Baba Swalehe
JF-Expert Member
- Jun 6, 2017
- 20,220
- 39,854
sure mkuuu lazima tuwatetee wanaonewa sanaLazima niwatetee bhn...!! Kabla hatujafika kwenye usawa wa 50% kwa 50% lazima tuhakikishe wanakua salama hawanyanyasiki kwa namna yeyote...!! Alafu walishawahi kuninyanyasia mtu wangu wa karibu sana ndo mana huwa nawakingia kifua kdr niwezavyo...!! Fanya vyote ila usimdhalilishe mwanamke mbele yangu bora ht unikate mkono kuliko kumfanya chochote yeye, yeyote yule