My first ebay Shipment

My first ebay Shipment

ni simple tu mkuu,
ukiingia kwenye website ya myus.com unasign up then unachagua membership inayosuite matumizi yako. kwa mfano, mimi nlijiunga kama standard user ambapo walideduct equvalent ya 9usd as setup cost. baada yahapo wanakupa adress ambayo ndio unakua unaitumia then wewe unachagua physical adres ya huku bongo ambapo ungependa wafanye delivery. hii inasaidia endapo a certain seller kwenye ebay hafanyi shipping to TZ.
e.g my us adress is:
Current Address
Don Lucchese
42838 press Lane
Suite 326-977
Sarasota, FL 34238
(941) 538-6941

kweli nilikuwa BADO mchanga wa hili Asante sana maana hii ya ku-ship USA tu imenikwamisha mno
sasa swali la mwisho
Hiyo STANDARD membership Haina DISCOUNT ya kuship kama nilivyosoma
je wewe kwa Fedex hiyo simu umelipa shilling ngapi?
Je hiyo unfrequently shipping wanayosema ni baada ya siku ngapi ktk hiyo standard membership?
MUHIMU SANA
 
C6 alishasema ataweka atiko ya hii mambo..mpaka leo naona kimya!!! ila bado tuna imani nae naimani atafanikisha mwaka 2014.
 
Last edited by a moderator:
yakuaminika kaka, halaf wakiupata tu mzgo wakp wewe mwenyewe unachagua waship kwa standards gan thrn wanakutumia mzgo wako kabisa hata kabla hujalipia shipping costs

hapo kwenye BOLD basi ni trusted company hiyo

Tulia unieleweshe hizo nilizoziwekea vi-box kwenye picha
Usichoke kwa maswali yangu maana nilishaanza kumtafuta PENIPAL uko USA ili anisaidie kwa hili ila naona nimepata soln

qa1v.jpg
 
kweli nilikuwa BADO mchanga wa hili Asante sana maana hii ya ku-ship USA tu imenikwamisha mno
sasa swali la mwisho
Hiyo STANDARD membership Haina DISCOUNT ya kuship kama nilivyosoma
je wewe kwa Fedex hiyo simu umelipa shilling ngapi?
Je hiyo unfrequently shipping wanayosema ni baada ya siku ngapi ktk hiyo standard membership?
MUHIMU SANA

sijajua mkuu kama kuna kadiscount flan ila kwa iyo standard user hata 1 shipment per six month as long as acc yako hairemain dull noshipment per year. nlisoma kwenye FAQs, natakiwa niweke eq. ya dola 55 kwenye acc ili nwalipe myus ila wao ndo wako responsible kuwalipa Fedex na wanachonifurahisha wans fanya shipment hata kabla hujawalipa mkwanja wao.
 
hapo kwenye BOLD basi ni trusted company hiyo

Tulia unieleweshe hizo nilizoziwekea vi-box kwenye picha
Usichoke kwa maswali yangu maana nilishaanza kumtafuta PENIPAL uko USA ili anisaidie kwa hili ila naona nimepata soln

qa1v.jpg

mkuu kwapo kwel hata mimi sikupaelewa vizuri nini wanamaanisha maana sikukumbana na kitu ambayo ina fall kwenye hizo service labda kama kuna wataalam zaid watupe mwangaza
 
so far sijaiopen bado ila ntaangalia kama kuna possibility ya ku-unlock

Hiyo simu will not work in TZ, ni CDMA phone na hapa providers wetu ni wa GSM, the only CDMA providers ni Sasatel na TTCL(Not sure if bado wapo in business) and you know how those works
 
Hiyo simu will not work in TZ, ni CDMA phone na hapa providers wetu ni wa GSM, the only CDMA providers ni Sasatel na TTCL(Not sure if bado wapo in business) and you know how those works

ye mkuu, daah itabd itabd niwe na2mia wireless tu!
 
mkuu kwapo kwel hata mimi sikupaelewa vizuri nini wanamaanisha maana sikukumbana na kitu ambayo ina fall kwenye hizo service labda kama kuna wataalam zaid watupe mwangaza

nimeelewa fulani baada ya kuchukua kama 30minutes kusoma
consolidation------Yaani unaweza ukanunua mizigo mitano afu bado ika-packiwa kama carton moja ku-minimize cost
Merchandise-----Mzigo utakaotumiwa
repackaging-----Kuna merchants wana-pack mzigo kiasi kwamba unakua mkubwa hivo myUS wanaweza repack huo mzigo ili kupunguza uzito...hivo kukupunguzia hipping fee

Simu yako haukuilipia ushuru sababu The TAX/DUTY DEMINIMUS in TZ is 50$ yaani mzigo uliochini ya hiyo thamani hautozwi ushuru
Japo sikuelewa hapo juu uliponambia umedeposit 55$...hizi zote zilikuwa zakusafirishia simu au ni nn?

This is BEST thread form 2013 ....maana hamna thread JF mwaka huu imeniongezea Knowledge zaidi ya hii
THANKS FOR SHARING
 
nimeelewa fulani baada ya kuchukua kama 30minutes kusoma
consolidation------Yaani unaweza ukanunua mizigo mitano afu bado ika-packiwa kama carton moja ku-minimize cost
Merchandise-----Mzigo utakaotumiwa
repackaging-----Kuna merchants wana-pack mzigo kiasi kwamba unakua mkubwa hivo myUS wanaweza repack huo mzigo ili kupunguza uzito...hivo kukupunguzia hipping fee

Simu yako haukuilipia ushuru sababu The TAX/DUTY DEMINIMUS in TZ is 50$ yaani mzigo uliochini ya hiyo thamani hautozwi ushuru
Japo sikuelewa hapo juu uliponambia umedeposit 55$...hizi zote zilikuwa zakusafirishia simu au ni nn?

This is BEST thread form 2013 ....maana hamna thread JF mwaka huu imeniongezea Knowledge zaidi ya hii
THANKS FOR SHARING

daaah shukran sana mkuu hapo sasa ndio nimeelewa vizuri. thanks too for sharing this
 
naomba nisaidie hapa:

1. nikilipia mzigo kwa paypal na nikaweka adress yangu ya hapa tanzania kwa ajili ya kutumiwa mzigo, je utafika kwangu kupitia njia gani? na malipo yanakuwaje? ushuru nalipa?

2. nikitumia hyo njia ya myus mzigo unafikia wap? sina address usa, nina address ya hapa bongo tu, je mzigo utafikia wap? gharama zitakuwaje?

nisaidie kaka
 
nimeelewa fulani baada ya kuchukua kama 30minutes kusoma
consolidation------Yaani unaweza ukanunua mizigo mitano afu bado ika-packiwa kama carton moja ku-minimize cost
Merchandise-----Mzigo utakaotumiwa
repackaging-----Kuna merchants wana-pack mzigo kiasi kwamba unakua mkubwa hivo myUS wanaweza repack huo mzigo ili kupunguza uzito...hivo kukupunguzia hipping fee

Simu yako haukuilipia ushuru sababu The TAX/DUTY DEMINIMUS in TZ is 50$ yaani mzigo uliochini ya hiyo thamani hautozwi ushuru
Japo sikuelewa hapo juu uliponambia umedeposit 55$...hizi zote zilikuwa zakusafirishia simu au ni nn?

This is BEST thread form 2013 ....maana hamna thread JF mwaka huu imeniongezea Knowledge zaidi ya hii
THANKS FOR SHARING

Ummeeleweka vzr sn mkuu.
 
Hiyo simu will not work in TZ, ni CDMA phone na hapa providers wetu ni wa GSM, the only CDMA providers ni Sasatel na TTCL(Not sure if bado wapo in business) and you know how those works

Ttcl wanatumia cdma
 
ni simu kaka

this is quite interesting, nimekua nanunua sana ebay lakini sikuwa nimewahi kuona option hii bse kuna seller wengine hawaship TZ.

Nimeona membership zao, vipi kuhusu shipping cost? walikucharge US ngapi kwa mfano kwa kuship simu?
 
naomba nisaidie hapa:

1. nikilipia mzigo kwa paypal na nikaweka adress yangu ya hapa tanzania kwa ajili ya kutumiwa mzigo, je utafika kwangu kupitia njia gani? na malipo yanakuwaje? ushuru nalipa?

2. nikitumia hyo njia ya myus mzigo unafikia wap? sina address usa, nina address ya hapa bongo tu, je mzigo utafikia wap? gharama zitakuwaje?

nisaidie kaka

1.Ebay shipping nyingi NI Njia ya posta hivo utaenda chek kwenye box lako...ushuru unaweza lipa kutegemea na quantity ya mzigo ulionunua....vitu vingi kwa ajili ya personal use kama ni 1pc wana neglect ushuru hivo ukinunua kitu kina free shipping bei uliyolipa eBay hautolipa nyiingine....si kushauri ukaingiza mizigo mikubwa kidogo kwa dhl ni fast na secure lkn ushuru utaalipa na mzigo waweza kaa siku nyingi ajabu

2.myus itakusaidia iwapo merchant aship Tanzania...myus wanakupa us adress mzigo unawafikia wao na wanakupa notification kuwa umefika na je unataka ushipiwe kuja Tanznia kwa njia gani....ukichagua Fedex au DHL basi ujue mzigo utaletewa hadi unapoishi sana sana ss tusiokoa remote areas za DSM
 
Simu yako haukuilipia ushuru sababu The TAX/DUTY DEMINIMUS in TZ is 50$ yaani mzigo uliochini ya hiyo thamani hautozwi ushuru

Japo sikuelewa hapo juu uliponambia umedeposit 55$...hizi zote zilikuwa zakusafirishia simu au ni nn?


nimeagiza simu mara kadhaa, zote below US 100, sijawahi kulipia ushuru, pia nimewahi kuagiza vitu vingine nikatozwa, kwangu bado inanitatiza.

Kuhusu hiyo us 55 aliyolipa, Yes ni ghrama ya shipping, ukitizama gharama za fedex, walizoweka kwenye hiyo link, utaona wako expensive kidogo, lakini uzuri unaweza ku-opt for USPS ambayo naamini bei ndogo kuliko fedex na DHL.

Pia, nikubaliane nawe, hii ni moja kati ya thread nzuri sana kuwahi kutokea JF, bila shaka imefungua macho ya wengi
 
mkuu mimi nimepurchase physical adress ya US ambapo shipments zangu zote zinaenda kwenye hiyo US adress then ndo wananitumia TZ mpaka ofcn kwa bro, imetake like 5days kutoka states mpaka hapa bongo
Kwa hiyo wewe una jamaa zako US ambao wanakutumia mizigo kwa FEDEX baada ya kuwa mmemalizana na e-Bay huko huko US.

Basi ungeandika "My first FEDEX shipment!"

Manake hata
hiyo receipt confirmation uliyobandika hapo juu ni kielelezo cha FEDEX, sio eBay,

Huu mchongo haumsaidii mtu ambae hana ndugu huko Marekani wa kumuomba omba ampokelee pokelee mizigo na kumtumia tumia.

 
Kwa hiyo wewe una jamaa zako US ambao wanakutumia mizigo kwa FEDEX baada ya kuwa mmemalizana na e-Bay huko huko US.

Basi ungeandika "My first FEDEX shipment!"

Manake hata
hiyo receipt confirmation uliyobandika hapo juu ni kielelezo cha FEDEX, sio eBay,

Huu mchongo haumsaidii mtu ambae hana ndugu huko Marekani wa kumuomba omba ampokelee pokelee mizigo na kumtumia tumia.


kaka naona we hujaelewa kabisa!
 
Kwa hiyo wewe una jamaa zako US ambao wanakutumia mizigo kwa FEDEX baada ya kuwa mmemalizana na e-Bay huko huko US.

Basi ungeandika "My first FEDEX shipment!"

Manake hata
hiyo receipt confirmation uliyobandika hapo juu ni kielelezo cha FEDEX, sio eBay,

Huu mchongo haumsaidii mtu ambae hana ndugu huko Marekani wa kumuomba omba ampokelee pokelee mizigo na kumtumia tumia.

Mkuu, soma kwanza trend ya thread yote kabla hujaropoka... donlucchese hajasema kuwa ana ndugu huko US, amejiunga kwenye web ya MyUS ambayo inampatia address ya marekani...
 
Last edited by a moderator:

Similar Discussions

Back
Top Bottom