JZHOELO
Senior Member
- Sep 20, 2011
- 196
- 360
dolucchese hakuna address umepurchase USA.what these fellows are doing its there office address they are using to charge you for.usa address utapata kwa US. POSTAL SERVICE.mwambie mwingine apply atapewa hiyo hiyo address uliyonayo.i visited there website and tthere physical address yao is what they gave you.in essence they are getting money by doping you to have sold an address to you.the company is a reshipping company because ukinunua ebay au amazon outside shipping sana sana hawafanyi.mimi i get free shipping on most of the items because i have physiacal usa address and residence.so they charge you on the reshipping plus they dope you to have sold you an address.
no 3 ebay and amazon staff wakati mwingine unanunua na usiridhike au bidhaa iwe damaged mie hapa usa narudisha kwa seller kwani bidhaa huwa sio za ebay lakini wewe huwezi kurudisha ukiwa tz.
unajua anybody can set up a shop ebay au amazon.infact i am thinking about it bidhaa za east afirca na usa mchanganyiko.bidhaa ebay na amazon sio zao ni za wale wamehost maduka pale.
sawasawa mkuu. basi kwa sasa its best ufanye mchakato wa kutupatia address yako ya us kaka, ill be the first of your transists kaka, one more question upo wapi in the states mkuu, na ukitaka hii kitu iende smooth zaidi ts best uwe na account ya paypal inayokubali malipo tuweze kukulipa percent yako kirahisi na kwa haraka.. ila ombi kubwa ni kuwa kama unampango na uko serious kufanya hii bussiness tunakuomba uship kwa DHL au FEDEX na mizigo yetu uiship kama GIFT ili tuepuke kodi za huku kwetu mkuu... haya ni mawazo yangu ya haraka kaka @waltham