joel lubyama
Naomba msaada wako I see Hivi Amazon kumbe hawatumii PayPal
Je,nikiweka Card zangu si watanikata ile Hela ya Amazon Prime maana wanasema Free unatumia mwaka mmoja baada ya hapo kila mwaka 79$ sasa hii siwata-force waikate hata kama sina time nao
Mwenye ufafanuzi naomba
Yanini ununue bidhaa kutoka usa wakati kuna mtandao bomba kabisa wa kuuza bidhaa hapa bongo? uzeni simu zenu,gari ana kila bidhaa bureee Dalali Ads
Yanini ununue bidhaa kutoka usa wakati kuna mtandao bomba kabisa wa kuuza bidhaa hapa bongo? uzeni simu zenu,gari ana kila bidhaa bureee Dalali Ads
Yanini ununue bidhaa kutoka usa wakati kuna mtandao bomba kabisa wa kuuza bidhaa hapa bongo? uzeni simu zenu,gari ana kila bidhaa bureee Dalali Ads
availability of products kaka, bidhaa nyng hapa bongo hamna
tuache tununue wewe inakuhusu nini?yanini ununue bidhaa kutoka usa wakati kuna mtandao bomba kabisa wa kuuza bidhaa hapa bongo? Uzeni simu zenu,gari ana kila bidhaa bureee
oi don,jamaa wa myus wanatumia nini kucharge gharama ya shiping(uzito,price ya bidhaa au) na ikiwa free shpng pale dhl or fdex unalipa kitu?
oi don,jamaa wa myus wanatumia nini kucharge gharama ya shiping(uzito,price ya bidhaa au) na ikiwa free shpng pale dhl or fdex unalipa kitu?
Kwa marekani mpango mzima ni USPS ... dola 10 simu moja mpaka bongo 3-5 days.Kama upo DAR nakushauri fedex iwapo difference ya bei ni ndogom...maana hawa maofficer wa TRA wana njaa kinyama pale DHL
Kwa marekani mpango mzima ni USPS ... dola 10 simu moja mpaka bongo 3-5 days.
DHL na FEDEX wazuri kwenye cargo kubwa...
Kama upo DAR nakushauri fedex iwapo difference ya bei ni ndogom...maana hawa maofficer wa TRA wana njaa kinyama pale DHL
nimenunua saa za mkononi 3 jumla yake kama 70000 na memory cards 3 kama sh 50000. nitakatwa kodi??
Kwa marekani mpango mzima ni USPS ... dola 10 simu moja mpaka bongo 3-5 days.
DHL na FEDEX wazuri kwenye cargo kubwa...
USPS EMS mzigo ukifika unapigiwa simu.Daah hii sijangongana nayo I see kumbe nayo tamu hii USPS sasa hii inatofauti gani na UPS afu naonaga usps priority mail sijui na extended mail
USPS EMS mzigo ukifika unapigiwa simu.
USPS ni posta ya serikali, United States Postal Service.
UPS ni binafsi, United Postal Service
DHL wana ofisi Dsm. Je hawa USPS wana office hapa dsm? Na kama hawana ..mzigo wako unauchukulia wapi?
EMS Wana ofisi mikoa mingi tu .... early January nilitumiwa GPS tracking device Mbeya kutoka states, na wala sikulipa kodi niliwaambia ni pembejeo ya kupima mashamba.
USPS wana EMS ambayo ina matawi bongo mikoa mingi tu.Especially DSM , ofisi ya posta ya mkoa lazima kutakuwa na EMS.