My first ebay Shipment

My first ebay Shipment

yes kaka japo balance bado ni due maana sijawalipa cjui niwazke

usifanye hivi. Ni tabia kama hizi baadhi ya watu wanakwepa kufanya business na waTZ, utamzima usd 55 and you will not be able to do business with them again, utaenda kampuni ingine utawazima, hizo hizo hadi utakuta umebaki peke yako, umejitenga
 
Maelezo ya ndugu Joel Lubyana yako straight forward. Ubarikiwe sana.
 
yes kaka japo balance bado ni due maana sijawalipa cjui niwazke

Mkuu usifanye hivyo, kwa ktwa umeyakubali mashariti yao na wamekuwa waaminifu kukutumia mzigo wako walipe pesa yao, vinginevyo unaweza kutuharibia wa TZ wote tukaonekana matapeli.
 
usifanye hivi. Ni tabia kama hizi baadhi ya watu wanakwepa kufanya business na waTZ, utamzima usd 55 and you will not be able to do business with them again, utaenda kampuni ingine utawazima, hizo hizo hadi utakuta umebaki peke yako, umejitenga

was just kidding kaka lazima niwalipe as i intend to do more business with them
 
Mkuu usifanye hivyo, kwa ktwa umeyakubali mashariti yao na wamekuwa waaminifu kukutumia mzigo wako walipe pesa yao, vinginevyo unaweza kutuharibia wa TZ wote tukaonekana matapeli.

yes kaka nlikua natania tu, as mattet of fact nawaclear leo
 
Wakuu...
Advantage ya hii myus ni kuwa unaweza kununua bidhaa popote duniani. Na sio kwamba unapunguza gharama. Kwa maana hyo ukitaka kununua mzigo ebay ambao una free shipping...na ukatumia myus lazima unagharamika...si ndivyo?
 
Kwanza nashukuru kwa uzi mzuri wa kufungulia mwaka.
Naomba kuuliza, hao myus wanaweza kutransfer mpaka mikoani(arusha)? , au mwisho ni dar alafu unafanya ustaharabu mwingine.
 
ni simple tu mkuu,
ukiingia kwenye website ya myus.com unasign up then unachagua membership inayosuite matumizi yako. kwa mfano, mimi nlijiunga kama standard user ambapo walideduct equvalent ya 9usd as setup cost. baada yahapo wanakupa adress ambayo ndio unakua unaitumia then wewe unachagua physical adres ya huku bongo ambapo ungependa wafanye delivery. hii inasaidia endapo a certain seller kwenye ebay hafanyi shipping to TZ.
e.g my us adress is:
Current Address
Don Lucchese
42838 press Lane
Suite 326-977
Sarasota, FL 34238
(941) 538-6941

Thank you very Much.....! Huu uzi wako umenifungua macho..! Hakuna kitu kinanikera kama ...Item does ship to Tz mara nyingi nilikuwa natukana sellers hawa
 
shukurani mkuu!ndo najaribu hapa kufwata maelekezo yako.
 
ni simple tu mkuu,
ukiingia kwenye website ya myus.com unasign up then unachagua membership inayosuite matumizi yako. kwa mfano, mimi nlijiunga kama standard user ambapo walideduct equvalent ya 9usd as setup cost. baada yahapo wanakupa adress ambayo ndio unakua unaitumia then wewe unachagua physical adres ya huku bongo ambapo ungependa wafanye delivery. hii inasaidia endapo a certain seller kwenye ebay hafanyi shipping to TZ.

e.g my us adress is:
Current Address
Don Lucchese
42838 press Lane
Suite 326-977
Sarasota, FL 34238
(941) 538-6941

But unamlipa nani ile shipping costs to Tz! kama ni wao inamaana mzigo ukifika kwao wanakuambia wata ship kiasi kwa bei gani
 
kaka sijalipia ushuru kiasi chochote, hiyo company nimejiunga nayo wameship directly mpaka ofisin kwa bro. ni samsung galaxy Epic 4G used kwa $30

Never Tena simu, Labda kama description ya mzigo ilikua imeandikwa Hard drive ya computer ambayo ipo exempted hulipi kodi.

Fedex,UPS,DHL na wengine lazima kodi ulipe pamoja na Handling Charges.

Posta ningeweza kuamini sababu agents wa TRA huwa wameridhika na hawakagui mizigo ikifika pale posta na huwa mizigo ya posta hawekwi katika custom warehouse kama ilivyo mizigo ya Fedex na ndugu zake.

Best

Biohazard
 
shukurani mkuu!ndo najaribu hapa kufwata maelekezo yako.BUT Naona hapa kwenye registration hawa jamaa wa myUS, wana taka card no. na security no. vp hii security code mbona nina wasi wasi kidogo..!!ni lazima niweke ninayo tumia o niweke mpyaa mkuu?
 
Utaweza kuiunlock ila sasa tatizo linakuja bongo CDMA technology wanatumia TTCL tu hao wengine wako GSM hapo ndipo maumivu yanakuja
 
shukurani mkuu!ndo najaribu hapa kufwata maelekezo yako.BUT Naona hapa kwenye registration hawa jamaa wa myUS, wana taka card no. na security no. vp hii security code mbona nina wasi wasi kidogo..!!ni lazima niweke ninayo tumia o niweke mpyaa mkuu?

usiwe na wasi wasi
chakufanya hakikisha website uliyoifungua ni yenyewe e.g myus,ebay,paypal usijefanyiwa mchezo wa Phinshing uka-submit credentials zako za card ikala kwako
Na icho ndo kitu cha kungalia siku zote
 
usiwe na wasi wasi
chakufanya hakikisha website uliyoifungua ni yenyewe e.g myus,ebay,paypal usijefanyiwa mchezo wa Phinshing uka-submit credentials zako za card ikala kwako
Na icho ndo kitu cha kungalia siku zote

Ndo wenyewe!Nimefanikiwa Kufungua A/c mkuu. after Hapa Naweza Kuingia Ebay Na Ata Amazon Kufanya Purchases Mkuu! Au Only Kwa Shop Yao??
 
Ndo wenyewe!Nimefanikiwa Kufungua A/c mkuu. after Hapa Naweza Kuingia Ebay Na Ata Amazon Kufanya Purchases Mkuu! Au Only Kwa Shop Yao??

popote tu mkuu, ilimradi unapofanya shopping basi adress yako hiyo ya Us uwe umeiset as default adress
 
But unamlipa nani ile shipping costs to Tz! kama ni wao inamaana mzigo ukifika kwao wanakuambia wata ship kiasi kwa bei gani

ye mkuu,
mzgo ukifika kwao wanakualert then utachagua shipping option unayotaka wewe then wanakucalculatia costs kwa all available options. ukishaselect wao wanafanya shipping kabisa ila cost ndo inabd uje uwalipe wao!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom