizo basi nijiongeze kumpa hela. Am proud of her kwani kuna muda chuoni nilikuwa naishi gheto naye akaamia kwangu tulisaidia kwa kila kitu.

Binti alikuwa yupo radhi akae wiki hata mbili bila kusuka ili ile hela akanunue mboga na unga tuweze kula. Kipindi hicho ndicho nilichamini kuwa nimepata mke kabisaa kwani nilifukuzwa chuo. Aliweza nishauri sana kuwa nisirudi nyumbani nikae nae ye akiwa chuo mie nianze kufanya biashara then baada ya muda ndo nirudi chuo tena.

Nilikubaliana nae na boom lake lilipotoka siku moja ghetto usiku tumemaliza kula aliweza nipatia laki tano at that time alikuwa only 22 yearz kweli boom lake alibakiwa na hela ndogo akanisihi niwe nafata mzigo wa nguo za kike then ye atakuwa anaenda nazo chuo kuuza kwa wadada wenzake.

Tuliweza kupata hela ya kula na maisha yaliweza kwenda taratibu, mwaka ukaisha ikanibidi nirudi chuo alisimama nami kwa hali yote akinambia ule mtaji ndio niongeze nkalipie ada. Finally nishamaliza chuo now nipo naangaika na ajira.

Upande wa maisha yangu na yeye tunaishi vizuri hana kiburi, hapendi kujiona yeye ndio yeye japo ni mzuri sana. Ghetoni kwetu kachangia vitu vingi nami pia nimechangia vitu vingi tu hakika ni muelewa wa hali ya juu kwani hana tamaa ya pesa kwani kwao wapo vizuri. Siku zote huwa ananiambia anafanya haya yote sababu ananipenda na hataki kunipoteza na kama siku nikitaka kumwacha bora nimpe mimba ndio nimwache.

Tumesaidiana mambo mengi nikiwa na shida she is alwayz there now nasubiri tu amalize chuo nioe kabisa kabisa.
Shetani anasoma hii post ngoja aanze kukuletea majaribu
 
Back
Top Bottom