My first ebay Shipment

My first ebay Shipment

hapana kaka merchant anaangalia address uliyoandika kwenye purchase invoice form,kwamfano,.. Ebay wanatumia user address na sio paypal address.., ukienda kila store wanakupa option ya shipping address.,paypal ni payment method and not shipping method mkuu. hata dell,applestore na almost store zote nilizotumia mwisho wa kucheck out ili ununue item lazima uletewe shipping address,hapa sas ndio unatumia myus address yako.,hope umenielewa mkuu

Nimekusoma mkuu sasa kimbimbe kingine kinakuja shipping adress niliyoweka imetofautiana na niliyotumiwa kwa vitu baadhi sasa sijui haina shida hiyo?
Hii ndo niliyotumiwa


Baada ya kujaza Ebay inatokea hivi
 
donlucchese

Edit uzi basi utupe full details uliagiza kitu gani?
Kimefika baada ya siku ngapi?
Ushuru umelipa kiasi gani?

Maana nimeona hiyo ni FEDEX mm nikiagiza mzigo kwa DHL wanakaa nao TRA mpaka mwezi ufike mara ohhooo sina TAX Indentification number(TIN) na vikwazo kibao sijui wanataka cha juu
mkuu unaexperince na usumbufu wa hay amajamaa, mimi mzigo kutoka kanada umeschukua miezi si chini ya mi 5, ndio nikaupokea 30/12/2013, wanahila sana, walinisumbia na hiyi TIN
 
Nimekusoma mkuu sasa kimbimbe kingine kinakuja shipping adress niliyoweka imetofautiana na niliyotumiwa kwa vitu baadhi sasa sijui haina shida hiyo?
Hii ndo niliyotumiwa
tb4r.jpg


Baada ya kujaza Ebay inatokea hivi
99mb.png
uko sahihi kaka,na umefanya poa kuweka hiyo address kama primary.,sas kila utakacho nunua kitapelekwa kwenye address yako ya marekani kisha watakujulisha kuwa wameupata mzigo wako na watataka uchague shipping method ya kuja Tz,.hapo ndo ma DHL FedEx yanahusika,.you are on the right track mkuu.,well done
tupe feedback mzigo ukikufikia,usiogope hata zile store kubwa sasaunaweza kufanya shopping,ebay sasa inakuwa absolete kwako una mwanya wa kuagiza hata Tv kutoka samsung website na ikaja straight within 1 bussines week,kwa mali za gharama kama tv,laptop anything expensive tumia sana DHL na FedEx,.usps tumia kwa vitu vya kawaida.,
you are good to go..
joe out..
 
mkuu unaexperince na usumbufu wa hay amajamaa, mimi mzigo kutoka kanada umeschukua miezi si chini ya mi 5, ndio nikaupokea 30/12/2013, wanahila sana, walinisumbia na hiyi TIN
sio kweli kabisa.... DHL wanakuletea mzigo na wao wako responsible kukulipia tax na kila kitu kazi iliyobaki kwako ni kuwa na Tin number TU! na kama una leseni (driving license) basi by default tayari una Tin number kama nilivyoeleza awali., hapa chuo watu kibao wananunua vitu mpaka wallet online na within a week vishakuja.

mzigo wako ukifika kenya tu hata kabla haujaingia Tz unapigiwa simu kuwa unakuja,ukifika dar unapigiwa simu utoe Tin number,DHL wanalipa all required tax an within siku 3-4 unapigiwa simu na DHL uje kuchkua mzigo wako,ukifika pale utalipia cost zote walizoingia kulipa TRA costoms ndio wanakupa mzigo wako,kama huna hela wanakaana mzigo wako mpaka ulete pesa yao.
tunarudi katika suala la muhimu la WEKA NAMBA YA SIMU KWA SELLER WAKO ILI IWE RAHISI KUJUA KAMA MZIGO UMEFIKA.,pia MWAMBIE SELLER AKUPATIE TRAKING NUMBR,IWE DHL AU FEDEX AU USPS WOTE WANA TRACKING NUMBER ili ujue mzigo wako umefika wapi na umetoka wapi.,
DHL hawana zengwe kabisa SHIDA yao ni moja tu GHARAMA MNO (DHL IS VERY EXPENSIVE) TU.....hata sellers wanajua
GET YOUR FACTS RIGHT..
joe out....
 
mkuu unaexperince na usumbufu wa hay amajamaa, mimi mzigo kutoka kanada umeschukua miezi si chini ya mi 5, ndio nikaupokea 30/12/2013, wanahila sana, walinisumbia na hiyi TIN

Afu ubovu wao sijui wanaangalia na mtu mm hawakunistua kabisa nikitrack mzigo naona clearance nikaona imekuwa too much nikawapigia wakawa hawajisomi ndo mpaka mmama aliyekuwa ana handle mzigo wangu aliponambie Sina TIN
 
Okoa nguvu na muda tafuta mtu unaemuamini US nunua kitu from eBay, Amazon au site yeyote ile ship kwa address yake then yeye akutumie we bongo kwa posta. Ni rahisi na nafuu, hutakuwa na haja ya kulipia hiyo physical address.
 
Okoa nguvu na muda tafuta mtu unaemuamini US nunua kitu from eBay, Amazon au site yeyote ile ship kwa address yake then yeye akutumie we bongo kwa posta. Ni rahisi na nafuu, hutakuwa na haja ya kulipia hiyo physical address.

Unaongea kitu ambacho hakiwezekani kwa 99% ya watu watakaokuja kuchangia hii thread na kusoma hii thread
 
uko sahihi kaka,na umefanya poa kuweka hiyo address kama primary.,sas kila utakacho nunua kitapelekwa kwenye address yako ya marekani kisha watakujulisha kuwa wameupata mzigo wako na watataka uchague shipping method ya kuja Tz,.hapo ndo ma DHL FedEx yanahusika,.you are on the right track mkuu.,well done
tupe feedback mzigo ukikufikia,usiogope hata zile store kubwa sasaunaweza kufanya shopping,ebay sasa inakuwa absolete kwako una mwanya wa kuagiza hata Tv kutoka samsung website na ikaja straight within 1 bussines week,kwa mali za gharama kama tv,laptop anything expensive tumia sana DHL na FedEx,.usps tumia kwa vitu vya kawaida.,
you are good to go..
joe out..

Mkuu mbona samsung store sioni option ya BUY nataka nianze na simu...
 
sio kweli kabisa.... DHL wanakuletea mzigo na wao wako responsible kukulipia tax na kila kitu kazi iliyobaki kwako ni kuwa na Tin number TU! na kama una leseni (driving license) basi by default tayari una Tin number kama nilivyoeleza awali., hapa chuo watu kibao wananunua vitu mpaka wallet online na within a week vishakuja.

mzigo wako ukifika kenya tu hata kabla haujaingia Tz unapigiwa simu kuwa unakuja,ukifika dar unapigiwa simu utoe Tin number,DHL wanalipa all required tax an within siku 3-4 unapigiwa simu na DHL uje kuchkua mzigo wako,ukifika pale utalipia cost zote walizoingia kulipa TRA costoms ndio wanakupa mzigo wako,kama huna hela wanakaana mzigo wako mpaka ulete pesa yao.
tunarudi katika suala la muhimu la WEKA NAMBA YA SIMU KWA SELLER WAKO ILI IWE RAHISI KUJUA KAMA MZIGO UMEFIKA.,pia MWAMBIE SELLER AKUPATIE TRAKING NUMBR,IWE DHL AU FEDEX AU USPS WOTE WANA TRACKING NUMBER ili ujue mzigo wako umefika wapi na umetoka wapi.,
DHL hawana zengwe kabisa SHIDA yao ni moja tu GHARAMA MNO (DHL IS VERY EXPENSIVE) TU.....hata sellers wanajua
GET YOUR FACTS RIGHT..
joe out....

Inategemea kaka...mm mzigo wa kwanza hawakuniomba TIN namba mzigo wa pili wakaniomba hiyo TIN nikasema mm sijui hii ni kitu gani waka assume mm mwanafunzi na wakatumia TIN in the name of chuo ambacho nilitumia adress yao...TRA wakagoma na DHL hawakunipigia simu wala nn wakati mzigo una namba...nimewapa TIN number kesho week inakata bado hamna response zaidi naona customs status updated siku niliowapa TIN siku zilizo baki wameweka clearance....yaani DHL nawachukia japo mzigo unawasili within 2 days
 
mmmmh i think samung hawana official site for sale hawa
 
Inategemea kaka...mm mzigo wa kwanza hawakuniomba TIN namba mzigo wa pili wakaniomba hiyo TIN nikasema mm sijui hii ni kitu gani waka assume mm mwanafunzi na wakatumia TIN in the name of chuo ambacho nilitumia adress yao...TRA wakagoma na DHL hawakunipigia simu wala nn wakati mzigo una namba...nimewapa TIN number kesho week inakata bado hamna response zaidi naona customs status updated siku niliowapa TIN siku zilizo baki wameweka clearance....yaani DHL nawachukia japo mzigo unawasili within 2 days
ooooh..basi huna shida tena kaka.,as long as mzigo umefika wafuate ofisini kabisaa physicaly..
 
Okoa nguvu na muda tafuta mtu unaemuamini US nunua kitu from eBay, Amazon au site yeyote ile ship kwa address yake then yeye akutumie we bongo kwa posta. Ni rahisi na nafuu, hutakuwa na haja ya kulipia hiyo physical address.
dah!! kaka hii thread ni kwa wale wengi tusio na ndugu jamaa au marafiki nje A.K.A 99.9% ya watanzania.. ahsante kwa ushauri ila hii kwetu naona ndio njia safi na insured, pia hata wao wanaship posta,the choice of shipping method ni yako mkuu.,. karibu Tanzania kaka
 
Ila bado naona Amazon bei za simu rahisi ki ukweli sana sana hizi samsung..nilikuwa nacheki Samsung Android duos bei zake nimezipenda itanibidi kuagiza from there
VERY GOOD OBSERVATION kaka.,pia amazon iko recomended na watu wengi wa nje kuliko ebay na ni cheap zaidi,. pia ni nzuri zaidi kwa sisi wa myus maana ipo usa shipment ni siku moja au masaa tu kwenda kwenye myus addresses na normaly ni free so low shipping costs.,,ebay iko poa sema wachina wengi and i normaly dnt trust hong kong sellers
 
uko sahihi kaka,na umefanya poa kuweka hiyo address kama primary.,sas kila utakacho nunua kitapelekwa kwenye address yako ya marekani kisha watakujulisha kuwa wameupata mzigo wako na watataka uchague shipping method ya kuja Tz,.hapo ndo ma DHL FedEx yanahusika,.you are on the right track mkuu.,well done
tupe feedback mzigo ukikufikia,usiogope hata zile store kubwa sasaunaweza kufanya shopping,ebay sasa inakuwa absolete kwako una mwanya wa kuagiza hata Tv kutoka samsung website na ikaja straight within 1 bussines week,kwa mali za gharama kama tv,laptop anything expensive tumia sana DHL na FedEx,.usps tumia kwa vitu vya kawaida.,
you are good to go..
joe out..
Daah kaka umeelezea vizuri sana. Respect sana
 
free shipping ni kutoka mzigo ulipo(seller location) kwenda Myus addresss uliyopewa, myus watakujulisha mzigo wako ukifika then utawapa method ya wao kukufikishia mzigo,either DHL,FedEx,EMS and others
ahsante joel kwa maelezo mazuri. Kwa mfano seller kaandika pale free shipping worldwide. Kwa uelewa wangu hapo MyUs haina haja kwa sababu utakuwa una incur gharama isiyo na lazima
 
Okoa nguvu na muda tafuta mtu unaemuamini US nunua kitu from eBay, Amazon au site yeyote ile ship kwa address yake then yeye akutumie we bongo kwa posta. Ni rahisi na nafuu, hutakuwa na haja ya kulipia hiyo physical address.
Kaka umeongea as if kila mtanzania ana ndugu US
 
ahsante joel kwa maelezo mazuri. Kwa mfano seller kaandika pale free shipping worldwide. Kwa uelewa wangu hapo MyUs haina haja kwa sababu utakuwa una incur gharama isiyo na lazima

Ni kweli kabisa mkuu ndomana ukiwa na adress mbili ya myus na kawaida ya bongo inakua poa. Kama seller anaship worldwide basi unacheckout na adress yako ya bongo ila otherwise ndio watumia ya MyUS
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom