My first ebay Shipment

My first ebay Shipment

sio kumtisha kamuulize na Brakelyn au kasome comment yake kuhusu Aliexpress...

Ikumbukwe hadi eBay matapeli wapo ndo maana tunashauriwa kununua kwa wale wenye positive score nzuri tu

Mbona siku nyingine niliagiza Huawei 3131 ikafika bongo kutoka aliexpress bei zao ziko poa ila ikumbukwe ni Chinese product pia...

Unanunua simu wamekwambia 8GB ROM ukiweka movie za 1GB simu inapiga kelele battery low...hivo kua makini kitu unachonunua

hicho cha ubora wa bidhaaa MKUU ni shidaa sana aisee nimekuwa nikijiuliza kila siku bila kupata jibu sababu nilikuwa naangalia mashine car diagnosis mashine.
nikiangalia eBay Naona bei juu nikichungulia aliexpress naona bei iko chini nikiangalia sifa za mashine Naona sawa KAZI za mashine ni sawa.
Mkuu ni upande upi una bidhaa zenye ubora kidogo??
maana mtu unanunua mashine ya mamilion then inakuwa feki mbona balaa.
 
Last edited by a moderator:
hicho cha ubora wa bidhaaa MKUU ni shidaa sana aisee nimekuwa nikijiuliza kila siku bila kupata jibu sababu nilikuwa naangalia mashine car diagnosis mashine.
nikiangalia eBay Naona bei juu nikichungulia aliexpress naona bei iko chini nikiangalia sifa za mashine Naona sawa KAZI za mashine ni sawa.
Mkuu ni upande upi una bidhaa zenye ubora kidogo??
maana mtu unanunua mashine ya mamilion then inakuwa feki mbona balaa.

kuna vitu viko fresh china lkn ukizubaa kwenye properties utakuta huo ucheap unaku-cost
Nakupa mfano kuna receiver aina ya Dreambox kaiangalie eBay utakuta 400-00$ lakini aliexpress uki-negotiate watakupa kwa 150-200$ lkn ya china sio dreambox original bali ni COPY ya ile ya ujerumani yenye bei kubwa kule eBay na ktk perfomance ziko mor or less the same
Kube unaweza kununua diagnostic mashine ya china hiyo na ukakuta perfomance au efficiency yake ni sawa na ile original...
 
Baada ya kusoma hii mada nami nilisema ngoja nijaribu kununua kitu ebay,kwa kuanzia niliamua kununua kitu cha bei rahisi
Nilifungua account ya Paypal nikalink na account yangu ya Equity Bank then nikanza mchakato wa kuchagua kitu cha kununua.Seller niliyenunua kwake alikuwa na rating ya 96.3%

Nilibid Power bank ya 20,000mAh nikashinda kwa $16.28 ambazo ni Tshs. 28,000 ilikuwa tarehe 24/May/2014 nikalipia through paypal 28/05/2014 nikachat na Seller akaniambia" it will take 15-20 working days".Mzigo ulifika 10/06/2014 nikaenda kuchukua Posta na nikaukuta uko poa,Hakuna gharama nilizolipia Posta na item ilikuwa free shipping
Nina mpango wa kununua tablet hapo baadae
 
Aisee kuna mtu amewai agiza tv au music home theater? Nataka kujua ni gharama kiasigani kusafirishia toka myus pia kwa posta je wanatuma? Na pili watu wa custom hua wanacharge kiasi gani? Tafadhari mwenye majibu anipatie nataka kuagoliza ASAP.
 
Africa faithfullnes is equal to zero wakati ndo core unit ya online businness...
Ss hatununui tu USA hata china ili mradi tu tunachoitaji ni BUYER PROTECTION kama hiyo link ina buyer protection basi tutaanza kuitumia pia sio votu vyote utavikuta kwenye hizo site za kibongo mfano mm nataka VIAGRA hapa lazima ebay au amazon iusike

Hivi hakuna restriction ya imported items maana naona VIAGRA hapo
 
darhood kama unataka import ps3 itabidi ujipime mwenyewe haraka uliyo nayo

kama una hamu ifike baada ya siku 3 kutoka us basi tumia DHL na Fedex

lkn kama hauna shida na hii ya kuwahi waweza subiri 14days bila shida basi tumia shipping method aliyoweka seller wa eBay ambayo huwa ni kwa njia ya posta mara nyingi

njia ya posta hautojua zigo umefika au la maaana tracking zake sio nzuri zaidi ni wewe kufatlia posta btn 2-3weeks
fedex na dhl tracking ziko poa sana na ni very fast

ushuru wa vitu personal ni mara chache wakakutoza

Posta tracking zao zipovizuri pia japo zinadelay kidogo
 
Pia kuna mitandao kama usa2me.com na shipto.com nayoinafanya kama myus kikubwa check review za watu kabla ujaamua utumie mtandao gani
 
yakuaminika kaka, halaf wakiupata tu mzgo wakp wewe mwenyewe unachagua waship kwa standards gan thrn wanakutumia mzgo wako kabisa hata kabla hujalipia shipping costs

What's the price for shipping cost?
 
Ifike tu mahali ebay wabadilike km aliexpress unaagiza bidhaa moja moja mpaka posta
 
wataalam wa eBay kuna hii kitu inaitwa Economy international shipping sasa kuna mzigo kutoka hongkong nataka niagize ambao utatumia Free shipping kwa hongkong international shipping vipi kufika bongo kutokea hongkong itachukua mda gani? imebidi niulize maana nishazoea kule aliexpress huku eBay mie mgeni kidogo
 
wataalam wa eBay kuna hii kitu inaitwa Economy international shipping sasa kuna mzigo kutoka hongkong nataka niagize ambao utatumia Free shipping kwa hongkong international shipping vipi kufika bongo kutokea hongkong itachukua mda gani? imebidi niulize maana nishazoea kule aliexpress huku eBay mie mgeni kidogo
Muulize seller wako kabla hujanunua mzigo utachukua siku ngapi kufika Tanzania
 
Nataka kununua mzigo wa kama kg 10 alibaba.com sheping fee apa itakua kama dola ngap
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom