yes kaka japo balance bado ni due maana sijawalipa cjui niwazke
usifanye hivi. Ni tabia kama hizi baadhi ya watu wanakwepa kufanya business na waTZ, utamzima usd 55 and you will not be able to do business with them again, utaenda kampuni ingine utawazima, hizo hizo hadi utakuta umebaki peke yako, umejitenga