Sijakupinga lakini angalia ulivomaliza post yako "kudate na maskini" anyway wadada wa namna hii wapo wengi sana tatizo linakuja kwa baadhi ya wanaume pia hatuna shukrani.Yaan wewe umeona pa maskini tu? na nani kasema wewe maskini? nilikua nakuonyesha wadada wa hivyo wapo sema baadhi ya wanaume wakifanikiwa wanawasahau!! ila wewe umekimbila vya umaskini ha ha ha ha
hahaha sijui nilivyokuelewa mimi na wenzangu wamekuelewa hivyo hivyoOur JF girls are better than yours.
yes huo ni msimamo wake kwa sasa, kila la heri katika mahusiano yako Mungu awatangulie.Sijakupinga lakini angalia ulivomaliza post yako "kudate na maskini" anyway wadada wa namna hii wapo wengi sana tatizo linakuja kwa baadhi ya wanaume pia hatuna shukrani.
hahaha sijui nilivyokuelewa mimi na wenzangu wamekuelewa hivyo hivyo
ngoja kwanza nione comment za wadada then ntahitimishaKwan wewe umeelewaje mkuu?
Sishangai kuona comments kama hiziMshamba huyu jamaa" inaonekana kaanza mapenz ukubwani! Yaan dume zima usimame mbele za watu unamsifia dem wako mwaminifu, siku ukijagundua wanammega masela utaficha wap sura yako? Wasukuma bwana sijui ushamba wataacha lini! Karne hii ya kumuwekea nadhili demu?
Kwani kujambiana ndo ishu kwaniSina nia mbaya, wewe oa halafu baada ya miaka 3 ya kuishi pamoja, amka pamoja na kujambiana kitandani, uje hapa utupe mrejesho.