My first ebay Shipment

My first ebay Shipment

Ofice za posta hizo hizo ndo za EMS
Ingekuwa dhl huwez wadaganya eti ni pembejeo...kama hawajui wanasoma manual ya kifaa mpka wakijue afu taratibu za kukubamiza zinafuata
Utakavyoongea nao, unaweza kutoa kodi kwa tablet na mwingine asiitolee kodi.
 
Ndo maracya kwanza kununua ebay, natarajia shipments kuanza kuwasili wiki ijayo. Asante kwa mwanga wa myus.
 
Kama ni DHL lazima uache chochote...lkn posta hiyo haina shida kabisa hamna ushuru maana packets nyingi zinazokuja kwa posta huwa hazina hata invoice na nahisi hazikaguliwi maana naonaga zangu hazijaguswa...lkn dhl box linachanwa kabisa...afu anda TIN number kabisa

sijaorder watumie dhl wamesema kwa posta
 
Sorry naomba kuelewa hapo najaza nini katika hzo gaps cz kwanza cjui Tanzania kama tuna postal/zipcode alaf na hizo gaps nyingine embu nisaidieni
 

Attachments

  • 1391235425654.jpg
    1391235425654.jpg
    36.9 KB · Views: 130
MYUS.COM EXPERIENCE THE BAD AND THE GOOD

Baada ya kupata hii knowledge within that day ilinibidi nifungue myus.com account na nikaanza manunuzi mara moja mm niliyafanya for the sake of kujaribu maana Posta inanitosheleza ku-import mizigo tena yenye thamani kubwa...mfano nimeagiza TABLET from CHINA yenye thamani ya 328$ ambayo nayo nilinunua eBay na ilinifikia kwa njia ya Posta ikiwa salama kabisa na ndani ya 14days

Nilipofungua myus mm nililipia PREMIUM ACCOUNT Maana kuna discount ktk shipping price pia wanaweza kukutunzia mzigo mpaka 30days baada ya hapo kila mzigo na kila siku inayoongezeka unalipia 1$ lkn 30days ni nyingi mno

Nilinunua 7 items zenye thamani ya 95$ kutoka eBay na zote nilizidirect katika adress yangu ya US mizigo ilipotimia na nilipoona vihela nilivyokuwa nimeweka kwene account vimeisha(siwekagi hela kwenye acc yangu ya Online purchase mpaka niwe na shida kufanya hivo...hii ni kwa usalama zaidi),NILI-ORDER MYUS wasafirishe mizigo yangu na ilikuwa na uzito wa 3.4lbs sasa mm nilitumia online calculator ya shipping price nikaona bei ya fedex na DHL tofauti ni 6$ ambayo likuwa 60$ nikasema kwa kuwa sijawai kuwatumia FEDEX ngoja niwajaribu kwa hii issue....

Baada ya siku nikaambiwa DIMENSIONAL WEIGHT yangu sio 3.4lbs bali ni 7lbs na shipping price ni 83$ ambayo ni kubwa sana kwangu mm
Walisafirisha mzigo japo hata hela yao walikuwa hawajakata kwenye account yangu maana ina 0TZS hivo bado wananidai japo mizigo wameifikisha salama salimini within 3days(waweza tazama picha)


NOTE:Mtu usitumie myus.com kuship mzigo ambao kumbe ungeu-ship kwa posta vitu kama simu,tablets au more expensive na ambavyo hawaship kuja BONGO waweza watumia myus.com
Nasem hivi kwa maana kuwa hawaship mizigo kwa kutumia cheap shipping couriers kama USPS zaidi ni DHL na FEDEX amabazo bei zake ni expensive sana na unaweza kuta bei ya kuship inazidi bei ya kifaa ambayo practically ni non sense

t035.png



kr3o.png


Nawasubiri na wengine joel lubyama waje kutoa feedback maana walidai wameagiza earphone kutoka apple store hope watatupa experience ya huko maana mm nimetoa experience ya eBay zaidi

donlucchese Thanks for this knowledge once again


SHARING IS CARING

 
Last edited by a moderator:
MYUS.COM EXPERIENCE THE BAD AND THE GOOD

Baada ya kupata hii knowledge within that day ilinibidi nifungue myus.com account na nikaanza manunuzi mara moja mm niliyafanya for the sake of kujaribu maana Posta inanitosheleza ku-import mizigo tena yenye thamani kubwa...mfano nimeagiza TABLET from CHINA yenye thamani ya 328$ ambayo nayo nilinunua eBay na ilinifikia kwa njia ya Posta ikiwa salama kabisa na ndani ya 14days

Nilipofungua myus mm nililipia PREMIUM ACCOUNT Maana kuna discount ktk shipping price pia wanaweza kukutunzia mzigo mpaka 30days baada ya hapo kila mzigo na kila siku inayoongezeka unalipia 1$ lkn 30days ni nyingi mno

Nilinunua 7 items zenye thamani ya 95$ kutoka eBay na zote nilizidirect katika adress yangu ya US mizigo ilipotimia na nilipoona vihela nilivyokuwa nimeweka kwene account vimeisha(siwekagi hela kwenye acc yangu ya Online purchase mpaka niwe na shida kufanya hivo...hii ni kwa usalama zaidi),NILI-ORDER MYUS wasafirishe mizigo yangu na ilikuwa na uzito wa 3.4lbs sasa mm nilitumia online calculator ya shipping price nikaona bei ya fedex na DHL tofauti ni 6$ ambayo likuwa 60$ nikasema kwa kuwa sijawai kuwatumia FEDEX ngoja niwajaribu kwa hii issue....

Baada ya siku nikaambiwa DIMENSIONAL WEIGHT yangu sio 3.4lbs bali ni 7lbs na shipping price ni 83$ ambayo ni kubwa sana kwangu mm
Walisafirisha mzigo japo hata hela yao walikuwa hawajakata kwenye account yangu maana ina 0TZS hivo bado wananidai japo mizigo wameifikisha salama salimini within 3days(waweza tazama picha)


NOTE:Mtu usitumie myus.com kuship mzigo ambao kumbe ungeu-ship kwa posta vitu kama simu,tablets au more expensive na ambavyo hawaship kuja BONGO waweza watumia myus.com
Nasem hivi kwa maana kuwa hawaship mizigo kwa kutumia cheap shipping couriers kama USPS zaidi ni DHL na FEDEX amabazo bei zake ni expensive sana na unaweza kuta bei ya kuship inazidi bei ya kifaa ambayo practically ni non sense

t035.png



kr3o.png


Nawasubiri na wengine joel lubyama waje kutoa feedback maana walidai wameagiza earphone kutoka apple store hope watatupa experience ya huko maana mm nimetoa experience ya eBay zaidi

donlucchese Thanks for this knowledge once again


SHARING IS CARING



asante sana kwa taarifa 😀 kwani ku ship kwa posta vitu vidogo kama simu hua havitozwi? kama mim nataka ninunue ps3 je njia ipi ni nzuri kwa hyo kitu?😜
 
Last edited by a moderator:
MYUS.COM EXPERIENCE THE BAD AND THE GOOD

Baada ya kupata hii knowledge within that day ilinibidi nifungue myus.com account na nikaanza manunuzi mara moja mm niliyafanya for the sake of kujaribu maana Posta inanitosheleza ku-import mizigo tena yenye thamani kubwa...mfano nimeagiza TABLET from CHINA yenye thamani ya 328$ ambayo nayo nilinunua eBay na ilinifikia kwa njia ya Posta ikiwa salama kabisa na ndani ya 14days

Nilipofungua myus mm nililipia PREMIUM ACCOUNT Maana kuna discount ktk shipping price pia wanaweza kukutunzia mzigo mpaka 30days baada ya hapo kila mzigo na kila siku inayoongezeka unalipia 1$ lkn 30days ni nyingi mno

Nilinunua 7 items zenye thamani ya 95$ kutoka eBay na zote nilizidirect katika adress yangu ya US mizigo ilipotimia na nilipoona vihela nilivyokuwa nimeweka kwene account vimeisha(siwekagi hela kwenye acc yangu ya Online purchase mpaka niwe na shida kufanya hivo...hii ni kwa usalama zaidi),NILI-ORDER MYUS wasafirishe mizigo yangu na ilikuwa na uzito wa 3.4lbs sasa mm nilitumia online calculator ya shipping price nikaona bei ya fedex na DHL tofauti ni 6$ ambayo likuwa 60$ nikasema kwa kuwa sijawai kuwatumia FEDEX ngoja niwajaribu kwa hii issue....

Baada ya siku nikaambiwa DIMENSIONAL WEIGHT yangu sio 3.4lbs bali ni 7lbs na shipping price ni 83$ ambayo ni kubwa sana kwangu mm
Walisafirisha mzigo japo hata hela yao walikuwa hawajakata kwenye account yangu maana ina 0TZS hivo bado wananidai japo mizigo wameifikisha salama salimini within 3days(waweza tazama picha)


NOTE:Mtu usitumie myus.com kuship mzigo ambao kumbe ungeu-ship kwa posta vitu kama simu,tablets au more expensive na ambavyo hawaship kuja BONGO waweza watumia myus.com
Nasem hivi kwa maana kuwa hawaship mizigo kwa kutumia cheap shipping couriers kama USPS zaidi ni DHL na FEDEX amabazo bei zake ni expensive sana na unaweza kuta bei ya kuship inazidi bei ya kifaa ambayo practically ni non sense

t035.png



kr3o.png


Nawasubiri na wengine joel lubyama waje kutoa feedback maana walidai wameagiza earphone kutoka apple store hope watatupa experience ya huko maana mm nimetoa experience ya eBay zaidi

donlucchese Thanks for this knowledge once again


SHARING IS CARING


Nakubaliana na wewe kuwa DHL and Fedex are expensive, especially when you use them to ship vitu vidogo but when unaship vitu vikubwa kama Laptops, Tablets, Cameras etc USPS is a liability and in most cases utajikuta una-insure mzigo just to be on the safe side of should things go wrong. Fedx and DHL charge a lot too but are well accustomed to international shipping than USPS, shipping in the US tu tracking # zinasumbua and delays are a common thing.

I think MyUS is great for shipping things that buying them at home will cost more than buying abroad and shipping by a big margin or if one needs something not available at home. Another use case is shipping things laptops, mfano a new macbook cost like $2000+ at home, buying and shipping with MyUS can save one like $500+ so it all comes down to margins. But until then siamini kama this is a good service for small goods.
 
darhood kama unataka import ps3 itabidi ujipime mwenyewe haraka uliyo nayo

kama una hamu ifike baada ya siku 3 kutoka us basi tumia DHL na Fedex

lkn kama hauna shida na hii ya kuwahi waweza subiri 14days bila shida basi tumia shipping method aliyoweka seller wa eBay ambayo huwa ni kwa njia ya posta mara nyingi

njia ya posta hautojua zigo umefika au la maaana tracking zake sio nzuri zaidi ni wewe kufatlia posta btn 2-3weeks
fedex na dhl tracking ziko poa sana na ni very fast

ushuru wa vitu personal ni mara chache wakakutoza
 
kwan gharama ya dhl nafedex ni shingapi kwa ku ship ps3 i think i can afford it njunwa wamavoko
 
Last edited by a moderator:
Sikuwai kutumia muda wangu jamii forum kusoma page 20 post to post tangu ya kwanza mpaka ya.197 isipokuwa leo.

Ahsante kwa muanzisha uzi; asante kwa wachangiaji na wauliza maswali; ahsante kwa mlioleta mwitikio baada ya kujaribu.

Sina swali yooote mshauliza. Kazi kwangu nami pia. Asanteni kwa mara nyingine tena.
 
tatizo la myus wanatumia DHL na Fedex tu ambao ni expensive na mizigo ikifika airport watu wa TRA wanakulima kodi kutokana na value katika invoice yako nadhani kama walivyosema wadau wengine kuna vitu vingi sana hapa Bongo havipo madukani hata katika supermarket kubwa hapo ndipo unaweza kutumia myus account
 
MYUS.COM EXPERIENCE THE BAD AND THE GOOD

Baada ya kupata hii knowledge within that day ilinibidi nifungue myus.com account na nikaanza manunuzi mara moja mm niliyafanya for the sake of kujaribu maana Posta inanitosheleza ku-import mizigo tena yenye thamani kubwa...mfano nimeagiza TABLET from CHINA yenye thamani ya 328$ ambayo nayo nilinunua eBay na ilinifikia kwa njia ya Posta ikiwa salama kabisa na ndani ya 14days

Nilipofungua myus mm nililipia PREMIUM ACCOUNT Maana kuna discount ktk shipping price pia wanaweza kukutunzia mzigo mpaka 30days baada ya hapo kila mzigo na kila siku inayoongezeka unalipia 1$ lkn 30days ni nyingi mno

Nilinunua 7 items zenye thamani ya 95$ kutoka eBay na zote nilizidirect katika adress yangu ya US mizigo ilipotimia na nilipoona vihela nilivyokuwa nimeweka kwene account vimeisha(siwekagi hela kwenye acc yangu ya Online purchase mpaka niwe na shida kufanya hivo...hii ni kwa usalama zaidi),NILI-ORDER MYUS wasafirishe mizigo yangu na ilikuwa na uzito wa 3.4lbs sasa mm nilitumia online calculator ya shipping price nikaona bei ya fedex na DHL tofauti ni 6$ ambayo likuwa 60$ nikasema kwa kuwa sijawai kuwatumia FEDEX ngoja niwajaribu kwa hii issue....

Baada ya siku nikaambiwa DIMENSIONAL WEIGHT yangu sio 3.4lbs bali ni 7lbs na shipping price ni 83$ ambayo ni kubwa sana kwangu mm
Walisafirisha mzigo japo hata hela yao walikuwa hawajakata kwenye account yangu maana ina 0TZS hivo bado wananidai japo mizigo wameifikisha salama salimini within 3days(waweza tazama picha)


NOTE:Mtu usitumie myus.com kuship mzigo ambao kumbe ungeu-ship kwa posta vitu kama simu,tablets au more expensive na ambavyo hawaship kuja BONGO waweza watumia myus.com
Nasem hivi kwa maana kuwa hawaship mizigo kwa kutumia cheap shipping couriers kama USPS zaidi ni DHL na FEDEX amabazo bei zake ni expensive sana na unaweza kuta bei ya kuship inazidi bei ya kifaa ambayo practically ni non sense

t035.png



kr3o.png


Nawasubiri na wengine joel lubyama waje kutoa feedback maana walidai wameagiza earphone kutoka apple store hope watatupa experience ya huko maana mm nimetoa experience ya eBay zaidi

donlucchese Thanks for this knowledge once again


SHARING IS CARING


SOOOOO SOOOO SOOOO VERY TRUE,kilicho nikuta mimi ni kuwa mzigo ulifika vizuri kabisa na nilipokea e mail kuwa nimepokea mzigo kwenye address yangu,ila shida ilikuwa ni kwenye shipping costs za kuleta mzigo wangu Tz via DHL. binafsi nia TIN # ila kwa kuwa mzigo nilionunua ni kutokaapple store na thamani ya bidhaa yangu ilikuwa ni $29 wakaniambia kuwa kutokana na mzigo wangu nitalipa $25 as shipment kuja bongo via dhl wakati hizi earphones hazina uzito hata 0.5 lbs, realy disapointing, i had to think foward kuwa ikija bongo hapa na ndugu zetu tra watataka kuweka chao hivo estimately nitakuwa nimenunua earphones normal kwa more than $65 ikabidi niabandon mzigo coz natumia standard account na inakaa na mzigo siku 5 tu.....
CONCLUSION ni hii......... tumia my us kama mzigo wako ni wa uhimu mkubwa na seller haship tanzania unless otherwise ur going to pay triple the price of your product,
juzi juzi nilikuwa kwenye website ya bidhaa za kichina originaly from china (dhgate.com) wanatuma kwa system zote,dhl,fedex,posta.... nikasema what the hell nikanu ua simu copy ya galaxy S3 kwa sh elfu 82 ikiwa na free shiping kuja tanzania via posta na nikaandika sanduku la posta 00 Mwanza pamoja na namba ya simukama kujaribu je utafika? amazingly after 17 days 9(LAST MONDAY) nikapigiwa simu na posta nina parcel isiyo na address inabidi nifike ofisini,nikaenda na nikapatiwa mzigo wangu,
more amazing nimekutana na wahindi na waarabu kibao wanachukua mizigo pale yani wanasema kuibiwa posta ilikuwa ni zamani maana nimeshuhudia kwa macho yangu mhindi na kanifungulia box yake ana dell inspiron 15 mya zikiwa tatu kwenye parcel yake na anasema shida ya posta ni tracking number na uchelewaji kufika mzigo tu.
So thats it folks kama nilivyowaambia last time,efficient method yenye guarantee ni DHL na FEDEX ila upo tayari kulipa kodi kwa bidhaa yako ambayo sio educational material? (hapa tunazungumzia simu,tablet,playstations,an all the remaining) na je upo tayari kutoa pexa nyingi kwa mzigo ambao in the end unajuta kutumia dhl badala ya kufurahia huduma.
In the end tunaona kuwa myus iliwekwa special kwa sellers ambao hawaship worldwide kama bestbuy,apple,dell na makampuni mengine, ila kwa nilivyokaa na kuevaluate sellers wengi wanaship worldwide,sema inabidi utulie utawaona tu,na kawaida ya ebay ukisha mfollow swller anayeship world wide basi search zako zote zijazo zitakuwa in sync na worldwide shipping sellers,
i think this is to my expirience and congrats bwana njunwa wamavoko kwa your succesfull purchase,.
TUONDOE WOGA NA TUANZA KUJARIBU KWASABABU HUWEZI PATA UJUZI BILA KUINGIA NA KUICHEZA NGOMA MWENYEWE,WE LIVE IN A NEWLY DEVELOPED DIGITAL AGE,TRY TO EVOLVE WAKUU.
THANX joe out???!>>>
 
joel lubyama tunashukuru kwa experience yako...in one way or another naweza sema hawa myus.com watakuwa wazuri iwapo wata imprement USPS ambayo kidogo iko chini
 
Last edited by a moderator:
joel lubyama tunashukuru kwa experience yako...in one way or another naweza sema hawa myus.com watakuwa wazuri iwapo wata imprement USPS ambayo kidogo iko chini

sooo true kaka, DHL na FEDEX ni too expensive, istoshe kuna sellers wanauza cheap na wanaship hadi ps3 fully equiped kwa dola 35 kuja tz via usps., nitaitumia myus for official websites tu.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom